Hakuna kitu kibaya kama kushare mwanamke mtaani

Hakuna kitu kibaya kama kushare mwanamke mtaani

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,891
Niko Msiba mmoja wapendwa huku tabata Yaani mwanamle mmoja kadondoka na ngoma ametembea na wanaume si chini ya mia mtaani

Mbaya wamama wanalilia watoto wao wa shule bibie akipenda anavuta

Mungu ampe wepesi na msamaha kwa aliofanya kuweni makini kushare mtaani sio sifa
 
Niko Msiba mmoja wapendwa huku tabata Yaani mwanamle mmoja kadondoka na ngoma ametembea na wanaume si chini ya mia mtaani

Mbaya wamama wanalilia watoto wao wa shule bibie akipenda anavuta

Mungu ampe wepesi na msamaha kwa aliofanya kuweni makini kushare mtaani sio sifa

Amekanyaga miwaya
 
Niko Msiba mmoja wapendwa huku tabata Yaani mwanamle mmoja kadondoka na ngoma ametembea na wanaume si chini ya mia mtaani

Mbaya wamama wanalilia watoto wao wa shule bibie akipenda anavuta

Mungu ampe wepesi na msamaha kwa aliofanya kuweni makini kushare mtaani sio sifa

umejuaje hao mia
 
Mkuu Sometimes huna haja ya kumpima, matendo yake+mlolongo wa afya kabla ya kufa+historical background ya alivyo
'do' waweza pata jawabu
Magonjwa mengi yanafanana na ukimwi.. mfano canser ya mifupa, damu na mengine mengi ambayo humaliza kinga mwilini. haswaa usipojulikana mapema... mtu hudhoofu sana maumivu makali hata ale nini. Ni vyema kujua kama alipimwa na akakutwa nao.
 
Hakuna ku share kuzuri,haijalishi ume share na wa mtaani wala wa mkoani.

umeniwahi nami nltaka kandika the same watu wabadilike waache michepuko ...kwanini tusiwe waaminifu kwa mkeo/mumeo/mpenzio kusharea sio kuzuri
 
Kufa na ngoma siku hizi si siri tena. Pdidy hawezi kuwa amekosea kusema kabisa. wapo watu mtaani anakuwa amemaliza mtaa mzima. Cha kusikitisha wanaume katika vijiwe na kahawa wanaongelea hilo hilo la mwanamke kiwembe!!! Ila wakitoka hapo kijiweni utakuta kuna mtu pale ana appointment naye. Likewise kwa wanaume, utakuta ni fataki fuska wa kufa mtu na wamama au wanawake na wasichana wanamfahamu fika halafu kila siku anapata mwanamke hapo hapo!!!! Naona suala la HIV watu tumeamua kujilipua tu hasa kwa wale ambao huwa wanakuwa na msururu mkubwa kiasi kwamba kupima hawataki!!! Wanaamini walishaukwaa bila kupima hivyo hata akitembea na mtu wa misururu anaona ni ajali kazini!!! Ni nani anamkumbuka yule Stelah wa Sinza Makaburini alikufa na Ukimwi miaka kama ya 90s hivi? Huyu binti alikuwa ni mzuri sana na alitembea na wanaume wengi sana Sinza!!! Msiba wake ulikuwa ni kilio!!! Hao watu wapo tukubali tukatae!!
 
umeniwahi nami nltaka kandika the same watu wabadilike waache michepuko ...kwanini tusiwe waaminifu kwa mkeo/mumeo/mpenzio kusharea sio kuzuri

Inasikitisha kwa kweli.
 
ingekuwa penseli kuisha kwake ndo ungejua una-share....mpaka ujue USHALOWESHA hata mara kumiiiii....\

SWALI gumu kuuliza/kujibu wakati unaomba/kutoa mgegedo "...JE mpenzio/mumeo/mkeo/hawara wako yuko wapi..."Mara ya mwisho ilikuwa lini..."...ushawahi kupima (utaambulia KWENZI ama uongo--ndio)
 
Wakati mwingine maneno yanayoongelewa misibani ni ya kutunga tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom