Utaitwa mchochezi na kuitajika kituo cha kati
dada hiyo ya chini mtu huwekwa sopu sopu,full kujipanga
Ata Obama wa 2008 na sasa 2016 ni tofauti sana, amezeeka kuliko ilivyotakiwa....hizi kazi sii mchezo mkuu.Lakini mshikaji nywele zinazidi kuwa nyeupe, sidhani kama analala masaa nane au zaidi mkuu.
Lakini huyu mbona mapema sana hata mwaka badoAta Obama wa 2008 na sasa 2016 ni tofauti sana, amezeeka kuliko ilivyotakiwa....hizi kazi sii mchezo mkuu.
Genes, lishe, mazoezi, mazingira ni factors....Lakini nahisi CHADEMA wanamzeesha kwa haraka sana, ndio maana hataki kuwaona mitaani.Lakini huyu mbona mapema sana hata mwaka bado
Tatizo ni wale wenye kujipendekeza kwa mkuuSijatukana jamani, nikipewa ban nimeonewa.
Ina raha yake, unaweza kuamka asubuhi ukaseama J5 ni marufuku wanaume kulala na wake zao, na ikatelezwa.Kama kazi ni ngumu mbona huwa wanapigana kufa na kupona kuipata na kusalia madarakani milele, kuna nini huko wajamani!!? Leo nimesoma gazeti mwananchi kuna rais wa uzerbastani (sic) amekaa madarakani miaka 27 sasa ameshikwa na ugongwa wa kutoka damu puani.
Huu ni uchochezi! Si unajua kila kitu awamu hii ambacho hakimsifu "mtukufu" ni uchochezi, hakika taifa limeingia chaka!!Ina raha yake, unaweza kuamka asubuhi ukaseama J5 ni marufuku wanaume kulala na wake zao, na ikatelezwa.