Jackson matthew
Senior Member
- Jun 26, 2026
- 119
- 272
Sio ngumu kama mnavyofikiri ni nyepesi sana.kama kazi yang ni kuosha maiti na pili kuzisafrisha kwa mapumziko
NimesomeaUwe umesomea
Mmmh wanaofanya kazi huko hawasemi kabisa.KAzi rahisi sana hii mkuu na iko na hela .mm nauzaga mafuta ya maiti pmj na makamasi ya maiti ,kuna watu wanakuwaga na kazi navyo...uku hela n njee njee ukiwa na connection
Hawasemi kwa sababu c wanajua n dili hii kazi mkuu..Mmmh wanaofanya kazi huko hawasemi kabisa.