Na atasema ''ukija tena ntakushonea bure''Hapo lazima fundi akimaliza utaskia"dada samahani nimepoteza vipimo subiri nikupime tena"...😀😁😂
Dah dada mochwari kuna changamoto zake.. Imagine una ukame wa wiki halafu uletewe kama hao wote wamekufa
Kaka mochwari tena🙄Dah dada mochwari kuna changamoto zake.. Imagine una ukame wa wiki halafu uletewe kama hao wote wamekufa
Dah dada mochwari kuna changamoto zake.. Imagine una ukame wa wiki halafu uletewe kama hao wote wamekufa
Gazeti la Sani!
Dah dada mochwari kuna changamoto zake.. Imagine una ukame wa wiki halafu uletewe kama hao wote wamekufa
Shetani ana nguvu sana dadaZingatia work ethics
Mtendaji wa mochwariDah dada mochwari kuna changamoto zake.. Imagine una ukame wa wiki halafu uletewe kama hao wote wamekufa
Shetani ana nguvu sana dada
Kufa kiu baharini ni uzembeDah dada mochwari kuna changamoto zake.. Imagine una ukame wa wiki halafu uletewe kama hao wote wamekufa
Bazazi takutafuta tufanye colabo ya kuuza mashairi na vinaMtendaji wa mochwari
Ndio chumba chetu tu
Ingaa twakiopoga mno
Sijui twahofu nini hasa
Kwenda twenda wafu
Wafu hawana chao tena
Wafu waso na kitu duniani
Wametulia tuli chumbani
Lakini twapaogopa sana
Twaogopa nini hasa jama
Mshana Jr nsaidie tu
Nsaidie kuumanya mchezo
Bazazi
Kufa kiu baharini ni uzembe
kuna wale marasta pale mount meru Hsp siwa patii picha tena niwala mirungi namirungi inapandisha hisia kinoma