Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Tunatakiwa kujifunza na yanayotokana na hiyo shift maana tunatofauti katika yale tunayoweza kufanya.Ndoa, in the traditional sense, is overrated.
Wanaosema "hakuna husband material" au "hakuna wife material" wanashindwa kuelewa au ku articulate challenges zinazoletwa na paradigm shift inayotokea katika society yetu kipindi hiki.
Mimi ndiyo maana nilishaamua hakuna habari ya kuoa.