domokaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2010
- 3,545
- 1,722
Mkuu! Huoni kwamba unajikanganya (unaji-contradict) hapo? Unawaponda wengine unaposema "wana-kremu mambo....." wakati na wewe unafanya hivyohivyo kwa ku-kremu hicho kitu unachoita "Kuhn's Theory of Scientific Revolution". Halafu unasema tujenge "mfumo wenye kuheshimu watu......." Mbona wewe unaonekana kutoheshimu maoni ya wengine hata kama hukubaliani nayo? Ina maana kwako "watu ni wale wanaofikiri kama wewe tu? Unaposema democracy imepitwa na wakati unamaana kunyume chake ambacho ni udikteta ndio mfumo unaopendekeza?. Nchi hii imekuwa kama maabara ya kujaribu theory za kila mtawala (kwa mfano vijiji vya ujamaa, ujamaa wenyewe na azimio la Arusha, Azimio la Zanzibar, MKUKUTA, MKURABITA, na hii ya leo) badala ya kufuata conventional wisdom, ikiwa ni pamoja na misingi ya Democracy and The Rule of Law! Nadhani kuna tofauti kati ya 'ethics and logic' on the one hand, na 'scientific theories'. Revolution/evolution of science is one thing, while logic, philosophy and ethics are each, another thing all together.
Finally; naheshimu mawazo yako hata kama sikubaliani nayo!
VIVA DEMOCRACY!
Angalau ungekuwa unafahamu tu maana ya kukremu tungepata mjadala wa maana sana. Kukremu hakuvuki hatua ya kumbukumbu, kukremu hakwendi kwenye application kama unafahamu Bloom taxonomy learning. Nimesema umepitwa na wakati kwa kutoa mifano kamaa lengo letu ni maendeleo. Kukosoa mawazo nikuyaheshimu, asiyekosoa huyo ndio hayaheshimu, I see what you were trying to insinuate, we are calling them red herring. Mengine uliyoyasema huyafahamu vizuri, hasa ya Azimio la Arusha. Ungekuwa kweli ni mfuasi wa demokrasia usingedharau hizo unazoziita theory za Azimio la Zanzibar, MKUKUTA na MKURABITA. Naona unayapenda sana maneno ya 'ethics na logic', nakuombea Mungu siku moja uwezekuyafamu vyema ili uyatumie ipasavyo. Hauna haja ya kuji confuse na maneno maneno " 'scientific theories'. Revolution/evolution of science is one thing, while logic, philosophy and ethics are each, another thing all together" kama unataka kujifunza na kushiriki katika mjadala wa maana. Angalau unaweza ukayatumia ili nawe moyoni mwako ujisikie wa maana. Karibu tujadiliaane.