Hakuanza leo kutoheshimu mihimili mingine

Wale walioenda shule vizuri wanatambua theory maarufu ya Kuhn's theory of scientific revolution. Kuhn anaamini hakuna nadharia nzuri itakayodumu duniani milele. Zitakuja nadharia kwa wakati wake, zitafanya kazi kwa muda na kadri mahitaji ya watu yatakavyobadilika hiyo nadharia itashindwa kukidhi vilivyo hivyo kutokea migongano, wengine kutokubali kuendelea kuitumia na wengine kutaka ibaki itumike. hiki kipindi huitwa crisis stage. Ikitokea nadharia ikakataliwa au ikashindwa kuleta matunda yatarajiwayo nadharia nyingine hujitokeza. Wakati umefika sasa wa kuona kuona nadharia inayohusu demokrasia ya magharibi imeshindwa. Nadharia hii haijawahi kuitoa nchi yeyote ile duniani kutoka katika umasikini. Badala yake madharia hii imezidi kuzifukarisha nchi masikini zenye kuifuata huku nchi zilizokuwa masikini zikaikataa nadharia ya demokrasia ya magharibi zimepiga hatua kubwa. Tuache ku kremu mambo ya mihimili ambayo hayana tija na ustawi wetu. Tujenge mfumo wenye kuheshimu watu na kumfanya kila mmoja wetu awajibike kufikia lengo awe anataka au hataki.Maslahi mapana ya walio wengi yawekwe mbele. Tukikopi kutoka kwa Machiaveli kiasi na mengine kwa Rouseau tutafika. Kukremu mambo yasiyo kichwa wala miguu kama kasuku huku tukibana pua, tutabaki si kuwa masikini milele bali pia wajinga wa kutupwa!


Umenikumbusha post yangu ya siku za nyuma;

Uendeshaji wa TAZARA sasa wakabidhiwa kwa Mchina


Watakuwa surprised zaidi wakigundua kuwa hakuna nchi iliyowahi kuhama kutoka umaskini kwenda utajiri kwa kupractice demokrasia tangu kumalizika kwa vita vya pili vya dunia, watashangaa zaidi wakigundua nchi zilizohama toka umaskini kwenda utajiri hazikuruhusu full demokrasia na uhuru kamili wa habari. Ajabu nyingine ndani ya Africa yetu hii hii nchi karibu zote zenye unafuu wa kimaendeleo kutoka misri na jamaa zake wote wa kiarabu hadi Africa ya kusini zimeeendelea katika kipindi zikiwa hazina demokrasia. Having said that, simaanishi demokrasia ni kitu kibaya au haifai, ni vile tu hatujui matumizi sahihi ya demokrasia katika maendeleo. Kwa wengi wetu demokrasia ni kupeana Zamu za kutawala....Then What????

Angalia nchi zenye demokrasia zaidi africa kwa sasa
  • Sierra Leon.
  • Tanzania. ...
  • Senegal. ...
  • Lesotho. ...
  • Benin. ...
  • South Africa. ...
  • Namibia. ...
  • Botswana.

Halafu angalia nchi zenye uchumi mzuri zaidi africa (By GDP) kwa data za 2015
  • Nigeria
  • Africa kusini
  • Misri
  • Algeria
  • Angola
  • Morroco
  • Libya
  • sudan
  • Kenya
  • Ethiopia
 
Wale walioenda shule vizuri wanatambua theory maarufu ya Kuhn's theory of scientific revolution. Kuhn anaamini hakuna nadharia nzuri itakayodumu duniani milele. Zitakuja nadharia kwa wakati wake, zitafanya kazi kwa muda na kadri mahitaji ya watu yatakavyobadilika hiyo nadharia itashindwa kukidhi vilivyo hivyo kutokea migongano, wengine kutokubali kuendelea kuitumia na wengine kutaka ibaki itumike. hiki kipindi huitwa crisis stage. Ikitokea nadharia ikakataliwa au ikashindwa kuleta matunda yatarajiwayo nadharia nyingine hujitokeza. Wakati umefika sasa wa kuona kuona nadharia inayohusu demokrasia ya magharibi imeshindwa. Nadharia hii haijawahi kuitoa nchi yeyote ile duniani kutoka katika umasikini. Badala yake madharia hii imezidi kuzifukarisha nchi masikini zenye kuifuata huku nchi zilizokuwa masikini zikaikataa nadharia ya demokrasia ya magharibi zimepiga hatua kubwa. Tuache ku kremu mambo ya mihimili ambayo hayana tija na ustawi wetu. Tujenge mfumo wenye kuheshimu watu na kumfanya kila mmoja wetu awajibike kufikia lengo awe anataka au hataki.Maslahi mapana ya walio wengi yawekwe mbele. Tukikopi kutoka kwa Machiaveli kiasi na mengine kwa Rouseau tutafika. Kukremu mambo yasiyo kichwa wala miguu kama kasuku huku tukibana pua, tutabaki si kuwa masikini milele bali pia wajinga wa kutupwa!

Hakuna ni watawala madikiteita wa kiafrika. Mbona ulaya na marekani imefanya kazi
 
Umenikumbusha post yangu ya siku za nyuma;

Uendeshaji wa TAZARA sasa wakabidhiwa kwa Mchina


Watakuwa surprised zaidi wakigundua kuwa hakuna nchi iliyowahi kuhama kutoka umaskini kwenda utajiri kwa kupractice demokrasia tangu kumalizika kwa vita vya pili vya dunia, watashangaa zaidi wakigundua nchi zilizohama toka umaskini kwenda utajiri hazikuruhusu full demokrasia na uhuru kamili wa habari. Ajabu nyingine ndani ya Africa yetu hii hii nchi karibu zote zenye unafuu wa kimaendeleo kutoka misri na jamaa zake wote wa kiarabu hadi Africa ya kusini zimeeendelea katika kipindi zikiwa hazina demokrasia. Having said that, simaanishi demokrasia ni kitu kibaya au haifai, ni vile tu hatujui matumizi sahihi ya demokrasia katika maendeleo. Kwa wengi wetu demokrasia ni kupeana Zamu za kutawala....Then What????

Angalia nchi zenye demokrasia zaidi africa kwa sasa
  • Sierra Leon.
  • Tanzania. ...
  • Senegal. ...
  • Lesotho. ...
  • Benin. ...
  • South Africa. ...
  • Namibia. ...
  • Botswana.

Halafu angalia nchi zenye uchumi mzuri zaidi africa (By GDP) kwa data za 2015
  • Nigeria
  • Africa kusini
  • Misri
  • Algeria
  • Angola
  • Morroco
  • Libya
  • sudan
  • Kenya
  • Ethiopia

Nimekupata, ndio maana nilianza na kusema waliosoma vizuri. Mwenzangu hata bila ya kuifahamu Kuhn's theory ulikuja na mawazo yenye kubeba ukweli na uhalisia wa nchi masikini. Tatizo tulio wengi tunafikiri ili kuridhisha ashki zetu au kwa ajili ya kutetea maslahi ya muda tu ya rafiki na jamaa zetu, lakini si kwa ajili ya kujikomboa. Kazi tunayo
 
Hakuna ni watawala madikiteita wa kiafrika. Mbona ulaya na marekani imefanya kazi

Hebu nielimishe ndugu yangu taifa gani hilo la Ulaya na Marekani lilitoka katika umasikini kwa kufuata demokrasi. Taifa ambalo lilikuwa masikini likafuata demokrasia likapata maendeleo, mimi silifahamu. Naomba nisaidie ndugu yangu.
 
Ule wimbo wa yemialade Waiter usiusahau a'm looking for ma JOHN...POMBE please mniongezee kwenye glass...Leo baani sitoki mfunge kabisa na MAKUFURI...
 
Hebu nielimishe ndugu yangu taifa gani hilo la Ulaya na Marekani lilitoka katika umasikini kwa kufuata demokrasi. Taifa ambalo lilikuwa masikini likafuata demokrasia likapata maendeleo, mimi silifahamu. Naomba nisaidie ndugu yangu.

Norway, sweden. Finland etc nimekaa kule nina historia from first hand people
 
jamaa anaongea Facts tupu. kwa serikali ya sasa asingeweza kuongea yote hayo live
 
Norway, sweden. Finland etc nimekaa kule nina historia from first hand people

Asante, ngoja nifanye home work yangu kuhusu nchi hizi tubadilishane mawazo. Umesema historia uliyonayo ni from first hand people and not documented history, isn't it? let us see!
 
Norway, sweden. Finland etc nimekaa kule nina historia from first hand people

Historia ha I suggesthivyo unavyosema kuhusu Norway. Yes Norway is considered the oldest democracy, hiyo demokrasia imeanza 1814. Sasa tujiulize mwaka 1814 Norway ilikuwa imefika hatua gani kimaendeleo?
 
Historia ha I suggesthivyo unavyosema kuhusu Norway. Yes Norway is considered the oldest democracy, hiyo demokrasia imeanza 1814. Sasa tujiulize mwaka 1814 Norway ilikuwa imefika hatua gani kimaendeleo?

Democracy ilikuwa kubwa ndiyo maana walipogundua mafuta WAKACHUPA MPAKA HAPA WALIPO. Bila democracy hela ya mafuta ingeingia kwenye mifuko ya watu as is with African dictators
 
Shida kubwa ni pale kiongozi mkuu anapokua haijui katiba...hilo ni tatizo kubwa sana...
 
Nakumbusha lingine aliitwa na mahakama kule Tabora akashiti na hakufanywa lo lote.

Bunge liliweka azimio and matumizi mabaya ya bil 230 ya wizara ya ujenzi nalo alilishiti.

Kwa utaratibu wa CCM wametupa mtu mwadilifu ambaye alitangazwa na Lubuva bila uhakiki wa kura. Na anafanya hayo hayo.

TUNALO
 
Democracy ilikuwa kubwa ndiyo maana walipogundua mafuta WAKACHUPA MPAKA HAPA WALIPO. Bila democracy hela ya mafuta ingeingia kwenye mifuko ya watu as is with African dictators

Mafuta sio maendeleo.Mafuta ni kichocheo cha maendeleo. Kabla haijawahuru mwaka 1814 Norway tayari ilikuwa inajitosheleza. Zaidi asilimia 90 ya wananchi wake walikuwa wakiishi rural areas na walikuwa wazalishaji wazuri wa bidhaa za kilimo na ufugaji. Mfumo huu haukujengwa na demokrasia ndugu yangu. Norway ilikuwa na Muungano na Sweden kabla hawajawa 'independent'. Ukipiga jicho haraka haraka dunia nzima ukiacha scandnavian countries ambazo hata nazo zina historia yake na tamaaduni zake na hata pia aina ya demokrasia yake ni tofauti, they are social democrats, dunia nzima hakuna nchi iliyochomoka kutoka umasikini kwa kufuata mfumo wa demokrasia. Demokrasia kwanza haiwezi kushamiri kwenye umasikini. Demokrasia ni hatua inayokuja baada ya maendeleo ya kiuchumi. Demokrasia huimarisha maendeleo ya kiuchumi lakini si kuleta maendeleo ya kiuchumi. Taratibu za kidemokrasia haziko favourable kwa ukuaji wa uchumi katika nchi masikini. Mfumo wa demokrasia unapoteza muda na focus sana. Ili kupata maendeleo inatakiwa ifanyika kama Mungu alivyofanya na hata mataifa makubwa ya Marekani, uingereza, Ujerumani, China na mengine yenye power. Umba 'maendeleo' halafu ndipo watu waje kuanza kubishana. Pengine hata Mungu angewauliza wanadamu nini akiumbe na nini asikiumbe, labda mpaka hii leo dunia ingekuwa haijakamilika.
 
Wale walioenda shule vizuri wanatambua theory maarufu ya Kuhn's theory of scientific revolution. Kuhn anaamini hakuna nadharia nzuri itakayodumu duniani milele. Zitakuja nadharia kwa wakati wake, zitafanya kazi kwa muda na kadri mahitaji ya watu yatakavyobadilika hiyo nadharia itashindwa kukidhi vilivyo hivyo kutokea migongano, wengine kutokubali kuendelea kuitumia na wengine kutaka ibaki itumike. hiki kipindi huitwa crisis stage. Ikitokea nadharia ikakataliwa au ikashindwa kuleta matunda yatarajiwayo nadharia nyingine hujitokeza. Wakati umefika sasa wa kuona kuona nadharia inayohusu demokrasia ya magharibi imeshindwa. Nadharia hii haijawahi kuitoa nchi yeyote ile duniani kutoka katika umasikini. Badala yake madharia hii imezidi kuzifukarisha nchi masikini zenye kuifuata huku nchi zilizokuwa masikini zikaikataa nadharia ya demokrasia ya magharibi zimepiga hatua kubwa. Tuache ku kremu mambo ya mihimili ambayo hayana tija na ustawi wetu. Tujenge mfumo wenye kuheshimu watu na kumfanya kila mmoja wetu awajibike kufikia lengo awe anataka au hataki.Maslahi mapana ya walio wengi yawekwe mbele. Tukikopi kutoka kwa Machiaveli kiasi na mengine kwa Rouseau tutafika. Kukremu mambo yasiyo kichwa wala miguu kama kasuku huku tukibana pua, tutabaki si kuwa masikini milele bali pia wajinga wa kutupwa!

Mkuu! Huoni kwamba unajikanganya (unaji-contradict) hapo? Unawaponda wengine unaposema "wana-kremu mambo....." wakati na wewe unafanya hivyohivyo kwa ku-kremu hicho kitu unachoita "Kuhn's Theory of Scientific Revolution". Halafu unasema tujenge "mfumo wenye kuheshimu watu......." Mbona wewe unaonekana kutoheshimu maoni ya wengine hata kama hukubaliani nayo? Ina maana kwako "watu ni wale wanaofikiri kama wewe tu? Unaposema democracy imepitwa na wakati unamaana kunyume chake ambacho ni udikteta ndio mfumo unaopendekeza?. Nchi hii imekuwa kama maabara ya kujaribu theory za kila mtawala (kwa mfano vijiji vya ujamaa, ujamaa wenyewe na azimio la Arusha, Azimio la Zanzibar, MKUKUTA, MKURABITA, na hii ya leo) badala ya kufuata conventional wisdom, ikiwa ni pamoja na misingi ya Democracy and The Rule of Law! Nadhani kuna tofauti kati ya 'ethics and logic' on the one hand, na 'scientific theories'. Revolution/evolution of science is one thing, while logic, philosophy and ethics are each, another thing all together.
Finally; naheshimu mawazo yako hata kama sikubaliani nayo!
VIVA DEMOCRACY!
 
Mafuta sio maendeleo.Mafuta ni kichocheo cha maendeleo. Kabla haijawahuru mwaka 1814 Norway tayari ilikuwa inajitosheleza. Zaidi asilimia 90 ya wananchi wake walikuwa wakiishi rural areas na walikuwa wazalishaji wazuri wa bidhaa za kilimo na ufugaji. Mfumo huu haukujengwa na demokrasia ndugu yangu. Norway ilikuwa na Muungano na Sweden kabla hawajawa 'independent'. Ukipiga jicho haraka haraka dunia nzima ukiacha scandnavian countries ambazo hata nazo zina historia yake na tamaaduni zake na hata pia aina ya demokrasia yake ni tofauti, they are social democrats, dunia nzima hakuna nchi iliyochomoka kutoka umasikini kwa kufuata mfumo wa demokrasia. Demokrasia kwanza haiwezi kushamiri kwenye umasikini. Demokrasia ni hatua inayokuja baada ya maendeleo ya kiuchumi. Demokrasia huimarisha maendeleo ya kiuchumi lakini si kuleta maendeleo ya kiuchumi. Taratibu za kidemokrasia haziko favourable kwa ukuaji wa uchumi katika nchi masikini. Mfumo wa demokrasia unapoteza muda na focus sana. Ili kupata maendeleo inatakiwa ifanyika kama Mungu alivyofanya na hata mataifa makubwa ya Marekani, uingereza, Ujerumani, China na mengine yenye power. Umba 'maendeleo' halafu ndipo watu waje kuanza kubishana. Pengine hata Mungu angewauliza wanadamu nini akiumbe na nini asikiumbe, labda mpaka hii leo dunia ingekuwa haijakamilika.

Acha theories za kura za Twaweza, we need scientifically proven theories. Norway imekuwa kama ilivyo baada ya mafuta na kuwa democratic. Nimekuwa huko wanasema viongozi wao
 
Back
Top Bottom