Hiyo hukumu naijua, imepotoka na imekatiwa rufaa. Jaji alizingatia sheria ya ardhi ya vijiji badala ya sheria ya ardhi. Sheria imeweka wazi kuwa kunapokuwa na mgongano wa sheria kuhusu ardhi basi sheria ya ardhi na siyo sheria ya ardhi ya vijiji ndio itafuatwa. Sheria ya ardhi imetoa haki ya kipekee kwa reserved land ambayo ndani yake kuna hifadhi ya barabara.
Kwa sasa kuna hukumu mbili za mahakama kuu zinazopingana na zote zimepelekwa mahakama ya rufaa kwa maamuzi, ngoja nifuatilie kama hukumu zimetoka.