Hivi wenzetu wapigwe , wadhalilishwe, wadaiwe dhamana ya mali isiyohamishika inayozidi millioni moja wakati wanafunzi hao ndio wanaodai mkopo alafu tukae kimya? Tuko tayari kufa kwa ajili ya haki yetu. Ndotumeanza hivyo .......... NO RETREAT NO SURRENDER....
.
walitumwa wakaandamane. Kwani wangekuwa wametulia kwenye vyumba vyao askari wangewafata huko.
Wao wenyewe wamelianzisha, polisi wa kawajibu. Na nyie gomeni muone.
Hivi wenzetu wapigwe , wadhalilishwe, wadaiwe dhamana ya mali isiyohamishika inayozidi millioni moja wakati wanafunzi hao ndio wanaodai mkopo alafu tukae kimya? Tuko tayari kufa kwa ajili ya haki yetu. Ndotumeanza hivyo .......... NO RETREAT NO SURRENDER....
.
walitumwa wakaandamane. Kwani wangekuwa wametulia kwenye vyumba vyao askari wangewafata huko.
Wao wenyewe wamelianzisha, polisi wa kawajibu. Na nyie gomeni muone.
Hivi wenzetu wapigwe , wadhalilishwe, wadaiwe dhamana ya mali isiyohamishika inayozidi millioni moja wakati wanafunzi hao ndio wanaodai mkopo alafu tukae kimya? Tuko tayari kufa kwa ajili ya haki yetu. Ndotumeanza hivyo .......... NO RETREAT NO SURRENDER....
.
walitumwa wakaandamane. Kwani wangekuwa wametulia kwenye vyumba vyao askari wangewafata huko.
Wao wenyewe wamelianzisha, polisi wa kawajibu. Na nyie gomeni muone.
we uliandika thread kuwa unatukanwa na wajf, kwa mtindo wako huu wa kutoa commend kama hizi hautaachwa kutukana kamwe, jenga mazingira ya hoja na siyo kutanguliza hisia halafu kufikiri unaacha nyuma
unapakatwa na cameroon.
Unasema? wanachuo wakachukue hela kwa Cameron?! watakubaliana na masharti ya Cameron!!