Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,660
- 15,744
Resident magistrate? Hapa hakuna elimu ya Civics wala ya sheria inayohitajika kujibu hili swali.
Ni kiingereza tu.
Mimi nadhani ni kutokana na kuwa huko nyuma kutokana na upungufu wa majaji wa mahakama kuu na ile ya rufaa majaji walilazimika kuzunguka mkoa mmoja hadi mwingine kwenda kutoa hukumu.. Yani unakuta jaji anatoka Mbeya kwena Iringa, Mwanza kwenda Shinyanga ili kutoa hukumu hivyo kuwafanya majaji wawe 'non resident magistrates'. Sasa kutokana na mashitaka kuwa mengi na kuchelewa kutolewa hukumu mahakama ikaamua ianzishe mahakama yenye uwezo wa kushughulikia baadhi ya mashauri ambayo sio lazima yashughulikiwe na majaji ndio wakaamua kuwe na hakimu wa kudumu wa eneo husika atayesikilisha mashauri madogo madogo na yale makubwa yangemsubiri jaji, Huyo hakimu wa kukaa eneo hilo nadhani ndio wakaamua wampe jina la resident magistrates yanii hakimu anakaa eneo lake la kazi hivyo kuwa hakimu mkazi.
Ni kiingereza tu.
Mimi nadhani ni kutokana na kuwa huko nyuma kutokana na upungufu wa majaji wa mahakama kuu na ile ya rufaa majaji walilazimika kuzunguka mkoa mmoja hadi mwingine kwenda kutoa hukumu.. Yani unakuta jaji anatoka Mbeya kwena Iringa, Mwanza kwenda Shinyanga ili kutoa hukumu hivyo kuwafanya majaji wawe 'non resident magistrates'. Sasa kutokana na mashitaka kuwa mengi na kuchelewa kutolewa hukumu mahakama ikaamua ianzishe mahakama yenye uwezo wa kushughulikia baadhi ya mashauri ambayo sio lazima yashughulikiwe na majaji ndio wakaamua kuwe na hakimu wa kudumu wa eneo husika atayesikilisha mashauri madogo madogo na yale makubwa yangemsubiri jaji, Huyo hakimu wa kukaa eneo hilo nadhani ndio wakaamua wampe jina la resident magistrates yanii hakimu anakaa eneo lake la kazi hivyo kuwa hakimu mkazi.