Hakimu mkazi au resident magistrate ni nani?

Resident magistrate? Hapa hakuna elimu ya Civics wala ya sheria inayohitajika kujibu hili swali.
Ni kiingereza tu.
Mimi nadhani ni kutokana na kuwa huko nyuma kutokana na upungufu wa majaji wa mahakama kuu na ile ya rufaa majaji walilazimika kuzunguka mkoa mmoja hadi mwingine kwenda kutoa hukumu.. Yani unakuta jaji anatoka Mbeya kwena Iringa, Mwanza kwenda Shinyanga ili kutoa hukumu hivyo kuwafanya majaji wawe 'non resident magistrates'. Sasa kutokana na mashitaka kuwa mengi na kuchelewa kutolewa hukumu mahakama ikaamua ianzishe mahakama yenye uwezo wa kushughulikia baadhi ya mashauri ambayo sio lazima yashughulikiwe na majaji ndio wakaamua kuwe na hakimu wa kudumu wa eneo husika atayesikilisha mashauri madogo madogo na yale makubwa yangemsubiri jaji, Huyo hakimu wa kukaa eneo hilo nadhani ndio wakaamua wampe jina la resident magistrates yanii hakimu anakaa eneo lake la kazi hivyo kuwa hakimu mkazi.
Resident magistrate siyo mmoja mkuu,maelezo yoote uko sawia ila la hakimu kukaa hapo,hapana.Kila hakimu ana mahakama yake ya kazi ya kudumu kwa kipindi fulani.
 
Yule hakimu wake anaishi ndani ya jengo hilo la mahakama,
ndo maana inaitwa mahakama ya makazi kisutu,
yaani mahakama ya hakimu mkaaji wa mule mule ndani ya mahakama ya kisutu
 
Hata haihitaji kusomea sheria. Sisi tulifundishwa Form Two habari za mihimili ya dola ambayo ni Serikali, Bunge na Mahakama.
Mfumo wa mahakama Tanzania wa Tanzania Bara unaanzia Mahakama ya Mwanzo. Hii ni mahakama ya ngazi ya chini. Inaweza kughukulika na mashauri ya kisheria kwenye kata au tarafa. Mashauri ambayo thamani yake haizidi elfu 50.(Japo busara pia inatumika). Hakimu wake anaitwa Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo au PCM kwa maana ya Primary Court Magistrate.
Mahakama inayofuata ni Mahakama ya Wilaya. Hii mahakama unspoken rufaa kutoka mahakama za mwanzo ndani ya Wilaya husika. Pia hupokea mashauri ambayo yanathamani zaidi ya shilingi elfu hamsini yasiyozidi laki mbili na nusu. Hakimu wake anaitwa Hakimu wa Mahakama ya Wilaya lazima awe walau na degree ya Sheria.
Mahakama ya Hakimu Mkazi inafuatia. Hii mahakama imepewa hadhi juu kidogo ya Mhakama ya Wilaya na inaweza kuthikiliza kesi ambazo thamani yake inazidi kidogo kiwango cha zile za wilaya. Hushughulikia mashauri ya ndani ya mkoa au Kanda. Hakimu wake anaitwa Hakimu Mkazi (idadi yao inategemea na mahitaji). Mara nyingi inaongezewa jina la mahali ilipo.
Mahakama inayofuata ni Mahakama Kuu. Hii inapokea rufaa kutoka Mahakama ya Wilaya na Mahakama ya Hakimu Mkazi. Pia hushughulikia mashauri ya jinai kubwa kama mauaji au kesi ambazo thamani yake ni kuanzia laki tano (busara). Mahakama kuu ni moja japo inafanya kazi kwa kanda. Hivyo haijalishi kosa lilopotendeka ila popote ndani ya Tanzania Bara shauri linaweza kufunguliwa. Kiongozi wa Mahakama hii anaitwa Jaji na anateuliwa na Rais.
Mahakama ya juu kabisa ni Mahakama ya Rufaa kwa Tanzania Bara. Kiongozi wa Mahakama hii ni Jaji Mkuu. Nayo inashughulikia rufaa kutoka Mahakama Kuu.
Huo ndiyo mfumo wa Mahakama ya Tanzania Bara. Kwa upande wa Zanzibar wao mfumo ni Tofauti kidogo japo. Hiyo ni knowledge ya Form Two.
Ya mafisad???
 
Hata haihitaji kusomea sheria. Sisi tulifundishwa Form Two habari za mihimili ya dola ambayo ni Serikali, Bunge na Mahakama.
Mfumo wa mahakama Tanzania wa Tanzania Bara unaanzia Mahakama ya Mwanzo. Hii ni mahakama ya ngazi ya chini. Inaweza kughukulika na mashauri ya kisheria kwenye kata au tarafa. Mashauri ambayo thamani yake haizidi elfu 50.(Japo busara pia inatumika). Hakimu wake anaitwa Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo au PCM kwa maana ya Primary Court Magistrate.
Mahakama inayofuata ni Mahakama ya Wilaya. Hii mahakama unspoken rufaa kutoka mahakama za mwanzo ndani ya Wilaya husika. Pia hupokea mashauri ambayo yanathamani zaidi ya shilingi elfu hamsini yasiyozidi laki mbili na nusu. Hakimu wake anaitwa Hakimu wa Mahakama ya Wilaya lazima awe walau na degree ya Sheria.
Mahakama ya Hakimu Mkazi inafuatia. Hii mahakama imepewa hadhi juu kidogo ya Mhakama ya Wilaya na inaweza kuthikiliza kesi ambazo thamani yake inazidi kidogo kiwango cha zile za wilaya. Hushughulikia mashauri ya ndani ya mkoa au Kanda. Hakimu wake anaitwa Hakimu Mkazi (idadi yao inategemea na mahitaji). Mara nyingi inaongezewa jina la mahali ilipo.
Mahakama inayofuata ni Mahakama Kuu. Hii inapokea rufaa kutoka Mahakama ya Wilaya na Mahakama ya Hakimu Mkazi. Pia hushughulikia mashauri ya jinai kubwa kama mauaji au kesi ambazo thamani yake ni kuanzia laki tano (busara). Mahakama kuu ni moja japo inafanya kazi kwa kanda. Hivyo haijalishi kosa lilopotendeka ila popote ndani ya Tanzania Bara shauri linaweza kufunguliwa. Kiongozi wa Mahakama hii anaitwa Jaji na anateuliwa na Rais.
Mahakama ya juu kabisa ni Mahakama ya Rufaa kwa Tanzania Bara. Kiongozi wa Mahakama hii ni Jaji Mkuu. Nayo inashughulikia rufaa kutoka Mahakama Kuu.
Huo ndiyo mfumo wa Mahakama ya Tanzania Bara. Kwa upande wa Zanzibar wao mfumo ni Tofauti kidogo japo. Hiyo ni knowledge ya Form Two.
Mkuu pecuniary jurisdiction imeshaongezwa thamani,,angalia upya.
 
Hakuna kitu kama mahakama ya mkoa kwenye mfumo wa sheria zetu. Mfumo wa mahakama unaanzia 1. Mahakama ya Mwanzo. 2. Mahakama ya Wilaya. 3.Mahakama ya Hakimu Mkazi. 4.Mahakama Kuu, na 4. Mahakama ya Rufaa.

Ni Mahakama ya Rufani, Rufaa ndiyo kitendo chenyewe sawa sawa?
 
Mkuu acha dharau.
Hili swali linapaswa kujibiwa na mtu yeyote aliyesoma Civics Form Two na kuendelea. Kabla yakukujibu naomba kujua wewe umefikia level ipi ya elimu? Kama umevuka form two basi kuna shida kwenye mfumo wa elimu yetu.
Hili jibu lako ni la swali gani?

Hata haihitaji kusomea sheria. Sisi tulifundishwa Form Two habari za mihimili ya dola ambayo ni Serikali, Bunge na Mahakama.
Mahakama ya Hakimu Mkazi inafuatia. Hii mahakama imepewa hadhi juu kidogo ya Mhakama ya Wilaya na inaweza kuthikiliza kesi ambazo thamani yake inazidi kidogo kiwango cha zile za wilaya. Hushughulikia mashauri ya ndani ya mkoa au Kanda. Hakimu wake anaitwa Hakimu Mkazi


Soma hapa unaweza kujifunza jinsi ya kujibu swali kama lilivyouliza.
Resident magistrate? Hapa hakuna elimu ya Civics wala ya sheria inayohitajika kujibu hili swali.
Ni kiingereza tu.
Mimi nadhani ni kutokana na kuwa huko nyuma kutokana na upungufu wa majaji wa mahakama kuu na ile ya rufaa majaji walilazimika kuzunguka mkoa mmoja hadi mwingine kwenda kutoa hukumu.. Yani unakuta jaji anatoka Mbeya kwena Iringa, Mwanza kwenda Shinyanga ili kutoa hukumu hivyo kuwafanya majaji wawe 'non resident magistrates'. Sasa kutokana na mashitaka kuwa mengi na kuchelewa kutolewa hukumu mahakama ikaamua ianzishe mahakama yenye uwezo wa kushughulikia baadhi ya mashauri ambayo sio lazima yashughulikiwe na majaji ndio wakaamua kuwe na hakimu wa kudumu wa eneo husika atayesikilisha mashauri madogo madogo na yale makubwa yangemsubiri jaji, Huyo hakimu wa kukaa eneo hilo nadhani ndio wakaamua wampe jina la resident magistrates yanii hakimu anakaa eneo lake la kazi hivyo kuwa hakimu mkazi.
 
Hata haihitaji kusomea sheria. Sisi tulifundishwa Form Two habari za mihimili ya dola ambayo ni Serikali, Bunge na Mahakama.
Mfumo wa mahakama Tanzania wa Tanzania Bara unaanzia Mahakama ya Mwanzo. Hii ni mahakama ya ngazi ya chini. Inaweza kughukulika na mashauri ya kisheria kwenye kata au tarafa. Mashauri ambayo thamani yake haizidi elfu 50.(Japo busara pia inatumika). Hakimu wake anaitwa Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo au PCM kwa maana ya Primary Court Magistrate.
Mahakama inayofuata ni Mahakama ya Wilaya. Hii mahakama unspoken rufaa kutoka mahakama za mwanzo ndani ya Wilaya husika. Pia hupokea mashauri ambayo yanathamani zaidi ya shilingi elfu hamsini yasiyozidi laki mbili na nusu. Hakimu wake anaitwa Hakimu wa Mahakama ya Wilaya lazima awe walau na degree ya Sheria.
Mahakama ya Hakimu Mkazi inafuatia. Hii mahakama imepewa hadhi juu kidogo ya Mhakama ya Wilaya na inaweza kuthikiliza kesi ambazo thamani yake inazidi kidogo kiwango cha zile za wilaya. Hushughulikia mashauri ya ndani ya mkoa au Kanda. Hakimu wake anaitwa Hakimu Mkazi (idadi yao inategemea na mahitaji). Mara nyingi inaongezewa jina la mahali ilipo.
Mahakama inayofuata ni Mahakama Kuu. Hii inapokea rufaa kutoka Mahakama ya Wilaya na Mahakama ya Hakimu Mkazi. Pia hushughulikia mashauri ya jinai kubwa kama mauaji au kesi ambazo thamani yake ni kuanzia laki tano (busara). Mahakama kuu ni moja japo inafanya kazi kwa kanda. Hivyo haijalishi kosa lilopotendeka ila popote ndani ya Tanzania Bara shauri linaweza kufunguliwa. Kiongozi wa Mahakama hii anaitwa Jaji na anateuliwa na Rais.
Mahakama ya juu kabisa ni Mahakama ya Rufaa kwa Tanzania Bara. Kiongozi wa Mahakama hii ni Jaji Mkuu. Nayo inashughulikia rufaa kutoka Mahakama Kuu.
Huo ndiyo mfumo wa Mahakama ya Tanzania Bara. Kwa upande wa Zanzibar wao mfumo ni Tofauti kidogo japo. Hiyo ni knowledge ya Form Two.
Nimekupata vyema mkuu naomba niswalishe nami kidogo juu ya
kazi za hawa ni zipi mahakamani?
1.KARANI
2.WAKILI
3.PP

Natamani sana kujua kazi zao na pia elimu zao.

Karibu mkuu..
 
iko hivi hizi mahakama zimepangwa kulingana na makosa na uwezo wa mahakimu katika kuamua kesi na ukubwa wa kesi mfano

1)Mahakama ya Mwanzo.
Hapa huamuliwa kesi za madai tu huwezi kukuta jaji katika mahakama hizi na mala nyingi mahakimu wake ni wenye elimu kiwango cha diploma mpaka degree moja una wakuta hapa

2. Mahakama ya Wilaya

Hapa uamuliwa makosa ya jinai na makosa ya madai ambayo yalitolewa mamuzi katika mahakama ya mwanzo lakini mamuzi hayo yakakatiwa rufaa hivyo kesi hiyo huamishiwa mahakama ya wilaya katika mahakama hii ndio utakuta majaji

3.Mahakama ya Hakimu Mkazi.

Mahakama hii huhusisha makosa ya jinai tu kwaiyo kesi zilizopo hapa ni za makosa ya jinai tu na uamuliwa na majaji tu pia hushugulikia na zile kesi ambazo zimekatwa rufaa katika mahakama ya wilaya

Pia kumbuka si kila mkoa kuna mahakama ya hakimu mkazi

Kwa mtiririko wa maelezo haya nadhani utakuwa umepata mwanga kuwa
Mahakama Kuu, na Mahakama ya Rufaa zinajishugulisha na nini
 
Mkuu acha dharau.

Hili jibu lako ni la swali gani?




Soma hapa unaweza kujifunza jinsi ya kujibu swali kama lilivyouliza.
Ndo maana niliuliza level ya elimu. Kiwango cha elimu kinamwezesha mhusika kung'amua kwa urahisi taarifa anazopata. Kama hujaelewa hayo maelezo basi bahati mbaya, ni hakuna namna.
 
Yule hakimu wake anaishi ndani ya jengo hilo la mahakama,
ndo maana inaitwa mahakama ya makazi kisutu,
yaani mahakama ya hakimu mkaaji wa mule mule ndani ya mahakama ya kisutu
Mmmh Aisee..
 
Nimekupata vyema mkuu naomba niswalishe nami kidogo juu ya
kazi za hawa ni zipi mahakamani?
1.KARANI
2.WAKILI
3.PP

Natamani sana kujua kazi zao na pia elimu zao.

Karibu mkuu..
Wakili ni ntaalamu wa sheria ambaye kazi yake ni kutetea mtuhumiwa au kusimamia upande wa mlalamikaji.Elimu ya wakili ni kuanzia degree ya sheria na kuendelea na anakuwa na leseni ya uwakili na muhuri.Hata hivyo mawakili hawaruhusiwi mahakama za mwanzo.
 
Resident magistrate? Hapa hakuna elimu ya Civics wala ya sheria inayohitajika kujibu hili swali.
Ni kiingereza tu.
Mimi nadhani ni kutokana na kuwa huko nyuma kutokana na upungufu wa majaji wa mahakama kuu na ile ya rufaa majaji walilazimika kuzunguka mkoa mmoja hadi mwingine kwenda kutoa hukumu.. Yani unakuta jaji anatoka Mbeya kwena Iringa, Mwanza kwenda Shinyanga ili kutoa hukumu hivyo kuwafanya majaji wawe 'non resident magistrates'. Sasa kutokana na mashitaka kuwa mengi na kuchelewa kutolewa hukumu mahakama ikaamua ianzishe mahakama yenye uwezo wa kushughulikia baadhi ya mashauri ambayo sio lazima yashughulikiwe na majaji ndio wakaamua kuwe na hakimu wa kudumu wa eneo husika atayesikilisha mashauri madogo madogo na yale makubwa yangemsubiri jaji, Huyo hakimu wa kukaa eneo hilo nadhani ndio wakaamua wampe jina la resident magistrates yanii hakimu anakaa eneo lake la kazi hivyo kuwa hakimu mkazi.
Kumbe unadhani
 
iko hivi hizi mahakama zimepangwa kulingana na makosa na uwezo wa mahakimu katika kuamua kesi na ukubwa wa kesi mfano

1)Mahakama ya Mwanzo.
Hapa huamuliwa kesi za madai tu huwezi kukuta jaji katika mahakama hizi na mala nyingi mahakimu wake ni wenye elimu kiwango cha diploma mpaka degree moja una wakuta hapa

2. Mahakama ya Wilaya

Hapa uamuliwa makosa ya jinai na makosa ya madai ambayo yalitolewa mamuzi katika mahakama ya mwanzo lakini mamuzi hayo yakakatiwa rufaa hivyo kesi hiyo huamishiwa mahakama ya wilaya katika mahakama hii ndio utakuta majaji

3.Mahakama ya Hakimu Mkazi.

Mahakama hii huhusisha makosa ya jinai tu kwaiyo kesi zilizopo hapa ni za makosa ya jinai tu na uamuliwa na majaji tu pia hushugulikia na zile kesi ambazo zimekatwa rufaa katika mahakama ya wilaya

Pia kumbuka si kila mkoa kuna mahakama ya hakimu mkazi

Kwa mtiririko wa maelezo haya nadhani utakuwa umepata mwanga kuwa
Mahakama Kuu, na Mahakama ya Rufaa zinajishugulisha na nini
Kwa hakimu mkazi kuhusu kesi kuendeshwa na majaji tuu ni uongo.Andy Lyamuya alikuwa jaji lini? Mahskimu hspa huitwa wakazi na mkuu wao ni principal resident magistrate yaani hakimu mkazi kiongozi.
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Kwanza fahamu kuwa neno Kisutu yaweza kuwa ni eneo au mtaa au mahali ilipojengwa mahakama.
Pili elewa kuwa mahakama ya Hakimu Mkazi ni level ya mahakama katika mfumo au muundo wa mahakama katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambapo huanza na mabaraza ya usuluhishi yaitwayo ward tribunals, baada ya hapo hufuata mahakama ya mwanzo ambazo husimamiwa na mahakimu wa mahakama ya mwanzo.
Pili ni mahakama ya wilaya ambayo husimamiwa na mahakimu wa wilaya chini ya usimamizi wa Hakimu Mkazi.
Tatu ni mahakama ya Hakimu Mkazi yenye wajibu wa kupokea rufaa toka mahakama, za chini na kesi nyingine zinazoletwa kwake moja kwa moja. Hapa ndipo ufahamu ya kuwa Kisutu ni jina la mahakama kama ilivyo sehemu nyingine zenye mahakama ya Hakimu Mkazi.
Nne ni mahakama kuu ambazo ziko kikanda na zina division au vitengo mbalimbali kama biashara, ardhi, kazi n.k. Mahakama hizi husimamiwa na majaji na husikiliza kesi nzito kama treason, murder na hupokea rufaa toka mahakama za chini.
Tano na mwisho ni mahakama ya Rufani inayosimamiwa na jaji mkuu na majaji wateule.

Hivyo pamoja na michango ya wengine nadhani umeelewa.
 
Hili swali linapaswa kujibiwa na mtu yeyote aliyesoma Civics Form Two na kuendelea. Kabla yakukujibu naomba kujua wewe umefikia level ipi ya elimu? Kama umevuka form two basi kuna shida kwenye mfumo wa elimu yetu.
Hata darasa la tano wanafundisha aina za Mahakama.
 
Back
Top Bottom