Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Wakuu mmeipata hii wale wazee wa qsuatter?
.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Angelina Mabula, amesema uwiano wa moja kwa moja wa kiwanja cha 20/20 haukubaliki.
.
Waziri anasema ni kwa sababu hakuna viwanja vyenye upana na urefu wa namna hiyo, hivyo havitapata hati za umiliki.
.
Wakuu nchi hii viongozi wana miluzi mingi. Wanaotaka kuhamia Burund suafiri upo?
.
Waziri hajui kwamba wapiga kura wake wengi huko jimboni kwake wana viwanja vya 20×20. Ni kama vile kazaliwa upya huyu!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Angelina Mabula, amesema uwiano wa moja kwa moja wa kiwanja cha 20/20 haukubaliki.
.
Waziri anasema ni kwa sababu hakuna viwanja vyenye upana na urefu wa namna hiyo, hivyo havitapata hati za umiliki.
.
Wakuu nchi hii viongozi wana miluzi mingi. Wanaotaka kuhamia Burund suafiri upo?
.
Waziri hajui kwamba wapiga kura wake wengi huko jimboni kwake wana viwanja vya 20×20. Ni kama vile kazaliwa upya huyu!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app