Hakika nikipata mume ntafurahi

Hakika nikipata mume ntafurahi

Yani natamani Sana ndoa sijui kwanini ,Yani natamani niwe na mwanaume wangu nimdekeze nisumbue sumbue kumnyoshea nguo kumpikia akipendacho [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] yaniiia

Ila naona wakati bado niliambiwa jf ntapata nimejaribu naona hakuna mwenye uhitaji wa kuoa

NgojA niendeleee kusubiri [emoji41]
MUONE TATANYARUSARE ANATAFUTA
 
Yani natamani Sana ndoa sijui kwanini ,Yani natamani niwe na mwanaume wangu nimdekeze nisumbue sumbue kumnyoshea nguo kumpikia akipendacho [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] yaniiia

Ila naona wakati bado niliambiwa jf ntapata nimejaribu naona hakuna mwenye uhitaji wa kuoa

NgojA niendeleee kusubiri [emoji41]
Kusema rahisi kuliko kutenda. Ukimpata haitashangaza hayo yote uliyoyasema usiyafanye. Ukaishia kutafuta house girl awapikie nyote wewe na mmeo.
 
Hauna bachelor degree
Mweusi tiii
Mfupiiii
Una kitambi
Uko broke
Macho makubwa kama machungwa

Alafu unachagua mwanaume unayemtaka
Awe na kazi nzuri ai biashara kubwa
Awe mweupe mrefu asiwe na kitambi
Awe na gari zuri na nyumba
Akuoe kwa harusi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaa yangu utapata tabu
[emoji16][emoji16]weusi kwani Tuna kasoro gani aisee
 
Yani natamani Sana ndoa sijui kwanini ,Yani natamani niwe na mwanaume wangu nimdekeze nisumbue sumbue kumnyoshea nguo kumpikia akipendacho [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] yaniiia

Ila naona wakati bado niliambiwa jf ntapata nimejaribu naona hakuna mwenye uhitaji wa kuoa

NgojA niendeleee kusubiri [emoji41]
Hata mimi umenikosa?
 
An intelligence agency is a government agency responsible for the collection, analysis, and exploitation of information in support of law enforcement, national security, military, and foreign policy objectives.
Ngoja waneng'eneke uko PM waingie Kingi[emoji16]
 
Mabaharia wa Tanzania mnakwama wapi? [emoji2][emoji2][emoji2]
tapatalk_1567790623792.jpeg
 
Nyie ndo wale madem hard core wanajikutaka hawajali saiz uzee umekaribia unakuja kufia jamii forum
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom