Mis powers
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,741
- 3,546
Endelea kusubiri mumy, subira yavuta heri haivuti bangi ukiendelea kusubiri sugua na goti kwa Mungu akuletee mume mwema na siyo mume jina.Yani natamani Sana ndoa sijui kwanini ,Yani natamani niwe na mwanaume wangu nimdekeze nisumbue sumbue kumnyoshea nguo kumpikia akipendacho [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] yaniiia
Ila naona wakati bado niliambiwa jf ntapata nimejaribu naona hakuna mwenye uhitaji wa kuoa
NgojA niendeleee kusubiri [emoji41]