Hakika nikipata mume ntafurahi

Hakika nikipata mume ntafurahi

Yani natamani Sana ndoa sijui kwanini ,Yani natamani niwe na mwanaume wangu nimdekeze nisumbue sumbue kumnyoshea nguo kumpikia akipendacho [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] yaniiia

Ila naona wakati bado niliambiwa jf ntapata nimejaribu naona hakuna mwenye uhitaji wa kuoa

NgojA niendeleee kusubiri [emoji41]
Endelea kusubiri mumy, subira yavuta heri haivuti bangi ukiendelea kusubiri sugua na goti kwa Mungu akuletee mume mwema na siyo mume jina.
 
Kama una chura mkubwa mkubwa, zama inbobo. Nakuahidi ndoa ndani ya wiki sita. Kabla kifaranga wa broiler anayezaliw leo hajaingizwa sokoni, ntakuwa nshakuweka ndani. Kigezo ni chura tu.
 
Yani natamani Sana ndoa sijui kwanini ,Yani natamani niwe na mwanaume wangu nimdekeze nisumbue sumbue kumnyoshea nguo kumpikia akipendacho [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] yaniiia

Ila naona wakati bado niliambiwa jf ntapata nimejaribu naona hakuna mwenye uhitaji wa kuoa

NgojA niendeleee kusubiri [emoji41]
Wewe dada uwe makini humu jf....
 
Huyu alishaolewa kazingua wakamtimua sasa ukp mitaani kaona chamoto anamtafuta fala amwingize kingi.

Kwa tabia hizo tumwulize bikra ipo au ???
 
Nyege hizo zimezidi ukiliwa vizuri hilo wazo litapotea mpaka usikie tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom