Hakika Mungu hakunyimi vyote. Sitaisahau hii siku

yello masai

JF-Expert Member
Jan 8, 2016
3,659
3,705
Pamoja na kwamba kwa muda mrefu sasa imeshindikana kupata kazi, ila nitazidi kumshukuru na kumtukuza Mungu kwa kuwa hajaninyima vyote, kunijalia afya njema.
Sitaisahau siku dakitari aliponambia maneno yafuatayo japo sina hakika kama nitaweza kumquote kwa ufasaha,

Dr: "hali yako iko hapa tunapoita control kwa maana kwamba huna maambukizi yoyote mwilini mwako, na hivyo uko HIV -Ve. Urudi baada ya miezi mitatu".

Vijana wenzangu afya ni mtaji. Naamini ukiwa na afya njema ipo siku ndoto zako zitatimia na kama huna kazi kama mimi kuna siku utapata tu.

Tutunze afya zetu. Afya ni mtaji tosha.
 
Pamoja na kwamba kwa muda mrefu sasa imeshindikana kupata kazi, ila nitazidi kumshukuru na kumtukuza Mungu kwa kuwa hajaninyima vyote, kunijalia afya njema.
Sitaisahau siku dakitari aliponambia maneno yafuatayo japo sina hakika kama nitaweza kumquote kwa ufasaha,

Dr: "hali yako iko hapa tunapoita control kwa maana kwamba huna maambukizi yoyote mwilini mwako, na hivyo uko HIV -Ve. Urudi baada ya miezi mitatu".

Vijana wenzangu afya ni mtaji. Naamini ukiwa na afya njema ipo siku ndoto zako zitatimia na kama huna kazi kama mimi kuna siku utapata tu.

Tutunze afya zetu. Afya ni mtaji tosha.

Ahsante sana kwa ujumbe mzuri.


Ukimwi bado ni tatizo sana ingawa watu wamejitoa ufahamu.

Niko nashuhudia vijana wadogo kabisa wakifa kwa tatizo hilo, wengi wao wanasema waliupata primary na secondary.
 
Ahsante sana kwa ujumbe mzuri.


Ukimwi bado ni tatizo sana ingawa watu wamejitoa ufahamu.

Niko nashuhudia vijana wadogo kabisa wakifa kwa tatizo hilo, wengi wao wanasema waliupata primary na secondary.
Inasikitisha sana. Zamani ilikuwa ajabu sana kumuona kijana amekongoroka kwa ngoma. Ila siku hizi ni kawaida. Watu hawaohopi tena. Chezea vingine sio afya
 
Pamoja na kwamba kwa muda mrefu sasa imeshindikana kupata kazi, ila nitazidi kumshukuru na kumtukuza Mungu kwa kuwa hajaninyima vyote, kunijalia afya njema.
Sitaisahau siku dakitari aliponambia maneno yafuatayo japo sina hakika kama nitaweza kumquote kwa ufasaha,

Dr: "hali yako iko hapa tunapoita control kwa maana kwamba huna maambukizi yoyote mwilini mwako, na hivyo uko HIV -Ve. Urudi baada ya miezi mitatu".

Vijana wenzangu afya ni mtaji. Naamini ukiwa na afya njema ipo siku ndoto zako zitatimia na kama huna kazi kama mimi kuna siku utapata tu.

Tutunze afya zetu. Afya ni mtaji tosha.
It's too risk kupima ukimwi wakati unajua hakuna dawa wala chanjo!!!
 
Pamoja na kwamba kwa muda mrefu sasa imeshindikana kupata kazi, ila nitazidi kumshukuru na kumtukuza Mungu kwa kuwa hajaninyima vyote, kunijalia afya njema.
Sitaisahau siku dakitari aliponambia maneno yafuatayo japo sina hakika kama nitaweza kumquote kwa ufasaha,

Dr: "hali yako iko hapa tunapoita control kwa maana kwamba huna maambukizi yoyote mwilini mwako, na hivyo uko HIV -Ve. Urudi baada ya miezi mitatu".

Vijana wenzangu afya ni mtaji. Naamini ukiwa na afya njema ipo siku ndoto zako zitatimia na kama huna kazi kama mimi kuna siku utapata tu.

Tutunze afya zetu. Afya ni mtaji tosha.

Ngoma sio ishu, kapima homa ya ini, via vya uzazi ka vipo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom