Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,664
- 4,879
Wasanidi wa kampuni ya Rockstar wanapendekeza kwamba Grand Theft Auto 6 (GTA 6) inaweza kuwa toleo la mwisho katika mfululizo wa Grand Theft Auto tutakaotumia maishani mwetu. 🎮 🌟
Wananuia kusasisha mchezo (refresh the game) kila mara kwa misheni mpya, maeneo na miji mipya kwa njia za mtandaoni (Online Players) na za mchezaji mmoja mmoja (Single player modes) baada ya kuzinduliwa. Hivyo watakuwa wanaongeza tu Mission mpya, kupanua maeneo ya miji pamoja na kuongeza wigo wa uchezaji. Lakini inasemekana hakutakuwa na toleo la GTA 7 au muendelezo baada ya GTA 6.
Hii ni kwa wapenzi wa Playstation na Video games
Wananuia kusasisha mchezo (refresh the game) kila mara kwa misheni mpya, maeneo na miji mipya kwa njia za mtandaoni (Online Players) na za mchezaji mmoja mmoja (Single player modes) baada ya kuzinduliwa. Hivyo watakuwa wanaongeza tu Mission mpya, kupanua maeneo ya miji pamoja na kuongeza wigo wa uchezaji. Lakini inasemekana hakutakuwa na toleo la GTA 7 au muendelezo baada ya GTA 6.
Hii ni kwa wapenzi wa Playstation na Video games