Haki ya kupata taarifa za miradi ya maendeleo

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Aug 7, 2018
625
938
IMG_20210402_114453_822.jpg

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatoa haki kwa kila Raia kupata taarifa muhimu

Kupata taarifa kuhusu mambo na mipango ya maendelo inayofanyika kwenye Halmashauri yake ni haki ya kila mmoja

Kila Halmashauri inapaswa kuweka kwenye mbao za matangazo taarifa kuhusu fursa za uwekezaji au ajira zilizopo kwenye Halmashauri hiyo

Je, unatembelea ofisi za Halmashauri kufahamu fursa za maendeleo zilizopo?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom