Haki sawa


Kwahyo usawa nilianza kuuona kwetu toka nikiwa mdogo
 

Saafi, ndio maana na Wewe umeletewa house girl.
 

Kama unakubali kusaidiana ipo basi mshauri mwenzio awe anamsaidia mwenzie na kama hawez basi amuwekee msaidiz
 
Juzi ilikuwa pasaka jamani, hapakuwa na ofisi wala chochote. Kupika kg. 1 ya mchele na nusu ya nyama inahitaji kusaidiwa??? Mazingira ya kusaudiwa yako wazi kbs na hayana utata. Wewe unachotetea ktk scenario hii ni nini hasa? Mrsleo.
 
Saafi, ndio maana na Wewe umeletewa house girl.

Uzuri mm mume wangu alinielewa ni mtu wa aina gani toka hajanioa na ckuwahi ku pretend chochote i was really toka mwanzo akaridhika na mm akaniweka ndani hyo imefanya maisha yetu yawe rahisi mana hatuna surprises za tabia
 

nyumban ni sawa na shulen/chuon. Yale mafunzo ni lazma mmepewe wote kwasababu wazaz wanajua ipo sku mtaish peke yenu bila wao kwahyo lazma muwe na uzoefu wa shugul mbalimbali. Lakin haikumaaaniha kuwa ndio ukawekeane zam na mumeo hata kama kuna ubusy wa kaz lakin lazma mwanamke ujitambue ww ni nani na majukumu yako ni yapi vivyo hvyo hata kwa mwanaume. Ukiona unachoka unatafuta mfanyakaz....... Kwetu mm kuambiwa kuosha vyombo au kupika ni dharau kubwa sana labda kama mke wangu anaumwa
 

Kama umelelewa hvyo sikushangai kushindwa kumsaidia mkeo ila nilikotoka mm hakukuwa na kitu kinaitwa mwanaume akifanya kaz fulan ni dharau wote tulikuwa sawa
 
Juzi ilikuwa pasaka jamani, hapakuwa na ofisi wala chochote. Kupika kg. 1 ya mchele na nusu ya nyama inahitaji kusaidiwa??? Mazingira ya kusaudiwa yako wazi kbs na hayana utata. Wewe unachotetea ktk scenario hii ni nini hasa? Mrsleo.

hyo tabia inaonesha ulimzoesha tangu mwanzo, asingekuwa kichaa yeye wakukurupuka na kukufanyia hvyo... Mwanamke anaisoma tabia na msimamo wako pale mwanzon mnapooana na atafanya kila kitu kulingana na ww ulivyo mzoesha. Mwanamke sawa na mtoto wa miaka miwili mpaka mitano. Anafanya yale unayotaka ww
 
Kama umelelewa hvyo sikushangai kushindwa kumsaidia mkeo ila nilikotoka mm hakukuwa na kitu kinaitwa mwanaume akifanya kaz fulan ni dharau wote tulikuwa sawa

mwanamke atabaki kuwa mwanamke na majukum yake yanajulikana na mwanume vivyo hivyo hayo mengne ni kuhurumiana tu ila hapana ulazma
 
Kwanini nishindwe miss neddy? Hayo ndio maisha, na wala sio mimi tu ndio naishi ivo, wapo wengi

hapana hampo wengi
ni bahati sana kupata watu kama nyie possibility ni moja ya kumi waliojaaa huku ni aina ya mtoa mada
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…