Ngoja tumpe muda.
Wasabato wa wapi hao usiowakubali sana?Wasabato wa Zambia nawakubali sana johnthebaptist
Hawa wa bongo kama Chenge, Wasira, Noni, Warema kwa uchache ni changamoto sana...ni utani tu lakini usichukulie serious...msije mkanibatiza tena bureWasabato wa wapi hao usiowakubali sana?
Hivi UNIP kiliendaga mahe?Uko sahihi pia ni vyema tuendelee kumpa muda mpaka atakapoondoka kwenye hicho kiti.
Jambazi lile ndilo la kujivunia?Nawaonea wivu wa zambia. Wamepata kiongozi wa kujivunia.
Kama sisi hapo miaka michache iliyopita kabla mambo hayajakwenda mrama.
Wale waliowekaga kambi kule Tabata ili waende kuhubiri injili Ulaya bila tiketi wala Visa, looohWasabato wa wapi hao usiowakubali sana?
HUYU JAMAA NI MTU WA MITANDAO SANA HANA TOFAUTI NA DONALD TRUMP MARAIS WA TWITTER.Kama hatalevywa na madaraka akakengeuka na kubadilika kuelekea upande hasi basi atakuwa Rais bora wa karne ya 21.
Hakainde Hichilema(HH)View attachment 2328684