TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,845
- 11,209
- Thread starter
- #41
DN mimi bwana kipindi hiki nilipokuwa shule ya msingi.............mmh nilikuwa sipendi kukanyaga maji maji au matope, kwenda shule duh kazi ya ziada ilihitajika. nilikuwa na boot zangu maalum for such days with my stockings (uchepechepe ulikuwa unaniudhi sana, sasa ndo nikiona na uchafu uchafu dizain duh hata msosi sitaki kabisa coz when am eating i would recall that) hahaaa but I looked lovely with my speicial boots n stockings lol!!!
hapo ndio kasheshe, yaani vidume vyote huo ndio ulikua muda wa kucheza chandimu, kuangua matunda nk. i remember nilikua napiga boli balaa kwa hiyo mvua haikunisumbua
mabadiliko yalikuja nipoanza kuangalia wadada kwa jicho la tatu, hapo mvua turned from fun to ******** ==== balaaaaaaaaaaa