Unalala na Shunie ile umemwaga bao tu anakushika anakukula kichwa 😄😄Jike ukimaliza kumate naye anakukamata na kuanza kukutafuna kichwa. Hivi ingekuwa kwa watu ingekuaje? Ukimaliza unatoka mbio za ajabu!!
Kuna siku nilipambanisha na kinyonga hadi kinyonga akafa kwa kupigwa kabaliView attachment 1659598View attachment 1659601
Kakikukamata kanaanza kula kichwa ukiwa bado mzima. Jike ukimaliza kumate naye anakukamata na kuanza kukutafuna kichwa. Hivi ingekuwa kwa watu ingekuaje? Ukimaliza unatoka mbio za ajabu!!
View attachment 1659602
Kakauzu balaa. Kanakula hadi mijusi.Kuna siku nilipambanisha na kinyonga hadi kinyonga akafa kwa kupigwa kabali
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee unajua kinyonga anakula wadudu? Au unajua kinyonga ni nini?Kuna siku nilipambanisha na kinyonga hadi kinyonga akafa kwa kupigwa kabali
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli asee niliwahi ona hiyo video you tubeKakauzu balaa. Kanakula hadi mijusi.
Sikuangalia hilo mi nilipambanisha tuu si unajua tena utotoMzee unajua kinyonga anakula wadudu? Au unajua kinyonga ni nini?
DooohUtotoni tulikua tunawapiganisha na balale.
Wasipopigana tunachukua sindano za kuchomea wagonjwa tunajaza maji na kuyajaza matumbo yao mpaka yanapasuka.
Same treatment ilikua kwa mijusi.
Utotoni tulikua tunawapiganisha na balale.
Wasipopigana tunachukua sindano za kuchomea wagonjwa tunajaza maji na kuyajaza matumbo yao mpaka yanapasuka.
Same treatment ilikua kwa mijusi.
Hee kumbe Mbulumundu ni mdudu!!?.Hivi kuna mtu anamjua mbulumundu humu?
Kwa kingreza anaitwa elegant grasshopper,ni miongoni mwa viumbe waharibifu wa mimeaHee kumbe Mbulumundu ni mdudu!!?.
Kuna jamaa tulichezanae mpira pale Kinondoni garden jina lake anaitwa Muhammed Mbulumundu,alikwa goli kipa.
Embu mdadavue hapa tumjue uyo mbulumundu.
Ungelikua mzungu ungelikua mbali sanaUtotoni tulikua tunawapiganisha na balale.
Wasipopigana tunachukua sindano za kuchomea wagonjwa tunajaza maji na kuyajaza matumbo yao mpaka yanapasuka.
Same treatment ilikua kwa mijusi.