Haji Manara kaacha ndara (ndala) mbele ya John Heche

Haji Manara kaacha ndara (ndala) mbele ya John Heche

Sasa watu wenye kariba ya Lucas mwashamba kweli mkawakutanishe na Heche na watoke salama? Lazima apigwe spana. Uchawa na akili havikai pamoja..!!

Jamaa alianza kwa Mbwembwe akidhani business as usual. Heche amem- surprise Anaishia kucheka Cheka Kwa aibu
 
Nimeangalia yale mahojiano ya jana , inanipa picha tasnia ya habari ilivyo hoi .

Inanipa picha aina ya wanahabari ambao ndio CCM inawapenda ikishirikiana na mataei yake/vidampa wake kama TEF, JAB , TCRA kuminya habari.

Kwa mahojiano yale unaona Manara anahoji kama kada wa CCM sio kama mwandishi wa habari kitu ambacho CCM wanakipenda hata akija mtu asiye wao basi ahoji kama kada wao.

Imepita miaka mingi sana sijaona mahojiano ya rais na wanahabari kujadili issue mbalimbali katika nchi sababu ni moja tu waandishi wametengenezewa mazingira ya uchawa na kutoweka taaluma zao mbele bali maslahi hata pale yasipohitajika.

Angalia hapa aina ya maswali Ruto aliyokutana nayo akiwa ikulu toka kwa waandishi wa habari baada ya maandamano makubwa ya June 25 mwaka 2024 kupinga muswada wa fedha.


View: https://www.youtube.com/live/CWL60e-4N3I?si=XPR89v6wnme1xSsh

Kwa maswali haya kama ingekua ni Tanzajia basi hao watu kesho kama wasingekuwa wamepotezwa basi wangeandamwa katika biashara zao binafsi au familia.
 
Robert Leo nikupongeze umeandika mada kwa maneno machache na ujumbe umeeleweka sijui ndo umetumia hizi features mpya za IA.


#justiceforManaraalichofanyiwaniudhalilishaji

Kabla ya kuandika niliangalia Avatar yako. Nikamuona Sabufa tushoti. Nikasema Leo hii naiandika kwa hisani ya Ringo
 
Nimeangalia yale mahojiano ya jana , inanipa picha tasnia ya habari ilivyo hoi .

Inanipa picha aina ya wanahabari ambao ndio CCM inawapenda ikishirikiana na mataei yake/vidampa wake kama TEF, JAB , TCRA kuminya habari.

Kwa mahojiano yale unaona Manara anahoji kama kada wa CCM sio kama mwandishi wa habari kitu ambacho CCM wanakipenda hata akija mtu asiye wao basi ahoji kama kada wao.

Imepita miaka mingi sana sijaona mahojiano ya rais na wanahabari kujadili issue mbalimbali katika nchi sababu ni moja tu waandishi wametengenezewa mazingira ya uchawa na kutoweka taaluma zao mbele bali maslahi hata pale yasipohitajika.

Angalia hapa aina ya maswali Ruto aliyokutana nayo akiwa ikulu toka kwa waandishi wa habari baada ya maandamano makubwa ya June 25 mwaka 2024 kupinga muswada wa fedha.


View: https://www.youtube.com/live/CWL60e-4N3I?si=XPR89v6wnme1xSsh

Kwa maswali haya kama ingekua ni Tanzajia basi hao watu kesho kama wasingekuwa wamepotezwa basi wangeandamwa katika biashara zao binafsi au familia.


Hatari Sana Mkuu
 
Hehe na hao watangazaji wametofautiana katika kiwango cha kufahamu mambo,Heche anawazidi katika kufahamu mambo mengi zaidi yao lazima Manara na wenzake wangeonekana hovyo.

Waandishi wamebobea katika masuala ya mpira na udaku unampeleka kuhoji issue za politics lazima atafeli tu.
 
Back
Top Bottom