Pundit
JF-Expert Member
- Feb 4, 2007
- 3,733
- 123
Choveki,
Siyo kwamba wanaweza kufanya referendum na kupindua matokeo kama walivyomnyang'anya Seif urais wa Zanzibar? Mimi sioni tatizo ya CCM kupata simple majority bara, not even Unguja.Kazi iko Pemba huko.Labda Muungano uendelee Tanganyika na Unguja, Pemba wende zao ati yakhee!
Au hata watu wa Unguja hawataki muungano nao?
Now this is where Nyerere's vision becomes a reality.Wkijitenga Zanzibar kesho itakuwa Unguja na Pemba wanajitenga.Keshokutwa Kwaani sijui na Michenzani wanataka kuwa na rais na jamhuri zao, mwishowe kila baba mwenye wake wawili naye anatangaza jamhuri lol!
Siyo kwamba wanaweza kufanya referendum na kupindua matokeo kama walivyomnyang'anya Seif urais wa Zanzibar? Mimi sioni tatizo ya CCM kupata simple majority bara, not even Unguja.Kazi iko Pemba huko.Labda Muungano uendelee Tanganyika na Unguja, Pemba wende zao ati yakhee!
Au hata watu wa Unguja hawataki muungano nao?
Now this is where Nyerere's vision becomes a reality.Wkijitenga Zanzibar kesho itakuwa Unguja na Pemba wanajitenga.Keshokutwa Kwaani sijui na Michenzani wanataka kuwa na rais na jamhuri zao, mwishowe kila baba mwenye wake wawili naye anatangaza jamhuri lol!