Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,403
- 1,241
Wana JF, je kuna haja ya kuwepo wawakilishi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwenye balozi zetu nje ya nchi? Naomba tujadiliane kama ilivyo jadi yetu hapa.
--Miye nilijua kutokana na kiwango cha utalii visiwani ningelitegemea hawa wawakilishi wapo tayari, na naona kuna haja kubwa ya wawakilishi kutoka Zanzibar kuwepo, ila wawe wataalam wa mambo yao na isitokee likawa jambo la uwakilishi tu kwa nia ya kujaza nafasi..
SteveD.
Source link: IppMedia.Reps want Zanzibaris in foreign missions
2007-12-04 09:31:27
By Mwinyi Sadallah, Zanzibar
Some members of the Zanzibar House of Representatives say there is a need to have Zanzibaris in Tanzanian embassies so as to coordinate issues concerning Zanzibar.
The concern was raised at a seminar discussing the new economic diplomacy policy opened by Zanzibar Chief Minister Shamsi Vuai Nahodha last week.
Gando constituency representative Saidi Ali Mbarouk said Zanzibar needs officers in Tanzanian embassies to seek potential investors in the Isles.
Since the foreign affairs policy has changed, Zanzibar must be advertised so that our investment policy is known by foreign investors, Mbarouk said.
He added that Zanzibar should also be given the chance to participate in the East African Legislative Assembly and the Pan-African Parliamet through the Zanzibar House of Representatives.
Water, Works, Energy and Land Deputy Minister Tafana Kassim Mzee said since most foreign officers and ambassadors came from the Mainland, there was a need to have Zanzibaris in the country�s embassies abroad.
Foreign Affairs and International Cooperation Minister Bernard Membe assured the representatives that the Union government was thinking of increasing the number of ambassadors from Zanzibar.
So far we only have five ambassadors from Zanzibar in Italy, China, Saudi Arabia, Oman and Belgium, said Membe.
SOURCE: Guardian
--Miye nilijua kutokana na kiwango cha utalii visiwani ningelitegemea hawa wawakilishi wapo tayari, na naona kuna haja kubwa ya wawakilishi kutoka Zanzibar kuwepo, ila wawe wataalam wa mambo yao na isitokee likawa jambo la uwakilishi tu kwa nia ya kujaza nafasi..
SteveD.