Kisa?Hilo zee senge sana
😅😅 Na kweli hapo umeona oma mbali zaidi, maana wameachana aina ya muachana usio na kelele wala kuumiza in bongo zozo voiceSio kisomi wote itakuwa hawana shida kwenye koo zao, hapo ukoo mmoja ungekuwa apeche alolo sasa mpaka rais angeombwa aingilie kati 😂😂😂😂😂
Tanzania prenup haifanyi kaziUsiogope ndoa, cha muhimu ni kama upo na mali nyingi na unataka kulinda mali zako ikiwa ndoa itavunjika basi cha kufanya ni tafuta mwanasheria na ujifunze kitu kinaitwa prenuptial agreement kabla ya kuingia kwenye ndoa.
Kisha mweleweshe mtarajiwa (mke mtarajiwa) kuhusu hiyo Pre-nuptial Agreement, kisha atasaini.
Binafsi, mtazamo wangu, sioni ubaya kugawana mali na mtu ambaye nimeanza naye life nikiwa kabwela, nkafunga ndoa na tukajaaliwa kupata kids (coz it's for the sake of our children), hata ikifika point tumeshindwana na haiwezekani tena, basi ni ishu ya kutuliza mihemko na kukaa chini kuongea na makubaliano yakafikika, kisha tukagawana.
So, yaani unataka ukae na mtu 20yrs halafu mkiachana unataka asipate kitu? Daah sio fair at all.
Haikuhusu ndio sababu ya makasiriko; Optimistian wamejifunza kutu kuhusu ndoa. Upo wrong forum. Kuna groups za ponograph na dating wanaume wanajiuza ni sehemu sahihi kwako.Upuuzi tu. Hatumjui na hatuhitaji kuyajua mambo yake. Anatuambia iweje?
Kwamba masaki ndiko kuna wakristo tu ila mbagala kuna waislamu you mean waislamu ni masikini ila wakristo ni matajiri si ndiyo?Hiyo sensa ya Wajane WEngio MASAKI NA MWENGE kulko kwenu hapo Mbagala kibonde maji na kwa mbiku sababu mbona zipo wazi.
MASAKI mtaa mmoja una nyumba kumi , kwenu Kibonde maji ni nyumba moja ya kupanga , yaani ukingia uani kuna wapangaji 15n na choo kimoja cha nje, hivyo mtaa ukiwa na wajane wawili Masaki ni sawa na nyumba moja ya Kwenu madongo poromoka.
Unao uhakika?Tanzania prenup haifanyi kazi
Ova
Tushapitia huko mzee kwenye mambo ya ndoaUnao uhakika?
Ova
Ndiyo, hatuna sheria rasmi kama US, Europe au Australia, ila ikiwepo na ikijengewa hoja vizuri na mwanasheria makini inaweza kutumika kama mkataba mwingine wowote ule na ikalindwa na sheria za mikataba.
Japo pia kifungu cha sheria ya ndoa, 114 kitamsaidia Jaji kuhakiksha mali itagawiwa kwa kufuata:-
1. Mchango wa kila mwanandoa baada ya kufunga (hapa mali zilizopatikana kabla ya ndoa hazitaguswa)
2. Mahitaji ya watoto (ikiwa watoto wapo umri chini ya 18)
3. Mila na desturi (ambapo hapa itategemea ndoa ilifungwa Kimila, Kidini, Kiserikali, n.k) ambapo zitaheshimiwa miongozo yao ili kila mwanandoa asionewe.
So, sio kweli kwamba hazifanyi kazi kabisa, japo hazina nguvu kama US, Europe au Australia. Coz sheria zetu bado haziitambui Prenup rasmi, ila ikiwepo na ikijengewa hoja vizuri, Jaji anawezaiconsider pamoja na factor nyinginezo ili haki itendeke ili kila mtu asionewe. Na kila mtu apate mgao according to input/contribution yake.
Kwa kifupi kila mtu atapewa according to mchango kwa mali zilizopatikana baada ya ndoa.
Na hakunaga 50 50 kama watu wanavyodai mtaani.
ila pamoja na yote, msiogope ndoa vijana. Bado kuna namna nyingi tu unaweza kuzifunga mali zako na ndoa isizifikie.
Sheria huwa haijanyooka, ni swala la kuzifahamu sheria kutafuta loophole, kujenga hoja na kuidefend, that's it.
I stand to be corrected.
Wameachana kila mtu kachukua 50 zake anyway😅😅 Na kweli hapo umeona oma mbali zaidi, maana wameachana aina ya muachana usio na kelele wala kuumiza in bongo zozo voice
Mapenzi/mahusiano hu expire mzee 😄Wabongo bana, Hawa Wanandoa hawajasema sababu ya wao kuachana ila watu wamesha concludena kuweka sababu1
Hawajataja mali zao wala Properties Distribution among them ila watu wameshajadili
Je wangesema wao???🤣🤣🤣
Wengine uzungu umeshawakolea, wanakubaliana tu kuoana kwa mkataba na wakiachana wala hawagombani wanaconcetrate tu kwny "Child caring" kila mmoja anaendelea na maisha yakeMapenzi/mahusiano hu expire mzee 😄
Ova
Ukiwaza sana ndoa kama betting, hadi kufikia kuzikana sio mchezoWameachana kila mtu kachukua 50 zake anyway
Miaka 20+ si mchezo
Ova
Afadhali hata wewe unajua ukweli.Mbezi garden ni ya Familia ya kina Haika.Baba yao aliwaachia alipofariki dunia. Magesa kaikuta hiyo hoteli kwenye hiyo familia.
Una hizo information.Information nyingi huna, jitahidi kuishi na watu uelimike na umjue Magesa ni nani mjini.
Allen Kilewellawatanzagiza wamegawanyika sehemu kubwa 2, muslims au mila mila and asilimia ndoogo sana Christian, na mila mila ni de facto muslim, na ndiyo maana wanatawaliwa na kupagazwa na foreign muslims kama rostamu au zanzibaris ...