Haiba ya Kinana na CCM

Haiba ya Kinana na CCM

Mzigo ulikuwa ni wa kwake sema ni kwa vile nusu ya mapato itahifadhiwa kwa ajili ya uchaguzi 2015!!! Biashara za ubia hizo!! Chezea SSM 2015!!! Kwani umesikia hata yule waziri wa mali asili akithubutu kukohoa!!!! Mwakyembe mwenyewe kimya!!! Ha ha ha!!
 
hapa pagumu mkuu.Hata mimi sigusi.atajibu Mzee mwenyewe.


Aise nimecheka mpaka mbavu zinauma --- ila ni kweli hapa hata uwe mbishi kiasi gani huwezi kutia neno sasa usiishie hapa tazama na simamia haki na ukweli daima na utakuwa huru.
 
Ongezeko la vibaka na machangudoa ni matokeo ya kukosa malezi kwa watoto hasa baada ya baba zao kuwakimbia huo ni mzigo mkubwa kwa taifa; kichwa sio kigumu bali ni tutusa afadhali kiazi

Chama
Gongo la mboto DSM

Siyo kaka kuna wengine baba zao wakiwajimbia lakini sasa ni makatibu wenezi
 
hapo na penyewe utasikia tuunde tumeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee! jamani TANZANIA YETU YA LEO!
 
Wakuu Ritz na chama njooni hapa mje kusaidia kujibu hizi shutuma alizotupiwa huyo jangili wenu
Huu ni muda wa operesheni kamata majangiri wa ruzuku, muache Ritz anakikao cha dharura na Mh Tendwa kwa ufafanuzi wa kisheria zaidi.Kama una ushahidi wa meno ya tembo peleka ofisi ndogo lumumba kwa hatua zaidi na ufuate utaratibu.

Cc: Ritz

Kwa taarifa
 
Hivi Kinana anatuona Watanzania wote ni Ngumbaru kama wanachama wa CCM? Si rahisi kwa kampuni ya usafirishaji wa mizigo kusafirisha mzigo wasioujua;

kwanza ni kwa nia ya kuuthaminisha ili waweze kutoza gharama halisi kutokana na thamani wa kile wanachokisafirisha, pia katika karne hii ya Ugaidi wa kutisha duniani, ni lazima kukagua kile unachokisafirisha ili kisije kikawa ni silaha za kigaidi ambazo kama zitakamatwa na Mataifa kama Marekani, kitakutia matatizoni mmiliki wa kampuni inayotumika kusafirishia huo mzigo.

Leo hii huyu jamaa anakuja na Ngonjera ambazo ni wenye akili finyu tu ndio wanaoweza kuziamini eti hakujua anachokisafirisha! Kwa hiyo kuna siku atakuta anasafirisha hata viungo vya Albino! Huu si Uzembe wa bahati mbaya, jamaa ni lipiga dili sana la meno ya ndovu.

Eti jana nilimsikia yule kamanda wa polisi Radio One akidai kwamba polisi wanachunguza mwenye ule mzigo, wakati wanayo kampuni iliyousafirisha ambayo inamjua waliyefanya naye biashara ya kumsafirishia mzigo wake huo! Kweli nchi hii, Wonders shall never end!



Hii ndiyo serikali ya chama cha akina Nape Jeetu Patel bana!
Hivi kweli utambuzi wa huu ujinga anaofanya mfanyabiashara wa Kimataifa unahitaji kua na Degree ili ujue anachosema ni upumbavu?Tunafahamu katika kusafirisha mizigo hususani ya Kimataifa lazima mwenye mzigo ajaze maelezo yanayomhusu ikiwepo jina kamili na anuani yake ili ikitokea mzigo umepotea kampuni ya insurance iweze kumlipa,sasa iweje huyu jamaa asafirishe kontena zima bila kua na details kama hizi?na kama alijaza kinashindikana nini kuwakamata?Hebu acheni kuona wote ni mapompompo kama nyie.Hata ambaye ni gumbaro hapo anaelewa kinachoendelea ni utapeli tu.Uchunguzi gani mnafanya kama sio tena kuanza kulipana hela za wavuja jasho kama posho zenu!Enough is enough jamani...Tumechoka na huu utapeli wenu CCM
 
Hivi Kinana anatuona Watanzania wote ni Ngumbaru kama wanachama wa CCM? Si rahisi kwa kampuni ya usafirishaji wa mizigo kusafirisha mzigo wasioujua;

kwanza ni kwa nia ya kuuthaminisha ili waweze kutoza gharama halisi kutokana na thamani wa kile wanachokisafirisha, pia katika karne hii ya Ugaidi wa kutisha duniani, ni lazima kukagua kile unachokisafirisha ili kisije kikawa ni silaha za kigaidi ambazo kama zitakamatwa na Mataifa kama Marekani, kitakutia matatizoni mmiliki wa kampuni inayotumika kusafirishia huo mzigo.

Leo hii huyu jamaa anakuja na Ngonjera ambazo ni wenye akili finyu tu ndio wanaoweza kuziamini eti hakujua anachokisafirisha! Kwa hiyo kuna siku atakuta anasafirisha hata viungo vya Albino! Huu si Uzembe wa bahati mbaya, jamaa ni lipiga dili sana la meno ya ndovu.

Eti jana nilimsikia yule kamanda wa polisi Radio One akidai kwamba polisi wanachunguza mwenye ule mzigo, wakati wanayo kampuni iliyousafirisha ambayo inamjua waliyefanya naye biashara ya kumsafirishia mzigo wake huo! Kweli nchi hii, Wonders shall never end!


Hii ndiyo serikali ya chama cha akina Nape Jeetu Patel bana!
[/QUOTE. Ukisafirisha mzigo unakuwa na orodha ya vinavyisafirisgwa. mwenye mziho snawajabidhi na adress na tel no. iweje hao wanachunguza aliyekuwa na mzigo? anajulijana waditufanye
wajinga kinana anajua yote aachie ngazi jangili huyo.
 
swala siyo ushahidi.wala siyo kuwaleta tembo kutoka porini kuja kumtetea Kinana kama ulivyo eleza kwa sababu hata wewe mwenyewe unafaham kuwa tembo hawezi kutolewa mbugani kuja kumtetea.haya ndiyo majibu ya kisanii niliyoyasema.kama tembo wanaweza kumtolea kinana ushahidi kwa mtazamo wako wewe basi ushahidi wenyewe utakuwa ni wa kilio cha kueleza jinsi wanavyo uawa na kung'olewa meno.hoja iliyopo hapa ni kwamba ukiwamwovu mahali salama kwa mtu mwovu ni ccm.ndiyo maana kinana amekiri kuwa kampuni ni yake lakini kampuni yake hajachukuliwa hatua yoyote wakati wengine vyombo vyao vinakamatwa na kusiziwa.maadili ya uongozi yanakataa kiongozi kuwa na kampuni binafsi lakini kinana amekiri waziwazi kuwa anayokampuni na kampuni yake imefanya uharifu bado anaendelea kuwa kiongozi.swala la josephene hapa linahusika vipi wakati kinachoelezwa hapa ni kinana na meno ya tembo.ccm na uharifu ni kama mfuniko na chupa ya bia.

Acha upimbi jifunze taratibu za usafirishaji kutumia wakala; hata ukienda FEDEX; DHL mwenye mzigo ndiye anaye declare nini anatuma wakala kazi yake ni kusafirisha na hicho ndicho kilichofanyika.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Aliyemroga you hai na Ndio maana anajitambua alishatengua uchawi wewe Wako hayuko hai angekuhurumia angalau ili ujitambue pia

Na aliyemroga slaa?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Imeandikwa na Bart Mkinga.

Hivi karibuni kampuni ambayo kati ya wamiliki wake ni-Abrahaman Kinana, Katibu Mkuu wa CCM, ilihusika na usafirishaji wa pembe za ndovu kinyume na sheria za nchi, kinyume na sheria za kimataifa.
-
Vyombo vya habari viliripoti kuwa Kinana mwenyewe alikiri kuwa kampuni yake ilihusika na usafirishaji wa shehena hiyo haramu lakini kampuni haikujua kuwa shehena ile ilikuwa ya biashara haramu.
-
Kwa mtazamo mpana, kashfa hii na utetezi wa Kinana, kweli unatosha kumsafisha kiongozi mkuu huyu wa chama tawala na kashfa hii? Hivi kampuni wakala wa usafirishaji mizigo husafirisha mzigo wowote bila ya kujiridhisha kuwa mzigo unaosafirishwa ni mzigo uliotajwa kwenye nyaraka za usafirishaji? Mara nyingi katika biashara, mtoa huduma huwa na wateja wake wa muda mrefu na wale wa mara moja. Kutokana na kushamiri kwa biashara haramu ya pembe za ndovu, Je, kampuni hii ya usafirishaji wa bidhaa haramu inayomhusisha kiongozi mkubwa wa chama tawala, imesafirisha mizigo ya aina hii mara ngapi bila ya kukamatwa? Wamiliki wa mizigo hiyo haramu waliichagua kampuni ya mheshimiwa huyu kwa bahati mbaya au kulikuwa na sababu maalum ya kuichagua kampuni hii?
-
Swali jingine la kujiuliza, kumiliki kampuni inayosafirisha bidhaa haramu, japo inawezekana Kinana ni mmiliki tu wa kampuni na asiwe mtendaji wa kila siku wa shughuli za kampuni, je, hiyo pekee yake inaweza kuwa ni sababu tosha ya kumwona Mh. Kinana ana usafi wa kuongoza chama ambacho kinadai kipo kwenye hatua ya kujisafisha?
-
CCM kama chama cha siasa na chama tawala, kinapojiangalia kwenye kioo cha kujitathmini kinajiona ni chama cha namna gani, wakati viongozi wake wakuu majina yao yanatajwatajwa kwenye biashara chafu? Kwenye mambo kama haya, ndipo tunaposhangaa umakini wa CCM.
-
Mwanangu Mohamed Mtoi, maswali yako ni ya msingi sana. Yanaonyesha ni jinsi gani viongozi wa CCM wamezoea kutoa majibu ya rejareja na kusababisha taabu na shida kwa wananchi. Hakuna mtu mwenye akili ya kawaida asiyejua jinsi biashara ya pembe za ndovu na faru inavyopigwa vita duniani. Inashangaza sana huyu kiongozi wa chama tawala (CCM) Kinana kujifanya haelewi hili. Kwa nini hajachukua hatua za tahadhari kuionya kampuni yake kutohusika kwa vyovyote vile na biashara hii haramu?

Waswahili wanasema siku za mwizi ni arobaini huu upuuzi utafika mwisho, ni swala la muda tu.
 
Anzeni na slaa yeye anapigania zaidi ukombozi wa hali yake kimaisha

Chama
Gongo la mboto DSM

Mkuu!!..2congee kishabiki!!vp kuhusu MAbosi wako NAPE na MWIGULU...wao wanahitaji maombi ya aina gani?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu!!..2congee kishabiki!!vp kuhusu MAbosi wako NAPE na MWIGULU...wao wanahitaji maombi ya aina gani?

Nape na Mwigulu hawahitaji maombi wanayo mapungufu kama binadamu ila ni ya kawaida tu; anayehitaji maombi ni slaa tena anahitaji mengi tu; kuvunja amri za Mungu; amri za kanisa; kuwatupa watoto kimalezi; kuchukua mke halali wa mtu; uwongo uliokithiri yaani maombi ni mengi sana sijui hata tuanze na yapi!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Nape na Mwigulu hawahitaji maombi wanayo mapungufu kama binadamu ila ni ya kawaida tu; anayehitaji maombi ni slaa tena anahitaji mengi tu; kuvunja amri za Mungu; amri za kanisa; kuwatupa watoto kimalezi; kuchukua mke halali wa mtu; uwongo uliokithiri yaani maombi ni mengi sana sijui hata tuanze na yapi!

Chama
Gongo la mboto DSM

Mkuu chama.
Hebu rudisha akili yako kwenye mstari.

Uliyo ita mapungufu ya Dr Slaa yameathiri vipi mada iliyooko mezani?!
 
Last edited by a moderator:
Jasiri haachi asili. Kinana haachi ujangili kama na CCM wasivyoacha ufisadi. Of coz they're a perfect match.

Kinana alipaswa kuwa amejiuzulu by now lakini ndio kwanza tembo wetu wanazidi kumalizwa na yeye kuzidi kunufaika na mfumo wa kulindana.
 
Nape na Mwigulu hawahitaji maombi wanayo mapungufu kama binadamu ila ni ya kawaida tu; anayehitaji maombi ni slaa tena anahitaji mengi tu; kuvunja amri za Mungu; amri za kanisa; kuwatupa watoto kimalezi; kuchukua mke halali wa mtu; uwongo uliokithiri yaani maombi ni mengi sana sijui hata tuanze na yapi!

Chama
Gongo la mboto DSM

Hakika ww ni miongoni mwa watu waliolaaniwa na watanzania,watu tunajadili mambo ya maana ww unaleta uselamavi ww choko vipi acha kutumika nyamapori ww.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom