wewe kweli gongo la mboto.yaani matatizo ya wtu binafsi unayawekea mkazo lakini yale yanayohusu taifa unaona ni kawaida.huyo josephine anakupa taabu sana usiku na mchanaKama hoja ni ushahidi mh. Kinana aliweka wazi pamoja ya kuwa yeye ni mmoja wa wamiliki; wao kama wakala wa kusafirisha mizigo hawahusiki kukagua mzigo hilo ni jukumu la mamlaka husika; wanaopaswa kuulizwa ni wafanyakazi wa mamlaka zinazohusika waliofanya ukaguzi wa mzigo; msafirishaji anachopatiwa ni vielelezo au documents zinazoonyesha ni vitu gani vimo ndani ya kontena; na Kinana pamoja na kuwa ni mmoja wa wamiliki yeye hausiki na daily operations za kampuni ni kitu gani hapo ambacho umeshindwa kuelewa? Siwezi kushangaa na uelewo wa vichwa vyenu si nyie ndio mnaotuhabarisha Josephine eti ni mke wakati dunia nzima inajua kama Josephine ni kimada fungeni hivyo vichwa vyenu mnapoteza muda kujadili mambo ambayo hata mtoto wa darasa la pili anayaelewa.
Chama
Gongo la mboto DSM
ulitaka umchukue wewe???vimada ulionao wewe huoni,?huna pointi ya kulitete hilo jambazi lenu .