Hahaha Lara 1.....!!!!

Hahaha Lara 1.....!!!!

Huyu Mwanahamisi Jongo ana makuu jamani? Sasa kwa kuwa amebainika inabidi aweke picha yake ya ukweli tuone anavyotisha na mkorogo wake na mat.ako yaliyopigwa pasi.

Picha ya nini? Mtambuzi anandaa event december MWANAHAMISI HUSSEIN ALLY JONGO natinga pale LIVE!!!!!!! in HD picha inaweza kuwa ya 1920's nikiwa kijana! Bora unione LIVE mjukuu wangu.
 
Last edited by a moderator:
Picha ya nini? Mtambuzi anandaa event december MWANAHAMISI HUSSEIN ALLY JONGO natinga pale LIVE!!!!!!! in HD picha inaweza kuwa ya 1920's nikiwa kijana! Bora unione LIVE mjukuu wangu.

Hahahahah.........haya Binti Jongo.
 
Last edited by a moderator:
attachment.php



Hebu niikuze kwannza maana haya mawani yangu yame expire..........

Khaaaaa, kumbe humu JF tuna Wazaramo wengi eh.....!
 
Picha ya nini? Mtambuzi anandaa event december MWANAHAMISI HUSSEIN ALLY JONGO natinga pale LIVE!!!!!!! in HD picha inaweza kuwa ya 1920's nikiwa kijana! Bora unione LIVE mjukuu wangu.

Hebu ngoja kwanza nianzishe mchakato wa hiyo event maana nilijisahau.
Madame B, Paloma na Kipaji Halisi naomba ushirikiano tafadhali
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh ya maji meusi(matitu) mbagala kwa popo
 
Ndio mimi ni Mwanahamisi Jongo wa Mbagala KWANI VIPI MNANIDAI?????????????? Hahhaaaaaaaaaaaa! Watu WAPANA hadi mkanigoogle!!!!!!!

Ndo mie Mwanakhamisi Hussein Ally Jongo wa Mbagala Kiburugwa kuna mwenye deni na mimi?

Hahahah, Mwanahamisi sorry for revealing yo tru iodentity. Lol
 
Picha ya nini? Mtambuzi anandaa event december MWANAHAMISI HUSSEIN ALLY JONGO natinga pale LIVE!!!!!!! in HD picha inaweza kuwa ya 1920's nikiwa kijana! Bora unione LIVE mjukuu wangu.



Haisee dada Mwanahamisi Hussein Ally Jongo a.k.a. lara 1 utakuwepo kweli, utavaa kitambulisho ama? Bwana Mtambuzi tafadhali naomba mwaliko japo wa dakika 30 hili nijionee vituko vya dada yangu Mwanahamisi maana nasikia ana mkorogo wa kufa mtu akipita mbele yako ananukia harufu ya jike/bleach na petroli, tafadhali mkuu usiniangushe, nataka kushuhudia mwenyewe na mask ya kujikinga na harufu nimeshanunua tayari.
 
Huu ni utani class A. Kipindi flani wakati niko chuo kuna group la vijana walikuwa wanataniana to real life na hakuna mtu kususa wala kukasirika daah hadi sie wa pembeni kuna mda tulijua lazima wapigane au urafiki uishe waapi utani kama kawa wanaviziana tuu. Leo ukitania mwenzako jiandae kesho, ila iliwafanya wawe smart sana kwenye mambo yao kuepuka kutaniwa.
Lara 1 hope umeuelewa utani, ila mie ningechukia but baada ya kusoma comments za watu naona iko kijokes zaidi.
Ngoja nijigoogle mapema ..............
 
Back
Top Bottom