fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,598
- 4,472
Si Kila mjinga utamjibu😂😂😂😂😂 Kadanganya eeeeh!
ila usipanick maana hayo aliyoyaandika ni hadithi katoa google.
Nenda angalia na ww uje na hadithi kinzan.
Si Kila mjinga utamjibu😂😂😂😂😂 Kadanganya eeeeh!
ila usipanick maana hayo aliyoyaandika ni hadithi katoa google.
Nenda angalia na ww uje na hadithi kinzan.
Kafiri=Mpingaji.Hoja hujibiwa kwa hoja
Ndugu, Mimi sina tatizo na mtu kuamini Uislamu au dini yoyote kila mtu ana uhuru wa imani.Mtapata tabu sana kuuchafua Uislamu, na mtapata tabu sana kuichafua Quran, hii ni dini ya haki , ni dini ya kweli, hizo hadithi zako za kutunga wapelekee wafuasi wenzako wa Mfalme Zumaridi, wewe ni kafiri huwezi kujua utamu wa uislamu lakini Uislamu ndio dini ya haki ndio dini ya wanyonge ndio dini iliowapa haki mpaka wanyama kenge wewe
Bado hujajibu swali languUna hoja ndugu yangu.
Kuna Quran na Hadithi
1. Quran - imeandikwa kwa miaka 23 na ni kidogo kidogo na pale kila mara mtume alipokuwa anashushiwa wahyi na Allah
2. Hadithi - imeandika matendo ambayo mtume aliyafanya na kuangazia maisha yake binafsi kama binadamu pamoja mafundisho yake na wafuasi na makhalifa wake .
Iko tofauti ila ni kitu kimoja.
Wacha uzushi wewe unayejiita hamisi, hizo dead sea scrolls na hivo vyengine umeviona wewe? Si vimefichwa kule Rome na wala hawataki kuvitoa?Hakuna ushahidi wa kihistoria, maandiko ya kale, wala majina yao kwenye Dead Sea Scrolls, Septuagint, au Maandiko ya Kiebrania.
Umejibu Kwa busara Sana , hakika hekima ni kitu Bora mnoNdugu, Mimi sina tatizo na mtu kuamini Uislamu au dini yoyote kila mtu ana uhuru wa imani.
Lakini unaponiita kafiri na kusema mimi ni kenge, ni ishara ya ukosefu wa hoja,sijui madrasa ndio mnafunzwa hivo, maana kipindi nasoma madrasa hatukufundishwa hivo, nilimaliza juzi zote 30 ,hatukufundishwa matusi na kejeli,
Nimehoji hoja zangu kwa utulivu,
Kama imani yako ina nguvu, basi ionyeshe kwa busara na si kwa maneno ya dharau.,hii inafanya hata wengine watilie mashaka Imani yenu
Umesema Qur’an haiwezi kuchafuliwa sawa, basi kwa nini mnapata hasira kila inapoulizwa?😂
Kama kweli ni ufunuo wa Mungu na umehifadhiwa, basi hoja yoyote itashindwa mbele ya ukweli wake., Lakini kama watu wanaanza kulalamika, kuporomoka kwa hasira, na kutukana basi hilo linaashiria kuna jambo haliko sawa kwenye hiyo dini.,mbona wakristo hawapo hivo
Umesema Uislamu ni dini ya haki lakini hilo ni dai, si hoja.
Kila dini duniani inadai kuwa ya haki.
Je, tunawezaje kupima haki ya kweli? Si kwa maneno ya hisia, bali kwa uchunguzi wa historia, maandiko, na matokeo ya ujumbe wake.
Mimi nimeleta uchambuzi wa manabii wa Qur’an ambao hawapo kwenye Biblia,historia,AKIOLOJIA na maandiko ya kale ya kiyahudi ,, na hoja yangu ni kuwa wametokana na hadithi za wapagani.
Kama unadhani si kweli, njoo ukanushe hoja moja baada ya nyingine kwa ushahidi, si kwa matusi.,Si mnasema QURANI imekamilika
Umesema hizi hadithi nipeleke kwa wafuasi wa Mfalme Zumaridi. Hiyo si hoja, ni dhihaka. Naomba tusifike huko, Mimi sihitaji kutoka nje ya mada na hoja zangu,
Ninazungumzia historia ya maandiko, muktadha wa Qur’an, na tofauti na Biblia.
Kama uko makini na unathamini ukweli, utajibu kwa uchambuzi si kwa mzaha.
Mwisho umesema Mimi siwezi kujua utamu wa Uislamu.
Ndugu, mtu hawezi kujua kama kitu ni cha kweli au la kwa sababu tu ni kitamu.,Halafu Mimi ni muislamu niliyezaliwa humo ,najua vingi huenda kuliko wewe,
Heroin ni tamu kwa mwenye kuitumia, lakini si dawa. Mtu anayempenda dikteta anaweza kuona utamu lakini hiyo haimaanishi yuko upande wa haki. Kweli inapimwa kwa uhalisia wake si kwa hisia za mtu binafsi.
Kwa hiyo rafiki, mimi niko tayari kujifunza na kuelewa, lakini sitakubali kuridhika na majibu ya matusi na kejeli badala ya ushahidi.
Kama dini yako ni ya kweli, basi ionyeshe kwa hoja simple tu
Jibu hoja zangu ,then anzisha zako ,simple tuMtoa mada anaonekana hajui kuwa maandiko mengi ya Biblia yanaonyesha kuwa kulikuwepo na vitabu, ambavyo havimo ndani ya Biblia. Kitabu kimojawapo ni "KITABU CHA TAREHE CHA WAFALME WA ISRAELI".
"Na mambo yote ya Ahabu yaliyosalia, na yote aliyoyafanya, na nyumba ya pembe aliyoijenga, na miji yote aliyoijenga, je! Hayakuandikwa katika kitabu-cha-tarehe cha wafalme wa Israeli?
(1 Wafalme 22:39).
Swali:
1. Hicho kitabu hivi sasa kiko wapi? (Naomba majibu kwa ushahidi wa ukweli na uhakika).
2. Je, hicho kitabu/vitabu vimepotea, vimefichwa, vimetupwa baharini, vimefukiwa ardhini, vimechomwa moto?
3. Je, kuna uhakika gani kuwa kwenye hicho kitabu/vitabu hakuna habari za hao manabii (Hud, Salih, Dhulkifli na wengineo), ambao Qur'an imewataja?
Pengine nimekuelewa Tofauti bro.Bado hujajibu swali langu
Mimi sijiiti hamis ,niliitwa hivo na wazazi wangu,Wacha uzushi wewe unayejiita hamisi, hizo dead sea scrolls na hivo vyengine umeviona wewe? Si vimefichwa kule Rome na wala hawataki kuvitoa?
Haya endelea kuleta uzushi wako, umejiita hamis ndiyo uonekane muislamu au nini?
Mkuu hujaandoka hoja umetoa somlizi jifunze ifuatavyo katika uandishi;Jibu hoja zangu ,then anzisha zako ,simple tu
Umejitahidi ila bado hujajibu swali langu.Pengine nimekuelewa Tofauti bro.
Swali lako linauliza kama Aliyeshusha kuran, alishusha kitabu kimoja au vingi vya aina moja?!.
Quran ni moja.
Na nikakujibu (in context)
Quran imeandikwa na masimulizi ya mtume alivyokuwa anashushiwa wahyi kwa kipind cha miaka 23.
(Ila ikaetengenezwa kitabu kimoja - Quran)
Na kuendelea mbele zaid .
kuna hadithi zimeandikwa miaka mamia mbele kuhusu maisha ya mtume na makhalifa wake. ambayo sio quran ni hadithi.
Kuna hadith nying nying ambazo weng huwaza kuwa pemgne ziko kwenywe Quran. wakat haziko.
Jibu hoja nduguMtoa mada anaonekana hajui kuwa maandiko mengi ya Biblia yanaonyesha kuwa kulikuwepo na vitabu, ambavyo havimo ndani ya Biblia. Kitabu kimojawapo ni "KITABU CHA TAREHE CHA WAFALME WA ISRAELI".
"Na mambo yote ya Ahabu yaliyosalia, na yote aliyoyafanya, na nyumba ya pembe aliyoijenga, na miji yote aliyoijenga, je! Hayakuandikwa katika kitabu-cha-tarehe cha wafalme wa Israeli?
(1 Wafalme 22:39).
Swali:
1. Hicho kitabu hivi sasa kiko wapi? (Naomba majibu kwa ushahidi wa ukweli na uhakika).
2. Je, hicho kitabu/vitabu vimepotea, vimefichwa, vimetupwa baharini, vimefukiwa ardhini, vimechomwa moto?
3. Je, kuna uhakika gani kuwa kwenye hicho kitabu/vitabu hakuna habari za hao manabii (Hud, Salih, Dhulkifli na wengineo), ambao Qur'an imewataja?
Waislamu ni lini mtajifunza mijadala ya hoja?Mkuu hujaandoka hoja umetoa somlizi jifunze ifuatavyo katika uandishi;
1.Learn to simmerize your point.
2.Weka hoja zako bayana ili zijibiwe.
3.Weka reference ya source yako.
4.Tenganisha hisaia zako na mada.
5.Ondowa chuki kwa dini unao tuhumu.
Otherwise ulicho andika ni takataka nakujibu kwa only one phrase na kwa ushahidi mzuri.
Leo ndo nimejilizisha kwa uandishi hu wewe sio learned fellow, huna skills kabisa
"Je, ni wapi Hud, Salih, Dhul-Kifl, na wengine waliotajwa na Qur’an wamethibitishwa katika maandiko ya awali au historia yoyote inayotambulika kabla ya Muhammad?"
Matobo kama ya kwenye chekecheUislamu una matobo sana