Hadithi za wapagani wa kiarabu ndani ya Quran

Hadithi za wapagani wa kiarabu ndani ya Quran

" Sema hauabudu wanachoabudu, na Wala hautoabudu wanachoabudu, wewe una dini Yako na wap Wana dini yao" Sehemu ya Tafsiri isiyo rasmi
 
" Sema hauabudu wanachoabudu, na Wala hautoabudu wanachoabudu, wewe una dini Yako na wap Wana dini yao" Sehemu ya Tafsiri isiyo rasmi
Defensive mechanism hii ya Allah na muhamad wasihojiwe
 
Al Kaaba ina pembe 4.
Kuna pembe ina jiwe jeusi. (Hajarul-asward)
Na Kuna pembe inaitwa pembe ye Yemen (kumtukuza dini za Kiyemen pamoja na Manabii wa kipagan uliowataja hapo juu na kuonyesha ushirikiano na makabila yote ya Yemen)

kabla ya mtume kuzaliwa kulikuwa na Al Kaaba nying tu.
(Ref watu wa As habul fiyl . walijenga Al kaaba nyingne Yemen mji wa Sanaa)

na Al kaaba zote hizi zlikuwa zinaabudiwa na wapagani.

Hii Al kaaba ya Meccah hadithi zinasema ilijengwa na Ishmael na baba yake Ibrahim(Refers Historia ya Kabila la Jurhum kutoka Yemen na ushirikiano wa kabila hili na Ishmael)

Soma pia historia ya Wakuresh (wapagan ) walivyokuwa wanaiheshimu Al kaaba .(kabla ya mtume kuanzisha Uislamu).

Al kaaba ya meccah ndio ilikuwa maarufu kwa sababu watu kutoka sehem mbalimbali walikuwa wanaenda kuona kugusa jiwe jeusi kwa kutoa chumvi au dhahabu ili wasamehewe dhambi zao. na ilikuwa inamilikiwa na wapagani.

Hadithi zinasema Miaka mamia mbele Al kaaba ikabomolewa kwenye Vita na kubaki Rundo la udongo.

Hii yote kabla Mtume hajazaliwa.
 
Nimenukuu kutoka kwenye hadith mojawapo

"Alipojulishwa juu ya uamuzi huo, Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Llahu alayhi wasallam) (hii ilikuwa kabla ya kupewa utume) alikubali, na kwa utulivu akaomba kiletwe kitambaa, akakitandaza na kuliweka jiwe jeusi juu yake, kisha akawataka viongozi wa makabila yote kila mmoja akamate upande wa kitambaa, kisha wanyanyuwe kwa pamoja. Wakalinyanyua na walipopafikia mahali pa kuliweka, Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Llahu alayhi wasallam)) akalinyanyua yeye kwa mikono yake miwili na kulirudisha mahali pake.
Kwa njia hii Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Llahu alayhi wasallam) aliweza kulitatua tatizo lililokaribia kuleta umwagaji wa damu mkubwa baina ya Makabila ya Kikureshi, na kila mmoja aliondoka hapo akiwa ameridhika."

Mwisho wa Kunukuu.

Kama hizi hadithi ni za kweli. ina maana jiwe jeusi Lilikuwa na Heshima sana na Lilikuwa linaabudiwa.
Kabla hata Utume wake na Kuanzisha Uislam .

Mohamed alikuwa analithamini.
 
Uislamu unadai kuwa umetokana na mfululizo wa manabii waliotumwa na Mungu mmoja tangu kwa Adamu hadi kwa Muhammad. Hata hivyo, utafiti wa kihistoria na kimaandishi unaonesha kuwa baadhi ya “manabii” wanaotajwa na Qur’an hawapatikani kabisa kwenye Biblia wala historia yoyote ya kweli. Badala yake, majina kama Hud, Salih, Dhul-Kifl, Shu’ayb, na wengine ni simulizi zilizokuwepo miongoni mwa wapagani wa Kiarabu kabla ya Uislamu, na hazina mizizi ya kimungu wala msingi wa maandiko ya kale ya kweli.

HUD NA TAIFA LA ‘AAD – SIMULIZI YA KIAJEMI NA KIARABU YA ZAMANI

Hud anatajwa katika Qur’an kama nabii wa watu wa ‘Aad:

"Na kwa watu wa ‘Aad tuliwatuma ndugu yao Hud."
Qur’an 7:65

Hata hivyo, hakuna maandiko yoyote ya kale – si ya Kiyahudi, Kikristo wala kihistoria – yanayotaja taifa la ‘Aad. Taifa hili linapatikana katika simulizi za kipagani za Arabia Kusini (Hadhramaut na Yemen) kuhusu mji wa kale uliopotea uitwao Iram of the Pillars.

Simulizi hiyo ilikuwapo karne nyingi kabla ya Muhammad. Mwanahistoria wa Kiingereza D. S. Margoliouth, katika kazi yake "Mohammed and the Rise of Islam", anasema:

"The tale of 'Ad and Hud is mythical in nature, preserved in pre-Islamic poetry and Yemeni folklore, rather than based on any prophet known in Judaic or Christian scripture."

Hii inaonyesha kwamba Hud si nabii wa kweli, bali ni mhusika wa hadithi ya kipagani aliyepandikizwa ndani ya Qur'an.

SALIH NA TAIFA LA THAMUD – SIMULIZI ZA MAJINI NA MIUJIZA YA KIASILI

Salih ni jina lingine la Qur'an ambalo halipo kabisa kwenye Biblia. Anatakiwa kuwa nabii wa watu wa Thamud waliomuasi Mungu na kuangamizwa:

"Na kwa watu wa Thamud tuliwatuma ndugu yao Salih."
Qur’an 7:73

Katika hadithi ya Qur'an, Salih anatoa ngamia kutoka kwenye mwamba kama muujiza wa Mungu. Huu ni mfano wa hadithi za kihadithi za majini, mizimu, na wanyama wa maajabu zilizokuwa maarufu kwa Waarabu wa Jahiliyyah.

Ushahidi wa kihistoria:

Hakuna ushahidi wa kiarkeolojia kuhusu taifa la Thamud kama jamii ya kweli yenye historia ya kidini iliyoongozwa na nabii.

Majina haya yamepatikana kwenye mashairi ya kipagani ya kabla ya Uislamu, hususani katika mashairi ya Imru’ al-Qais na Antarah ibn Shaddad.

DHUL-KIFL – NABII AU MFANO WA FIKRA ZA KIFALSAFA?

Dhul-Kifl ametajwa mara mbili tu katika Qur’an (21:85, 38:48), lakini hakuna maelezo ya wazi kuhusu maisha yake wala ujumbe wake.

"Na Ismaili na Idris na Dhul-Kifl. Wote walikuwa miongoni mwa wanaosubiri."
Qur’an 21:85


Hakuna jina hili katika Biblia, wala historia ya Uyahudi au Ukristo. Tafsiri mbalimbali zinajaribu kumlinganisha na Ezekieli, lakini hakuna ushahidi wowote unaounga mkono dai hili.

Watafiti kama T.W. Arnold (Islamic Propaganda in the Time of the Prophet) wanasema:

“Dhul-Kifl seems to be a name drawn from Arabic folklore or misinterpretation of a Hebrew term. There is no evidence he was a prophet in any Judeo-Christian tradition.”


Hii inaonesha kuwa Qur'an ilichukua jina lisilojulikana na kulifanya kuwa nabii, pasipo msingi wa kihistoria.

SHU’AYB – JETHRO AU SIMULIZI MPYA?

Shu’ayb anatambulika katika Uislamu kama nabii wa watu wa Madyan, na wengine hudhani kuwa ni Jethro, mkwe wa Musa. Qur’an inasema:

"Na kwa Madyan tuliwatuma ndugu yao Shu’ayb."
Qur’an 7:85

Hata hivyo, katika Biblia, Jethro hakuwa nabii bali kuhani wa Midiani (Kutoka 3:1), na hakuwahi kuitwa “nabii” wala kutumwa na Mungu kwa ujumbe wa kutubu.

Watafiti kama Montgomery Watt wanahoji kuwa Qur’an inampa Jethro jukumu la nabii kutokana na mila za Waislamu wa kale waliotafuta kufanikisha wazo la kuwa na manabii wengi

"The attribution of prophethood to Shu’ayb, probably derived from Midianite folklore, is an Islamic theological expansion."

MUHAMMAD MWENYEWE HAKUNA MAHALI ANAPOTABIRIWA KATIKA BIBLIA

Tofauti na Yesu, ambaye anatabiriwa tangu Mwanzo 3:15, Isaya 7:14, Mika 5:2, nk. – Muhammad hana unabii wowote wa kweli katika Biblia.

Qur’an inadai kwamba Muhammad ametajwa katika Taurat na Injil:

"... wanamkuta ameandikwa kwao katika Taurati na Injil."
Qur’an 7:157

Lakini hakuna mstari wowote katika maandiko halisi ya Biblia unaomtaja Muhammad kwa jina, kazi, au asili ya kinabii. Hili linathibitishwa na watafsiri wote wa Biblia ya Kiebrania na Kigiriki.

Kwa hivyo, manabii kadhaa waliotajwa katika Uislamu hawana uhusiano wowote na Biblia wala historia ya kweli ya ufunuo wa Mungu. Badala yake:

Ni wahusika wa simulizi za kipagani za Kiarabu.

Wengine walipewa majina ya kubuni au walipachikwa majukumu ya kinabii kwa lengo la kuunda mfululizo wa uwongo wa manabii wa Kiislamu.

Hakuna ushahidi wa kihistoria, maandiko ya kale, wala majina yao kwenye Dead Sea Scrolls, Septuagint, au Maandiko ya Kiebrania.
Mkuu Mimi Binafsi sitakujibu Hizi hoja zako za uongo ila naskitika kuona unapoteza muda mwingi sana kupambana na uislam,unajitahidi kutafuta kila namna kuuchafua/kuufifisha uislam,unajitahidi kutengeneza makala ndefu ndefu na references zisizo na tija wala ukweli ili uaminike na watu wa mlengo wako.
Unaonekana hulali na muda mwingi unaupoteza Kwenye kutafuta namna yoyote kuufubaza uislam.
Lakini pia Naona unapambana sana kuanzisha nyuzi nyingi ambazo ukizichunguza zimejaa chuki zaidi badala ya elimu.
Mkuu nikufahamishe jambo Moja muhimu sana kwamba Juhudi kubwa unayoitumia kuusoma UISLAM UNGEWEKA PEMBENI HIYO "CHUKI" DHIDI YA UISLAM NAAMINI UNGEKUWA MTU WA TOFAUTI NA WA MAANA SANA na ungeifurahia hiyo juhudi ya kuusoma uislam.

NIKUHAKIKISHIE PIA WEWE SIYO WA KWANZA KUUCHAFUA UISLAM,WEWE SIYO WA KWANZA KUTAMANI UISLAM UPOTEE/UFUTIKE/USIWEPO,UISLAM ULIANZA KUPIGWA VITA KUANZIA HUKO KARNE NA KARNE...UISLAM ULIANZA KUPIGWA VITA NA MAJITU YENYE NGUVU NA UWEZO NA YENYE MAMLAKA KUBWA LAKINI MWISHO WAO WALISHINDWA NA WENGINE WALIISHIA KUINGIA KATIKA UISLAM.
KWA JINSI UISLAM UNAVYOPIGWA VITA INGEKUWA NI DINI YA UONGO UNGESHAPOTEA KITAMBO SANA..

UISLAM NI DINI YA KWELI NA NI DINI YA MUNGU MUUMBAJI,ameapa kuulinda Mpaka mwisho wa Dunia hii,ndomana Unaona pamoja na harakati zote mnazozifanya ajabu UISLAM ndo unazidi kustawi kwa kasi kubwa...Ingekuwa DINI ya uongo msingehangaika kiasi Hiki mpk mnashindwa kulala,unauanzishia uislam nyuzi mpk usiku wa manane...mbona huanzishi nyuzi kushambulia uhindu,ubudha nk?
Unashambulia UISLAM kwavile unauelewa kwamba ni UKWELI MTUPU na umegundua
UISLAM Umekuja kuweka bayana HAKI NA BATILI ila chuki ndo imekujaa na shetani amekuoambia kuuchukia DINI hii ya kweli,Uislam haumlazimishi mtu kuufuata mkuu,ni wewe na hiari yako.

WEWE NI MTU MDOGO SANA MKUU,UONGO,CHUKI NA FITNA ZAKO DHIDI YA UISLAM SOON ZITAKUGHARIMU KWA SABABU HUNA MUDA MWINGI UTAONDOKA KWENYE HII DUNIA NA HIKI UNACHOKIANDIKA HAPA UTAKIKUTA,nakuonea huruma siku utakapogundua Huu ukweli wa DINI hii na muda utakuwa umeshapita na Upo chini ya ardhi.
 
Al Kaaba ina pembe 4.
Kuna pembe ina jiwe jeusi. (Hajarul-asward)
Na Kuna pembe inaitwa pembe ye Yemen (kumtukuza dini za Kiyemen pamoja na Manabii wa kipagan uliowataja hapo juu na kuonyesha ushirikiano na makabila yote ya Yemen)
Baadae Waliona kufanya hivyo Uislam utaaminika huko Yemen.

kabla ya mtume kuzaliwa kulikuwa na Al Kaaba zipatazo 26.
na zote zilikuwa zinaabudiwa na wapagani. Ila hii Al kaaba ya Meccah hadithi zinasema ilijengwa na Ishmael na baba yake Ibrahim(Refers Historia ya Kabila la Jurhum kutoka Yemen na ushirikiano wa kabila hili na Ishmael)

Soma pia historia ya Wakuresh (wapagan ) walivyokuwa wanaiheshimu Al kaaba .(kabla ya mtume kuanzisha Uislamu).

Al kaaba ya meccah ndio ilikuwa maarufu kwa sababu watu kutoka sehem mbalimbali walikuwa wanaenda kuona kugusa jiwe jeusi kwa kutoa chumvi au dhahabu ili wasamehewe dhambi zao. na ilikuwa inamilikiwa na wapagani.

Hadithi zinasema Miaka mamia mbele Al kaaba ikabomolewa kwenye Vita na kubaki Rundo la udongo.

Hii yote kabla Mtume hajazaliwa.
Uislamu ni replica ya upagani
 
Mkuu Mimi Binafsi sitakujibu Hizi hoja zako za uongo ila naskitika kuona unapoteza muda mwingi sana kupambana na uislam,unajitahidi kutafuta kila namna kuuchafua/kuufifisha uislam,unajitahidi kutengeneza makala ndefu ndefu na references zisizo na tija wala ukweli ili uaminike na watu wa mlengo wako.
Unaonekana hulali na muda mwingi unaupoteza Kwenye kutafuta namna yoyote kuufubaza uislam.
Lakini pia Naona unapambana sana kuanzisha nyuzi nyingi ambazo ukizichunguza zimejaa chuki zaidi badala ya elimu.
Mkuu nikufahamishe jambo Moja muhimu sana kwamba Juhudi kubwa unayoitumia kuusoma UISLAM UNGEWEKA PEMBENI HIYO "CHUKI" DHIDI YA UISLAM NAAMINI UNGEKUWA MTU WA TOFAUTI NA WA MAANA SANA na ungeifurahia hiyo juhudi ya kuusoma uislam.

NIKUHAKIKISHIE PIA WEWE SIYO WA KWANZA KUUCHAFUA UISLAM,WEWE SIYO WA KWANZA KUTAMANI UISLAM UPOTEE/UFUTIKE/USIWEPO,UISLAM ULIANZA KUPIGWA VITA KUANZIA HUKO KARNE NA KARNE...UISLAM ULIANZA KUPIGWA VITA NA MAJITU YENYE NGUVU NA UWEZO NA YENYE MAMLAKA KUBWA LAKINI MWISHO WAO WALISHINDWA NA WENGINE WALIISHIA KUINGIA KATIKA UISLAM.
KWA JINSI UISLAM UNAVYOPIGWA VITA INGEKUWA NI DINI YA UONGO UNGESHAPOTEA KITAMBO SANA..

UISLAM NI DINI YA KWELI NA NI DINI YA MUNGU MUUMBAJI,ameapa kuulinda Mpaka mwisho wa Dunia hii,ndomana Unaona pamoja na harakati zote mnazozifanya ajabu UISLAM ndo unazidi kustawi kwa kasi kubwa...Ingekuwa DINI ya uongo msingehangaika kiasi Hiki mpk mnashindwa kulala,unauanzishia uislam nyuzi mpk usiku wa manane...mbona huanzishi nyuzi kushambulia uhindu,ubudha nk?
Unashambulia UISLAM kwavile unauelewa kwamba ni UKWELI MTUPU na umegundua
UISLAM Umekuja kuweka bayana HAKI NA BATILI ila chuki ndo imekujaa na shetani amekuoambia kuuchukia DINI hii ya kweli,Uislam haumlazimishi mtu kuufuata mkuu,ni wewe na hiari yako.

WEWE NI MTU MDOGO SANA MKUU,UONGO,CHUKI NA FITNA ZAKO DHIDI YA UISLAM SOON ZITAKUGHARIMU KWA SABABU HUNA MUDA MWINGI UTAONDOKA KWENYE HII DUNIA NA HIKI UNACHOKIANDIKA HAPA UTAKIKUTA,nakuonea huruma siku utakapogundua Huu ukweli wa DINI hii na muda utakuwa umeshapita na Upo chini ya ardhi.
Kadanganya Lipi bro.

Yeye kaleta hadithi . au Heading inasemaje?.

Mimi pia nimeendeleza Hadithi.
Kama ni za uongo bas ww weka hadithi za Kweli kuhusu hao wapagani.
 
Uislamu ni replica ya upagani
alaf kabla ya watu kukushambulia waende kusoma hizo hadithi.

ziko Google. ndio waje na Hadithi inayokinzana na hizo.

Coz Hayo uliyoandika sio maneno yako.
 
Mkuu Mimi Binafsi sitakujibu Hizi hoja zako za uongo ila naskitika kuona unapoteza muda mwingi sana kupambana na uislam,unajitahidi kutafuta kila namna kuuchafua/kuufifisha uislam,unajitahidi kutengeneza makala ndefu ndefu na references zisizo na tija wala ukweli ili uaminike na watu wa mlengo wako.
Unaonekana hulali na muda mwingi unaupoteza Kwenye kutafuta namna yoyote kuufubaza uislam.
Lakini pia Naona unapambana sana kuanzisha nyuzi nyingi ambazo ukizichunguza zimejaa chuki zaidi badala ya elimu.
Mkuu nikufahamishe jambo Moja muhimu sana kwamba Juhudi kubwa unayoitumia kuusoma UISLAM UNGEWEKA PEMBENI HIYO "CHUKI" DHIDI YA UISLAM NAAMINI UNGEKUWA MTU WA TOFAUTI NA WA MAANA SANA na ungeifurahia hiyo juhudi ya kuusoma uislam.

NIKUHAKIKISHIE PIA WEWE SIYO WA KWANZA KUUCHAFUA UISLAM,WEWE SIYO WA KWANZA KUTAMANI UISLAM UPOTEE/UFUTIKE/USIWEPO,UISLAM ULIANZA KUPIGWA VITA KUANZIA HUKO KARNE NA KARNE...UISLAM ULIANZA KUPIGWA VITA NA MAJITU YENYE NGUVU NA UWEZO NA YENYE MAMLAKA KUBWA LAKINI MWISHO WAO WALISHINDWA NA WENGINE WALIISHIA KUINGIA KATIKA UISLAM.
KWA JINSI UISLAM UNAVYOPIGWA VITA INGEKUWA NI DINI YA UONGO UNGESHAPOTEA KITAMBO SANA..

UISLAM NI DINI YA KWELI NA NI DINI YA MUNGU MUUMBAJI,ameapa kuulinda Mpaka mwisho wa Dunia hii,ndomana Unaona pamoja na harakati zote mnazozifanya ajabu UISLAM ndo unazidi kustawi kwa kasi kubwa...Ingekuwa DINI ya uongo msingehangaika kiasi Hiki mpk mnashindwa kulala,unauanzishia uislam nyuzi mpk usiku wa manane...mbona huanzishi nyuzi kushambulia uhindu,ubudha nk?
Unashambulia UISLAM kwavile unauelewa kwamba ni UKWELI MTUPU na umegundua
UISLAM Umekuja kuweka bayana HAKI NA BATILI ila chuki ndo imekujaa na shetani amekuoambia kuuchukia DINI hii ya kweli,Uislam haumlazimishi mtu kuufuata mkuu,ni wewe na hiari yako.

WEWE NI MTU MDOGO SANA MKUU,UONGO,CHUKI NA FITNA ZAKO DHIDI YA UISLAM SOON ZITAKUGHARIMU KWA SABABU HUNA MUDA MWINGI UTAONDOKA KWENYE HII DUNIA NA HIKI UNACHOKIANDIKA HAPA UTAKIKUTA,nakuonea huruma siku utakapogundua Huu ukweli wa DINI hii na muda utakuwa umeshapita na Upo chini ya ardhi.
Umekuja kwa jazba sana,ni wazi hizi hoja ni ngumu sana kwako

Kwanza naomba nianze kwa kusema kuwa mimi siandiki haya kwa chuki, kejeli, wala dhamira ya kuwadhalilisha Waislamu, bali kwa sababu nimeamua kuchunguza kwa kina madai ya Uislamu na kuyapima dhidi ya historia, maandiko, na ushahidi wa kweli.

Ninaandika kwa sababu napenda ukweli siyo kwa kufurahisha upande wowote bali kumfikia Yule Mungu aliye hai na ambaye historia inamshuhudia kwa uwazi.

Niseme pia kuwa hoja nilizowasilisha hazijabuniwa, hazijatungwa, na wala si propaganda kama unavyodai,

Kila nukuu niliyoitumia inatoka katika kazi za watafiti waliotambuliwa kimataifa, wanaoheshimika katika fani za historia, lugha za kale, na maandiko ya dini. Hii ni njia ya kitaalamu ya kutafuta ukweli, si chuki kama ulivyodhani.

Kweli haifai kutishiwa au kujibiwa kwa jazba na kejeri, kweli inapaswa kuchunguzwa na kuthibitishwa.

unasema napoteza muda mwingi kuupiga vita Uislamu,

Kama ninavyochunguza Biblia kwa kina, vivyo hivyo nimeamua kuichunguza Qur'an na historia ya Uislamu kwa makini maana pia Mimi ni muislamu niliyezaliwa ndani ya familia ya kiislamu,nimesoma madrasa na elimu ya Uislamu,.

Hivo kumbuka, mtu hawezi kukosoa kitu asichokijua. Kwa hiyo kama unakuta nakosoa, basi ujue tayari nimekifahamu vizuri.

Kama kweli Qur’an inadai kwamba Muhammad ametajwa katika Biblia (Qur’an 7:157), basi ni halali kabisa kuuliza yuko wapi?

Kama Hud, Salih, na Thamud ni manabii wa kweli, kwa nini hawapo hata kidogo kwenye Biblia, wala katika historia ya Uyahudi na Ukristo? HIZI NDIO HOJA NILITEGEMEA UZISHAMBULIE

Unasema Uislamu umepigwa vita tangu kale lakini haujapotea. Ni kweli kwamba dini nyingi zimepingwa, hata Ukristo ulipigwa vita vikali na Warumi kwa karne tatu kabla ya kushamiri.,KASOME HISTORIA YA ZAMA ZA GIZA,kipindi hicho hata uislamu haupo kabisa ,

Uwepo wa dini hauonyeshi kuwa ni ya kweli hata dini za kipagani kama Hindu, Budha, au dini za wazawa wa Amerika na Afrika zimeendelea kwa karne nyingi bila kupotea.

Kwahiyo hii haimaanishi kuwa ni kweli za kimungu bali inaonesha nguvu ya tamaduni na siasa.

Umeandika kuwa “Uislam ni dini ya Mungu na ametamka kwamba atauhifadhi,hii ni propaganda ndani ya Uislamu,

Naomba tuchunguze hilo. Kama kweli Qur’an ilihifadhiwa moja kwa moja kutoka kwa Mungu, mbona kuna nakala nyingi tofauti zilizowahi kuwepo kabla ya Uthman kuziunguza?

Mbona kuna maandiko ya kale kama Sana’a Manuscripts ambayo yana tafsiri tofauti na Qur’an ya sasa? Kwa nini hakuna hata shahidi mmoja wa kihistoria aliyesikia ufunuo huo wa malaika kwa Muhammad? Na je, si kweli kuwa Muhammad alikulia mazingira ya wapagani na alifundishwa baadhi ya masimulizi ya Biblia,stori za apokrifa za wayahudi na wakristo waasi,kwa masikio tu, bila kuyaona kwa maandiko?HIZI NI HOJA HUWEZI KUZIJIBU

Unasema mimi ni mdogo na haya yatanigharimu baada ya kifo. 😂😂 Unafanya nicheke sana,Mimi nipo ndani ya Yesu,

Ndugu yangu, ni kwa sababu hiyo hasa nimeamua kuchunguza ukweli sasa kabla sijafa. Sitaki kuamini bila hoja, au kwa sababu tu nimerithi ,Mimi NARUDIA nimezaliwa kwenye uislamu na nimekulia humo ila niliukana uislamu ndani ya MSIKITI baada ya Sala ya ijumaa baada ya kuuliza maswali hayakujibiwa,kiukweli sijawahi kujuta,for ndio maamuzi Bora nimewahi kufanya katika maisha yangu,

Sitaki kuwa mfuasi wa dini ambayo manabii wake wengine wamechukuliwa kutoka kwenye simulizi za wapagani bila uthibitisho wa kihistoria wala maandiko ya awali. Hilo si jambo la kuchukulia juu juu.,

Mwisho, nakushukuru kwa kuniambia nisichukie lakini naomba na wewe usikimbie hoja kwa kujiingiza katika lawama au matusi.

Kama kweli dini yako ni ya kweli, basi ikabili hoja na si mtu. Hoja haijibiwi kwa hisia, bali kwa ushahidi.

Sitaki nifuate dini kwa hisia, bali kwa msingi wa ukweli ulio wazi na unaothibitishwa kihistoria.

Na kama uko tayari kujadiliana kwa msingi wa hoja na heshima, mimi niko tayari.

Tufungue Biblia na Qur’an, tusome historia ya Kiyahudi na Kiarabu kabla ya Muhammad, tulinganishe, tuangalie.

Hapo ndipo tutakutana kwenye ukweli, hata kama ni mchungu.
 
alaf kabla ya watu kukushambulia waende kusoma hizo hadithi.

ziko Google. ndio waje na Hadithi inayokinzana na hizo.

Coz Hayo uliyoandika sio maneno yako.
Tatizo waislamu hawataki kutoka nje ya box ,hawataki kuchunguza ukweli wa dini Yao ,
 
Al Kaaba ina pembe 4.
Kuna pembe ina jiwe jeusi. (Hajarul-asward)
Na Kuna pembe inaitwa pembe ye Yemen (kumtukuza dini za Kiyemen pamoja na Manabii wa kipagan uliowataja hapo juu na kuonyesha ushirikiano na makabila yote ya Yemen)

kabla ya mtume kuzaliwa kulikuwa na Al Kaaba nying tu.
(Ref watu wa As habul fiyl . walijenga Al kaaba nyingne Yemen mji wa Sanaa)

na Al kaaba zote hizi zlikuwa zinaabudiwa na wapagani.

Hii Al kaaba ya Meccah hadithi zinasema ilijengwa na Ishmael na baba yake Ibrahim(Refers Historia ya Kabila la Jurhum kutoka Yemen na ushirikiano wa kabila hili na Ishmael)

Soma pia historia ya Wakuresh (wapagan ) walivyokuwa wanaiheshimu Al kaaba .(kabla ya mtume kuanzisha Uislamu).

Al kaaba ya meccah ndio ilikuwa maarufu kwa sababu watu kutoka sehem mbalimbali walikuwa wanaenda kuona kugusa jiwe jeusi kwa kutoa chumvi au dhahabu ili wasamehewe dhambi zao. na ilikuwa inamilikiwa na wapagani.

Hadithi zinasema Miaka mamia mbele Al kaaba ikabomolewa kwenye Vita na kubaki Rundo la udongo.

Hii yote kabla Mtume hajazaliwa.
Utakuta badala wapinge wanakuja na matusi, kejeri ,na jazba

Kama uislamu dini ya kweli kwanini haiwezi kujitetea ?
 
Hv aliyeshusha kuran, alishusha kitabu kimoja au vingi vya aina moja?
Una hoja ndugu yangu.

Kuna Quran na Hadithi
1. Quran - imeandikwa kwa miaka 23 na ni kidogo kidogo na pale kila mara mtume alipokuwa anashushiwa wahyi na Allah

2. Hadithi - imeandika matendo ambayo mtume aliyafanya na kuangazia maisha yake binafsi kama binadamu pamoja mafundisho yake na wafuasi na makhalifa wake .

Iko tofauti ila ni kitu kimoja.
 
Back
Top Bottom