Mtumwa wa kweli
Member
- Feb 11, 2011
- 71
- 6
Katika hadithi za kutisha utotoni mimi naikumbuka ya yule mtoto mkorofi aliyebebwa na Jogoo miguu juu kichwa chini, nilikuwa nikimuona jogoo nakimbia ile mbaya.
Je wewe wakumbuka ipi??
Je wewe wakumbuka ipi??