Sio mbaya wakiweka kipindi kama hicho muda ambao ni rafiki kwa watu wazima tu.RFA Ilishakufa! Wanajitahidi kurudi lakini wapiii,ndio mana Wana force hata vitu vya ajabu ili kupata popularity
Nikupeleke Tanganyika mkuu. Ila usiogopeHivi uwa mnaamini?
Hahahaha! Wajuvi wa mambo hayo kama Mshana Jr anafaham jamaa anatupa matango au kweli tupu.Hivi uwa mnaamini?
Kwani Mshana Jr. unayemuamini ni Mungu? Unajuaje au unathibitisha vipi km mambo anayokuambiaga si Matango pori? Acheni kuwaabudu baadhi ya watu na kudharau wengine.Hahahaha! Wajuvi wa mambo hayo kama Mshana Jr anafaham jamaa anatupa matango au kweli tupu.
Awe Makini WatamuuaUzi wake wa JF aliuachia nusu tu akapotea , alaf jamaa inaonekana kaamua kuvujisha siri baada ya kunyang'anywa vitendea kazi Sasa kaamua kuvunisha siri ili awakomoe wale washirikina wenzake
We jamaa! nadhan umeenda extra maili! Mshana kupitia threads zake, no doubt kuwa anaufaham wa mambo hayo!Kwani Mshana Jr. unayemuamini ni Mungu? Unajuaje au unathibitisha vipi km mambo anayokuambiaga si Matango pori? Acheni kuwaabudu baadhi ya watu na kudharau wengine.
Kusema imekufa sio kweliRFA Ilishakufa! Wanajitahidi kurudi lakini wapiii,ndio mana Wana force hata vitu vya ajabu ili kupata popularity
Labda uzungumzie kuhusu watoto ku cort vibaya lkn Kuna mafundisho mengi Sana hasa kea vijana wanaotafuta maisha kea njia ya short Kati, iwe ni kweli au si kweli muhimu ni mafundisho n'a onyo kwa vijana.Wanabodi.
Radio Free Africa wanarusha kipindi cha sito sahau kila Jumapili saa nne na kuendelea.
Sasa hivi kuna hadithi ya jamaa anaye jiita Lwanda Magere! nimesikiliza hadithi yake kwa baadhi ya episode zake! Jamaa kiukweli kwa maneno yake mwenyewe, anakiri kuua watu wengi sana hasa kupitia ajali za Magari, na bahati mbaya amekuwa akitamka hadi ajali alizohusika.
Wito wangu! Management ya Radio Free Africa, haioni kama inaamsha uchungu kwa watu waliopoteza wapendwa wao katika ajali hizo? lakini pia haioni kama inahatarisha uhai wa huyo Lwanda Magere sababu watu wanaweza mfanyia kitu kibaya.
Hadithi ya Lwanda Magere inaweza kuwa na Fundisho au kutokuwa na umuhim kwa jamii yetu, story ime base kwenye mambo mabaya na machafu kuyasikia katika Radio Kubwa kama Radio Free Africa inayosikilizwa mpaka na watoto wadogo.
Rai yangu:
Kwakuwa hadithi imeonekana kuwa na mambo mengi kama kuua, umalaya, uzalilishaji, na hata ushirikina! ni wakati sasa hadithi hii ikarushwa usiku kuanzia labda saa nne usiku, ili kuepuka hawa watoto.
Na kwakuwa watu wanaifuatilia, hata mkiweka mida hiyo bado mtapata wateja wenu.
Nawasilisha.
Tuwekee ya Jambazi mtoto mkuuLwanda Magere naona kama anapiga tu story za changamsha genge tu.
Mtu ambaye namkubali ambaye alifanya kipindi cha kweli ni Jonathan Meshaki aka Kagame Jambazi Mtoto au Kipindi cha Ali Thabit Muandishi wa HAbari mwenye ulemavu wa macho,Zabron naye ni tantalila mtu wa kutupiga kamba.
Tuwekee ya Jambazi mtoto mkuu