Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Inaendelea

Samahani jamani story ni ndefu kinoma na ninataka kuwaletea tukio baada ya tukio.

Siku ile nilivyomwacha yule Manzi angu kwa msela wangu basi nilimuhadi nitakuja kumuona mida na 20k juu nikamuachia.Nilirud pale dukani kumsubir yule dada aje nimkabidhi then nisepe kwenye mawe yangu.

Mchana nilirud pale kwa msela kumchek manz hakuwepo aisee..kumtafuta kwenye simu akanambia kuwa karud kwao nikasema vizr kama amerud kwao.Kiukweli huyu demu ni vile tu nilikua nampenda maana ndo demu wangu wa kwanza ( baada ya sugar mumy ) kumpenda nilikua nampa kila anachokitaka kama kiko kwenye uwezo wangu.

Kumbe cku hyo anambia kuwa karud kwao kumbe alinidanganya hakua kwao alikua mitaani tu anapojua yeye, nilichukia hicho kitendo lakin usiku kama kawaida alinambia nimfate kuwa kafukuzwa tena kwao, nilimfuata nikaja nae yena dukani cku hyo alisema kuwa kachoka kusex nilimlazimisha we lakin wapi nikamuacha tu na K yake.

Ila huyu Manzi aisee cjui alinichota sana akili zangu nilikua sina usemi kwake, kuna siku alikuja Ps bila taarifa akanikuta niko na mwanafunzi mmoja wa Bukanga high school ( kalikua kamchepuko kangu ) alimzingua vby mno huyo mwanafunz, Mwanafunz alivyosepa, huyo manz alinichukulia simu yangu kwa nguvu akatoa laini yangu ya voda akaichukua kibabe na akanambia ni msindikize buhare.Kumbe huko buhare alikua anamsela wake yaani kifupi ni kwamba nilimsindikiza manzi yangu magetoni mwa huyo msela wake ( nilikua cjui nilikuja kujua cku zimepita ).

Huu mwaka nilkua na Mademu wengi ngoja niwaelezee kwanza hawa wawili before cjamuelezea huyo manzi.

Nianze na huyu wa kwanza alikua anapigo za ki tomboy, alikua ni mgeni pale mtaani mara ya kwanza kumuona nilikua naenda cku hyo zoezi la kwaya.Nikamuona mtoto mrembo lakin pigo za kiume nilipishana bila kumpa hi nilisema tu hichi chombo cha wapi, nilivyotoka zoez nilipitia ps kama kawaida wakat tunarud home tena nikakaona kako dukani.

Nilimpeleleza nikajua anapoishi ( alikua anakaa na mama ake mdogo ambaye ni matron shule ya msingi )...nilikua na muwinda anipe no kweli cku moja nilimbahatisha akanipa no zake, lakini text zake sasa nizile oyi, inakuaje na nyingine kama hizo nikajua hapa sina sipati kitu manzi kaniona me ni msela wake.

Nilimtongoza akanitolea nje karoho kaliniuma nikasema fresh mazoea nilianza kuyapunguza kwake mdogo mdogo nilikua ctaki niwe na urafiki nae tofaut na mapenzi.

Kuna siku nilichelewa kutoka zoez la kwaya ko ps ckwenda niliamua tu kurud home moja kwa moja, kama bahat nilikutana nae anatoka dukani, nilimpa mambo afu nikaendelea na safar alikosea kuniita nilirud akanambia mbn namkaushia ckuiz text ctumii, nikamwambia nimeuwawa cna vocha akanambia mida niendee kwao kufata.

Nilimwambia na mamdogo ake vipi c atazingua akanambia yupo mwenyewe ( mamdogo ake alikua zamu ya usiku cku hyo )..nilimwambia fresh nitakuja, ila nilijua tu ni utani ko ckutilia maanani sana, nilielekea home midaa ya sanne alini text akanambia kama naenda kuchukua vocha au siendi afunge geti, nilisema kumbe hyu demu yupo serious...nilimjibu naenda ckupoteza muda nilipiga mswaki kwanza ( maana nilikua nimekula dagaa siku hyo ) kwa ajili ya lolote litakalo tokea.

Nilifika kwao nikiwa nje ya geti alitoka kunifuata akanitaka niinge ndani nichukue vocha nikazuga ctaki kuingia akanambia basi kama utaki kuingia vocha anipi, niliingia ndani.Siku hyo huyo tomboy alivaa zile skin tight za suruali ilikua nyeusi pia alikua ana litishet likubwa linamfikia magotini.

Tuliingia ndani wasiwasi kwa mbali maana ni kwa watu.Ndani mwao palikua pazur sana, nilikuta anaangalia mpira ( uefa )....huyu demu alikua anajikuta cjui nani yaan mpk mambo ya mpira anayajua.

Nilifika ndani nikakaa kwenye sofa la size ya kati yeye akakaa sofa kubwa tukawa kimya kwa muda nikavunja ukimya nikamwambia anipe vocha yangu nisepe, alitoa buku tano akanirushia nilichukua, nikamfuata alipokaa kumshika paja anazingua anautoa mkono wangu, nilimlaza kwenye sofa sasa inshu ilkua ni kumvua nguo zake, tulipambana sana mpk nikasarenda mwenyewe ko nikaamua kuondoka lakni alikua hataki.Niliamua sasa nilimvua nguo zote inshu ikawa kusex nae tena nilitokwa na jasho cku hyo, kalibana miguu hatari nilimkunjua mpk akakubali, nilimkuta hata siyo bikra ila njia ilikua ndogo ko nilisex nae mpaka nilichubuka, nilienda saa nne nikatoka saa tisa.

Tulivyomaliza kusex alianza kunirusha roho na vimaneno vyake, eti kuwa we una sex na mtu usiye mjua kiundani, mapigo ya moyo yalikimbia sana nikawa najiuliza ana ukimwi ndo maana alikua anakataa kusex, nilisema nimekwisha kijana wa watu.Niliwai home nikanawa vizur lakin mchubuko ilikua ni mkubwa kidogo nilijilaumu kwanini nilikutana na huyo Tom boy.Kesho yake niliamka na mawazo kinyama nikasema dawa ni kuto kupima hyo h.i.v, cku zilipita mchubuko ulipona tena nikaendelea kusex nako bila kinga nikisema kufa ni kufa tu.

Nimalize tu huyu Manzi kuna siku alinambia kuwa ana mimba akanionyesha na ki chet cha maabala ckuikataa mimba niliifurahia tu, lakini demu aliondoka mpk leo hatujaona ila tulikua tuna wasiliana now ana watoto wawili mmoja ndo huyo wangu mtoto ni wakike mara ya mwisho nilimuona 2019 mwishoni alinitumia picha yake tokea hapo mpk leo mawasiliano hayapo baina yetu.


Nitarud kumwelezea huyo wa pili
Hahahaaaa we jamaa...umenikumbusha mbali eti 'oi, niaje'. By the way tomboy huwa watam balaa maana hawagongwag sana sabab ya ubishi wao. Na kuwagonga kwao mara nyingi ni by chance au u-take advantage awe mitungi
 
Sasa mkuu kwanamna ulivyokuwa mwizi kule dukani kwa yule dada ulipokuwa unalala hukuiba chochote kweli?
hapana ckuchukua hata pipi, nilikua na muheshimu sana huyo mdada pia nilikua cna shida sana pesa ps ilikua inanipa hela
 
Hahahaaaa we jamaa...umenikumbusha mbali eti 'oi, niaje'. By the way tomboy huwa watam balaa maana hawagongwag sana sabab ya ubishi wao. Na kuwagonga kwao mara nyingi ni by chance au u-take advantage awe mitungi
hawa ma tomby huwa wanajikuta sana ni wasela
 
22/3 yrs unasimulia str ya maisha yako mkuu kweli?
Ukifikisha 42/3 utarudi tena kusimulia?
Lkn kiukweli makundi yale Makhirikhiri na mengine dah yalikuwa htr sana!
 
Inaendelea

Huyu Manzi wa pili alikua ni msabato Pure yaani hata namna ya kumwingilia umtongoze inakua kesi nyingine.

Nilikutana nae Fb mwaka 2017 sema tu ckumtilia maanani sana.Namba zake ilkua tabu kunipa ila kuna cku alinipa no zake za whatsapp tu.nilimueleza navyompenda alinambia hayupo tayar maana ana mchumba anasomea uchungaji Ko ana future nae yaani alinitumia na picha ya huyo mchumba wake.

Nilimuomba anione huruma bila yeye mimi c chochote lakin alinikazia kinoma.Nilimwambia cku akiwa tayar me nipo mwingi tu namsubiri.

Mwaka 2018 ndo tulionana..................

Kuna siku nilichat nae usiku.Siku hyo alikua amechangamka sana mara aniweke Dp mara amueke huyo mchumba wake, me nilimuomba tukutane kesho yake hata nimuone ( maana nilkua cjawai muona live tofaut na Fb )...alizingua lakin nilimkazania mpaka akakubali.

Yaani kwa wakati huo nilikua na madem wengi wengi sema ndo walikua hawajui.

Kesho yake nilienda kwenye mawe kama kawaida lakin simu muda wote nilikua nayo, mida ya sanne alini text kuwa saa Tisa mchana atakua amefika sehem tuliyokubaliana, nilifurahi nikamwambia huyo rafiki tunaye choma nae mawe kuwa nitawai kuondoka, jamaa hakuwa na shida sana.

Ilifika saa nane demu aka nitext kuwa anajiandaa....nilitupa nyudo ya mawe nikakimbia bafun kwao huyo rafiki angu, nilioga speed nikasepa home kwenda kubadili nguo, nilikua naona kama sifiki home niliamua kupanda boda ili niwai.

Nilimaliza kujiandaa na mimi nikatoka kwenda M-pesa kutoa kahela kidogo kwa ajili ya chochote kitakacho tokea.Nilivyokua M-pesa manzi alinitumia text kuwa yupo kwenye boda anakuja.

Tulikubaliana tukutane Pensula beach ( complex ) sasa mimi nilienda nikasimama pale kwenye lile bango la pensula ili iwe rahisi kumuona akiwa anakuja.nilisimama karibu dakika 20 mtu atokei kumtext naona kimya, nikajua tu kanidanganya tu yaani nimeoga bure bure tu.

Manzi alitext kuwa amefika nikamwambia mbn sikuoni, alianambia kafika niendee kumfuata.Nilidhani labda atakua kaenda pale Musoma hotel ko nikawai kwenda kumuona ( Musoma hotel na pensula beach zinapakana )....huko nako nilikuta chafu yani mtu hayupo, nikajua labda yupo kule bwalo la police, kabla cjaenda bwalo la police nilimpigia kumuuliza vizur kumbe alikosea yeye alienda kule Tembo beach.

Nilimuelekeza vizur ndani dakika 15 hivi akawa amefika pale complex.Nilivyomuona nilimpenda tena kwa mara ya pili manz ni mrembo kavaa kiheshima mpk raha.Alitoa kipoch chake ili amlipe boda kidume nikasema namaliza, nililipa hela ya boda tukaondoka kuelekea beach.

Complex kwa wakat huo ilikua haina watu wengi sana kama zamani.Niliamua kumpeleka mlimani ( kuna sehem imetengenezwa vizur alafu kuna vinyumba huko juu )...kwanza aliniuliza nampeleka wap kwanini tusikae kwa huku chini, nilikosa majibu mazur ila nilimwambia huko chin waongo wengi.

Nilipanda nae mlimani ( kuna ngazi zipo zimejengewa ) tukafika sehemu moja tulivu sana.tulipiga story zikaisha akawa anataka nimwambie nimemuitia nini pale. me muda wote huo nilikua namlia time tu akae vizur.

Nilijarbu kumshika kiuno alinitoa mkono akasimama juu akiwa kanuna, alinambia mapenz hayaja mleta pale...duh niliona nimeharibu me nae nilimjibu kama mapenz hayajamleta kaletwa na nini pale si aondoke, alizingua balaa lkn me nilimwambia anipe hata mate tu ndo asepe akakataa, ckutaka kumtolea hela maana angeniona kama na uchu sana nilimuacha akijiona mjanja sana.

Cku hyo hyo usiku alinitafuta akanipa no zake nyingine za simu zile nyingine alinambia nifute kasoro za whatsapp...tulichat mwishoe alinikubalia ila akanipa mashart tusifanye mapenz mpk cku ya ndoa alinipa na vifungu vya biblia nilimkubalia tu ( moyon nilisema hyo kitu haipo )..cku moja ilikua jumamos tulihaidiana kukutana mchaana baada ya ibada.Tulikua tunasali makanisa tofauti sasa cku hyo ilipofika saa kumi alinipigia simu akanambia anakuja Kanisan kwetu, kweli alikuja nikaondoka nae kwenda home.

Cjui alijua nia yangu maana alikuwa anasita kuingia ndani nilimlazima wee mpk akaingia, cku muacha cku nilimshawish tufanye sex aligoma akataka kusepa nikawai kufunga mlango wa kutokea nje.

Alinambia kwanini nataka kuvunja Sabato nilikosa la kusema nilimwambia asijali mambo yatakua sawa tu.Alinipa sex kishingo upande ila ckuifurahia maana niliona nimemkosea Mungu kufanya mapenz cku ya Jumamos tunaambiwa ni laana kubwa. Usiku nilimuomba Mungu msamaha.

Penz letu liliendelea alikua ananitunuku Sex bila shida.sema ckupenda tu alivyokua ananipelekesha kama mtoto nilimuacha ma yeye kisiri siri ila mpk leo bado ni wapenzi japokua kashaolewa na huyo mchumba wake, now wanaishi Bunda Mjini.


Nitarud tena
 
Back
Top Bottom