Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Inaendelea

Huyu Manzi wa pili alikua ni msabato Pure yaani hata namna ya kumwingilia umtongoze inakua kesi nyingine.

Nilikutana nae Fb mwaka 2017 sema tu ckumtilia maanani sana.Namba zake ilkua tabu kunipa ila kuna cku alinipa no zake za whatsapp tu.nilimueleza navyompenda alinambia hayupo tayar maana ana mchumba anasomea uchungaji Ko ana future nae yaani alinitumia na picha ya huyo mchumba wake.

Nilimuomba anione huruma bila yeye mimi c chochote lakin alinikazia kinoma.Nilimwambia cku akiwa tayar me nipo mwingi tu namsubiri.

Mwaka 2018 ndo tulionana..................

Kuna siku nilichat nae usiku.Siku hyo alikua amechangamka sana mara aniweke Dp mara amueke huyo mchumba wake, me nilimuomba tukutane kesho yake hata nimuone ( maana nilkua cjawai muona live tofaut na Fb )...alizingua lakin nilimkazania mpaka akakubali.

Yaani kwa wakati huo nilikua na madem wengi wengi sema ndo walikua hawajui.

Kesho yake nilienda kwenye mawe kama kawaida lakin simu muda wote nilikua nayo, mida ya sanne alini text kuwa saa Tisa mchana atakua amefika sehem tuliyokubaliana, nilifurahi nikamwambia huyo rafiki tunaye choma nae mawe kuwa nitawai kuondoka, jamaa hakuwa na shida sana.

Ilifika saa nane demu aka nitext kuwa anajiandaa....nilitupa nyudo ya mawe nikakimbia bafun kwao huyo rafiki angu, nilioga speed nikasepa home kwenda kubadili nguo, nilikua naona kama sifiki home niliamua kupanda boda ili niwai.

Nilimaliza kujiandaa na mimi nikatoka kwenda M-pesa kutoa kahela kidogo kwa ajili ya chochote kitakacho tokea.Nilivyokua M-pesa manzi alinitumia text kuwa yupo kwenye boda anakuja.

Tulikubaliana tukutane Pensula beach ( complex ) sasa mimi nilienda nikasimama pale kwenye lile bango la pensula ili iwe rahisi kumuona akiwa anakuja.nilisimama karibu dakika 20 mtu atokei kumtext naona kimya, nikajua tu kanidanganya tu yaani nimeoga bure bure tu.

Manzi alitext kuwa amefika nikamwambia mbn sikuoni, alianambia kafika niendee kumfuata.Nilidhani labda atakua kaenda pale Musoma hotel ko nikawai kwenda kumuona ( Musoma hotel na pensula beach zinapakana )....huko nako nilikuta chafu yani mtu hayupo, nikajua labda yupo kule bwalo la police, kabla cjaenda bwalo la police nilimpigia kumuuliza vizur kumbe alikosea yeye alienda kule Tembo beach.

Nilimuelekeza vizur ndani dakika 15 hivi akawa amefika pale complex.Nilivyomuona nilimpenda tena kwa mara ya pili manz ni mrembo kavaa kiheshima mpk raha.Alitoa kipoch chake ili amlipe boda kidume nikasema namaliza, nililipa hela ya boda tukaondoka kuelekea beach.

Complex kwa wakat huo ilikua haina watu wengi sana kama zamani.Niliamua kumpeleka mlimani ( kuna sehem imetengenezwa vizur alafu kuna vinyumba huko juu )...kwanza aliniuliza nampeleka wap kwanini tusikae kwa huku chini, nilikosa majibu mazur ila nilimwambia huko chin waongo wengi.

Nilipanda nae mlimani ( kuna ngazi zipo zimejengewa ) tukafika sehemu moja tulivu sana.tulipiga story zikaisha akawa anataka nimwambie nimemuitia nini pale. me muda wote huo nilikua namlia time tu akae vizur.

Nilijarbu kumshika kiuno alinitoa mkono akasimama juu akiwa kanuna, alinambia mapenz hayaja mleta pale...duh niliona nimeharibu me nae nilimjibu kama mapenz hayajamleta kaletwa na nini pale si aondoke, alizingua balaa lkn me nilimwambia anipe hata mate tu ndo asepe akakataa, ckutaka kumtolea hela maana angeniona kama na uchu sana nilimuacha akijiona mjanja sana.

Cku hyo hyo usiku alinitafuta akanipa no zake nyingine za simu zile nyingine alinambia nifute kasoro za whatsapp...tulichat mwishoe alinikubalia ila akanipa mashart tusifanye mapenz mpk cku ya ndoa alinipa na vifungu vya biblia nilimkubalia tu ( moyon nilisema hyo kitu haipo )..cku moja ilikua jumamos tulihaidiana kukutana mchaana baada ya ibada.Tulikua tunasali makanisa tofauti sasa cku hyo ilipofika saa kumi alinipigia simu akanambia anakuja Kanisan kwetu, kweli alikuja nikaondoka nae kwenda home.

Cjui alijua nia yangu maana alikuwa anasita kuingia ndani nilimlazima wee mpk akaingia, cku muacha cku nilimshawish tufanye sex aligoma akataka kusepa nikawai kufunga mlango wa kutokea nje.

Alinambia kwanini nataka kuvunja Sabato nilikosa la kusema nilimwambia asijali mambo yatakua sawa tu.Alinipa sex kishingo upande ila ckuifurahia maana niliona nimemkosea Mungu kufanya mapenz cku ya Jumamos tunaambiwa ni laana kubwa. Usiku nilimuomba Mungu msamaha.

Penz letu liliendelea alikua ananitunuku Sex bila shida.sema ckupenda tu alivyokua ananipelekesha kama mtoto nilimuacha ma yeye kisiri siri ila mpk leo bado ni wapenzi japokua kashaolewa na huyo mchumba wake, now wanaishi Bunda Mjini.


Nitarud tena
Hahahaaaa...mission accomplished
 
Inaendelea

Huyu Manzi wa pili alikua ni msabato Pure yaani hata namna ya kumwingilia umtongoze inakua kesi nyingine.

Nilikutana nae Fb mwaka 2017 sema tu ckumtilia maanani sana.Namba zake ilkua tabu kunipa ila kuna cku alinipa no zake za whatsapp tu.nilimueleza navyompenda alinambia hayupo tayar maana ana mchumba anasomea uchungaji Ko ana future nae yaani alinitumia na picha ya huyo mchumba wake.

Nilimuomba anione huruma bila yeye mimi c chochote lakin alinikazia kinoma.Nilimwambia cku akiwa tayar me nipo mwingi tu namsubiri.

Mwaka 2018 ndo tulionana..................

Kuna siku nilichat nae usiku.Siku hyo alikua amechangamka sana mara aniweke Dp mara amueke huyo mchumba wake, me nilimuomba tukutane kesho yake hata nimuone ( maana nilkua cjawai muona live tofaut na Fb )...alizingua lakin nilimkazania mpaka akakubali.

Yaani kwa wakati huo nilikua na madem wengi wengi sema ndo walikua hawajui.

Kesho yake nilienda kwenye mawe kama kawaida lakin simu muda wote nilikua nayo, mida ya sanne alini text kuwa saa Tisa mchana atakua amefika sehem tuliyokubaliana, nilifurahi nikamwambia huyo rafiki tunaye choma nae mawe kuwa nitawai kuondoka, jamaa hakuwa na shida sana.

Ilifika saa nane demu aka nitext kuwa anajiandaa....nilitupa nyudo ya mawe nikakimbia bafun kwao huyo rafiki angu, nilioga speed nikasepa home kwenda kubadili nguo, nilikua naona kama sifiki home niliamua kupanda boda ili niwai.

Nilimaliza kujiandaa na mimi nikatoka kwenda M-pesa kutoa kahela kidogo kwa ajili ya chochote kitakacho tokea.Nilivyokua M-pesa manzi alinitumia text kuwa yupo kwenye boda anakuja.

Tulikubaliana tukutane Pensula beach ( complex ) sasa mimi nilienda nikasimama pale kwenye lile bango la pensula ili iwe rahisi kumuona akiwa anakuja.nilisimama karibu dakika 20 mtu atokei kumtext naona kimya, nikajua tu kanidanganya tu yaani nimeoga bure bure tu.

Manzi alitext kuwa amefika nikamwambia mbn sikuoni, alianambia kafika niendee kumfuata.Nilidhani labda atakua kaenda pale Musoma hotel ko nikawai kwenda kumuona ( Musoma hotel na pensula beach zinapakana )....huko nako nilikuta chafu yani mtu hayupo, nikajua labda yupo kule bwalo la police, kabla cjaenda bwalo la police nilimpigia kumuuliza vizur kumbe alikosea yeye alienda kule Tembo beach.

Nilimuelekeza vizur ndani dakika 15 hivi akawa amefika pale complex.Nilivyomuona nilimpenda tena kwa mara ya pili manz ni mrembo kavaa kiheshima mpk raha.Alitoa kipoch chake ili amlipe boda kidume nikasema namaliza, nililipa hela ya boda tukaondoka kuelekea beach.

Complex kwa wakat huo ilikua haina watu wengi sana kama zamani.Niliamua kumpeleka mlimani ( kuna sehem imetengenezwa vizur alafu kuna vinyumba huko juu )...kwanza aliniuliza nampeleka wap kwanini tusikae kwa huku chini, nilikosa majibu mazur ila nilimwambia huko chin waongo wengi.

Nilipanda nae mlimani ( kuna ngazi zipo zimejengewa ) tukafika sehemu moja tulivu sana.tulipiga story zikaisha akawa anataka nimwambie nimemuitia nini pale. me muda wote huo nilikua namlia time tu akae vizur.

Nilijarbu kumshika kiuno alinitoa mkono akasimama juu akiwa kanuna, alinambia mapenz hayaja mleta pale...duh niliona nimeharibu me nae nilimjibu kama mapenz hayajamleta kaletwa na nini pale si aondoke, alizingua balaa lkn me nilimwambia anipe hata mate tu ndo asepe akakataa, ckutaka kumtolea hela maana angeniona kama na uchu sana nilimuacha akijiona mjanja sana.

Cku hyo hyo usiku alinitafuta akanipa no zake nyingine za simu zile nyingine alinambia nifute kasoro za whatsapp...tulichat mwishoe alinikubalia ila akanipa mashart tusifanye mapenz mpk cku ya ndoa alinipa na vifungu vya biblia nilimkubalia tu ( moyon nilisema hyo kitu haipo )..cku moja ilikua jumamos tulihaidiana kukutana mchaana baada ya ibada.Tulikua tunasali makanisa tofauti sasa cku hyo ilipofika saa kumi alinipigia simu akanambia anakuja Kanisan kwetu, kweli alikuja nikaondoka nae kwenda home.

Cjui alijua nia yangu maana alikuwa anasita kuingia ndani nilimlazima wee mpk akaingia, cku muacha cku nilimshawish tufanye sex aligoma akataka kusepa nikawai kufunga mlango wa kutokea nje.

Alinambia kwanini nataka kuvunja Sabato nilikosa la kusema nilimwambia asijali mambo yatakua sawa tu.Alinipa sex kishingo upande ila ckuifurahia maana niliona nimemkosea Mungu kufanya mapenz cku ya Jumamos tunaambiwa ni laana kubwa. Usiku nilimuomba Mungu msamaha.

Penz letu liliendelea alikua ananitunuku Sex bila shida.sema ckupenda tu alivyokua ananipelekesha kama mtoto nilimuacha ma yeye kisiri siri ila mpk leo bado ni wapenzi japokua kashaolewa na huyo mchumba wake, now wanaishi Bunda Mjini.


Nitarud tena
story zako nzuri sana mwanangu, mpaka natamani uwe mwanangu wa damu kabisa maana, kwenye utulivu wa dini upo, kwenye usera mavi usera nondo umo, kwenye pilikapilika za maisha umo, kwenye undava umo yaaani mwanangu maisha ambayo hauna ni ya kishua tuu
 
story zako nzuri sana mwanangu, mpaka natamani uwe mwanangu wa damu kabisa maana, kwenye utulivu wa dini upo, kwenye usera mavi usera nondo umo, kwenye pilikapilika za maisha umo, kwenye undava umo yaaani mwanangu maisha ambayo hauna ni ya kishua tuu
pamoja sana man yani umenikumbusha kuna demu mmoja hivi alikua ni wakishua sana kwao sasa cku mija alinambia anapenda life style yangu yani akiniona mitandaoni ni tofaut na akiniona mtaa, tupo pamoja man nakubali sana 👊🏻👊🏻👊🏻
 
Mniwie radhi ndugu zangu kwa kuchelewa kuweka najua nawakata stimu lakin wikendi ndo nipo free sana.

Tuendelee......

Mwaka 2013 ckufanya matukio ya kuteka na kupora nilipumzika, niliwaza sana kuhusu maisha ninayoishi nikajisemea " niwe serious na kitabu " kumbe ndo nilijikosea kuwaza maana niliingia kwenye mahaba mazito na Jirani yangu ( Sugar mumy ) hii nilishaiongelea kwenye thread iliyopita ko tuiache kwanza.

Kimasomo nilkua chini sana plus skendo zangu kumfikia Mama kisha Mama kumwambia mzee.Mzee aliongea mambo magumu sana kwangu alinambia Live kuwa hajaniweka kwenye urithi wake mbele ya Mama angu na kudai me sio Mwanae ko nimalize tu form 4 then niondoke kwake.Binafsi siku yajali maneno yake.Kwenye akili yangu alikuwepo huyo sugar mumy wangu.

Maisha yaliendelea nikamaliza shule vizr nikabaki kusubir matokeo kama yatafanya nifukuzwe home ama nibaki.Kuna siku lilitokea tukio moja kubwa sana home yaani mpk sikuiz nikilikumbuka huwa cjiksikii poa kabisa.

Ni mgogoro wa kifamilia kati ya Mzee na Mama.Mzee wangu ni mzee wa totozi alikua anazila sana lakin sasa wivu kwa mke wake ndo usiseme.Nakumbuka tu siku ambayo ilkua ni jumapili usiku nisingekuwa pengine mimi Mama angu alikua anauwawa tena kikatili sana.

Siku tulikua mezani tunakula Mimi, wadogo wa tatu na Mama ghafla Akaja Mzee yupo tungi ila sio sana alijumuika na sisi kula vizur tu huku asemi chochote.Ghafla kwenye simu ya Mama text ikaingia simu ilikua kwenye meza ya tv ko Mama kama aliipuuza hyo text Mzee akainuka kwenda kuisoma naona akanawa akaenda chumbani mwake kisha akarudi na Nguo, alinambia " ukimaliza kula uninyooshe nguo " nikasema sawa baada ya kumaliza kula Mama nae alielekea Chumbani me nikabaki sebuleni na madogo wakati huo nanyoosha nguo za mzee.

Mara chumbani kukaanza kusikika makelele ya watu kugombezana.Mara Mother akaja sebuleni huku analia alitwambia tu anaondoka amechoka na vituko vya mzee kisha akarudi chumbani kukusanya nguo asepe zake ( wakati huo ni saa 4 inaelekea saa 5 usiku ).Mzee naye alitoka chumbani akaenda nje kisha akarudi ndani jikon kulikua na Panga nyuma ya mlango wa jikoni ( hilo panga me ndo nililitunza hapo siku za nyuma kidogo ) akaenda nalo chumbani aka lock mlango.

Hazikupita hata dakika tano tukaanza kusikia kelele za Mama akilia kuomba msaada kua anakufa.Bro wangu ( mtoto wa bamkubwa) na Yule jamaa ( mtoto wa mwenye nyumba ) waliamka kujua nini kinaendelea lakin hawakua na msaada wowote maana mlango ulilokiwa na mzee.Wakati huo mdogo wangu wa mwisho wa kike analia kweli.Wazo likaja kichwani mwangu kuwa kunafunguo za akiba hua zinakaa kwenye kabati sebuleni.Basi nikawai kuzichukua nikamletea huyo jamaa ( mtoto mwenye nyumba ) akakataa kufungua akidai hayo ni matatizo ya ndoa haweez kuingilia.

Niliamua kufungua me mwenyewe nilimkuta mama yupo chini mzee yupo juu yake.Mama akijaribu kujiokoa maana mzee alikua amemkabia chini mkono wake mmoja umenyanyua panga juu sema mama nae amelishika hilo panga kwenye makali akijaribu kulizuia.Nilichukua kiatu cha mzee kilikua pembeni nikampiga nacho mzee kichwani lakin hakumwachia Mama, nikaona iliamuachie ni mpige roba.Na kweli nilimpiga Roba moja matata yaani niliona anamuachia Mama na panga akaliangusha, akawa sasa anajiiokoa yeye ( najua kumpiga mzazi ni laana lakini sikuwa na jinsi siku hyo ) akili kichwani kwangu iliruka kidogo nilimpiga roba hadi nikawa naona mtu kama analegea, nikaona nitaua bure nikamuacha amelala sakafun nikakimbia nje wakati huo Mama alikua ameshachukuliwa na Bro wangu pmj na yule jamaa wakaenda kumficha nje.Nilkuta Mama kazimia nikajua amekufa wasiwasi ulikua mkubwa ikabidi nirud ndan kwa mzee nilikutana nae njian nikamwambia umeua huku, niliona amepata hofu akanambia yupo wap nikamuelekeza akamchukua mpk hospital ya Mkoa wa Mara.

Hospital walitaka pf 3 ko ikabid twende police ila cha ajabu mzee alisema Mama alivamiwa na vibaka wakat huo nikimuona mama alivyomjeruhi natamani tu tuzipige ngumi ila Wakat huo huo bado na mpenda Mzee pia.

Najua sio vizuri kusimulia mambo ya familia lakin hili nimeona niliandike humu kwenu ili muone ni jinsi gani nilikua naipenda familia yangu.Maana hata police sikusema kuwa Mzee ndo mwenye kosa nilimlinda hadi alishangaa.Mgogoro wao ulitulizwa na Bibi angu kizaa Baba maisha yakaendelea.

Tutaendelea tena kesho
Kama Movie hivi!
 
Inaendelea.....

Maisha huwa hayaeleweki kimtindo baada ya me Kuachana na Sugar mumy wangu 2014 nilikaa bila mahusiano.Nilikua natafuta wakunifaa ni mani lakin mara nyingi nilkua nashindwa ( uoga nao ulinitesa sometimes ) mpaka mwaka 2015 mwezi December kwenye Mahubiri ya Setilite kanisani ya UHURU HATIMAYE yalikua yanarushwa Jioni saa 12 mpk usiku saa 2 ( Wasabato wenzangu mtayakumbuka kabla hayajaailishwa mpaka mwezi wa 2 mwaka 2016 ).Siku hiyo nakumbuka nilikaa viti vya nyuma kabisa na kasimu kangu nachati,sina hili wala lile, Mara akaja mtoto mmoja kisu balaa alinipa hi alafu akakaa pembeni yangu kulikua na kiti kina mtu ila alitoka lakin me nilimwambia kaa tu kiti hakina mtu .Nilishindwa kuongea siku hiyo nikawa namuangalia kiwizi wizi jinsi mtoto alivyo pisi kali.Alikua ni mrembo yaan alipita vigezo vyote nilivyokua navihitaji kimwili lakin kiroho ckujua kwa muda huo.

Siku hiyo sikuongea nae sana mpk alivyoondoka nikajilaumu nikajua bahat haiji mara mbili.Lakin kesho yake tena alikuja kwenye mahubiri tena akakaa ile line ya mstari niliyokua nimekaa sasa nilisema lazima leo nikuongeleshe baada mkutano kuisha, lakin aliwai kuondoka hata mkutano hujaisha niliumia kimtindo.Kesho yake tena Akaja siku hiyo aliwai sana maana nilimkuta kashakaa alafu pembeni kuna mabishoo wa kanisa, roho iliniuma plus wivu nahuku mtu hata cjamsemesha ...siku hyo nilikaa nyuma sana nikiwachora tu wale mabishoo na kweli baada ya mahubir kuisha wakamsindikiza sasa hapo ndo hasira zilinishika balaa ila sikua nalakufanya.

Kesho yake tena alikuja akanikuta nimekaa zangu Nyuma kabisa hata sikumwongelesha nilimuona ananipita na kwenda kuchukua kiti akarudi nacho nilipokua nimekaa nae akakaa pembeni yangu.Moyo ulidunda sana mpk joto nilisikia na kulikua na kaubaridi.Mtoto alinipa hi nikamjibu alafu nikaendelea ku concentrate kwenye somo.muda wa mahubir ulivyoisha tulianza kukusanya viti kuvipeleka ndani ya kanisa Demu nilimuona anaongea na Rafiki angu mmoja, mara nikaitwa na huyo rafiki angu.Nilienda kama sitaki vile, nilifika tukaongea kidogo tukiwa watatu Manzi ikadai isindikizwe kwao ( nilifurahi kinoma ).Tulimsindikiza na njiani rafiki angu aliitwa na manzi yake nikabaki na huyo mrembo.alivyokaribia kufika kwao nilimuomba No zake akanipa, usiku huo huo nikamsaundisha kwanza akavunga kuleta kaugumu kidogo nisimuone yuko cheap sana ila alikubali siku hiyo hiyo ukurasa wetu wa Mapenzi ukaanza.

Penzi likiwa jipya aisee lina raha sana ngoja niweke nukta hapa kwa leo.

Nitaendelea baadae
Oya kama nacheki Movie mzee
 
Umenikumbusha kwenye makongamano ya vijana na makambi daaa tumeliwa na mbu saana kisa kusubiri dem apite maana kwenye uwanja mashemasi wanazingua
 
Umenikumbusha kwenye makongamano ya vijana na makambi daaa tumeliwa na mbu saana kisa kusubiri dem apite maana kwenye uwanja mashemasi wanazingua
huko sasa ndo palikua patamu kuna kambi moja tulienda ilikua 2015 na ndo lilikua kambi langu la kwanza kwenda.Kuna demu wa kikrya nilimpenda sasa alinipa ahadi ya kuonana nae usiku.

Sasa usiku nilimfuata kambin kwao nikakutana na wakurya wenzake wakawa wanihoji namtakia nini demu wao, niliwatukana acha wachukue mapanga waanze kunifukuza.Nilikimbika sku aisee mpk sehemu wachungaj walipokua wameweka kambi nikaingia 😂.Ngoja niishie hapa
 
Hatimaye nimemaliza kuusoma uzi

Nilitamani zaidi kusikia kuhusu yule dogo mliyeiba naye kipindi mpo shule ya msingi mpaka msala ukafika shuleni kisha polisi. Pia kuhusu mdogo wako mwizi.

Huu ukorofi pamoja na kwamba umechochewa na mazingira uliyoishi,lakini kuna vitu umerithi kwa wazazi

Matukio yote uliyopiga humu yamefanikiwa, lakini ninaamini hata uwe smart vipi lazima kuna matukio yalifeli, na ukakamatwa na pengine si mara zote ulikuwa shujaa, naamini zipo siku ulikula kipondo cha haja

Kwa haraka haraka mali ulizoiba ndugu yangu zinafika hata milioni hamsini .

Pia inaonesha yaani wizi upo kwenye damu, ndio maana wizi wako haukuwa full time. Yaani unafanya kazi halali lakini wakati huo huo unaiba

Kinachovutia kwenye hili story yako ni namna unavyochanganya dini (maisha ya kumfuata Mungu) na uchakaramu

Endelea kutoa story aisee,maisha yenyewe ndio haya haya
 
Back
Top Bottom