Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Weka vitu mkuu au sabato ishaingia?
 
Mwaka huu nimekutana na story mbili kali kwa hapa jamii forum ile ya..... Khumbu na hii ya huyu Mjaidina. Mpaka hapa mzigo upo 50/50.
Hahahaaaa, eti mjaidina!!
 
Inaendelea

Nirudi tena kwa familia yangu yani jinsi tulivyokua tunaishi me na familia yangu ni raha sana.Kulikua hakuna kazi ya kike wala kiume kila mtu alikua anazamu yake kwenye kazi kasoro mdogo wangu wa kike yeye tulikua tunamdekeza kiaina mpk akazoea hvyo yani ilkua hata nimtume dukani au nimwambie anioshe vyombo alikua anadai hela kwanza ndo afanye.hatukuona shida sana kumpa hela.

Mzee wangu nae alikua ana ratiba yake ya kupika ( kila jumapili ilikua ni yeye ndo anakua jikoni )....Bro licha ya kuishi nae nyumba moja lakin tulikua hatuna story kiivyo...alikua ana misimamo yake.

Kuna siku moja hivi tulikua tunatoka ps me na wadogo zangu pamoja na yule jamaa anae nipigia kazi.Ilikua midaa ya saa mbili usiku tunatembea miguu....huyu dogo langu wa kike ana macho sana, maeneo ya Barabara ya kwenda bwalo dogo alimuona Yule manzi ( mdogo wake bonge ) alikua ana kamsela kake hivi...ko dogo alinambia muone fulani kucheki nawaona wamesimama pembezoni mwa barabara.Nilifuata kuwazingua kidogo.

Nilimpiga mkwara huyo msela wake alikua mdogo siku hyo sema tu watu walikua wanapita wengi barabarani ningemchukulia chochote cku hyo.

Huyo jamaa alivyokua fala kipindi nimewaacha alinitukana me ku*****m nilimwambia nitamuwinda akajua ni utani.

Zilipita cku mbili tu, cku hyo ilikua jumapili maji yalikua hayapo pamoja na umeme, ziwani cku watu walikua wengi sana wanafua na mambo mengine.Mdogo wangu wakike pia siku hyo alienda kufua ziwani pamoja na watoto wengine wa pale mtaani.

Me nilikua home tu nasubir mida ifike niende Ps...sasa hyo dogo langu alikuja ana hema kweli akanambia amemuona yule msela alienitukana ckuile yupo na yule Manzi ake ziwani.

Niliondoka na dogo anipeleke sehem walipo, hapo ni kabla Magufuli hajamnyang'anya Mzee Mauza ile Musoma hotel.Niliwakuta kuna sehem wamekaa ckua nimebeba silaha yoyote maana yule nilikua na mmudu vizr tu.

Jamaa alivyoniona aliishiwa pozi kabisa alishindwa kukimbia, kadogo kangu kalivyo kaongo kana niuliza eti "*unampiga au *' cku mjibu niliwasogelea sehem walipokua, huyo msela alikua kapoa sana....niliwapa hi hawakujibu nikamwambia jamaa juzi ulinitukanaje hebu rudia nisikie....jamaa hakua na usemi yule manzi yake ndo alikua ana nambia niwaache au apige kelele.Nilimjibu apige tu hizo kelele.Nikaanza kumsachi msela ( sikua ma lengo la kumchukulia vitu vyake, nilikua na mzingua tu ).

Huyo Mdogo wake alivyo fala akapiga yowe watu wakaanza kuja lile eneo, uzur ni kwamba nafahamika haikua shida sana, nilimpiga makofi yule Manzi ( tukio lilizua gumzo cku hyo ), msela yeye alipata nafas akakimbia yule manzi nilimpiga makofi sana na jinsi alivyokua bonge bonge na yeye makofi yalimuingia vizuri ( ckua nania ya kumpiga aliyataka mwenyewe )......Taarifa zilimfikia bonge na yule bro wao.Bro wao alipuuzia lakin bonge alidai akinishika Ata ni fira ( bonge alikua anamaneno ya kifirauni ).

Katika watu ambao nilikua siwaogopi ni bonge alikua mzembe kwangu.Kuna siku kanisani kwetu tulikua tuna mechi na Waroma ( Roman Catholic )...tulichezea pale uwanja wa Veta sasa wakat mech imeisha narud home, kuna boda ilisimama mbele yangu pale uwanja mpira Mwisenge secondary, kumbe alikua ni bonge alishuka kwenye boda na kunifuata.Siku mwogopa hata kumbe bonge alikua ana wembe ckuuona vizur.

Alikuja race sana tulizichapa sema lilikua jepesi cku hyo alini chana na wembe maeneo ya shingoni.Halikua jeraha kubwa sana ila mpk leo alama ipo shingoni.Nilivyoona kanichana niliamua kutumia meno nili mng'ata kwenye mbavu na titi lake mpk akanguka chini pona yake ni mlinz wa shule ndo alikuja nikakimbia ( nilikua nataka ni mng'ate na shiko akili zimkae sawa )....kiukweli ugomvi wangu na bonge uliisha pale alipoondoka msoma.Kuna siku nilikutana nae town mwaka jana tulipishana bila salamu.

Nirudi pale home tulipokua tunaishi, mwenye nyumba nae aliianza kuzingua kuwa tuhame pale kufikia mwishoni mwa mwez wa 8....kuna siku alitaka kututolea vitu nje, Mzee wangu ndo inasemekana alitembea na mke wake ko alitupa mpk mwez wa 8 tuwe tumesepa kwake.

Mzee wangu kusema ukweli anapenda sana Ma manzi yani me binasfi kuna siku nilishika simu yake kwenye whatsapp yake ilikua ni aibu sana yaani alikua anatumiwa picha za uchi na videmu vingine vidogo, sema ni life lake alichagua.

Mzee aliamua kustaafu kwa hiari maana misuko suko aliyoponea kazin kwake aliona bora astafu tu mapema.ko kwa kipind hicho alikua kafulia ila sio sana.

Me pia hata kwenye kazi ya kuchoma mawe niliiacha huwez amini niliambulia 30k tu kwa trip kama nane hivi za mawe.Tulizulumiwa na huyo jamaa mwenye lori mpk leo cjawai kumuona.

nitarejea tena.
 
Mwaka huu nimekutana na story mbili kali kwa hapa jamii forum ile ya..... Khumbu na hii ya huyu Mjaidina. Mpaka hapa mzigo upo 50/50.
Kuna moja ni prison break na nyingne the wire uku mbele tutajua kila story na jina lake
 
Hatimaye nimemaliza kuusoma uzi

Nilitamani zaidi kusikia kuhusu yule dogo mliyeiba naye kipindi mpo shule ya msingi mpaka msala ukafika shuleni kisha polisi. Pia kuhusu mdogo wako mwizi.

Huu ukorofi pamoja na kwamba umechochewa na mazingira uliyoishi,lakini kuna vitu umerithi kwa wazazi

Matukio yote uliyopiga humu yamefanikiwa, lakini ninaamini hata uwe smart vipi lazima kuna matukio yalifeli, na ukakamatwa na pengine si mara zote ulikuwa shujaa, naamini zipo siku ulikula kipondo cha haja

Kwa haraka haraka mali ulizoiba ndugu yangu zinafika hata milioni hamsini .

Pia inaonesha yaani wizi upo kwenye damu, ndio maana wizi wako haukuwa full time. Yaani unafanya kazi halali lakini wakati huo huo unaiba

Kinachovutia kwenye hili story yako ni namna unavyochanganya dini (maisha ya kumfuata Mungu) na uchakaramu

Endelea kutoa story aisee,maisha yenyewe ndio haya haya
Asante sana.
Kuhusu yule rafiki angu wa utotoni na dhani nilimuelezea sema kuna yule mmoja ndo cku muelezea yeye alikua mafia hatar, yeye aliua ko hatujui alikimbilia wap ila taarifa zisizo ramsi nasikia yupo Jela huko Dar.

Pia sio matukio yote nilikua na faulu for 100% mengine nilikua na feli mfano tulijaribu siku moja kuiba kwa mkurugenzi wa manispaa madumu ya mafuta ya kupikia me na yule muhuni wangu ( r.i.p kwake ) pamoja na jamaa mmoja hivi mishe iliwai kusanuliwa ko tulishindwa mission.

Na kuhusu kupigwa nimepigwa sana tu yaani ukiniona usoni,mgongoni na mguuni kuna makovu sana mguuni.

Pia ni kweli lbda wizi nilikua nao toka damuni maana nilikua nikikuona umekaa kizembe lazima nikuchukulie chochote.

Kuhusu kuchanganya dini na uchakaramu kiukweli ckujua nilitendalo.
 
Dah! Kila nikisoma story yako inaonyesha uzinzi na wizi ni Sehemu ya maisha yako
Lakini nategemea mwisho mzuri wa hii story yako
 
Hebu endelea. Waliotupandishia Bei ya bando wamesalimu amri. Samia hataki unafiki.......
 
Asante sana.
Kuhusu yule rafiki angu wa utotoni na dhani nilimuelezea sema kuna yule mmoja ndo cku muelezea yeye alikua mafia hatar, yeye aliua ko hatujui alikimbilia wap ila taarifa zisizo ramsi nasikia yupo Jela huko Dar.

Pia sio matukio yote nilikua na faulu for 100% mengine nilikua na feli mfano tulijaribu siku moja kuiba kwa mkurugenzi wa manispaa madumu ya mafuta ya kupikia me na yule muhuni wangu ( r.i.p kwake ) pamoja na jamaa mmoja hivi mishe iliwai kusanuliwa ko tulishindwa mission.

Na kuhusu kupigwa nimepigwa sana tu yaani ukiniona usoni,mgongoni na mguuni kuna makovu sana mguuni.

Pia ni kweli lbda wizi nilikua nao toka damuni maana nilikua nikikuona umekaa kizembe lazima nikuchukulie chochote.

Kuhusu kuchanganya dini na uchakaramu kiukweli ckujua nilitendalo.
Dah... Mkuu pole

Ila ukiwa karibu na Mungu hakuna linaloshindikana
 
Dah ndio imeisha au....!!!ila hii stor aseh imenifanya nilale sa5 usiku jana na kuamka sa1 kamili mpk nmeifuta yan hata chai nmekumyw sa5 leo acha sas nikaoge leo niko mapumziko
 
Back
Top Bottom