mtaa umetulea
JF-Expert Member
- Nov 17, 2020
- 1,842
- 2,390
Hahaha mkuu tunaomba ka epsod kidogo tusikilize wadhamin maana mpambano umekua mkali huyu Dada atataka kutushushua masela
Hahaha mkuu tunaomba ka epsod kidogo tusikilize wadhamin maana mpambano umekua mkali huyu Dada atataka kutushushua masela
Kwanza hapo baba kaonekana kujali sana mwanae,na hayo ndo majukumu kamili ya baba,Huoni aibu umezaa lakini had watoto usomeshewe ukweni? Mie kama kakangu itankfi tukuweke chini..has unasaidiwa na ww ujiongezenhata kutoa nauli ya mtoto holaaa..leo unataka ukaione shulrnhuna hata nauli..kaa ndani tu
Kabisa yan kwanza mm nisinge kubali hata kidogo yan mtoto wangu akasomeshwe na mama mkwe huo mwanzo wa dharau mm hapana ukiruhusu huo ujinga moja kwa moja hata nyumban kwako mwenye maamuz ya mwisho ni mkeo kwa sababu ndio anatoa vijisentUpo sawa 100% mkuu,hapo mama mkwe anaonesha dharau sana na bila shaka dharau hizo atapandikiza hadi kwa mjukuu wake,kwahyo hapo unakuwa mzazi jina tu
Asante huenda nikawa mkubwa kwako sijui nan ana utoto inaonekana ww upo ki pesa zaidi endelea hivyo hivyoWanaume wenzako wamenielewa......una utoto bado
Ngoja tuishie hapa mkuu tutaharibu Uzi wa watuKwahy ww ndugu kila anachokuambia demu wako unasema ndio acha kuwatetea hawa viumbe
Holy Holm shusha ka episodi ka kumalizia wiki endi
Nmekusoma dadaKuna mshikaji ana kampuni ya c&f dar..jamaa ni boss ana mapene...akirudi kwake jaman huamin ndo yy...yaan mishe za kukata fence zote anarekebisha yeye. .mkewe anauza samaki sato basi wakija yeye ndo anapima na kukata..imagine samak alivyo na shombo anamwambia mkewe ntakata tulia ..yaab ukimkuta anapima samak utakataa ..wanaume dizain hiyo hata akiyymba ataweza fabya mengine ....
karibu mkuu, story nzuri sanaInaendelea
Baada ya kuchukuliwa siku hiyo kilichofuata ni kwenda hospital kupima afya zetu ( ukimwi nao ulikua mmoja wao )....siku hyo ndo kwa mara ya kwanza nilipima h.i.v, nilikua naogopa majibu lakini yalitoka vizur yani nilifurahi siku hyo.
Baada ya hayo kupita nilianza rasmi kaz kiwandani nikiwa kama operator wa mashine za kushona mifuko ya saruji ( cement ) na mifuko mingne ( magunia/junia ).
Siku ya kwanza ndo tunapelekwa idaran sasa duh..nilivyoona zile mashine za kufuma hyo mifuko jinsi zile nyuzi ( tape ) zilivyopita nilikua nasema hii kaz kweli nitaiweza.
Tulipelekwa kwa meneja wa section yetu akatupa mawaidha ya kutosha, alafu tukakabidhiwa tena kwa waalimu wetu ambao walikua wanatufundisha mashine zinafanyaje kazi.
Siku tunaingia tulikua watu 22 wengi wao wakiwa ni wadada, sisi wanaume tulikua wachache.Na mule Idarani asilimia kubwa ya wafanyakaz ni Wanawake alafu ni waarembo hatar mpk nikawa nawafikiria mademu zangu kama zile kazi wangeweza kweli.
Kwa vile sharti la kiwandani pale lazima ufanye kazi siku kumi bure ( for free ) alafu zikiisha ndo wanakukadilia hizo cku zilizo baki mshahara.
Huwez amini hata wale waalimu walipokua wakitufundisha namna ya kutumia mashine nilikua hata siwaelewi kabisa, kwanza makelele yalikua ya kutosha.Na siku ndo tunamaliza tu zile siku kumi ilikua lazima tujue kuendesha ( ku operates ) mashine moja, cku hyo niliumbuka nilivyopewa mashine yan sikua na ninalolijua, sio mimi tu karbia na wenzangu wote.
Sema kwenye ile line niliyokua nimewekwa kulikua kuna kadada kazur sura mpk roho ndo alikua mkomboz wangu yani alikua anaacha mashine zake tatu anakuja kunisaidia mimi mwenye mashine moja.
Kwa vile kile kiwanda ni kikubwa basi mashine nazo zilikua ni nyingi, idaran kwetu tu kulikua na mashine zaid ya 300, section yetu zilikua mashine 214 lakin ni aina ya mashine zilikua 4 tu.Na kila mashine ilikua na speed yake na lengo lake ( goals )..
Uzur mimi niliwekwa kwenye mashine yenye speed kubwa ko lengo pia lilikua kubwa.
Maisha yalibadilika kabisa kwangu nilizoea kipindi niko musoma naamka muda naotaka lakin huku ilinilazimu kuamka saa 11 alfajir ili niwai kiwandani.Mwanzo ulikua mgumu kwangu maana usingiz wa asubui ni mtamu hatari 😁.
Ko nilivyo kwisha kupata kazi niliamua kutafuta nyumba faster ili nijitegemee kivyangu ( ckupenda kuishi na watu ).nilipata nyumba nyuma ya kiwanda ko ilikua ni rahisi kwangu kuwahi.
Kwa vile nilikua na kahela nilinunua vitu vya gheto na vingine nilipewa na Shangaz angu alikua anakaa Njiro.
Ile kazi ki ukweli ilikua ni ngumu yani masaa 12 umesimama tu kuendesha mashine.Kuna siku nilingia shift ya usiku ( night shift ) mashine ilinisumbua hatar yan kwanzia saa 1 nimepewa mashine ilinisumbua mpk niliiomba msamaha 😂😂 kufikia saa sita ndo mashine ikakubali msamaha wangu iliunguruma mpk saa 12 asubui.
Nilipiga kaz kwa bidii yule manzi aliyekua akinisaidia kaz zangu tulizoena nae sana mpk tukawa wapenzi 😍😍 lakin tu sikutaka kuishi nae japo yeye alitaka hvyo ( niliona tukiish nae atanibania ridhiki ).
Siku moja ilikua ni cku yangu ya Off ko nilikua mageton nimetulia tu na manzi mmoja hivi alkua ni wakala wa mpesa.Basi jioni yake niliamua kwenda getini kuonana na wale jamaa zangu walio nipokea.
.Kipindi nawasubir watoke kiwandani nilkua nimekaa kwenye vibanda vilivyokua nje ya kiwanda napiga zangu piano kwenye simu.
Kuna Chalii mmoja alikuja nae akakaa pemben yangu alivutia sana na ninavyopiga piano ko uzalendo ulimshinda akaniuliza "inaonekana wewe ni mtaalumu wa hilo dude" nilimwambia ndio licha ya kupiga tu natengeneza na beat kabisa...nikamuekea apps moja hivi ni yakutengenezea beat ni nyepesi kinoma, lakini mimi niliamua kuchukua point kwa yule chali.
Tuliongea mengi na yule chali tena yeye muda mwingi alikua ananiuliza maswali tu kuhusu utayarishaj wa muziki namjibu ivyo ivyo tu kibabe.
Mwisho wa siku alidai kuwa yeye anaimba na hajapata mtu wa kumtoa kimuziki alishukuru kukutana na mimi labda ninaweza kumsaidia.Moyoni nilijisemea hivi huyu chalii yupo serious kweli.
Chali alikua anataka nimtengeneze beat na mimi hata piano yenyewe tu nilikua bado najifunza.Nilisema sasa nitafanyaje kumkwepa huyo chalii na alkua serious kweli.
Nilimwambia tu kama yupo serious na muziki akanihakikishia kuwa yupo serious.Nilimuuliza anakaa wapi akanambia Majengo niliona majengo na Matevesi ni mbali sana.
Ko nilimwambia tufanye jumamosi nikiwa tena nko off ndo tufanye kazi akakubali alinambia nitamchaj bei geni, nikamwambia kwa vile unaonekana uko serious me nitakupigia beat kwa 50k tu alikubali tukabadilisha namba pale kila mtu akafanya yake.
Jumamosi ilifika Chalii alinipigia simu kuniuliza tukutananie wapi, niliona kumwambia aje magetoni ni uongo na mimi kwenda kwake pia ni uongo.Ila niliamua kwenda kwake huko Majengo ili likitokea la kutokea ni fresh tu.
Saa nne nilipanda dalala nikamfuata mpk magetoni kwake.Sikumkuta yeye tu bali walikuepo na machali wawili pamoja na manzi mmoja ( inaonekana alikua ni manzi yake).
Nilifika wakanikarbisha fresh tu kumbe huyo chalii aliwaambia wenzake kuhusu ujio wangu pale ko walikua wananisubir kwa hamu.
Nadhani walinishangaa kuniona sina vitendea kazi na mmoja aliniuliza nikamtolea simu yangu nikamwambia mambo tunamalizia humu.
Nilimwambia yule chali aimbe kwanza nimsikie akaanza kuimba nilitamani kucheka ila nilijikaza.
sijui ile ni style gani ya kuimba 😂😂😂 nilimuacha aimbe kwanza nilichofanya nilimrekod sauti yake afu nikafungua ile apps nikawa namsikilizisha sample ya beats akataka beats iwe reggeton.
Yaan uongo wa siku hyo aisee nilio wapiga hao machalii 😂😂😄....niliona ili wasistuke niliwaambia kwa vile beats inahitaji utulivu basi waniache nirud mageton niitengeneze nikiwa nimetulia, nilimrekod tena afu nikaomba hela ili nisepe.Alinipa nikamwambia beats nitamtumia whatsapp.Alinipa no za whatsapp huyo nikaondoka.
Nilivyoondoka nili mblock kote kote cjui walibaki kwenye hali gani hao machalii na sio hao machalii kipindi nimerud musoma kuna wasimbiti nao waliingia kwenye anga ( sema wenyewe walinikuta najua kutengeneza beat sema kufanya Recording tu ndo nilikua cjui kumix ) niliwatapeli wakabaki hawaamini, cjui hata walikua hawanistukii aah..never mind.
Nakarbia kuhitimisha story yangu bado visa vichache sana nikamilishe kisa changu.
Nitarejea tena.
Hizo sasa dharau kwa husbandAchana na hela hiyo itoe .sio lazima wanaume wote muwe na hela...mengine ni majaliwa..usmart naosemea mm uweze kutatua changamoto zozote zile...! Yaan hata kama hakuna msos mwambie mwanamke wako nipe muda nijur cha kufanya...yaan sisi tunapenda sana kusikia hayo maneno....mtot karudishwa ada atleast ongea neno la kujionesha uanaume wako bas nafsi yangu itulie ...atleast onesha unajali kwenda shulr na kuongea kiume yaani napenda UJIFARAGUE...kuna wanaume mtoto amerudishwa ada anakuambia mm sina hela unataka nikaibe!!imagine anakuambia hvyo alafu kesho unataka uheshimiwe😒😏😏😏😏😏😏😏! Yaani jibidishe mzidi kila kitu mwanamke wako yaan ngumu sana kufurukuta..narudia ngumu sana..hata kama mwanamke atakua anahela lakini hawez fanya jambo bila kukuambia wewe....maana anajua unamjali kwenye changamoto zozote...sasa hela huna huna ushauri wala mawazo ,unaleta ukidume wako fyongo weeeee...kaa tu kwa kutulia!
Huu sasa mfano hai..majuzi nilikua na shoga angu yuko njema..mumewe mwalimu wa sec...mkewe anamiliki ishu fulani kubwa...na upande wa mke wanajiweza balaa...
Sasa bibi mtu kamchukua mjukuu amsomeshe sekondari(baada ya baba mtu kusema yy hana hela tena)...sasa mtoto karudi pasaka baba mtu anasema ohh nataka nisafiri naye nikachek shule mliyompeleka...umeelewa?? Yaan mkwe anakusomeshea first born wako ila unataka ukachek mazingira anayosoma mwanao na ni shule expensv ..yule bibi kwa maskio yangu nikamskia anamwambia mwanaye wa kike..anataka kuja kukagua shule aje na ada na usimpe nauli..atafute nauli yake..asitake kutupanda..ameshindwa msomesha mtoto unaleta ukidume hapa🤣🤣! Kifupi dogo (mtoto)amepanda✈ kwenda shule kamuacha dingi na boxer (🏍)yake hapa Moro🤣🤣!
Inaendelea
Baada ya kuchukuliwa siku hiyo kilichofuata ni kwenda hospital kupima afya zetu ( ukimwi nao ulikua mmoja wao )....siku hyo ndo kwa mara ya kwanza nilipima h.i.v, nilikua naogopa majibu lakini yalitoka vizur yani nilifurahi siku hyo.
Baada ya hayo kupita nilianza rasmi kaz kiwandani nikiwa kama operator wa mashine za kushona mifuko ya saruji ( cement ) na mifuko mingne ( magunia/junia ).
Siku ya kwanza ndo tunapelekwa idaran sasa duh..nilivyoona zile mashine za kufuma hyo mifuko jinsi zile nyuzi ( tape ) zilivyopita nilikua nasema hii kaz kweli nitaiweza.
Tulipelekwa kwa meneja wa section yetu akatupa mawaidha ya kutosha, alafu tukakabidhiwa tena kwa waalimu wetu ambao walikua wanatufundisha mashine zinafanyaje kazi.
Siku tunaingia tulikua watu 22 wengi wao wakiwa ni wadada, sisi wanaume tulikua wachache.Na mule Idarani asilimia kubwa ya wafanyakaz ni Wanawake alafu ni waarembo hatar mpk nikawa nawafikiria mademu zangu kama zile kazi wangeweza kweli.
Kwa vile sharti la kiwandani pale lazima ufanye kazi siku kumi bure ( for free ) alafu zikiisha ndo wanakukadilia hizo cku zilizo baki mshahara.
Huwez amini hata wale waalimu walipokua wakitufundisha namna ya kutumia mashine nilikua hata siwaelewi kabisa, kwanza makelele yalikua ya kutosha.Na siku ndo tunamaliza tu zile siku kumi ilikua lazima tujue kuendesha ( ku operates ) mashine moja, cku hyo niliumbuka nilivyopewa mashine yan sikua na ninalolijua, sio mimi tu karbia na wenzangu wote.
Sema kwenye ile line niliyokua nimewekwa kulikua kuna kadada kazur sura mpk roho ndo alikua mkomboz wangu yani alikua anaacha mashine zake tatu anakuja kunisaidia mimi mwenye mashine moja.
Kwa vile kile kiwanda ni kikubwa basi mashine nazo zilikua ni nyingi, idaran kwetu tu kulikua na mashine zaid ya 300, section yetu zilikua mashine 214 lakin ni aina ya mashine zilikua 4 tu.Na kila mashine ilikua na speed yake na lengo lake ( goals )..
Uzur mimi niliwekwa kwenye mashine yenye speed kubwa ko lengo pia lilikua kubwa.
Maisha yalibadilika kabisa kwangu nilizoea kipindi niko musoma naamka muda naotaka lakin huku ilinilazimu kuamka saa 11 alfajir ili niwai kiwandani.Mwanzo ulikua mgumu kwangu maana usingiz wa asubui ni mtamu hatari.
Ko nilivyo kwisha kupata kazi niliamua kutafuta nyumba faster ili nijitegemee kivyangu ( ckupenda kuishi na watu ).nilipata nyumba nyuma ya kiwanda ko ilikua ni rahisi kwangu kuwahi.
Kwa vile nilikua na kahela nilinunua vitu vya gheto na vingine nilipewa na Shangaz angu alikua anakaa Njiro.
Ile kazi ki ukweli ilikua ni ngumu yani masaa 12 umesimama tu kuendesha mashine.Kuna siku nilingia shift ya usiku ( night shift ) mashine ilinisumbua hatar yan kwanzia saa 1 nimepewa mashine ilinisumbua mpk niliiomba msamahakufikia saa sita ndo mashine ikakubali msamaha wangu iliunguruma mpk saa 12 asubui.
Nilipiga kaz kwa bidii yule manzi aliyekua akinisaidia kaz zangu tulizoena nae sana mpk tukawa wapenzilakin tu sikutaka kuishi nae japo yeye alitaka hvyo ( niliona tukiish nae atanibania ridhiki ).
Siku moja ilikua ni cku yangu ya Off ko nilikua mageton nimetulia tu na manzi mmoja hivi alkua ni wakala wa mpesa.Basi jioni yake niliamua kwenda getini kuonana na wale jamaa zangu walio nipokea.
.Kipindi nawasubir watoke kiwandani nilkua nimekaa kwenye vibanda vilivyokua nje ya kiwanda napiga zangu piano kwenye simu.
Kuna Chalii mmoja alikuja nae akakaa pemben yangu alivutia sana na ninavyopiga piano ko uzalendo ulimshinda akaniuliza "inaonekana wewe ni mtaalumu wa hilo dude" nilimwambia ndio licha ya kupiga tu natengeneza na beat kabisa...nikamuekea apps moja hivi ni yakutengenezea beat ni nyepesi kinoma, lakini mimi niliamua kuchukua point kwa yule chali.
Tuliongea mengi na yule chali tena yeye muda mwingi alikua ananiuliza maswali tu kuhusu utayarishaj wa muziki namjibu ivyo ivyo tu kibabe.
Mwisho wa siku alidai kuwa yeye anaimba na hajapata mtu wa kumtoa kimuziki alishukuru kukutana na mimi labda ninaweza kumsaidia.Moyoni nilijisemea hivi huyu chalii yupo serious kweli.
Chali alikua anataka nimtengeneze beat na mimi hata piano yenyewe tu nilikua bado najifunza.Nilisema sasa nitafanyaje kumkwepa huyo chalii na alkua serious kweli.
Nilimwambia tu kama yupo serious na muziki akanihakikishia kuwa yupo serious.Nilimuuliza anakaa wapi akanambia Majengo niliona majengo na Matevesi ni mbali sana.
Ko nilimwambia tufanye jumamosi nikiwa tena nko off ndo tufanye kazi akakubali alinambia nitamchaj bei geni, nikamwambia kwa vile unaonekana uko serious me nitakupigia beat kwa 50k tu alikubali tukabadilisha namba pale kila mtu akafanya yake.
Jumamosi ilifika Chalii alinipigia simu kuniuliza tukutananie wapi, niliona kumwambia aje magetoni ni uongo na mimi kwenda kwake pia ni uongo.Ila niliamua kwenda kwake huko Majengo ili likitokea la kutokea ni fresh tu.
Saa nne nilipanda dalala nikamfuata mpk magetoni kwake.Sikumkuta yeye tu bali walikuepo na machali wawili pamoja na manzi mmoja ( inaonekana alikua ni manzi yake).
Nilifika wakanikarbisha fresh tu kumbe huyo chalii aliwaambia wenzake kuhusu ujio wangu pale ko walikua wananisubir kwa hamu.
Nadhani walinishangaa kuniona sina vitendea kazi na mmoja aliniuliza nikamtolea simu yangu nikamwambia mambo tunamalizia humu.
Nilimwambia yule chali aimbe kwanza nimsikie akaanza kuimba nilitamani kucheka ila nilijikaza.
sijui ile ni style gani ya kuimbanilimuacha aimbe kwanza nilichofanya nilimrekod sauti yake afu nikafungua ile apps nikawa namsikilizisha sample ya beats akataka beats iwe reggeton.
Yaan uongo wa siku hyo aisee nilio wapiga hao machalii....niliona ili wasistuke niliwaambia kwa vile beats inahitaji utulivu basi waniache nirud mageton niitengeneze nikiwa nimetulia, nilimrekod tena afu nikaomba hela ili nisepe.Alinipa nikamwambia beats nitamtumia whatsapp.Alinipa no za whatsapp huyo nikaondoka.
Nilivyoondoka nili mblock kote kote cjui walibaki kwenye hali gani hao machalii na sio hao machalii kipindi nimerud musoma kuna wasimbiti nao waliingia kwenye anga ( sema wenyewe walinikuta najua kutengeneza beat sema kufanya Recording tu ndo nilikua cjui kumix ) niliwatapeli wakabaki hawaamini, cjui hata walikua hawanistukii aah..never mind.
Nakarbia kuhitimisha story yangu bado visa vichache sana nikamilishe kisa changu.
Nitarejea tena.


bora hao machalii sasa nilivyokutana na wasimbiti wa kinesi 😂😂 ngoja niwaelezea huko mbeleniDah huyo manz kwa kukusave kwa jina la grace ametisha kinoma ila kuna watu wengn huwa wanaleta majaribu mtu anakuambia anajua kuimba alaf ukimsikiliza ni full utumbo na ndizi mtu unataman kucheka lkn unampa moyo nyimbo kali unajua![]()
bora hao machalii sasa nilivyokutana na wasimbiti wa kinesingoja niwaelezea huko mbeleni
Ndani ya kiwanda baridi hamna yani hata kama una sweta utalivua tu kutokana na barid sema ukitoka nje tu hiyo barid sio ya nchi hii.Ila mwanangu nasikia hicho kiwanda cha A-Z ni full mateso baridi kali hakuna kuvaa sweta no phone no kulala full kutoboa tena kisingo ilivyo na baridi je ni ya kwel
Ndani ya kiwanda baridi hamna yani hata kama una sweta utalivua tu kutokana na barid sema ukitoka nje tu hiyo barid sio ya nchi hii.
Ni kweli simu haziruhisiwi kabisa hata wewe hurusiwi kuingia na msosi wako na hakuna kulala wakikukuta kazi huna ama wanakukata mshahara, kuna jamaa mmoja alilala karbu na mashine ya kupika material si akagusa wire wa kuwashia hyo mashine, mashine ikazima walimtimua kama mwizi.
Ila sisi tulkua tunatoboa kibishi
Ila sometimes wahindi ni watu poa sana hapo kiwandani kuna Wabongo wale ma in charge wanajikuta sana miungu watu.Ila kazi za viwandani huwa ni ngumu sana tena ukikutana na wahindi wa hiyo kampun nasikia ni full mzimi mm nipo dsm lkn stor zao tunazo huku