Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Achana na hela hiyo itoe .sio lazima wanaume wote muwe na hela...mengine ni majaliwa..usmart naosemea mm uweze kutatua changamoto zozote zile...! Yaan hata kama hakuna msos mwambie mwanamke wako nipe muda nijur cha kufanya...yaan sisi tunapenda sana kusikia hayo maneno....mtot karudishwa ada atleast ongea neno la kujionesha uanaume wako bas nafsi yangu itulie ...atleast onesha unajali kwenda shulr na kuongea kiume yaani napenda UJIFARAGUE...kuna wanaume mtoto amerudishwa ada anakuambia mm sina hela unataka nikaibe!!imagine anakuambia hvyo alafu kesho unataka uheshimiwe😒😏😏😏😏😏😏😏! Yaani jibidishe mzidi kila kitu mwanamke wako yaan ngumu sana kufurukuta..narudia ngumu sana..hata kama mwanamke atakua anahela lakini hawez fanya jambo bila kukuambia wewe....maana anajua unamjali kwenye changamoto zozote...sasa hela huna huna ushauri wala mawazo ,unaleta ukidume wako fyongo weeeee...kaa tu kwa kutulia!unaposema uwe smart vibaya mnoo unamaanisha nini? naomba ufafanuzi.
Huu sasa mfano hai..majuzi nilikua na shoga angu yuko njema..mumewe mwalimu wa sec...mkewe anamiliki ishu fulani kubwa...na upande wa mke wanajiweza balaa...
Sasa bibi mtu kamchukua mjukuu amsomeshe sekondari(baada ya baba mtu kusema yy hana hela tena)...sasa mtoto karudi pasaka baba mtu anasema ohh nataka nisafiri naye nikachek shule mliyompeleka...umeelewa?? Yaan mkwe anakusomeshea first born wako ila unataka ukachek mazingira anayosoma mwanao na ni shule expensv ..yule bibi kwa maskio yangu nikamskia anamwambia mwanaye wa kike..anataka kuja kukagua shule aje na ada na usimpe nauli..atafute nauli yake..asitake kutupanda..ameshindwa msomesha mtoto unaleta ukidume hapa🤣🤣! Kifupi dogo (mtoto)amepanda✈ kwenda shule kamuacha dingi na boxer (🏍)yake hapa Moro🤣🤣!