Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Mwanamke anayedeka kipindi cha uchumba,boyfriend/girlfriend sawa,ila mkisha ingia kwenye majukumu ya ndoa/kulea mwanamke asiyeumiza kichwa anachosha sana. Hata kama mwanaume una pesa ya kutosha,kuwa na mwanamke kila kitu anatafuniwa inaboa sana.
Sasa best mie siongelei kudeka...point yangu ndo hiyo naingelea mwanaume anayejidekeza kwa mkewe...unajidekezaje sasa na majukumu ndo haya hapa mbele yetu..ww hata kutatua vichangamoto vyepesi huwez..lol
 
Sasa best mie siongelei kudeka...point yangu ndo hiyo naingelea mwanaume anayejidekeza kwa mkewe...unajidekezaje sasa na majukumu ndo haya hapa mbele yetu..ww hata kutatua vichangamoto vyepesi huwez..lol
Sema dada yangu,hizo sindano zako zinauma sana japo zinaponya,,,,,,ukweli unaouma wanaume tunajilegeza sana
 
Sema dada yangu,hizo sindano zako zinauma sana japo zinaponya,,,,,,ukweli unaouma wanaume tunajilegeza sana
Kuna mshikaji ana kampuni ya c&f dar..jamaa ni boss ana mapene...akirudi kwake jaman huamin ndo yy...yaan mishe za kukata fence zote anarekebisha yeye. .mkewe anauza samaki sato basi wakija yeye ndo anapima na kukata..imagine samak alivyo na shombo anamwambia mkewe ntakata tulia ..yaab ukimkuta anapima samak utakataa ..wanaume dizain hiyo hata akiyymba ataweza fabya mengine ....
 
Kuna mshikaji ana kampuni ya c&f dar..jamaa ni boss ana mapene...akirudi kwake jaman huamin ndo yy...yaan mishe za kukata fence zote anarekebisha yeye. .mkewe anauza samaki sato basi wakija yeye ndo anapima na kukata..imagine samak alivyo na shombo anamwambia mkewe ntakata tulia ..yaab ukimkuta anapima samak utakataa ..wanaume dizain hiyo hata akiyymba ataweza fabya mengine ....
Kwahyo kukatafence na sato tu ndo kumekumaliza kabisa mtoto wa watu,ama kweli nyie wanawake viumbe vya ajabu sana😁
 
Mapenzi ayana formula mkuu, unatakiwa kuzingatia kitu kimoja, ukipata nafasi ya kumuumiza mwanamke akikisha unamuuuza kisawa sawa yaaani
Tuongee lkn tumkumbuke kwamba mama zetu, Dada zetu, shangazi, mabinti, Bibi na mchumba nao pia Ni wanawake.
 
so sad kwa kweli
Maisha ya ndoa ndivyo yalivyo. Ukipata mkosi wa kuoa; maana hakuna ndoa isiyo na changamoto na mpaka tunaona walio single wanafaidi; utakundua kuwa hayo na mengine mengi ni hali ya kawaida katika ndoa. Hususan mwanamke akijiendeleza na kukuzidi cheo au kipato, K yake utainusa katika chupi chafu ukipata bahati ya mtende ya hata zenyewe kuziona. Dogo umesahau mywangu wako alipokwenda chuokikuu alikutendaje! Hao ndiyo wanawake. Hata Wangari Maathai alipokuwa sekondari, chuo na sasa akiwa mwalimu wa SUA ni watu watatu tofauti
 
Back
Top Bottom