Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Inaendelea


Baada ya ujio wa huyo Jamaa ( class mate ) pale ps kiukweli hari ilianzaa kuwa mbaya kifedha kwangu.Me c nilikua nachukua hela Ijumaa na jumamosi sasa ilibid tugawane cku za kuchukua pesa, mimi nikawa na chukua ijumaa yeye jumamosi.

Nakumbuka siku ya kwanza anamekuja kuanza kazi rasmi kwa vile alikua bado learner kwenye kazi ilibidi akae kwa kutulia ili nimfundishe.Siku hyo biss alikuja akatupatia maelekezo fresh tu na alisema kuhusu swala la kula nyie hata kama mmepata buku cku hyo itumieni kwa chakula ( uzur wa boss hakua mchoyo kwenye hela )....

Boss aliondoka yani ile anaondoka tu alikuja bishoo mmoja mule ps akaulizia muhusika nikasema ni mimi, alinitoa nje kufika aliniuliza kama games za ps zina cheza kwenye Pc ( laptop )...nilimuangalia kwanza kabla cjamjibu, kisha nikamwambia kwani hujui akasema hana uhakika.

Basi nikamwambia ndio zinakubali....alitoa frash ni mkopie akaweke, nilimwambia utaweza bei za game lakin...aliniuliza tena "kwani ni shngp kwa game moja?"....nilimwambia game moja ni 15000 alistuka nikaona ananipotezea muda nilimuliza una shngap akasema alijua ni 5000 kuweka game's nilimwambia akajarbu kwingine, tena aliuliza ni game's zipi ambazo ninazo nilimtajia Fifa 19, pes 18, GTA V na Call of duty Warfare, Calls of duty black ops, call of duty WW1, Watchdog, Uncharted na mengine mengi tu.

Basi akaondoka nikarud ndani...na siku hyo wateja walikua wengi na wengi wao walikua wa loser ( loser ni Atakae poteza ndo analipa )...kwa vile nilikua master kwa wakati huo nilirud kuona ma learners wakitoana jasho.Ilipita saa moja yule bishoo alirud tena akaniita alinambia nimfanyie 10k kwa kila game na alikua anataka game's 5...nilivunga kukataa ili ananione kuwa cna shida na hela, nilivyomuona anaondoka nikamuita nikamwambia kuwa nakusaidia tu kwa vile nimemuona ni muhitaji lakin nikampa onyo kali asije kusema popote na nikishamkopia asirud tena pale ps ( nilimwambia hivyo maana nilijua kama akienda kufnya installation ya hizo game's kwenye pc zitamgomea tu, niliogopa asije kurud kudai hela yake ).

Nilimkopia game's alizotaka akanipa 50k alafu bishoo akasepa zake.Nilmuita huyo jamaa ninae piga nae kazi nilitoka nae nje nikampanga kuwa kuna game's nimemrushia mtu lakin asije kumwambia boss nilimpa 10k ya kumtuliza.Kumbe jamaa alikua snitch mzuri.

Kesho yake yule bishoo alikuja tena ps Akaniita ( alikua na rafiki ake )...alinambia mbn games hazichezi kwenye pc.Nilimwambia kwa hyo hilo ndo la kuniita tena nilimkumbusha huyo bishoo kuwa c nilikwambia usije hapo ps,bishoo alkua mpole akataka niende nae kwao nijarbu mimi kuzieka zile game.Nilimuuliza kwani pc yake ina Window ya ngap akasema ni Window 10 basi nikamwambia ndo maana zimekataa kucheza maana hyo window hua inazngua.Alinitaka nimwelekeze ni Windows gan atumie, nika mwambia aweke window 7 ( ukweli ni kuwa me habar za computer me hua cjui kabisa )....kipindi wanaondoka nilimwambia asirud pale tena kama ana shida na mimi ani text nikampa no zangu.

Huyo bishoo hela zake nilikula bure tu maana nilivyoona ananisumbua nilimpiga mkwara mzito hakunitafuta tena.

Hapo kiukweli nilifanya utapeli wa wazi wazi na tena baada ya huyo jamaa kuja kupiga kaz hapo ps ndo maisha yalianza kwenda mlama kwangu.Jamaa alikua anavunga ni mtu mwema sana kumbe mpk hyo inshu ya mimi kuuza games alimfikishia boss, Boss alicho fanya alimueka huyo jamaa awe msimamizi mkuu wa mambo yote ko mimi nikawa chini.

Hicho kitu ckukipenda kabisa yaani mtu ni mpokee na kumfundisha kazi eti ndo akawa tena boss wangu, yaan mpk hela ya kula namuomba yeye.

Japokua huyo jamaa alikua ananitegemea kwa vile me ni master ps ko kwenye loser nilikua nampa hela nyingi sana alafu nikimuomba hata ya kula ana ninyima.nilikua namuangalia na muacha tu.

Tuseme kiuchumi nilianguka kwa muda maana hata pale home Mzee alisepa kumfuata mke wake bush maana maisha ya mjini yalimshinda, mdogo wangu wa kike yeye alivyomaliza tu graduation alisepa Dodoma kwa sister kwa kifupi home nilibaki mwenyewe tu.

Sikua na namna niliona ili ni lipe bill's lazima niishi kijanja...hapo sasa nikaanza kutapeli watu ( cjui kudhurumu )...kila nikienda palee ps basi lazima nidhurumu waliokaa kiboya.

Kama kuna madogo flani hivi walikua ni wanafunzi wa Makoko seminary walikuja kucheza ps midaa ya saa mbili usiku.Na cku hyo nilikua sina hela maana nilimuomba yule jamaa hata anikopeshe ten akalialia tu.

Nilikua nimekaa kwenye bench nyuma kabisa nawaza hela napataje ndo wakaingia hao madogo wa shule.Niliona mmoja alitoa wallet kuhesabu hela,nilijisimea moyoni lazima nitoke na chochote asee...kwa vile madogo walikuta kuna watu wanacheza ilibid wasubir.

Ckutaka kuwachelewesha nilimuuliza dogo mmoja kama ana jero pale anipe nimpe buku afu jero nitachukua badae.Alidai hana nikamuuliza una shingap alisema wana elfu kumi kumi tu.Niliwaomba nika wachenjie ili wasisumbuke na chenji....wakanipa masikini elfu kumi nikawaambia tena c mlete na hizo nyingine ni kawalete pia chenji wakatoa 20k ko jumla ikawa 30k niliondoka ckurudi, yule jamaa alinipigia kuniuliza niko wapi maana madogo walikua wanalia hela yao hela yao.

Nilimwambia jamaa awaambie kuwa nakuja hata wasijari,nilivyokata simu nikaizima kisha nika sepa zangu kwa hotelin kula then nikaondoka kwenda home.


Hapa nimewapeleka mbele kidogo nitarud kuendelea tena.
Daaaaah mzee hufai aisee, mi ungekua mwanangu tungeishi tu kwa ile imani ya zimwi likujualo halikuli likakwisha ila imani ingekua haba hata sasa maana umafia upo kwa damu kabisa ww
 
Daaaaah mzee hufai aisee, mi ungekua mwanangu tungeishi tu kwa ile imani ya zimwi likujualo halikuli likakwisha ila imani ingekua haba hata sasa maana umafia upo kwa damu kabisa ww
😂😂😂 huwezi amini nilikua nikijua we ni mwana cwez kukufanyia ukuda, hata uangushe milion yako nitaokota nikupe lakin wale wanyonge afu uwe bishoo tena ckujui hunijui hapo ni maumivu andika kingine lbda unichukize tu
 
Mkuu huyo bishoo mwenye laptop alikua hajui emulation options? VGS, EPSXe etc? Daah, tumefanya Sana haya maujanja enzi hizo
😂😂😂 yani hata me hayo maujanja nilikua cjui yani
 
Inaendelea

Tokea cku hyo nilivyo wadhurumu wale hela yao nilikua najiskia vby kufny vile lakin ckua na namna asee.....kesho nilirud ps huyo jamaa alinambia cku fanya kitu poa yaani madogo walilia kinoma, nilimwambia akaushe tu.

Katika Wakat wakat ambao nilikua naishi kwa kuunga unga ni huo yani hata Mama alikua akinipigia simu kuniuliza kama nachakula namwambia ninacho ( kumbe sina ) yani me nilikua sipendi kuomba omba hela shida zangu nilikua nazitatua alone.

Kuna siku nilikua nimefulia mwezi wa kwanza huo na ulivyo mrefu.Siku nilikua nimeishiwa mpk Gesi uzuri nilikua mwenyew ckuwaza sana.

Wakati gesi imeisha mara Malaria hyoo ikanikamata kisawa sawa lakini hakuna ndugu yangu niliye mwomba hela ya matibabu isipokua sister tu ndo nilimuomba hela lakin alidai hana mpk mwisho wa mwezi.Kwa vile me hua bundle ni la umuhimu sana kwangu na nilikua nalo niliamua kuingia YouTube kutafuta dawa ya malaria za asili.

Nili bahatisha dokta mmoja hivi alikua anaonyesha madawa basi huyo dokta alidai eti dawa ya malaria uchukue majani ya mpapai,mchai mchai, majani ya mwembe na tangawizi unazichemsha alafu unakunywa cku tatu malaria kwishnei.

Nilifanya kama dokta alivyotoka kwa vile gesi sikua nayo niliamua kuzi blend hizo dawa afu nikanywa.Glass moja ilitosha kunitapisha yaan niliishiwa nguvu nikawa naona kiswahili swahili ( dizzying cjui ndo kizunguzungu ) nililala kwanza naona kama nataka kufa vile.

Mungu saidia nilickia mlango unagongwa nilimwambia aingie ndani.Alikua ni mpwa wangu wa kike alikuja pale home kuchuma malimao kwa vile alinikuta naumwa alinipa msaada plus na kuninulia msosi na dawa ( mseto ) nilimwambia asiwaambie Wazaz wangu akaushe tu lbda kama nikiwa mgonjwa sana.

Siku hyo ilibid alale pale ko kesho yake aliniachia 10k akasepa.Kwa vile nilikua na nafuu kidogo niliamka nika mwaga ile dawa niliyoitengeneza wakat huo nataka kuweka movie nione mara umeme ukakata kucheki ni Luku, nikasema balaa lingine hilo.Nilinunua Umeme wa 5k nikabaki na buku tano.

Nilikua sina mpango wa kwenda Ps lakin ilibid tu niende labda ningepata pesa yoyote.Jioni nilielekea ps nilimkuta boss yupo ko nilikaa nae nje tukapiga story tu za kutosha.Kipindi tunapiga story alikuja jamaa mmoja akanambia ana Namba za mtoto mmoja mzur hatar kama nataka anipe, nilimwambia anipe akanipa.Wakat huo alitokea jamaa mmoja tena yeye ni Mwalimu hua pia ni mteja sana wa ps, nilimtoa pembeni nikamwambia naumwa hatare kama anaweza kunisaidia anikopeshe pesa...alinambia shngp nikamwambia 50k siyo mbya huyo ticha hakua na hiyana alinipa alafu nikamwambia ndani ya wiki moja hela yake nitampa akasema sawa nikawa na 55k ile namaliza kuongea na huyo ticha yule classmate wangu aliniita kuwa kuna mtu anataka kucheza loser.

Nilienda kalikua ni kajamaa kamoja hivi Kembamba a, nilimuuliza huyo kimbau mbau kama ana pesa za kutosha maana me hua sichezi game na watu wenye pesa ndogo.Alinambia pesa ipo ya kutosha huku anatoa wallet yake kunionysha.Nilimwambia afungue hyo wallet ni hakikishe kama kweli kuna pesa alifanya hivyo.

Nilivyoona zile hela kwenye wallet nilisema lazima nichukue hyo wallet ko tulianza kucheza game lakin akili ilikua kwenye wallet yake.

Na vile alikua amevaa pensi ( zile pensi flani hivi fupi ) na shati kubwa, ko wallet yake ilikua haiko yote ndan ya mfuko wa pensi.Kwa vile tulikua tumekaa karbu kipindi jamaa akiwa ana panga wachezaj wake alikua busy kupanga me nikatumia huo muda kumchomolea wallet yake.Nilivyoichukua wallet nilitoka nayo nje kwa gia ya kwenda kukojoa.nilichukua 30k ko nikawa na 85k.

Nilirud ndani na ile wallet jamaa alikua bado busy ko niliiweka chini kwenye uvungu wa kiti chake, alafu nikaendelea kumsubir amalize kupanga.Kipindi na mchukulia wallet yule classmate aliniona sana sema alikausha na alivyokua ananiogopa.

Huyo jamaa nilimwambia mbn wallet yako ipo chini huitak nini?....et ndo akashtuka na kuichukua akaiweka mapajan mwake.Tulicheza game na nilimfunga karbu mech zote alivyoona mimi na mfunga tu aliacha kucheza.Alilipa 7000 kwa mech alizopoteza.

Classmate nilimwambia anipe hata buku mbili akaanza kulialia na huku me ndo nilikua na mpa hela kubwa ( yani me ndo nilikua mercenary wake kwenye kucheza LOSER ).


Saa mbili kama na nusu usiku nilisepa zangu home.Ile nafika tu home Rafiki angu wa church akanipigia simu kuwa kuna tenda ya lindo ( kulikua na mahubir yana karbia kuanza ) nilimuulizia ni shngp wanatupatia akasema 70k kwa wiki mbili nilikubal kisha nikaanza kuwaza nafanyaje na ile hela niliyokua nayo.

Kesho yake nilijaza gesi 50k na kufanya mambo mengine.Mahubr yalivyofika nilipiga ile tenda ya lindo.

Sasa tulikua tunalinda watu 3 jamaa yetu mmoja tuliyekuwa tunalinda nae.huyo jamaa alikua nae ni tapeli tu kidogo atupige...Kumbe wakat sisi tunahesabu cku ziende mahubir yaishe jamaa yeye alienda kusema kwa muhazin kuwa Sisi tunataka watupe advance ko kati ya 210k walimpa 150k hata akutwambia.kipind mahubir yanaisha kwanza jamaa cku hyo aliwai kuondoka, nilienda kudai pesa kwa muhazin akatupa 60k alitwambia nyingine mbn alishampa jamaa kuwa alidai eti tumemtuma.

Ko ile 60k nilichukua mimi huyo jamaa nikamwambia akamdai yule jamaa hela, alibisha bisha lakin alikubali....nackia aliambulia kupewa 30k kati ya 70k me nae nilikaushia elfu kumi yangu.

Mama alinambia niende alipo, alinitumia nauli nikaamua niende tu cku hyo hyo.nilifika nilikuta watu wanapalilia mashamba duh...afu me hizo kazi ndo nilikua czwez kabisa, sikuzizoea kabisa.

Nilikaa bush mpk korona ilinikuta niko bush, sule zilivyofungwa ile likizo ya korona.tulijikuta tuma rejoin kwa pamoja kama familia.

Nilifurah kukutana kama familia yani me na ndugu zangu.


nitarejea tena.
 
Inaendelea

Tokea cku hyo nilivyo wadhurumu wale hela yao nilikua najiskia vby kufny vile lakin ckua na namna asee.....kesho nilirud ps huyo jamaa alinambia cku fanya kitu poa yaani madogo walilia kinoma, nilimwambia akaushe tu.

Katika Wakat wakat ambao nilikua naishi kwa kuunga unga ni huo yani hata Mama alikua akinipigia simu kuniuliza kama nachakula namwambia ninacho ( kumbe sina ) yani me nilikua sipendi kuomba omba hela shida zangu nilikua nazitatua alone.

Kuna siku nilikua nimefulia mwezi wa kwanza huo na ulivyo mrefu.Siku nilikua nimeishiwa mpk Gesi uzuri nilikua mwenyew ckuwaza sana.

Wakati gesi imeisha mara Malaria hyoo ikanikamata kisawa sawa lakini hakuna ndugu yangu niliye mwomba hela ya matibabu isipokua sister tu ndo nilimuomba hela lakin alidai hana mpk mwisho wa mwezi.Kwa vile me hua bundle ni la umuhimu sana kwangu na nilikua nalo niliamua kuingia YouTube kutafuta dawa ya malaria za asili.

Nili bahatisha dokta mmoja hivi alikua anaonyesha madawa basi huyo dokta alidai eti dawa ya malaria uchukue majani ya mpapai,mchai mchai, majani ya mwembe na tangawizi unazichemsha alafu unakunywa cku tatu malaria kwishnei.

Nilifanya kama dokta alivyotoka kwa vile gesi sikua nayo niliamua kuzi blend hizo dawa afu nikanywa.Glass moja ilitosha kunitapisha yaan niliishiwa nguvu nikawa naona kiswahili swahili ( dizzying cjui ndo kizunguzungu ) nililala kwanza naona kama nataka kufa vile.

Mungu saidia nilickia mlango unagongwa nilimwambia aingie ndani.Alikua ni mpwa wangu wa kike alikuja pale home kuchuma malimao kwa vile alinikuta naumwa alinipa msaada plus na kuninulia msosi na dawa ( mseto ) nilimwambia asiwaambie Wazaz wangu akaushe tu lbda kama nikiwa mgonjwa sana.

Siku hyo ilibid alale pale ko kesho yake aliniachia 10k akasepa.Kwa vile nilikua na nafuu kidogo niliamka nika mwaga ile dawa niliyoitengeneza wakat huo nataka kuweka movie nione mara umeme ukakata kucheki ni Luku, nikasema balaa lingine hilo.Nilinunua Umeme wa 5k nikabaki na buku tano.

Nilikua sina mpango wa kwenda Ps lakin ilibid tu niende labda ningepata pesa yoyote.Jioni nilielekea ps nilimkuta boss yupo ko nilikaa nae nje tukapiga story tu za kutosha.Kipindi tunapiga story alikuja jamaa mmoja akanambia ana Namba za mtoto mmoja mzur hatar kama nataka anipe, nilimwambia anipe akanipa.Wakat huo alitokea jamaa mmoja tena yeye ni Mwalimu hua pia ni mteja sana wa ps, nilimtoa pembeni nikamwambia naumwa hatare kama anaweza kunisaidia anikopeshe pesa...alinambia shngp nikamwambia 50k siyo mbya huyo ticha hakua na hiyana alinipa alafu nikamwambia ndani ya wiki moja hela yake nitampa akasema sawa nikawa na 55k ile namaliza kuongea na huyo ticha yule classmate wangu aliniita kuwa kuna mtu anataka kucheza loser.

Nilienda kalikua ni kajamaa kamoja hivi Kembamba a, nilimuuliza huyo kimbau mbau kama ana pesa za kutosha maana me hua sichezi game na watu wenye pesa ndogo.Alinambia pesa ipo ya kutosha huku anatoa wallet yake kunionysha.Nilimwambia afungue hyo wallet ni hakikishe kama kweli kuna pesa alifanya hivyo.

Nilivyoona zile hela kwenye wallet nilisema lazima nichukue hyo wallet ko tulianza kucheza game lakin akili ilikua kwenye wallet yake.

Na vile alikua amevaa pensi ( zile pensi flani hivi fupi ) na shati kubwa, ko wallet yake ilikua haiko yote ndan ya mfuko wa pensi.Kwa vile tulikua tumekaa karbu kipindi jamaa akiwa ana panga wachezaj wake alikua busy kupanga me nikatumia huo muda kumchomolea wallet yake.Nilivyoichukua wallet nilitoka nayo nje kwa gia ya kwenda kukojoa.nilichukua 30k ko nikawa na 85k.

Nilirud ndani na ile wallet jamaa alikua bado busy ko niliiweka chini kwenye uvungu wa kiti chake, alafu nikaendelea kumsubir amalize kupanga.Kipindi na mchukulia wallet yule classmate aliniona sana sema alikausha na alivyokua ananiogopa.

Huyo jamaa nilimwambia mbn wallet yako ipo chini huitak nini?....et ndo akashtuka na kuichukua akaiweka mapajan mwake.Tulicheza game na nilimfunga karbu mech zote alivyoona mimi na mfunga tu aliacha kucheza.Alilipa 7000 kwa mech alizopoteza.

Classmate nilimwambia anipe hata buku mbili akaanza kulialia na huku me ndo nilikua na mpa hela kubwa ( yani me ndo nilikua mercenary wake kwenye kucheza LOSER ).


Saa mbili kama na nusu usiku nilisepa zangu home.Ile nafika tu home Rafiki angu wa church akanipigia simu kuwa kuna tenda ya lindo ( kulikua na mahubir yana karbia kuanza ) nilimuulizia ni shngp wanatupatia akasema 70k kwa wiki mbili nilikubal kisha nikaanza kuwaza nafanyaje na ile hela niliyokua nayo.

Kesho yake nilijaza gesi 50k na kufanya mambo mengine.Mahubr yalivyofika nilipiga ile tenda ya lindo.

Sasa tulikua tunalinda watu 3 jamaa yetu mmoja tuliyekuwa tunalinda nae.huyo jamaa alikua nae ni tapeli tu kidogo atupige...Kumbe wakat sisi tunahesabu cku ziende mahubir yaishe jamaa yeye alienda kusema kwa muhazin kuwa Sisi tunataka watupe advance ko kati ya 210k walimpa 150k hata akutwambia.kipind mahubir yanaisha kwanza jamaa cku hyo aliwai kuondoka, nilienda kudai pesa kwa muhazin akatupa 60k alitwambia nyingine mbn alishampa jamaa kuwa alidai eti tumemtuma.

Ko ile 60k nilichukua mimi huyo jamaa nikamwambia akamdai yule jamaa hela, alibisha bisha lakin alikubali....nackia aliambulia kupewa 30k kati ya 70k me nae nilikaushia elfu kumi yangu.

Mama alinambia niende alipo, alinitumia nauli nikaamua niende tu cku hyo hyo.nilifika nilikuta watu wanapalilia mashamba duh...afu me hizo kazi ndo nilikua czwez kabisa, sikuzizoea kabisa.

Nilikaa bush mpk korona ilinikuta niko bush, sule zilivyofungwa ile likizo ya korona.tulijikuta tuma rejoin kwa pamoja kama familia.

Nilifurah kukutana kama familia yani me na ndugu zangu.


nitarejea tena.
shusha nondo mkuuu shusha shusha
 
Inaendelea

Niliruhusu maisha yaendele tu ingawa ckua tena kitu kinacho niingizia hela ila nilipambana tu kiivyo hivyo.

Mzee nae kifedha alikua doro sana maana mafao yake aikua hajapewa bado.Ko sana Mama ndo alikua anatuma hela na bro wangu alikua ana kikazi fulani anapiga.


Hatimae mzee alipata boom lake ( mafao yake )...wacha weeh...nakwambia maisha yalikua bum bum.Mzee badala hata angemalizia kujenga nyumba yake, yeye alinunua nyumba buhare.Nyumba ilikua ya vyumba vinne na sebule lakin choo na bafu ni nje.Pia hapo kulikua kuna nyumba ilikua haijamalizika kujengwa ( ilinunulia pamoja na hyo ).Atleast Mzee alipumua sasa maana alikua na Mji sasa angalau.

Lakini sasa hela zilivyotumika sasa, yaani cjui nielezeje mzee alikua boss kwa muda.Ukimuomba buku anakupa 10k.Nilimuomba hela ya Veta alinipa 800k veta hata ckwenda nilinunua ps 3 moja nyingine hela cjui iliishia wapi.

Wanasema hela za wastaafu zina mashetani labda ni kweli Mzee alikod gari ikawa inampeleka sehem atakayo, kwenye buti la gari ni crate za pia ndo zimejaa tu.Hata kwenye mechi za Biashara utd alikua analipia baadhi ya mashabiki kiingilio.

Uzur hela hakupewa yote maana kikokoto kilikua kazini kabla ya Magu kukizuia kwa muda.

Tulihama hapo tulipokua tumepanga tukaenda kwenye Nyumba yetu sasa.

Cha ajabu Mzee wangu kijijini kwao alikua hana nyumba, shukurani kwa Mama ndo aliamua kuhamia kijijni kwa Mzee ko alijinyima akajenga nyumba ( ambayo saivi anaish na Mzee ).

Hela ziliisha faster mzee akawa mpole kama kiporo.Sema kuna viela nilikuaga namuibia ndo vilikua vina tu save maisha yanasonga.

Kuna siku moja yule Manzi nilie kutana nae kisiwani nilimkumbuka tu basi kumtext akaniuliza me nani, nilimwambia kumbe no yangu ulifuta...nilimwambia me ni fulani akanikumbuka na uzuri alikua yuko msoma chuoni.


Aliniiomba tukutane, niliwaambia alikua ni mwana chuo hapo buhare.Hata nisingemtafuta tu yaani sasa kuchunwa kulianza na aibu alikua hana kabisa.Cku moja alinambia hana Godoro anajibana tu kwa shosti wake, kidume nilimwambia asijali.

Niliamua kumpa lile godoro langu nililonunua 2017 maana lilikuepo tu silitumii.

Nilimpa mtoto alalie cha ajabu alikua ana kataa nisiende alipo pangaa, nilisema fresh kwa vile K nilikua napewa bila shida niliona kawaida tu.

Ila huyu demu aliiniendesha cjui kwanini nilikua dhaifu kwake, matumizi nilikua natoa mimi.

Kuna siku nilikua natoka zoezi tuko na rafiki zangu tunao imba nao, nikamuona kapakiwa kwenye pikipiki XL na mjeda mmoja ( nahisi walikua waelekea Town ) nilishtuka sana mpk nikakosa raha.

Kesho yake nilimuulizia kuhusu hilo akasema eti yule ni kaka alitokea shinyanga.sasa huyo mjeda me namfahamu vizur niliona demu kanirusha.Nilimuacha tu lakini demu alianza madharau sana yani mpk K nanyimwa.

Nilimtumia text nikamwambia jiandae nafata godoro langu, alinitukana sana akasema "njoo uchukue ka malaika kako faster"....cjui alijua natania.

Alikua anaishi na yeye buhare ( Matawi ya Juu ) uzuri nilikua napajua na tulikua kata moja haikunipa tabu sana.

Kesho ilipofika nilimchukua mwana mmoja yeye alikua ana pikpik aina boxer.nilimtumia text nakuja akasema wai haraka.

Alidhani natania nilifika nikachukua godoro nikalibeba jujuu mpk kwenye pikpiki jamaa akawasha tukasepa.

Usiku sasa text alinitumia text nyingi za kuomba msamaha ili nimrudishie godoro, nilimwambia asahau siwez kukpa godoro alafu waku t***...

Nilimtema mazima hyo ilikua mwaka 2019 mwezi wa 3 na ckujua tena habar zake.


Ngoja pia niongelee kuhusu kwaya maana cjaigusia kabisa.


Nilipoingia kwenye kwaya kiukweli nilikua sina hayo mawazo eti kuja kuimba kwaya cku moja lakin automatic nilijkuta tu nimengia kuimba.

Nilikua sijui kuimba yaani sauti nilikua cjui naimba ya ngapi,mara wanipeleke kuimba saut ya tatu mara bass mara ya kwanza ya kiume kiufupi nilikua sijui naimba saut ya ngapi.

Lakin kadri nilivyokua nafanya zoez ndo kuimba kwangu kuliimarika cku kwa cku, saiz me ni mnoma kwenye kuimba.

Ndoto zangu ilikua pia nije niwe mpiga piano hodari pia niwe natengeneza beats sana za gospel.




Nitarud tena kuendelea
Hahahaaa mzee wako alikua don kwa muda, hela ziliisha baada ya muda gan...zilimaliza mwaka kweli?
 
Nitakua sina shukrani kama nitapita kimya kimya japo toka jana nilivyoanza kuisoma nimemwaga ma like yakutosha ila Mwamba umetisha sana,umejitahidi sana kuandika nakupangilia story yako hicho nacho nikipaji tosha
 
Inaendelea

Licha ya kupenda kuimba pia nilikua napenda sana kujua kupiga Keyboard ( kinanda ) or piano yani nilikua nikiona watu wakipiga hicho roho inaniuma yani nataman na mimi cku moja nijue....nakumbuka 2014 kuna jamaa nilimuomba anifundishe kupiga keyboard sema alikua ana ringa sana ckuambulia lolote kwake.

2019 mwezi wa kumi ticha angu wa kwaya ( ni dogo tu lakin fundi hatar kwenye piano ) ndo alianza kunifundisha kinanda mdogo mdogo sema nae alisepa ko aliniacha bado sana cjui chochote tofauti na scale za key nyepesi Key C major, hapo chord na progression nilikua cjui kabisa.


Turudi kwanza kwa Yule Manzi ......

Siku zilienda bado huyo demu nilikua niko nae kama rafiki tu.Mwez wa tisa tareh 11 ilikua birthday yake, hilo nilikua na lijua cku hyo nilipanga tukitoka zoez nikiwa na msindikiza nimpe hela kidogo kwa ajili ya hyo siku yake muhimu, lakin siku mwambia nilitaka ku m-suprise njiani.

Zoezi lilivyoisha niliona demu kawai kutoka nilijua tu atanisubir nje.Na mimi nilivyotoka nje ckumuona mazingira ya kanisan, nilimuangaza mpk nikampotezea sasa ile nataka kuelekea job ndo namuona Manzi anakuja na bishoo mmoja hivi alafu akaniita nimsubir.

Alifika akanambia ni msindikize nilikubali sasa tukawa watatu mimi,yeye na huyo bishoo.Njiani hata sisemi chochote niko kimya nawasikiliza wao tu wakiongea, baadae ndo akavunga kunitambulisha kwa huyo bishoo kuwa ni rafiki ake sasa alikuja kumpa hi....bishoo nae alinileteea maisha ya kwenye video eti akanikaribisha kwao.Niliamua kuwatema nikatoa sababu ya uongo ili niondoke ( niliona ni ujinga yani nitembee njiani bure tu )...Manz alijua kuwa cjafurahi alikataa nisiondoke akawa amenizibia njia kwa mbele, yan mpk huyo bishoo wake alishangaa maana demu alimsahau kwa muda.

Niliondoka licha ya kunizuia nisiondoke nilikua na wivu kwa huyo demu...Usiku alini tafuta kama kawaida akalizungumzia hilo swala me nilimwambia ulifanya makosa sana kumleta huyo boy wako.Siku hyo Manzi ndo alinikubalia ombi langu kuwa ananipenda..nilifurahi kinoma nikasema kwa nzia muda huo wa kukubaliwa na manzi naachana na mademu zangu wote na nitakua mtu mwema kabisa.

Licha ya kunikubalia lakin kunipa mzigo alikua ananibania sana.Siku moja ilikua Alihamis cku hyo niko home najiandaa kwenda Job midaa ya saa nne hivi...Manzi alini text kuwa niko wapi nikamwambia home, akanambia yeye yupo Majita road kama naweza kwenda kumuona niende.

Jumatano Sister wangu alinitumia pesa fulani hivi nilimuomba eti za kwenda kusoma Veta ( ilikua ni mauongo yangu tu ili anipe hela hakuna cha veta wala nini )....Alituma ckuhyo pesa nyingi tu pamija na ya mdogo wangu wa kike ya graduation ( alikua kamaliza la saba ) Mzee nae hakuachwa nyuma nae alitumiwa hela ya kutosha tu ( nilimuona kafurahi ).Nilitoa pesa kwa wakala nikampa dogo hela yake zilizo baki niliagizia pad za ps zilikua zimeaharbika hela nyingne nikaenda nayo zoezi.

Muda wa zoez kuisha kipindi na msindikiza yule manzi alikua ameninunia, tulifika sehemu nikamtolea noti moja ya 10k kumpa akakataa nikatoa nyingine kumpa pia akakataa kutaka kutoa ya tatu alinizuia akanambia yeye hana shida na hela ko nisiwe najitesa kumpa yeye kanipenda tu the way nilivyo.Nilimlazimisha azichukue hela mpk nikamwekea kwenye pochi yake kinguvu ndo akazikubali.Siku hyo alini text kunipa asante na pia kwa ninavyomjali.

Sasa sku ya alhamisi alivyonambia ni mfuate Majita road nilihairisha kwenda job ikabid nimfuate mtoto yani hata boda cku panda nikiofia itaniangusha mwishoe nisimuone mtoto mzuri.

Nilifika road nikamkuta alikua kapendeza sana, alinichukua mpk kwao, nilifika alinipa chai cku vunga nilikunywa fresh tu.Sasa tulipiga story hapi sebulen kwao mpk story zikaisha, aliwasha tv kulikua na kipind cha Dadaz eatv me nilimwambia sion hivyo vpind vya hovyo akaamua kuzima tu Tv.

Alikua kakaa kwenye sofa kubwa niliamua nimfuate nikaanza kumpapasa akawa hataki.Lakin nili force mpk akakubali.Kwenye kumvua ilikua ni shughuli pevu.Mpk namvua nguo zake jasho lilinitoka sana.Nilitaka kumgongea hapo kwenye sebule lakin alikataa akadai twende chumbani kwake ( yaani me akili ya kukamatwa ilikua hata haipo hamuez amini )...nilimgonga kamoja kamoja ckulidhika lakin yeye alikataa akasema mida ya mama ake kurud ndio ile, ko nilitoka na hasira nikasepa zangu, sasa alikua anapiga simu za kutosha lakin kwa makusudi ckupokea.

Nakumbuka text yake cku aliyonitumia baada ya kuona kuwa cpokei simu yake.Alinambia kuwa me ndo boy wake wa kwanza kumuona akiwa uchi sasa yawe yangu nisitangaze. kama alijua vile maana muda nilikua njiani naenda kwa msela wangu nimpe story kuwa nimekula kitu tena kwao.Nilifika kwas msela na kweli nili mwambia nilivyokula Tunda.Yani Manzi hyo ndo ilikua tiketi ya kuanza kusex nae, kila nilikua nikimuhitaji chapu na mla.Nilimpenda kiukweli huyu manzi toka moyoni nilipanga hata nije nimuoe cku moja.

Pale ps kuna Jamaa mmoja nili ckuli nae sasa yeye alirudia shule na huo mwaka 2019 ndo alijua anamaliza form four, alikua anakuja pale ps tunapiga nae story kisha anasepa.Kuna siku alimkuta boss wangu akamtoa pembeni ckujua walivyoongea lakin nilistuka kitu kimoja.Huyo jamaa alivyomaliza kuongea na boss alikuja akanambia nikimaliza paper la form four nitakuja kupiga kazi.Sikumjali sana kumbe nafasi yangu huyo jamaa ndo aliibeba, yani nilikua namfundisha baadh ya vitu pale ps kumbe alikua analake moyoni.

Na kweli alivyomaliza mtihani akawa amekuja rasmi tukaanza nae kupiga kazi wote alivyojua tu yeye ndo akawa boss kwangu ( kwa Amri ya boss ) ckua nilikosa nini mpk boss afanye hayo maamuzi.Nilichukia ila ckua nalakufanya.Doro likaanza tena kunipiga.


Before hayo hayajatokea Mwez wa kumi mwishoni Huyo manzi angu aliondoka musoma akaenda Chuo Tabora ko nilibaki sina Manzi ( maana niliapa kuwa ctakua na manz mwingine zaid yake )....kwakua huyo manzi alienda chuo nilijua tu ctokua pekee angu na mimi nilamua kurudisha majeshi kwa Yule manzi angu wa zamani ( lizy ).nilimtafuta nikamwelekeeza ofis ilipo ko akaja, ila saivi alkua ni mdangaji hatari hakuwa yule demu wa zamani.Yani alikua hapitwi na kwenda club ( Metro,modern club na sehem za starehe nyingine )

Ko nilikua nae hivyo hivyo kibabe nikimwambia aache hayo mambo alikua anambia mbn me niliyafanya hapo nyuma ko lazima na yeye afanye roho imlidhike.Kuna siku alikuja na rafiki ake bila hata kunipa taarifa kuwa wanakuja.

Siku hyo walitaka bia nikasema me msabato c mnunulii mtu pombe huyo demu alisema niache kuvunga usabato kitu gani na huku me ni malaya.Niliona isiwe shida nilimpa hela wakanunue bia wenyewe.

Kufikiria matukio yoye nayo ni kipaji asee...ila ngoja nipambane....


Siku hyo usiku nilitumiwa text no ilikua ngeni text ilisemaa "shem mambo" nikajibu fresh kusha akajitambulisha kuwa ni rafiki ake na yule manzi ( lizy ).Alitaka nimkopeshe hela 40k et atanirudishia cku chache zijazo.Sikua na hela kwa muda ule zaid ya za ofisini ko nilimkubalia tu kesho aje home achukue.Alivyokuja nilimgonga afu nikamwambia me hela sina mpk jioni ndo nitampa.

Aliwaka cku hyo kwa hasira lakin ckua nala kumsaidia, ilifika jioni akani text nikamwambia kesho aje mapema tu nitampa hyo hela lakin tena alichezea rungu nilikua na buku tano ndo aliichukua akasepa ila alini laani balaa..


Nitarudi tena
Hahahaaa, nimecheka sana eti ukaona hata bodaboda itakuangusha ukatembea.... Huyo rafik wa liz alijuta
 
Inaendelea


Nirudi tena kwa Manzi angu...............


Kabla My wangu hajaenda chuo tulikua tunapendana balaa nikikumbuka mapenz aliyokua akinipa....ila mapenzi yakiwa yamenoga sana basi ujue ndo yanakarbia kuisha ( kwa kizaz chetu lakin ) kuna cku Manz alinambia anasafir kwenda Simiyu kuchukua Cheti cha form four ili aweze ku aplayi ( apply) Chuo, basi alinambia atarud cku hyo hyo ko nije nimpokee stend wakat akirud.

Kweli alisafir na wakat akiwa njian anarud alinambia niende kumpokea, ilikua usiku ckuhyo kimvua cha uongo kilinyesha na baridi ndo ilikua ya kutosha.

Mtaalamu ilivyofika saa mbili nilifunga ofisi huyo nikadandia boda kwenda kumpokea Mywangu nilifika stend ya zamani basi lilikua bado halijafika ilibid nimsubir.Ilifika saa tatu Basi likawa limefika AFRICA RAHA mtoto akashuka nikampokea pochi yake, tukaenda kwa boda mmoja ni mtu mzima tukapanda.Mywangu ndo alianza kukaa na kwa vile alikua amevaa kimini alikaa ki kike alafu me nikakaa nyuma yake.

Wakat boda iko kwenye mwendo wa taratibu me nilikua nampiga mabusu mazito mtoto wa watu mpk akawa hoi nilikua nampapasa kwenye matiti na kiunoni, cjui yule boda aliona wivu au hisia zilimzidi.Tulivyofika ile njia ya kwa mkuu wa mkoa tulishangaa pikipiki inasimama.Boda alitutaka tushuke tuchukue boda nyingine aligomba kuwa hatuna adabu yule myngu alimwambia adabu gani na huku hela unapewa .

Ila hili tukio nikilikumbuka hua nacheka tu....basi tulichukua boda nyingine maana yule boda alivyo tushusha hakutudai hata hela, tulipanda tukasepa mpk kwao na Manzi mitaa ya Kamnyonge tuliagana nikasepa zangu kwa rafiki zangu ni wape hyo story.


Sema hyo Mywangu alikua anapendwa na wengi walikua wakimtongoza ananambia fulani kamtongoza ko nilikua cna noma na hao wanao mtongoza maana nilijua nao wanajarbu bahat zao.

Me nilimwambia tu heshima ndo anipe.Jamaa mmoja tulikua tuna sali nae walikua ni marafiki wakubwa na Mywangu mpk kuna cku moja tukia church manzi alinambia anajiskia vby ko akaondoka kwenda kwao..nilimwambia anisubir sehemu hivi nitamkuta.Sasa ile sehemu tuliyokubalia kuwa nitamkuta nilifika nikamkuta kasimama na kale kafala ( rafiki ake )..niliwapita bila kuwa semesha hasira zikawaka hatari.Dem mwenyew alijua akanifuata ananiita siitiki ( eti nikawa nimenuna ) alinikimbilia akaanza kusema ooh...usinifikirie vby yule ni rafiki cjui nini cjui nini....yani alijitetea sana cku hyo akanambia me ndo bwana ake wa maisha ( ila nyie watoto wa kike nyie acheni laana za bure bure ) hasira ziliisha tukaanza kupiga story za kawaida.


Siku anaondoka kwenda chuo basii tabu ikaanza kuwa juu yangu...niki mtext kujibu mpk apende nikimwambia mbn kimya mara cjui yupo busy na kitabu na uki check last seen yake whatsapp ni online duh..na nilijua sina changu mpk nikakumbuka wasela walinambia kua huyu demu akishaenda chuo basi huna chako.


Demu alifanya stress zangu zizidi kuwa nyingi ukijumlisha na yule classmate kunipindua pale job.kuna cku ameweka status yupo na bishoo mmoja huko chuo ( Udom ) niliumia cjawai kuumizwa hivyo ila uzur hayo maumivu yalikua yananijenga chakula kikua hakipiti yani mpk home walikua wanambia mbn ckuiz huwa unakula wapi mbn hatukuon ukikula...yan nyie acheni tu mapenzi.

Kabla hatuja achana rasmi na bado alikua hajaenda chuo nilijisikia vby ckumoja nilimsaliti.

Siku hyo ilikua hivi....Nilitoka job usiku sana nilifika home nikawa na chat na huyo mywangu.nilitoka nje kuongea na simu.ile namaliza tu kuongea naskia sauti ikiniita hoy..holy we holy...ilikua ni saut ya kike

kalikua ni kabinti kadogo ka form two alikua anaishi na bibi ake na walikua ni jirani zetu.Nilimfuata kusikia anasema nini...hakua na chamaana sana kuniambia.Nilimtaka tukapige story kwenye ile nyumba yetu iliyokua bado haijamaliziwa kujengwa, kalizingua kidogo lakin kakakubali.

Ile naondoka naye hivi bibi ake alitoka nje acha aanze kugomba kuwa mampelekea wapi mjukuu wake.niliona ili asilete noma nilimpa buku 2 huyo bibi akatulia kama sio yeye aliyekua anagomba.Alitaka niwai kumrudisha mjukuu wake.

Tulienda kwenye hyo nyumba ckua na story ko nilikapiga rungu katoto ka watu alafu nikarudisha kakalale.

Hako katoto nako kalienda kusimulia kwa marafiki zake ko noma ilikuepo lakin sio sana.


Tarehe 01 January 2020 ndo mapenzi yangu na Mywangu yalifika tamati siku alinipigia ( wakati huo yupo chuo ) akanitakia heri ya mwaka akadai mapenz yetu yazid kukua kwa jina la Yesu kristo.

kesho yake tarehe 02 nikaona status kaniweka kaandika caption old alafu status iliyofuatia alikua yeye na mpenzi wake mpya kaandika "*new chapter *".....jamani me nilikua na mademu wengi lakin cku hyo niliumia sana.

Mpk niliweka hapa Uzi nikiomba msaada wa namna ya kusoma sms za mpenzi wako bila yeye kujua.

Nilimua kwa muda lakini niliona ni ujinga kwa mtu kama mimi kuumia umia kisa mapenzi.Kwanzs nilimtafuta lizy wangu tukayajenga upya ingawa alikua mdangaji ckua na namna kabisa.


Note.Hapo nimewarudisha nyuma kidogo kabla cjaanza kutapeli/ kudhumu watu.


Nitarejea.
 
Inaendelea


Nirudi tena kwa Manzi angu...............


Kabla My wangu hajaenda chuo tulikua tunapendana balaa nikikumbuka mapenz aliyokua akinipa....ila mapenzi yakiwa yamenoga sana basi ujue ndo yanakarbia kuisha ( kwa kizaz chetu lakin ) kuna cku Manz alinambia anasafir kwenda Simiyu kuchukua Cheti cha form four ili aweze ku aplayi ( apply) Chuo, basi alinambia atarud cku hyo hyo ko nije nimpokee stend wakat akirud.

Kweli alisafir na wakat akiwa njian anarud alinambia niende kumpokea, ilikua usiku ckuhyo kimvua cha uongo kilinyesha na baridi ndo ilikua ya kutosha.

Mtaalamu ilivyofika saa mbili nilifunga ofisi huyo nikadandia boda kwenda kumpokea Mywangu nilifika stend ya zamani basi lilikua bado halijafika ilibid nimsubir.Ilifika saa tatu Basi likawa limefika AFRICA RAHA mtoto akashuka nikampokea pochi yake, tukaenda kwa boda mmoja ni mtu mzima tukapanda.Mywangu ndo alianza kukaa na kwa vile alikua amevaa kimini alikaa ki kike alafu me nikakaa nyuma yake.

Wakat boda iko kwenye mwendo wa taratibu me nilikua nampiga mabusu mazito mtoto wa watu mpk akawa hoi nilikua nampapasa kwenye matiti na kiunoni, cjui yule boda aliona wivu au hisia zilimzidi.Tulivyofika ile njia ya kwa mkuu wa mkoa tulishangaa pikipiki inasimama.Boda alitutaka tushuke tuchukue boda nyingine aligomba kuwa hatuna adabu yule myngu alimwambia adabu gani na huku hela unapewa .

Ila hili tukio nikilikumbuka hua nacheka tu....basi tulichukua boda nyingine maana yule boda alivyo tushusha hakutudai hata hela, tulipanda tukasepa mpk kwao na Manzi mitaa ya Kamnyonge tuliagana nikasepa zangu kwa rafiki zangu ni wape hyo story.


Sema hyo Mywangu alikua anapendwa na wengi walikua wakimtongoza ananambia fulani kamtongoza ko nilikua cna noma na hao wanao mtongoza maana nilijua nao wanajarbu bahat zao.

Me nilimwambia tu heshima ndo anipe.Jamaa mmoja tulikua tuna sali nae walikua ni marafiki wakubwa na Mywangu mpk kuna cku moja tukia church manzi alinambia anajiskia vby ko akaondoka kwenda kwao..nilimwambia anisubir sehemu hivi nitamkuta.Sasa ile sehemu tuliyokubalia kuwa nitamkuta nilifika nikamkuta kasimama na kale kafala ( rafiki ake )..niliwapita bila kuwa semesha hasira zikawaka hatari.Dem mwenyew alijua akanifuata ananiita siitiki ( eti nikawa nimenuna ) alinikimbilia akaanza kusema ooh...usinifikirie vby yule ni rafiki cjui nini cjui nini....yani alijitetea sana cku hyo akanambia me ndo bwana ake wa maisha ( ila nyie watoto wa kike nyie acheni laana za bure bure ) hasira ziliisha tukaanza kupiga story za kawaida.


Siku anaondoka kwenda chuo basii tabu ikaanza kuwa juu yangu...niki mtext kujibu mpk apende nikimwambia mbn kimya mara cjui yupo busy na kitabu na uki check last seen yake whatsapp ni online duh..na nilijua sina changu mpk nikakumbuka wasela walinambia kua huyu demu akishaenda chuo basi huna chako.


Demu alifanya stress zangu zizidi kuwa nyingi ukijumlisha na yule classmate kunipindua pale job.kuna cku ameweka status yupo na bishoo mmoja huko chuo ( Udom ) niliumia cjawai kuumizwa hivyo ila uzur hayo maumivu yalikua yananijenga chakula kikua hakipiti yani mpk home walikua wanambia mbn ckuiz huwa unakula wapi mbn hatukuon ukikula...yan nyie acheni tu mapenzi.

Kabla hatuja achana rasmi na bado alikua hajaenda chuo nilijisikia vby ckumoja nilimsaliti.

Siku hyo ilikua hivi....Nilitoka job usiku sana nilifika home nikawa na chat na huyo mywangu.nilitoka nje kuongea na simu.ile namaliza tu kuongea naskia sauti ikiniita hoy..holy we holy...ilikua ni saut ya kike

kalikua ni kabinti kadogo ka form two alikua anaishi na bibi ake na walikua ni jirani zetu.Nilimfuata kusikia anasema nini...hakua na chamaana sana kuniambia.Nilimtaka tukapige story kwenye ile nyumba yetu iliyokua bado haijamaliziwa kujengwa, kalizingua kidogo lakin kakakubali.

Ile naondoka naye hivi bibi ake alitoka nje acha aanze kugomba kuwa mampelekea wapi mjukuu wake.niliona ili asilete noma nilimpa buku 2 huyo bibi akatulia kama sio yeye aliyekua anagomba.Alitaka niwai kumrudisha mjukuu wake.

Tulienda kwenye hyo nyumba ckua na story ko nilikapiga rungu katoto ka watu alafu nikarudisha kakalale.

Hako katoto nako kalienda kusimulia kwa marafiki zake ko noma ilikuepo lakin sio sana.


Tarehe 01 January 2020 ndo mapenzi yangu na Mywangu yalifika tamati siku alinipigia ( wakati huo yupo chuo ) akanitakia heri ya mwaka akadai mapenz yetu yazid kukua kwa jina la Yesu kristo.

kesho yake tarehe 02 nikaona status kaniweka kaandika caption old alafu status iliyofuatia alikua yeye na mpenzi wake mpya kaandika "*new chapter *".....jamani me nilikua na mademu wengi lakin cku hyo niliumia sana.

Mpk niliweka hapa Uzi nikiomba msaada wa namna ya kusoma sms za mpenzi wako bila yeye kujua.

Nilimua kwa muda lakini niliona ni ujinga kwa mtu kama mimi kuumia umia kisa mapenzi.Kwanzs nilimtafuta lizy wangu tukayajenga upya ingawa alikua mdangaji ckua na namna kabisa.


Note.Hapo nimewarudisha nyuma kidogo kabla cjaanza kutapeli/ kudhumu watu.


Nitarejea.
paragraph hii imenifanya niuzunike mnooo aiseee..... mimi nipo kwenye majonzi mazito mnooo... demu kaenda chuo na kuachwa nimeachwa aiseee, ninacho shukuru mimi najua kutafuta pesa naamini after two year ntakuwa na ela nyingi sana yani na kumiliki kila itaji la moyo wangu.
 
vipi kamanda ulifanikiwa kuweza kusoma sms zake bila kujua.Nifundishe tafadhali
 
Back
Top Bottom