Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Dah ndio imeisha au....!!!ila hii stor aseh imenifanya nilale sa5 usiku jana na kuamka sa1 kamili mpk nmeifuta yan hata chai nmekumyw sa5 leo acha sas nikaoge leo niko mapumziko
Jmaaa story yake noma sana aiseeee...
 
Inaendelea

Kama nilivyotangulia kusema kuwa kwenye hyo nyumba tuliyokua tumehamia walitaka tuhame.Mzee mwenye mji alikua amecharuka vby mno, alikua anadai kuwa Mzee wangu anatembea na mkewe japo me niliona hayanihusu hayo mambo lakin nilijua pengine huyo mzee tuhuma zake zina ukweli ndani yake.Mzee wangu namfahamu tabia zake ko ckua na mashaka na hilo sema utafanyaje sasa.


Kipindi hicho alikua kachukua likizo ya kustaafu ko muda mwingi alikua home mambo mengine nilisimamia me na bro wangu.

Ila mtu kuwa na Nyba yako ni raha yani unaepuka mambo mengi sana.Mngekua mnamuona Mzee wangu wakat huo alikua ni wakuonewa huruma.

Mzee alimaliza likizo ya kustafu akawa kastafu rasmi alisota kiaina.

Muda wa kuhama ulifika ilikua tarh 30 mwez wa nane siku ya alhamis Mzee mwenye nyumba alikuja na mwanae mapema asubui kusimamia show ya kuhama.Me ckuwepo home maana nilikua silali sana home kuna sehem nilkua nalala.

Hapo ikumbukwe mzee wangu alikua hata nyumba hajatafuta ko ilibid aanze kutafuta siku ile ile.Aisee ilikua ni kazi sana, wakat me na mzee tunafuta Nyumba ya kuhamia Bro na madogo wenye walibaki kukusanya vitu ( na tulikua na Vitu vingi )...Siku hyo tulikosa nyumba ko Mwenye nyumba alisema kesho ijumaa atakuja kufunga mji wake.

Kwa vile huyo mzee alikuja kishari basi nilisema lazima ni mkomeshe kivyovyote vile.Ijumaa ilifika kama zali nyumba zilipatikana mbili Kubwa sana afu geti kali zote,ko tulizikagua tukapenda moja nzuri sana geti kali afu ina vyumba vinne viwili Masters.Gari lilikuja la kubeba vitu na huyo Mzee alikuepo anahakikisha tumehama.

Kama nilivyosema lazima ni mpige tukio huyo mzee chochote chake hata roho itulie kwa ajili ya kumdhalilisha Mzee wangu.

Alikua kakaa kwenye sofa za sebuleni kwetu ( tulikua bado hatuja yatoa nje ) kawaida ya Wazee wakikaa lazima usingizi uwashike.Nilimpa chai na mkate afanye kunywa lakin yule mtoto wake alisema kashiba akatoka nje.

Mzee alikua anasimu yake kaiweka kwenye mfuko wa shati sasa niliikuwa na plan nitaichukuaje ( yaan mpk nilisema eeh...Mungu nisaidie )...uzur ni kwamba yule Mzee alimaliza kunywa chai akatoka nje kwenye gari lake ( walikua na gari ).

Mchana ilifika Mzee na mwanae nikaona wanaondoka na gari lao nikajua mission failed.Lakin mida ya jioni sasa alirud tena akiwa mwenyewe alikuta gari la mizigo ndo ilinaanza kupakia mizigo.Kipindi anatoka kwenye gar na akufunga mlango wa gari.

Kipindi tunapakia vitu kwenye gari kwenye gar niliona ile simu na ubaya nilikua na jamaa wa gari namsaidia kubeba vitu.

Nilimwambia huyo jamaa ngoja niongee na mzee wangu kwenye simu anipe maelekezo ( Mzee wangu yeye alitangulia na mdogo wangu wa kike kwenye hyo nyumba )...nilitoa simu nikazuga kama napiga.huku namcheki yule mzee.Alikua ndani, nilifungua mlango wa gar chapu nikachukua simu ilikua kiti cha pembeni mwa dereva nikaenda mbali kidogo nikaizima kisha nikarud nikaificha kwenye Sanduku la nguo za Mama angu ( aliacha nguo zake ).kama vile sio mimi nikarud kuendelea na kazi ya kupakia vitu.

Nilipakia lile sanduku kabisa litangulie ili kupoteza ushahidi.Gari lilivyorud round ya mwisho nilipanda nikasepa nikimuona yule mzee anafunga mlango wa nyumba yake hana hata habari.


Tulifika kwenye hayo makazi mapya tukapanga vitu fresh kwa ajili ya kuanza maisha mapya.nilichukua kale ka simu nikatoa laini nikazichoma moto,Simu mpk leo ipo sema haitamaniki.

Kesho yake ndo sikuamin macho yangu ilikua zamu yangu kuumia na mimi.

Nilipigiwa simu na yule jamaa wa Ps akanambia kuwa Ps,Tv,pad na viti vimeibiwa...Roho iliniuma sana nikaenda kushuhudia tukio nilikuta ni kweli.

Nilicheka kicheko cha uchungu.tukaenda police kutoa taarifa.Nilishawai kuleta thread humu ya hili tukio.Kuna masai mmoja nae jamaa alimleta eti ana dawa ya kuwakamata wezi "* hii dawa ukitumia siku tatuu mwisi analeta vitu mwenyewe*"...hayo ni maneno ya huyo masai.

Nilimpa 5k maana ndo alisema hyo dawa ndo bei yake.Huyo masai alikua ni mlinzi wa Complex, siku tatu ziliisha nikaona mwizi ajaja nilimfuata Yero anipe hela yangu.Alidai hana hela nilimpiga ngumi moja jinsi alivyoanguka mpk nikaamua nimuachie hyo hela tu.

Niliamua tu nipoteze hilo tukio maana nilijua pengine Mungu kanipa onyo.Uzur ni kwamba nilikua na Xbox home ko nilikua najipanga upya nianze tena hyo biashara.


Nitarejea tena.
 
Inaendelea

Kama nilivyotangulia kusema kuwa kwenye hyo nyumba tuliyokua tumehamia walitaka tuhame.Mzee mwenye mji alikua amecharuka vby mno, alikua anadai kuwa Mzee wangu anatembea na mkewe japo me niliona hayanihusu hayo mambo lakin nilijua pengine huyo mzee tuhuma zake zina ukweli ndani yake.Mzee wangu namfahamu tabia zake ko ckua na mashaka na hilo sema utafanyaje sasa.


Kipindi hicho alikua kachukua likizo ya kustaafu ko muda mwingi alikua home mambo mengine nilisimamia me na bro wangu.

Ila mtu kuwa na Nyba yako ni raha yani unaepuka mambo mengi sana.Mngekua mnamuona Mzee wangu wakat huo alikua ni wakuonewa huruma.

Mzee alimaliza likizo ya kustafu akawa kastafu rasmi alisota kiaina.

Muda wa kuhama ulifika ilikua tarh 30 mwez wa nane siku ya alhamis Mzee mwenye nyumba alikuja na mwanae mapema asubui kusimamia show ya kuhama.Me ckuwepo home maana nilikua silali sana home kuna sehem nilkua nalala.

Hapo ikumbukwe mzee wangu alikua hata nyumba hajatafuta ko ilibid aanze kutafuta siku ile ile.Aisee ilikua ni kazi sana, wakat me na mzee tunafuta Nyumba ya kuhamia Bro na madogo wenye walibaki kukusanya vitu ( na tulikua na Vitu vingi )...Siku hyo tulikosa nyumba ko Mwenye nyumba alisema kesho ijumaa atakuja kufunga mji wake.

Kwa vile huyo mzee alikuja kishari basi nilisema lazima ni mkomeshe kivyovyote vile.Ijumaa ilifika kama zali nyumba zilipatikana mbili Kubwa sana afu geti kali zote,ko tulizikagua tukapenda moja nzuri sana geti kali afu ina vyumba vinne viwili Masters.Gari lilikuja la kubeba vitu na huyo Mzee alikuepo anahakikisha tumehama.

Kama nilivyosema lazima ni mpige tukio huyo mzee chochote chake hata roho itulie kwa ajili ya kumdhalilisha Mzee wangu.

Alikua kakaa kwenye sofa za sebuleni kwetu ( tulikua bado hatuja yatoa nje ) kawaida ya Wazee wakikaa lazima usingizi uwashike.Nilimpa chai na mkate afanye kunywa lakin yule mtoto wake alisema kashiba akatoka nje.

Mzee alikua anasimu yake kaiweka kwenye mfuko wa shati sasa niliikuwa na plan nitaichukuaje ( yaan mpk nilisema eeh...Mungu nisaidie )...uzur ni kwamba yule Mzee alimaliza kunywa chai akatoka nje kwenye gari lake ( walikua na gari ).

Mchana ilifika Mzee na mwanae nikaona wanaondoka na gari lao nikajua mission failed.Lakin mida ya jioni sasa alirud tena akiwa mwenyewe alikuta gari la mizigo ndo ilinaanza kupakia mizigo.Kipindi anatoka kwenye gar na akufunga mlango wa gari.

Kipindi tunapakia vitu kwenye gari kwenye gar niliona ile simu na ubaya nilikua na jamaa wa gari namsaidia kubeba vitu.

Nilimwambia huyo jamaa ngoja niongee na mzee wangu kwenye simu anipe maelekezo ( Mzee wangu yeye alitangulia na mdogo wangu wa kike kwenye hyo nyumba )...nilitoa simu nikazuga kama napiga.huku namcheki yule mzee.Alikua ndani, nilifungua mlango wa gar chapu nikachukua simu ilikua kiti cha pembeni mwa dereva nikaenda mbali kidogo nikaizima kisha nikarud nikaificha kwenye Sanduku la nguo za Mama angu ( aliacha nguo zake ).kama vile sio mimi nikarud kuendelea na kazi ya kupakia vitu.

Nilipakia lile sanduku kabisa litangulie ili kupoteza ushahidi.Gari lilivyorud round ya mwisho nilipanda nikasepa nikimuona yule mzee anafunga mlango wa nyumba yake hana hata habari.


Tulifika kwenye hayo makazi mapya tukapanga vitu fresh kwa ajili ya kuanza maisha mapya.nilichukua kale ka simu nikatoa laini nikazichoma moto,Simu mpk leo ipo sema haitamaniki.

Kesho yake ndo sikuamin macho yangu ilikua zamu yangu kuumia na mimi.

Nilipigiwa simu na yule jamaa wa Ps akanambia kuwa Ps,Tv,pad na viti vimeibiwa...Roho iliniuma sana nikaenda kushuhudia tukio nilikuta ni kweli.

Nilicheka kicheko cha uchungu.tukaenda police kutoa taarifa.Nilishawai kuleta thread humu ya hili tukio.Kuna masai mmoja nae jamaa alimleta eti ana dawa ya kuwakamata wezi "* hii dawa ukitumia siku tatuu mwisi analeta vitu mwenyewe*"...hayo ni maneno ya huyo masai.

Nilimpa 5k maana ndo alisema hyo dawa ndo bei yake.Huyo masai alikua ni mlinzi wa Complex, siku tatu ziliisha nikaona mwizi ajaja nilimfuata Yero anipe hela yangu.Alidai hana hela nilimpiga ngumi moja jinsi alivyoanguka mpk nikaamua nimuachie hyo hela tu.

Niliamua tu nipoteze hilo tukio maana nilijua pengine Mungu kanipa onyo.Uzur ni kwamba nilikua na Xbox home ko nilikua najipanga upya nianze tena hyo biashara.


Nitarejea tena.
mwanangu story yako ya kinyamwezi sana aiseeeeeeeeeee
 
Dah ndio imeisha au....!!!ila hii stor aseh imenifanya nilale sa5 usiku jana na kuamka sa1 kamili mpk nmeifuta yan hata chai nmekumyw sa5 leo acha sas nikaoge leo niko mapumziko
tupo pamoja
 
story zako nzuri sana mwanangu, mpaka natamani uwe mwanangu wa damu kabisa maana, kwenye utulivu wa dini upo, kwenye usera mavi usera nondo umo, kwenye pilikapilika za maisha umo, kwenye undava umo yaaani mwanangu maisha ambayo hauna ni ya kishua tuu
Huyu kama kinyonga
 
Inaendelea

Kama nilivyotangulia kusema kuwa kwenye hyo nyumba tuliyokua tumehamia walitaka tuhame.Mzee mwenye mji alikua amecharuka vby mno, alikua anadai kuwa Mzee wangu anatembea na mkewe japo me niliona hayanihusu hayo mambo lakin nilijua pengine huyo mzee tuhuma zake zina ukweli ndani yake.Mzee wangu namfahamu tabia zake ko ckua na mashaka na hilo sema utafanyaje sasa.


Kipindi hicho alikua kachukua likizo ya kustaafu ko muda mwingi alikua home mambo mengine nilisimamia me na bro wangu.

Ila mtu kuwa na Nyba yako ni raha yani unaepuka mambo mengi sana.Mngekua mnamuona Mzee wangu wakat huo alikua ni wakuonewa huruma.

Mzee alimaliza likizo ya kustafu akawa kastafu rasmi alisota kiaina.

Muda wa kuhama ulifika ilikua tarh 30 mwez wa nane siku ya alhamis Mzee mwenye nyumba alikuja na mwanae mapema asubui kusimamia show ya kuhama.Me ckuwepo home maana nilikua silali sana home kuna sehem nilkua nalala.

Hapo ikumbukwe mzee wangu alikua hata nyumba hajatafuta ko ilibid aanze kutafuta siku ile ile.Aisee ilikua ni kazi sana, wakat me na mzee tunafuta Nyumba ya kuhamia Bro na madogo wenye walibaki kukusanya vitu ( na tulikua na Vitu vingi )...Siku hyo tulikosa nyumba ko Mwenye nyumba alisema kesho ijumaa atakuja kufunga mji wake.

Kwa vile huyo mzee alikuja kishari basi nilisema lazima ni mkomeshe kivyovyote vile.Ijumaa ilifika kama zali nyumba zilipatikana mbili Kubwa sana afu geti kali zote,ko tulizikagua tukapenda moja nzuri sana geti kali afu ina vyumba vinne viwili Masters.Gari lilikuja la kubeba vitu na huyo Mzee alikuepo anahakikisha tumehama.

Kama nilivyosema lazima ni mpige tukio huyo mzee chochote chake hata roho itulie kwa ajili ya kumdhalilisha Mzee wangu.

Alikua kakaa kwenye sofa za sebuleni kwetu ( tulikua bado hatuja yatoa nje ) kawaida ya Wazee wakikaa lazima usingizi uwashike.Nilimpa chai na mkate afanye kunywa lakin yule mtoto wake alisema kashiba akatoka nje.

Mzee alikua anasimu yake kaiweka kwenye mfuko wa shati sasa niliikuwa na plan nitaichukuaje ( yaan mpk nilisema eeh...Mungu nisaidie )...uzur ni kwamba yule Mzee alimaliza kunywa chai akatoka nje kwenye gari lake ( walikua na gari ).

Mchana ilifika Mzee na mwanae nikaona wanaondoka na gari lao nikajua mission failed.Lakin mida ya jioni sasa alirud tena akiwa mwenyewe alikuta gari la mizigo ndo ilinaanza kupakia mizigo.Kipindi anatoka kwenye gar na akufunga mlango wa gari.

Kipindi tunapakia vitu kwenye gari kwenye gar niliona ile simu na ubaya nilikua na jamaa wa gari namsaidia kubeba vitu.

Nilimwambia huyo jamaa ngoja niongee na mzee wangu kwenye simu anipe maelekezo ( Mzee wangu yeye alitangulia na mdogo wangu wa kike kwenye hyo nyumba )...nilitoa simu nikazuga kama napiga.huku namcheki yule mzee.Alikua ndani, nilifungua mlango wa gar chapu nikachukua simu ilikua kiti cha pembeni mwa dereva nikaenda mbali kidogo nikaizima kisha nikarud nikaificha kwenye Sanduku la nguo za Mama angu ( aliacha nguo zake ).kama vile sio mimi nikarud kuendelea na kazi ya kupakia vitu.

Nilipakia lile sanduku kabisa litangulie ili kupoteza ushahidi.Gari lilivyorud round ya mwisho nilipanda nikasepa nikimuona yule mzee anafunga mlango wa nyumba yake hana hata habari.


Tulifika kwenye hayo makazi mapya tukapanga vitu fresh kwa ajili ya kuanza maisha mapya.nilichukua kale ka simu nikatoa laini nikazichoma moto,Simu mpk leo ipo sema haitamaniki.

Kesho yake ndo sikuamin macho yangu ilikua zamu yangu kuumia na mimi.

Nilipigiwa simu na yule jamaa wa Ps akanambia kuwa Ps,Tv,pad na viti vimeibiwa...Roho iliniuma sana nikaenda kushuhudia tukio nilikuta ni kweli.

Nilicheka kicheko cha uchungu.tukaenda police kutoa taarifa.Nilishawai kuleta thread humu ya hili tukio.Kuna masai mmoja nae jamaa alimleta eti ana dawa ya kuwakamata wezi "* hii dawa ukitumia siku tatuu mwisi analeta vitu mwenyewe*"...hayo ni maneno ya huyo masai.

Nilimpa 5k maana ndo alisema hyo dawa ndo bei yake.Huyo masai alikua ni mlinzi wa Complex, siku tatu ziliisha nikaona mwizi ajaja nilimfuata Yero anipe hela yangu.Alidai hana hela nilimpiga ngumi moja jinsi alivyoanguka mpk nikaamua nimuachie hyo hela tu.

Niliamua tu nipoteze hilo tukio maana nilijua pengine Mungu kanipa onyo.Uzur ni kwamba nilikua na Xbox home ko nilikua najipanga upya nianze tena hyo biashara.


Nitarejea tena.
Aisee nmecheka kingese hadi machozi yamenitoka,,,eti mmasai amepigwa ngumi moja akadondoka.
 
Hii stori nimeisoma kwa siku moja mpaka alipofikia msimuliaji. Umejitahidi sana kutupa changamoto zako za maisha. Kwa kweli nimepata somo kubwa sana! Kuna sehemu nilikuwa nacheka sana! Kama kawaida kuna watu wao niliona wanajifanya "watakatifu" kumbe "watakavitu " na kuanza kukushambulia kwa maneno makali,lakini umevumilia sana. Mungu azidi kukubariki mkuu.
 
Inaendelea

Niliruhusu maisha yaendele tu ingawa ckua tena kitu kinacho niingizia hela ila nilipambana tu kiivyo hivyo.

Mzee nae kifedha alikua doro sana maana mafao yake aikua hajapewa bado.Ko sana Mama ndo alikua anatuma hela na bro wangu alikua ana kikazi fulani anapiga.


Hatimae mzee alipata boom lake ( mafao yake )...wacha weeh...nakwambia maisha yalikua bum bum.Mzee badala hata angemalizia kujenga nyumba yake, yeye alinunua nyumba buhare.Nyumba ilikua ya vyumba vinne na sebule lakin choo na bafu ni nje.Pia hapo kulikua kuna nyumba ilikua haijamalizika kujengwa ( ilinunulia pamoja na hyo ).Atleast Mzee alipumua sasa maana alikua na Mji sasa angalau.

Lakini sasa hela zilivyotumika sasa, yaani cjui nielezeje mzee alikua boss kwa muda.Ukimuomba buku anakupa 10k.Nilimuomba hela ya Veta alinipa 800k veta hata ckwenda nilinunua ps 3 moja nyingine hela cjui iliishia wapi.

Wanasema hela za wastaafu zina mashetani labda ni kweli Mzee alikod gari ikawa inampeleka sehem atakayo, kwenye buti la gari ni crate za pia ndo zimejaa tu.Hata kwenye mechi za Biashara utd alikua analipia baadhi ya mashabiki kiingilio.

Uzur hela hakupewa yote maana kikokoto kilikua kazini kabla ya Magu kukizuia kwa muda.

Tulihama hapo tulipokua tumepanga tukaenda kwenye Nyumba yetu sasa.

Cha ajabu Mzee wangu kijijini kwao alikua hana nyumba, shukurani kwa Mama ndo aliamua kuhamia kijijni kwa Mzee ko alijinyima akajenga nyumba ( ambayo saivi anaish na Mzee ).

Hela ziliisha faster mzee akawa mpole kama kiporo.Sema kuna viela nilikuaga namuibia ndo vilikua vina tu save maisha yanasonga.

Kuna siku moja yule Manzi nilie kutana nae kisiwani nilimkumbuka tu basi kumtext akaniuliza me nani, nilimwambia kumbe no yangu ulifuta...nilimwambia me ni fulani akanikumbuka na uzuri alikua yuko msoma chuoni.


Aliniiomba tukutane, niliwaambia alikua ni mwana chuo hapo buhare.Hata nisingemtafuta tu yaani sasa kuchunwa kulianza na aibu alikua hana kabisa.Cku moja alinambia hana Godoro anajibana tu kwa shosti wake, kidume nilimwambia asijali.

Niliamua kumpa lile godoro langu nililonunua 2017 maana lilikuepo tu silitumii.

Nilimpa mtoto alalie cha ajabu alikua ana kataa nisiende alipo pangaa, nilisema fresh kwa vile K nilikua napewa bila shida niliona kawaida tu.

Ila huyu demu aliiniendesha cjui kwanini nilikua dhaifu kwake, matumizi nilikua natoa mimi.

Kuna siku nilikua natoka zoezi tuko na rafiki zangu tunao imba nao, nikamuona kapakiwa kwenye pikipiki XL na mjeda mmoja ( nahisi walikua waelekea Town ) nilishtuka sana mpk nikakosa raha.

Kesho yake nilimuulizia kuhusu hilo akasema eti yule ni kaka alitokea shinyanga.sasa huyo mjeda me namfahamu vizur niliona demu kanirusha.Nilimuacha tu lakini demu alianza madharau sana yani mpk K nanyimwa.

Nilimtumia text nikamwambia jiandae nafata godoro langu, alinitukana sana akasema "njoo uchukue ka malaika kako faster"....cjui alijua natania.

Alikua anaishi na yeye buhare ( Matawi ya Juu ) uzuri nilikua napajua na tulikua kata moja haikunipa tabu sana.

Kesho ilipofika nilimchukua mwana mmoja yeye alikua ana pikpik aina boxer.nilimtumia text nakuja akasema wai haraka.

Alidhani natania nilifika nikachukua godoro nikalibeba jujuu mpk kwenye pikpiki jamaa akawasha tukasepa.

Usiku sasa text alinitumia text nyingi za kuomba msamaha ili nimrudishie godoro, nilimwambia asahau siwez kukpa godoro alafu waku t***...

Nilimtema mazima hyo ilikua mwaka 2019 mwezi wa 3 na ckujua tena habar zake.


Ngoja pia niongelee kuhusu kwaya maana cjaigusia kabisa.


Nilipoingia kwenye kwaya kiukweli nilikua sina hayo mawazo eti kuja kuimba kwaya cku moja lakin automatic nilijkuta tu nimengia kuimba.

Nilikua sijui kuimba yaani sauti nilikua cjui naimba ya ngapi,mara wanipeleke kuimba saut ya tatu mara bass mara ya kwanza ya kiume kiufupi nilikua sijui naimba saut ya ngapi.

Lakin kadri nilivyokua nafanya zoez ndo kuimba kwangu kuliimarika cku kwa cku, saiz me ni mnoma kwenye kuimba.

Ndoto zangu ilikua pia nije niwe mpiga piano hodari pia niwe natengeneza beats sana za gospel.




Nitarud tena kuendelea
 
Hii stori nimeisoma kwa siku moja mpaka alipofikia msimuliaji. Umejitahidi sana kutupa changamoto zako za maisha. Kwa kweli nimepata somo kubwa sana! Kuna sehemu nilikuwa nacheka sana! Kama kawaida kuna watu wao niliona wanajifanya "watakatifu" kumbe "watakavitu " na kuanza kukushambulia kwa maneno makali,lakini umevumilia sana. Mungu azidi kukubariki mkuu.
Asante sana mkuu tupo pamoja
 
Back
Top Bottom