Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Ila Mkuu nguo sio zako na ni kweli wanastahili kuwahamisha kutokana na wizi na kukosa ustaarabu wenu, halafu unafanya tukio la kumkaba mtu kisu shingoni siku ya mwisho ukidai visivyo vyako?!!! Siku ya mwisho watu huagana vizuri ili kuleta tu picha nzuri hata ya uongo.
siku hyo cjui akili gani nilikua nayo lengo ilikua ni kumkomoa aniogope zaidi
 
siku hyo cjui akili gani nilikua nayo lengo ilikua ni kumkomoa aniogope zaidi
Hao watu bado walikua ni watu wazuri tu, familia nyingine wangekukomoa ungeenda jela miaka mingi tu, kosa la kutishia kuua au kosa la wizi kwa kutumia silaha.
 
vizur sana nianze na huyu msela ambae nilipigna nae.

huyu yeye kwa vile alikua jirani yangu sana hatukuona kuendeleza bifu maana lilikua alitujengi.

Na huyo muhuni alie iba gwanda walikmkuta na kesi nyingine maana jamaa alkua mwizi balaa
 
Unapokumbuka haya yote uliyotenda huko nyuma unajisikiaje? Ninaamini mwisho wa hii story yako utatuambiwa ulimrudia Mungu ukatubu na kumpokea Yesu kuwa mwokozi wa maisha yako. Ninakwambia kwa sababu wewe kuweza kuwa hai mpaka unaandika hii story ni Mungu tu alikupenda otherwise ungeshakuwa mwendazake. Kama ujampa Mungu maisha yako fanya haraka maana amekupa muda wa kutosha wa wewe kutubu na kuacha njia zako mbaya na kumrudia aliyeulinda uhai wako.
 
Inaendelea


Baada ya Mwenyekiti kuja pale niliambiwa nieleze nguo nilinunua wapi na duka gani, zingekuwa za mtumba ningedanganya kuwa nilinunua mitumbani lakini bila kufikiria vzr nilimtaja jamaa mmoja hivi kuwa ndo aliniuzia kama vipi tumpigie simu.

Nilikosea kusema hvyo huyo afande alitoa simu yake akanambia nitaje no ya huyo mtu ili wampigie aje kwenye tukio, kwa vile simu yangu nilkua nayo mfukoni ( ingawa ilipasuka kidogo kwenye zile vurugu ) niliitoa nikachagua linamba ambalo najua kabisa halipatikani nikampa afande kuipiga ikawa haipatikan kweli,nikasema afadhari.Huyo mzee na mwenyekiti walikua wananishaur kuwa niwe mkweli tu kama nataka kuwa huru.

Nilipelea maneno huyo afande akaamua kuita difenda ije inichukue nikatoe maelezo vizur kituoni, nilijilaumu sana kwa nini nimefanya kile kitendo lakini ndo ilibidi tu nikatae hivo hivo mpk mwisho wakat kichwani nilikua na hesabu zangu za kukimbia.

Jirani nao walikua wamejaa madirishani wanachungulia kuniona navyodhalilika, haikuchukua muda sana fenda ilikuja wakaingia mule chumban nikapigwa pingu ( ndo mara ya kwanza kuvaa pingu )....nilinyanyuliwa na kutolewa nje nikapandishwa ndan ya fenda na yule jamaa nae akapanda kwenda kutoa maelezo.


Tulifika Central ilikua ni kwenye saa moja usiku, nikaandika maelezo jamaa nae akatoa maelezo,ckua na viatu nilikabidh simu nikavua mkanda moja kwa moja kwenye sero.

Nilikuta raia weng weng mule sero, kesho yake niliamka na maumivu kichwani, pua lilkua linauma hatar,niliitwa tena kwenda kutoa maelezo vizur nilimkuta yule jamaa yupo na zile nguo nazodai ni zangu.Mzee alipewa taarifa lkn hakuja yani mpaka namaliza wiki niko Central ndo alikuja kuniona.kuhusu msosi nilikua naletewa na mama mmoja ni jirani yetu.

Police walimtaka mzee amalize ile kesi mapema kabla cjapelekwa mahakamani maana ninge shtakiwa kwa makosa mengi tu la kutishia kuua likiwemo ( kuna afande mmoja alikua ni jirani yetu ndo alikua ana nambia wakati ananiletea msosi mule sero, afande ana roho nzr sana ).

Mzee alichokifanya alitafuta suluhu kwanza ile familia ya yule jamaa akataka yaishe walikubaliana na siku natoka Central yule jamaa nae alikua pamoja na yule bonge, walinitaka nikili mbele ya maafande kuwa kama nikionekana pale home kwao basi nikamatwe.nilikubali masharti yao ila moyoni Mungu tu ndo alijua hasira zangu.

Ckujua mzee alitoa shngp pale central niliondoka na mzee na yule jamaa nae akasepa na bonge wake njia yao.Nilifika home niliiambiwa na mzee eti nisiingie ndani na zile nguo nilizokuwa nimevaa Central akidai nitaingia na mikosi ko kulikua na bafu la nje niliingia nikaletewa maji nikaoga na nguo nikabadili ndo nikaingia ndani.


Niliwaambia madogo mbn hawakuja kuniona Central ( kiutani lakin..maana nilifurah kuwaona tena ) hawakua na majibu life liliendelea lakin akilini tena nilikua namuwaza yule jamaa ( mtoto wa mwenye nyumba )....niliona kama kachukua points sana kwangu nili plan nirud tena kwao pale ni muibie za mwisho mwisho ili roho yangu itulie, lakin shida ilikua inakuja kama wakini shika tena na huku Central nilikir kwa ulimi wangu kuwa sitokuja kukanyaga pale kwao.

Nilikua na mawazo mawili niende kuiba or niache wazo la kuiba likapita bila kupingwa ko nilianza harakat tena za kumuibia jamaa.

Kesho yake nilirud pale tulipo hama kusoma mazingira, nilifika nikakuta grill mlangoni ( kumbe waliweka geti mlangoni baada ya sisi kuhama )...nilibisha hodi akaja yule demu akanambia nimefata nini pale nikamwambia nilisahau pisa yangu ( pisa ni kile kifaa kiko kama plaisi ni cha kusukia nondo )

Bonge nae alikuja alivyoniona uso wake ulibadilika ghafla nae akaniuliza nikasema nimekuja kwania nzur kutafuta pisa yangu, waliniruhusu kuingia kuitafuta wao wakiwa nyuma yngu nilienda kuitafuta chumbani kwa mzee wangu maana ndo kulikua na kabat la ukutani.

Niliikosa pisa nikawaambia wanipe ruhusa nioge maana kule tunapokaa maji ni shida, bonge aliniangalia kwa hasira japokua aliniruhusu kuoga lkn walikua hawana imani na mimi kabisa.Nilimaliza nikasepa zangu home, Niliona hyo plan yangu imefeli maana ckutegemea kukuta lile geti niliudhika kinoma.


Narud kuendelea.
 
Inaendelea


Baada ya Mwenyekiti kuja pale niliambiwa nieleze nguo nilinunua wapi na duka gani, zingekuwa za mtumba ningedanganya kuwa nilinunua mitumbani lakini bila kufikiria vzr nilimtaja jamaa mmoja hivi kuwa ndo aliniuzia kama vipi tumpigie simu.

Nilikosea kusema hvyo huyo afande alitoa simu yake akanambia nitaje no ya huyo mtu ili wampigie aje kwenye tukio, kwa vile simu yangu nilkua nayo mfukoni ( ingawa ilipasuka kidogo kwenye zile vurugu ) niliitoa nikachagua linamba ambalo najua kabisa halipatikani nikampa afande kuipiga ikawa haipatikan kweli,nikasema afadhari.Huyo mzee na mwenyekiti walikua wananishaur kuwa niwe mkweli tu kama nataka kuwa huru.

Nilipelea maneno huyo afande akaamua kuita difenda ije inichukue nikatoe maelezo vizur kituoni, nilijilaumu sana kwa nini nimefanya kile kitendo lakini ndo ilibidi tu nikatae hivo hivo mpk mwisho wakat kichwani nilikua na hesabu zangu za kukimbia.

Jirani nao walikua wamejaa madirishani wanachungulia kuniona navyodhalilika, haikuchukua muda sana fenda ilikuja wakaingia mule chumban nikapigwa pingu ( ndo mara ya kwanza kuvaa pingu )....nilinyanyuliwa na kutolewa nje nikapandishwa ndan ya fenda na yule jamaa nae akapanda kwenda kutoa maelezo.


Tulifika Central ilikua ni kwenye saa moja usiku, nikaandika maelezo jamaa nae akatoa maelezo,ckua na viatu nilikabidh simu nikavua mkanda moja kwa moja kwenye sero.

Nilikuta raia weng weng mule sero, kesho yake niliamka na maumivu kichwani, pua lilkua linauma hatar,niliitwa tena kwenda kutoa maelezo vizur nilimkuta yule jamaa yupo na zile nguo nazodai ni zangu.Mzee alipewa taarifa lkn hakuja yani mpaka namaliza wiki niko Central ndo alikuja kuniona.kuhusu msosi nilikua naletewa na mama mmoja ni jirani yetu.

Police walimtaka mzee amalize ile kesi mapema kabla cjapelekwa mahakamani maana ninge shtakiwa kwa makosa mengi tu la kutishia kuua likiwemo ( kuna afande mmoja alikua ni jirani yetu ndo alikua ana nambia wakati ananiletea msosi mule sero, afande ana roho nzr sana ).

Mzee alichokifanya alitafuta suluhu kwanza ile familia ya yule jamaa akataka yaishe walikubaliana na siku natoka Central yule jamaa nae alikua pamoja na yule bonge, walinitaka nikili mbele ya maafande kuwa kama nikionekana pale home kwao basi nikamatwe.nilikubali masharti yao ila moyoni Mungu tu ndo alijua hasira zangu.

Ckujua mzee alitoa shngp pale central niliondoka na mzee na yule jamaa nae akasepa na bonge wake njia yao.Nilifika home niliiambiwa na mzee eti nisiingie ndani na zile nguo nilizokuwa nimevaa Central akidai nitaingia na mikosi ko kulikua na bafu la nje niliingia nikaletewa maji nikaoga na nguo nikabadili ndo nikaingia ndani.


Niliwaambia madogo mbn hawakuja kuniona Central ( kiutani lakin..maana nilifurah kuwaona tena ) hawakua na majibu life liliendelea lakin akilini tena nilikua namuwaza yule jamaa ( mtoto wa mwenye nyumba )....niliona kama kachukua points sana kwangu nili plan nirud tena kwao pale ni muibie za mwisho mwisho ili roho yangu itulie, lakin shida ilikua inakuja kama wakini shika tena na huku Central nilikir kwa ulimi wangu kuwa sitokuja kukanyaga pale kwao.

Nilikua na mawazo mawili niende kuiba or niache wazo la kuiba likapita bila kupingwa ko nilianza harakat tena za kumuibia jamaa.

Kesho yake nilirud pale tulipo hama kusoma mazingira, nilifika nikakuta grill mlangoni ( kumbe waliweka geti mlangoni baada ya sisi kuhama )...nilibisha hodi akaja yule demu akanambia nimefata nini pale nikamwambia nilisahau pisa yangu ( pisa ni kile kifaa kiko kama plaisi ni cha kusukia nondo )

Bonge nae alikuja alivyoniona uso wake ulibadilika ghafla nae akaniuliza nikasema nimekuja kwania nzur kutafuta pisa yangu, waliniruhusu kuingia kuitafuta wao wakiwa nyuma yngu nilienda kuitafuta chumbani kwa mzee wangu maana ndo kulikua na kabat la ukutani.

Niliikosa pisa nikawaambia wanipe ruhusa nioge maana kule tunapokaa maji ni shida, bonge aliniangalia kwa hasira japokua aliniruhusu kuoga lkn walikua hawana imani na mimi kabisa.Nilimaliza nikasepa zangu home, Niliona hyo plan yangu imefeli maana ckutegemea kukuta lile geti niliudhika kinoma.


Narud kuendelea.
Daah wewe jamanaa ni jasiri na mwizi kinoma aiseeee....
 
Inaendelea

Kati ya watu ambao walikua hawanipendi Basi Bonge alikua ni wa kwanza tulikua hata tukikutana barabaran hatusalimiani.

Basi siku ile nilivyoona lile geti pale nilimlaani bonge nilijua tu ni yeye ndo kamshaur bro wake waweke lile grill mlango wa nje ila nilisema fresh tu njia itapatikana siku moja.

Ilipita kama wiki tena hivi siku moja nilimtext yule manzi ( wa kwao bonge ) nilimwambia kimatani tu kuwa nime mmiss hatare..lakin hakujibu kitu nikatuma text nyingine nikamwambia namtakia maisha mema akajibu sawa niliumia kidogo nikasema hata hivyo nina mademu sio yeye tu anisumbue kichwa.

Licha ya hyo nyumba kuwa na vyumba vingi lakin nilikua silali home sana, kuna mshikaj wangu mmoja ni mwanasheria alikua ana gheto lake ko ndo nilikua nalalapo kwake cku moja moja kama hayupo.

Kama zali bana kuna siku natoka kulala kwa huyo mshikaji wangu ilikua saa 2 asubui naelekea home sasa...nilipitia pale kwao na bonge nikaona mlango wa nje uko wazi cku jali niliendelea na safar zangu za kwenda home....jirani na pensula hotel kuna viduka flani hivi vipo hua kuna watu wengi wengi hasa wavuvi na wasio na ramani town hua wapo kupiga umbea.

Nilimkuta bonge alikua na yule mdogo ake wapo dukani cjui walikua wananunua nini....niliwaona na wao wakaniona cku wasemesha ila niliona hyo ni fursa pekee kwangu kulipiza kisasi changu ili roho itulie kwa Amani, nilijifanya kama naendelea zangu na safar kumbe nilikua na hesabu zangu na wachora tu nilimuona yule mdogo wake bonge anaelekea ziwani na mvuvi mmoja ( labda alienda kununua samaki wabichi )..nilimcheki bonge yeye alikua kabaki pale anapiga umbea tu baadh ya wadau pale.

Nilipita kanjia flani hivi kako mliman ili nirud kwao bonge nilikua speed hatare ( hakukua mbali sana ni kama dakika tano hivi unakua umefika )...nilifika kwao bonge nikaangalia angalia pembeni nikahakikisha hakuna mtu maeneo yale moja kwa moja ndani, bahat nzur milango ya chumbani nayo ilikua iko wazi, moja kwa moja mpk kabatin kwenye ile briefcase nilikua speed hatar huku naangalia dirishani kama wanakuja watu, nilikuta kwenye briefcase kuna viela nikavichukua bila hata kuhesabu, nikafungua kabat la nguo nilibeba nguo nyingi.

Nilichukua kadet tatu ya maroon moja, nyeusi moja na kaki moja pia nilichukua staff Jean's 2 zilikua mpya kwenye makaratasi yake.Boksa nazo nilichukua tatu mpya kabisa, shati nilichukua mbili na tishet mbili kali kinoma.Niliingia chumbani kwa yule demu ckukuta cha maana sana nilichukua wigi la huyo demu na spray ili nikaonge manzi angu.sikua na cha kubebea nilichukua begi humohumo cjuo lilikua la nani ila me nilichukua tu nikaweka vitu nikatoka nje kwa haraka sana nilichungulia nikaona hakuna tena mtu huyo nikasepa na beg mgongoni nikarud na ileile njia ya mkato mpk home.

Nilifika home madogo walini shangaa Mzee alikua job kwake na yule mdogo wangu wa kike yeye alikua shule.nilifunga mlango nikatoa vile vitu, madogo niliwapa mgao ma wenyewe ila walini sifu kinoma ( ilo tukio nikikaa kuliwaza nacheka na kuhuzunika cjui bonge angenishika ingekuaje ).

Nilitoa vile vipesa zilikua ni 80k nikawapa madogo 50k watumie nikabaki na 30k ya kutanua nayo.

Zilipita cku nikawa hata siendi kulala kule kwa mshikaji kuna siku yule dogo langu ametoka shule akaja akanambia kuwa bonge amemwambia kuwa ani peleleze kama nina begi jeusi akamwambie, niliona bonge ni fala sana yani anamwambia huyo dogo siri dogo mwenyewe muongo kama mimi.

nitarejea kidogo.
 
Inaendelea

Kati ya watu ambao walikua hawanipendi Basi Bonge alikua ni wa kwanza tulikua hata tukikutana barabaran hatusalimiani.

Basi siku ile nilivyoona lile geti pale nilimlaani bonge nilijua tu ni yeye ndo kamshaur bro wake waweke lile grill mlango wa nje ila nilisema fresh tu njia itapatikana siku moja.

Ilipita kama wiki tena hivi siku moja nilimtext yule manzi ( wa kwao bonge ) nilimwambia kimatani tu kuwa nime mmiss hatare..lakin hakujibu kitu nikatuma text nyingine nikamwambia namtakia maisha mema akajibu sawa niliumia kidogo nikasema hata hivyo nina mademu sio yeye tu anisumbue kichwa.

Licha ya hyo nyumba kuwa na vyumba vingi lakin nilikua silali home sana, kuna mshikaj wangu mmoja ni mwanasheria alikua ana gheto lake ko ndo nilikua nalalapo kwake cku moja moja kama hayupo.

Kama zali bana kuna siku natoka kulala kwa huyo mshikaji wangu ilikua saa 2 asubui naelekea home sasa...nilipitia pale kwao na bonge nikaona mlango wa nje uko wazi cku jali niliendelea na safar zangu za kwenda home....jirani na pensula hotel kuna viduka flani hivi vipo hua kuna watu wengi wengi hasa wavuvi na wasio na ramani town hua wapo kupiga umbea.

Nilimkuta bonge alikua na yule mdogo ake wapo dukani cjui walikua wananunua nini....niliwaona na wao wakaniona cku wasemesha ila niliona hyo ni fursa pekee kwangu kulipiza kisasi changu ili roho itulie kwa Amani, nilijifanya kama naendelea zangu na safar kumbe nilikua na hesabu zangu na wachora tu nilimuona yule mdogo wake bonge anaelekea ziwani na mvuvi mmoja ( labda alienda kununua samaki wabichi )..nilimcheki bonge yeye alikua kabaki pale anapiga umbea tu baadh ya wadau pale.

Nilipita kanjia flani hivi kako mliman ili nirud kwao bonge nilikua speed hatare ( hakukua mbali sana ni kama dakika tano hivi unakua umefika )...nilifika kwao bonge nikaangalia angalia pembeni nikahakikisha hakuna mtu maeneo yale moja kwa moja ndani, bahat nzur milango ya chumbani nayo ilikua iko wazi, moja kwa moja mpk kabatin kwenye ile briefcase nilikua speed hatar huku naangalia dirishani kama wanakuja watu, nilikuta kwenye briefcase kuna viela nikavichukua bila hata kuhesabu, nikafungua kabat la nguo nilibeba nguo nyingi.

Nilichukua kadet tatu ya maroon moja, nyeusi moja na kaki moja pia nilichukua staff Jean's 2 zilikua mpya kwenye makaratasi yake.Boksa nazo nilichukua tatu mpya kabisa, shati nilichukua mbili na tishet mbili kali kinoma.Niliingia chumbani kwa yule demu ckukuta cha maana sana nilichukua wigi la huyo demu na spray ili nikaonge manzi angu.sikua na cha kubebea nilichukua begi humohumo cjuo lilikua la nani ila me nilichukua tu nikaweka vitu nikatoka nje kwa haraka sana nilichungulia nikaona hakuna tena mtu huyo nikasepa na beg mgongoni nikarud na ileile njia ya mkato mpk home.

Nilifika home madogo walini shangaa Mzee alikua job kwake na yule mdogo wangu wa kike yeye alikua shule.nilifunga mlango nikatoa vile vitu, madogo niliwapa mgao ma wenyewe ila walini sifu kinoma ( ilo tukio nikikaa kuliwaza nacheka na kuhuzunika cjui bonge angenishika ingekuaje ).

Nilitoa vile vipesa zilikua ni 80k nikawapa madogo 50k watumie nikabaki na 30k ya kutanua nayo.

Zilipita cku nikawa hata siendi kulala kule kwa mshikaji kuna siku yule dogo langu ametoka shule akaja akanambia kuwa bonge amemwambia kuwa ani peleleze kama nina begi jeusi akamwambie, niliona bonge ni fala sana yani anamwambia huyo dogo siri dogo mwenyewe muongo kama mimi.

nitarejea kidogo.
We mkali mura!!
 
Back
Top Bottom