stineriga
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 2,172
- 886
Ila Mkuu nguo sio zako na ni kweli wanastahili kuwahamisha kutokana na wizi na kukosa ustaarabu wenu, halafu unafanya tukio la kumkaba mtu kisu shingoni siku ya mwisho ukidai visivyo vyako?!!! Siku ya mwisho watu huagana vizuri ili kuleta tu picha nzuri hata ya uongo.