Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Mkuu umenichekesha sana yaani kupiga ndole kwenye pochi la shangazi Cha muhimu ukakuta Ni bandana tu lakini ulivyo mtabe ukapita nalo.
 
Habarini tena humu ndani ni matumaini yangu mko vizuri, licha ya changamoto tunazozipata lakini bado Mungu anatupigania.

Rest in Peace Rais Magufuli umeondoka ghafla sana licha mimi kuwa mpinzani lakini nilipenda kuona unamaliza muhula wako wa pili, lakini ya Mungu mengi tuzidi kupendana.


Inaendelea

Wakati bado tunasubiria muda wa kuhama pale ufike tabia yangu ya wizi ilikua bado inaendelea japo ilikua sio mara kwa mara lakin nilikua nikipata chance lazima nipige tukio.

Mzee wangu kuna msala aliupata nadhani hatokuja kuhusahau,

Mzee nae alikua ni mtu wa madili sana kufoj nyaraka za serikal ilikua ni zake ( moderator's naomba mnilinde hapa na wakuda )....madili alikua anayapiga sana tena mengine kama hayupo me ndo nilikua nayamaliza kiaina ( kwa maelekezo yake ).

kuna siku moja miaka ya nyuma kidogo alienda semina Dodoma, siku hyo alinipigia na akaniagiza niende kwa mtu fulani hivi hata cmjui ( huyo mtu ni mtumishi wa Manispa )...cku alinipigia simu akanambia niende sehemu fulani kukutana na huyo mtu kuna mzigo atanipa alafu tena akanambia nikimaliza hapo niende tena sehemu fulani kwa mtu mwingine nimkabidhi huo mzigo kisha nitasaini then nichukue pesa alafu hizo hela nichukue 20k nyingine nimpe Mama atunze.

Siku hyo nilifanya hicho kitu nikiwa naogopa maana mzee alinambia niwe makini sana maana nikishikwa ni hatar kwake.Alinambia kuwa ananiamini sana ndo maana kanituma, kweli hiyo mishe yake nilimfanyia vizur sana alinisifu cku hyo ko ikawa akiwa hayupo mishe zake me ndo namaliza. kuna siku walikuja wanajeshi na gari ( teksi ) niliogopa nikajua wana mtaka mzee ( mzee cku hyo alikua amesafiri kikazi ).....waliniuliza mzee yupo wapi nikawadanganya.wakaondoka baadae tena wakarudi wakanipa simu niongee kumbe alikua ni mzee, alinipa maelekezo kumbe walikua wanataka mzee awafanyie mchongo.Basi nilipewa maelekezo na mzee nikamalizana nao wakaniachia hela wakasepa zao.


Basi bana c mnajua tena kipindi cha magufuli Wakuu wa mikoa na wilaya walikua wanafanya kazi kwa mihemko ili tu wamfurahishe boss wao ( r.i.p Magufuli )....Huo nao naona ulikua mwisho wa shughuli za mzee wangu.


Ilikua ni usiku kama saa mbili hivi niko home me na wadogo zangu tunaona movie..tulisikia boda inakuja, tulijua ni Mzee na kweli alkua ni yeye alipitilizia mpk chumbani kwake akaniita nikaenda chumban kwake alinambia tu kimenuka ( cku mwelewa kwa wakati huo ) alichukua baadh ya vifaa vyake vya kazi akanambia nikavichome alafu yeye akaondoka tena na ile boda iliyomleta.


Baadae kidogo akaja Mama mmoja na Baba mmoja hivi wakagonga mlango niliwafungulia wakaniita mimi nje waongee na mimi.Nilipatwa na hofu maana nilijua tu kuna kitu kibaya kimetokea. ( nilikuwa nafikiri ni ajali )

Walinambia kuwa Mzee wangu kakamatwa yupo Central kwa amri ya Mkuu wa wilaya.Hapo nilijua tu mishe zake zimejulikana, niliwapigia simu ndugu ikiwemo Mama nikawapa hyo taarifa kesho yake ndugu walikua wanapishana tu nyumbani maana kesi ya Mzee ilkua ni Kubwa mkuu wa wilaya kachachamaa vby mno.

Dhamana alinyimwa maana kesi yake ilikua ni nzito kidogo mkuu wa wilaya aligoma wasimpe dhamana kwanza.Bahat nzur walio mshtaki walikua hawana uhakika na wanacho mshtakia mzee.Kumbe Dc nae alipewa taarifa na waongo kuwa mzee anafanya mishe sio halali nae akakurupuka tu kumkamata bila ushahidi wa kutosha.

Alikaa Central kama cku tatu hivi wakaamua kuja kumkagua mzee nyumban kwake waone kama watapata ushahid wa kumpeleka mahakamani.Sikumbuki ilikua ni juma ngapi siku hyo ila ilikua ni kama zali me kwenda kituoni police kumpelekea msosi Mzee.

Yani ile nafika Central tu na msosi nakuta mzee mzee nae wanamtoa Central ili wakamkague kwake.Aliniongelesha kwa saut ya chini sana kuwa niwai home nitoe vitu vyake ambavyo vinaweza kuwani ushahidi.

Nilivyoambiwa tu hivyo nilifanya mchakato wa kurud nyumbani upesi ilinimuokoe Mzee kwenye balaa lake.Japo mzee na baadhi ya maaskari wa upepelezi walikua na gari nilitumia dakika chache sana kufika ingawa niliwakuta wameshafika walikua wapo tayar sebuleni wanamsubir mwenyekiti wa mtaa ili waanze kazi yao ya upelelezi.

Niliingia chumbani kwa mzee kwa siri nikatoa vitu vyote ambavyo nilikua najua vitamletea shida.Dakika 3 zilinitosha kutoa vitu vyote nilivyokua najua vina shida.ile namaliza tu kutoa mara mwenyekiti akawa kashakuja ko zoezi lilianza mara moja.

Hawakupata cha maana sana tu walivurugua sana nguo na vitu, alafu wakarudi na mzee Central kesi ilikua bado ngumu.walikbali kumpa dhamana baada kukaa wiki nzima.walitakaa tutoe 1 million ili kusud aweze kuachiwa huru.

Hela ilichangwa na wandugu hususan Mama angu me pia nilimuibia yule jamaa 100k nikaitoa ili mzee aweze kutoka ndani ma kweli alitoka ndani baada ya pesa kukamlika.

Mzee alivyotoka aliapa kabisa kuwa hiyo michezo ameacha kabisa ko watu walikua wakija anawarusha, alafu me pia nilifurahi kusikia hivyo.

Maisha yaliendelea na kuna siku alikuja pale mdogo wake yule jamaa ( mtoto wa mwenye nyumba ) ni wa kiume alafu bonge la mtu ( mnene kama Msechu ) ko huyo mgeni alie kuja niliona ni kama kikwazo kwangu mwenye shughuli zangu.

Nitarud tena kusimulia.
Yani familia nzima mna matukio eti mzee anasema kimenuka hahaa
 
IMG_0871.jpg


Mara Mara Mara!! Kuna jambo linatakiwa lifanyike kwakweli
 
Inaendelea


Before sijasimulia ni jinsi nilivyo kamatwa ngoja tena ni wape kisa kimoja hivi.

Na jamaa angu alikua ni classmate wangu, huyo jamaa alikua ni wale vipanga wa darasa yaani mkiwa kwenye chumba cha mtihani utaskia tu wenyewe wanasema "Another paper sir/madam" afu ukiangalia wewe unakuta hata hyo paper yako moja hujaandika chochote yan ilimrad tu watuumishe roho.


Huyu classmate wangu licha ya kuwa tu na akili pia alikua na heshima na ustarabu mpk walimu walimpenda sana, ilikua ikitokea ni mashindano ya debate na shule nyingine basi jna lake lilikua halikosi kwa maticha.

Sema licha ya ustarabu wake alikua ni fala yaani muoga anawai kupanic hatare....kingine nilikua c mpendi tu na ukielele wake.

Nilikua naendaga na cd za porn darasani bila uoga tena yale ma dvd yenye covers kabisa nikifika nawaonyesha masela atakae taka kuona namkodishia kwa jero tu....huyo jamaa na ustarabu wake nae kuna cku alinikodi na yeye cd.Tokea hapo alikua mdau sana wa porn yan mpk leo navyosimulia hiki kisa.

Kuna siku moja niilikua class nimesikilizia tu kiaina huku nasubir muda ufike wa break ili niondoke zangu shule.Na kweli kengele iligonga ya break basi me niliwai kutoka nje nikaenda form 4 C lengo langu niwafungie mlango ili wasitoke break ilikua nafanya kama utani tu.

Na kweli niliwai nikawakuta bado wako darsan alafu wapo kimya, me nikafunga mlango kwa nje bila wao kuniona.


kumbe humo class kulikua na ticha ubaya huyo ticha ni mfupi hata ckumuona vzr kama yumo humo class....niliondoka nikawa nasuburia kuona jinsi watakavyo sumbuka kufungua mlango, na kweli nilikua naona mlango unasukumwa kwa nguvu ili ufunguke lakin wapi mtalaamu nilikua nimesimama chin ya mti nacheka tu.


Nilishanga kumuona huyo kipanga wa darasa anaitwa na huyo ticha kupitia dirishani ( hapo ndo nilijua kumbe ukimya wote ule kumbe ticha alikuepo class nikasema ngoja nijikaushe kama sio mimi ).....mlango ulivyofunguliwa wa kwanza kutoka ni huyo ticha, alikua amevimba kwa hasira na kibao kikamuangukia huyo kipanga kuwa yeye ndo kafunga mlango.

Kipanga alivyomjinga c akanitaja kuwa aliniona nikifunga mlango, kwa vile nilikua pembeni na wao basi ticha aliniita akatupeleka staff me pmj na huyo kipanga.

Tulifika ofisini kipanga yeye ni kulia na kujitetea tu kuwa sio yeye alie funga mlango bali ni mimi ndo aliniona, me pia nilikataa kata kata kuwa sio mimi.


Ko ikabidi tule wote bakora mimi na kiranga.Kiranga alilia sana siku hadi nilimuona fala kwanzia hapo japokua ndo urafik ulikua mkubwa tu.

Mwingine nilie muona ni fala ni kiranja wa stoo, huyu alikua mjinga sana tena nilimpiga makofi sana.nakumbuka tukiwa kwenye paper ya history niliingia na nondo za kutosha na zote zilikua mule mule kwenye mtihani.

kipindi nazitumia hizo nondo kumbe huyo kiranja aliniona ( nilikua nimekaa karibu nae ) alinisemesha kwa sauti ya chini kuwa nimpe hizo nondo na yeye atumie.

Nilimpa paper yangu moja ya kujibia maswali ili akopi then anirudishe...alivyomjinga c akakopi mpaka jina langu kwenye karatasi yakee.

Kesho tukiwa kwenye paper ya civics akaingia teacher wa history akauliizia holy holm ni nani humu nikanyoosha mkono kuwa ni mimi.Basi akanambia "yaani wewe na ujinga wako majibu uliyoandika na huyo mwenzako kaandika hivyo hivyo mpaka jina lako kaandika kwake"....wanafunz walicheka ko ticha aliendelea kusema "nakupa zero wewe na huyo mjinga mwenzio" siku jibu kitu nilikua kimya maana ilikua c mara ya kwanza kuwekewa zero kwasababu ya ku cheat kwenye paper niliona kawaida tu.ila huyo kiranja muda wa kutoka shule nilimpiga vibao vya kutosha alafu alikua ananiogopa vbya mno.nilimwambia ahakikishe cpat zero lasivyo anipe hela kama fidia...jamaa alilia nimuhurumie nikampiga makofi nika mwambia sasa ukaseme kuwa nimekupiga...alikimbia kama kuku nilivyomuacha.

Binafsi darasani nilikua ni mpole lakin naogopeka ukinichokoza tena kipindi nipo form three ingawa ckuisoma sana ( ndo kipind nilkua nateka watu simu zao )...lakin mademu tu ndo nilikua nawaonea aibu cjui kwanini kumwangalia demu usoni dakika moja nilikua siwezi kabisa.

Nirud kwa huyo kiranga, baada ya lile tukio la kumfungia teacher mlango basi huyo kiranga alikua analazimisha urafiki na mimi sana.sema yeye hakufanya mtihani wa taifa alichanganyikiwa ( cjui akili zilimzidia )...alimaliza from four mwaka ulio fuata.

Nilipotezana nae huyo kiranga tokea hyo 2013 mpk 2017 ndo tulikutana alikua amekua baunsa kinoma alivyoniona siku hyo nakwambia alifurah kinoma kuniona.kipind hicho anasomea udokta lakin akili zake kama sio nzur hivi.Ndoto zake ni awe pornstar kumpita John Dhambi na Bryan ( kwa maelezo yake huyo jamaa alivyokua akinambia )

Me nilikua namkubalia tu hizo ndoto zake namwambia unaweza jamaa wewe pambania ndoto yako.Alikua ananichosha kitu kimoja jamaa anapenda picha kuliko kula, yani asubuhi bado watu tumelala yeye kashatoroka chuo kwao kuja home nikampige picha ( alikua anasoma chuo kile pale hospital ya mkoa )

Jamaa alisababisha cku moja hata kiboko angetuua.Kama kawaida yake alikuja asubui kuwa nikampige picha kule ziwani ( pump house ya zamani ) huko ziwani karibu na kwa mkuu wa mkoa siku wamekataa hakuna mtu kupita kwenda kule Tembo beach kwa sababu ya usalama wao maana viboko huwa wanakuja midaa ya usiku kula mlo wao alafu ile asubui wanarud ziwani.

Sasa siku hyo huyo kiranga alivyokuja ili nikampige picha huko ziwan hatukujua kama bado kuna viboko havijasepa....tulifika vizr tu nikaanza kumpiga picha ufukweni mwa ziwa, kwa pemben walikuepo wafungwa wana mwagilia bustani ya nyanya kwa mkuu wa mkoa.

Nilivyokua na mpiga picha tulisikia kitu kinatoka kichakani kuja huku tulipo, kumbe kilikua ni kiboko ndo kinarud ziwani kilikua kiko speed hatari, jamaa alivyo fala ( ndo maana namuita fala ) yeye ndo aliwai kukiona badala anambie kuwa ni kiboko yeye alikimbikia bila kunambia afu kibaya kipindi anakimbia alini push nikaanguka mimi na kisimu changu ( kisimu kililoa kikawa hakipigi picha vizur )...yani cku ni Mungu hakupenda tu nife..nilivyokiona kiboko kinakuja nilipokua kwa pembeni kulikua na fensi za seng'enge kiwanja cha Mchina mmoja ni dokta, nilikimbia nilizipanda zile fensi na zilikua zina vi ncha lakin cku jali niliona bora kuumwa na mbwa wa mchina kuliko kuuliwa na kiboko.Na kiboko ni kikubwa asiee ilikua sio mara yangu ya kwanza kukiona lakin ilikua ni mara yangu ya kwanza kunifukuza.

Nilivyoruka fence niliingia kwenye zizi la ng'ombe lilikua hapo kando maana mbwa wa mchina nao walikua wananibwekea cjui walijua me ni mwizi.

Kiboko kilivyonikosa kiliingia zake ziwani hku kinapumua maji ni kuruka juu.Nilikaa zizin mule mpk mchina na mlisha ng'ombe wakaja maana walisikia mbwa wanabweka sana.ndo nilitoka walivyowatoa wale mbwa.

Yule kipanga eti ndo akawa anarud sasa yupo na baadhi ya wafungwa na askari jela mmoja nilimwangalia vbya huyo kipanga nilimuana sio mwana ila cku mwonyesha kama nimechukia.Nilijichana kwenye paja na zile ncha za fensi kipind niliidandia kuruka.

Watu wanapitia shida lakin me nae hili tukio nitalisimulia vizaz na vizazi kama Mungu ataniruhusu kusimulia.

Zoez la kupiga picha liliishia pale mpaka leo ziwani kusipokua na watu wengi cwez kuogolea au kupita mwenyewe.Kwa mliokuwa Musoma 2017 kama mnakumbuka kuna tukio lilitokea la viboko kupindua mtumbwi wa wavuvi na wavuvi wanne walikufa maji eneo lile lile la pump house ya zamani sasa baada ya mimi kukoswa na kiboko ilipita muda kidogo ndo hilo tukio likatokea.mpaka Mkuu wa wilaya aliahid kuweka mitego ya viboko lakin hakuweka mpaka leo.


Tuliondoka na kipanga tukaelekea town huku ananipa sifa za kinafki kuwa me ni hatare sana.nilimuacha tu hata kama ningempiga isingesaidia kitu.


Nikirud nitasimulia sasa ni jinsi gani nilivyoshikwa kabla hatujaendelea mbele zaidi.
 
Inaendelea


Before sijasimulia ni jinsi nilivyo kamatwa ngoja tena ni wape kisa kimoja hivi.

Na jamaa angu alikua ni classmate wangu, huyo jamaa alikua ni wale vipanga wa darasa yaani mkiwa kwenye chumba cha mtihani utaskia tu wenyewe wanasema "Another paper sir/madam" afu ukiangalia wewe unakuta hata hyo paper yako moja hujaandika chochote yan ilimrad tu watuumishe roho.


Huyu classmate wangu licha ya kuwa tu na akili pia alikua na heshima na ustarabu mpk walimu walimpenda sana, ilikua ikitokea ni mashindano ya debate na shule nyingine basi jna lake lilikua halikosi kwa maticha.

Sema licha ya ustarabu wake alikua ni fala yaani muoga anawai kupanic hatare....kingine nilikua c mpendi tu na ukielele wake.

Nilikua naendaga na cd za porn darasani bila uoga tena yale ma dvd yenye covers kabisa nikifika nawaonyesha masela atakae taka kuona namkodishia kwa jero tu....huyo jamaa na ustarabu wake nae kuna cku alinikodi na yeye cd.Tokea hapo alikua mdau sana wa porn yan mpk leo navyosimulia hiki kisa.

Kuna siku moja niilikua class nimesikilizia tu kiaina huku nasubir muda ufike wa break ili niondoke zangu shule.Na kweli kengele iligonga ya break basi me niliwai kutoka nje nikaenda form 4 C lengo langu niwafungie mlango ili wasitoke break ilikua nafanya kama utani tu.

Na kweli niliwai nikawakuta bado wako darsan alafu wapo kimya, me nikafunga mlango kwa nje bila wao kuniona.


kumbe humo class kulikua na ticha ubaya huyo ticha ni mfupi hata ckumuona vzr kama yumo humo class....niliondoka nikawa nasuburia kuona jinsi watakavyo sumbuka kufungua mlango, na kweli nilikua naona mlango unasukumwa kwa nguvu ili ufunguke lakin wapi mtalaamu nilikua nimesimama chin ya mti nacheka tu.


Nilishanga kumuona huyo kipanga wa darasa anaitwa na huyo ticha kupitia dirishani ( hapo ndo nilijua kumbe ukimya wote ule kumbe ticha alikuepo class nikasema ngoja nijikaushe kama sio mimi ).....mlango ulivyofunguliwa wa kwanza kutoka ni huyo ticha, alikua amevimba kwa hasira na kibao kikamuangukia huyo kipanga kuwa yeye ndo kafunga mlango.

Kipanga alivyomjinga c akanitaja kuwa aliniona nikifunga mlango, kwa vile nilikua pembeni na wao basi ticha aliniita akatupeleka staff me pmj na huyo kipanga.

Tulifika ofisini kipanga yeye ni kulia na kujitetea tu kuwa sio yeye alie funga mlango bali ni mimi ndo aliniona, me pia nilikataa kata kata kuwa sio mimi.


Ko ikabidi tule wote bakora mimi na kiranga.Kiranga alilia sana siku hadi nilimuona fala kwanzia hapo japokua ndo urafik ulikua mkubwa tu.

Mwingine nilie muona ni fala ni kiranja wa stoo, huyu alikua mjinga sana tena nilimpiga makofi sana.nakumbuka tukiwa kwenye paper ya history niliingia na nondo za kutosha na zote zilikua mule mule kwenye mtihani.

kipindi nazitumia hizo nondo kumbe huyo kiranja aliniona ( nilikua nimekaa karibu nae ) alinisemesha kwa sauti ya chini kuwa nimpe hizo nondo na yeye atumie.

Nilimpa paper yangu moja ya kujibia maswali ili akopi then anirudishe...alivyomjinga c akakopi mpaka jina langu kwenye karatasi yakee.

Kesho tukiwa kwenye paper ya civics akaingia teacher wa history akauliizia holy holm ni nani humu nikanyoosha mkono kuwa ni mimi.Basi akanambia "yaani wewe na ujinga wako majibu uliyoandika na huyo mwenzako kaandika hivyo hivyo mpaka jina lako kaandika kwake"....wanafunz walicheka ko ticha aliendelea kusema "nakupa zero wewe na huyo mjinga mwenzio" siku jibu kitu nilikua kimya maana ilikua c mara ya kwanza kuwekewa zero kwasababu ya ku cheat kwenye paper niliona kawaida tu.ila huyo kiranja muda wa kutoka shule nilimpiga vibao vya kutosha alafu alikua ananiogopa vbya mno.nilimwambia ahakikishe cpat zero lasivyo anipe hela kama fidia...jamaa alilia nimuhurumie nikampiga makofi nika mwambia sasa ukaseme kuwa nimekupiga...alikimbia kama kuku nilivyomuacha.

Binafsi darasani nilikua ni mpole lakin naogopeka ukinichokoza tena kipindi nipo form three ingawa ckuisoma sana ( ndo kipind nilkua nateka watu simu zao )...lakin mademu tu ndo nilikua nawaonea aibu cjui kwanini kumwangalia demu usoni dakika moja nilikua siwezi kabisa.

Nirud kwa huyo kiranga, baada ya lile tukio la kumfungia teacher mlango basi huyo kiranga alikua analazimisha urafiki na mimi sana.sema yeye hakufanya mtihani wa taifa alichanganyikiwa ( cjui akili zilimzidia )...alimaliza from four mwaka ulio fuata.

Nilipotezana nae huyo kiranga tokea hyo 2013 mpk 2017 ndo tulikutana alikua amekua baunsa kinoma alivyoniona siku hyo nakwambia alifurah kinoma kuniona.kipind hicho anasomea udokta lakin akili zake kama sio nzur hivi.Ndoto zake ni awe pornstar kumpita John Dhambi na Bryan ( kwa maelezo yake huyo jamaa alivyokua akinambia )

Me nilikua namkubalia tu hizo ndoto zake namwambia unaweza jamaa wewe pambania ndoto yako.Alikua ananichosha kitu kimoja jamaa anapenda picha kuliko kula, yani asubuhi bado watu tumelala yeye kashatoroka chuo kwao kuja home nikampige picha ( alikua anasoma chuo kile pale hospital ya mkoa )

Jamaa alisababisha cku moja hata kiboko angetuua.Kama kawaida yake alikuja asubui kuwa nikampige picha kule ziwani ( pump house ya zamani ) huko ziwani karibu na kwa mkuu wa mkoa siku wamekataa hakuna mtu kupita kwenda kule Tembo beach kwa sababu ya usalama wao maana viboko huwa wanakuja midaa ya usiku kula mlo wao alafu ile asubui wanarud ziwani.

Sasa siku hyo huyo kiranga alivyokuja ili nikampige picha huko ziwan hatukujua kama bado kuna viboko havijasepa....tulifika vizr tu nikaanza kumpiga picha ufukweni mwa ziwa, kwa pemben walikuepo wafungwa wana mwagilia bustani ya nyanya kwa mkuu wa mkoa.

Nilivyokua na mpiga picha tulisikia kitu kinatoka kichakani kuja huku tulipo, kumbe kilikua ni kiboko ndo kinarud ziwani kilikua kiko speed hatari, jamaa alivyo fala ( ndo maana namuita fala ) yeye ndo aliwai kukiona badala anambie kuwa ni kiboko yeye alikimbikia bila kunambia afu kibaya kipindi anakimbia alini push nikaanguka mimi na kisimu changu ( kisimu kililoa kikawa hakipigi picha vizur )...yani cku ni Mungu hakupenda tu nife..nilivyokiona kiboko kinakuja nilipokua kwa pembeni kulikua na fensi za seng'enge kiwanja cha Mchina mmoja ni dokta, nilikimbia nilizipanda zile fensi na zilikua zina vi ncha lakin cku jali niliona bora kuumwa na mbwa wa mchina kuliko kuuliwa na kiboko.Na kiboko ni kikubwa asiee ilikua sio mara yangu ya kwanza kukiona lakin ilikua ni mara yangu ya kwanza kunifukuza.

Nilivyoruka fence niliingia kwenye zizi la ng'ombe lilikua hapo kando maana mbwa wa mchina nao walikua wananibwekea cjui walijua me ni mwizi.

Kiboko kilivyonikosa kiliingia zake ziwani hku kinapumua maji ni kuruka juu.Nilikaa zizin mule mpk mchina na mlisha ng'ombe wakaja maana walisikia mbwa wanabweka sana.ndo nilitoka walivyowatoa wale mbwa.

Yule kipanga eti ndo akawa anarud sasa yupo na baadhi ya wafungwa na askari jela mmoja nilimwangalia vbya huyo kipanga nilimuana sio mwana ila cku mwonyesha kama nimechukia.Nilijichana kwenye paja na zile ncha za fensi kipind niliidandia kuruka.

Watu wanapitia shida lakin me nae hili tukio nitalisimulia vizaz na vizazi kama Mungu ataniruhusu kusimulia.

Zoez la kupiga picha liliishia pale mpaka leo ziwani kusipokua na watu wengi cwez kuogolea au kupita mwenyewe.Kwa mliokuwa Musoma 2017 kama mnakumbuka kuna tukio lilitokea la viboko kupindua mtumbwi wa wavuvi na wavuvi wanne walikufa maji eneo lile lile la pump house ya zamani sasa baada ya mimi kukoswa na kiboko ilipita muda kidogo ndo hilo tukio likatokea.mpaka Mkuu wa wilaya aliahid kuweka mitego ya viboko lakin hakuweka mpaka leo.


Tuliondoka na kipanga tukaelekea town huku ananipa sifa za kinafki kuwa me ni hatare sana.nilimuacha tu hata kama ningempiga isingesaidia kitu.


Nikirud nitasimulia sasa ni jinsi gani nilivyoshikwa kabla hatujaendelea mbele zaidi.
mwangu story yako ya kibabe sana man
 
Mniwie radhi ndugu zangu kwa kuchelewa kuweka najua nawakata stimu lakin wikendi ndo nipo free sana.

Tuendelee......

Mwaka 2013 ckufanya matukio ya kuteka na kupora nilipumzika, niliwaza sana kuhusu maisha ninayoishi nikajisemea " niwe serious na kitabu " kumbe ndo nilijikosea kuwaza maana niliingia kwenye mahaba mazito na Jirani yangu ( Sugar mumy ) hii nilishaiongelea kwenye thread iliyopita ko tuiache kwanza.

Kimasomo nilkua chini sana plus skendo zangu kumfikia Mama kisha Mama kumwambia mzee.Mzee aliongea mambo magumu sana kwangu alinambia Live kuwa hajaniweka kwenye urithi wake mbele ya Mama angu na kudai me sio Mwanae ko nimalize tu form 4 then niondoke kwake.Binafsi siku yajali maneno yake.Kwenye akili yangu alikuwepo huyo sugar mumy wangu.

Maisha yaliendelea nikamaliza shule vizr nikabaki kusubir matokeo kama yatafanya nifukuzwe home ama nibaki.Kuna siku lilitokea tukio moja kubwa sana home yaani mpk sikuiz nikilikumbuka huwa cjiksikii poa kabisa.

Ni mgogoro wa kifamilia kati ya Mzee na Mama.Mzee wangu ni mzee wa totozi alikua anazila sana lakin sasa wivu kwa mke wake ndo usiseme.Nakumbuka tu siku ambayo ilkua ni jumapili usiku nisingekuwa pengine mimi Mama angu alikua anauwawa tena kikatili sana.

Siku tulikua mezani tunakula Mimi, wadogo wa tatu na Mama ghafla Akaja Mzee yupo tungi ila sio sana alijumuika na sisi kula vizur tu huku asemi chochote.Ghafla kwenye simu ya Mama text ikaingia simu ilikua kwenye meza ya tv ko Mama kama aliipuuza hyo text Mzee akainuka kwenda kuisoma naona akanawa akaenda chumbani mwake kisha akarudi na Nguo, alinambia " ukimaliza kula uninyooshe nguo " nikasema sawa baada ya kumaliza kula Mama nae alielekea Chumbani me nikabaki sebuleni na madogo wakati huo nanyoosha nguo za mzee.

Mara chumbani kukaanza kusikika makelele ya watu kugombezana.Mara Mother akaja sebuleni huku analia alitwambia tu anaondoka amechoka na vituko vya mzee kisha akarudi chumbani kukusanya nguo asepe zake ( wakati huo ni saa 4 inaelekea saa 5 usiku ).Mzee naye alitoka chumbani akaenda nje kisha akarudi ndani jikon kulikua na Panga nyuma ya mlango wa jikoni ( hilo panga me ndo nililitunza hapo siku za nyuma kidogo ) akaenda nalo chumbani aka lock mlango.

Hazikupita hata dakika tano tukaanza kusikia kelele za Mama akilia kuomba msaada kua anakufa.Bro wangu ( mtoto wa bamkubwa) na Yule jamaa ( mtoto wa mwenye nyumba ) waliamka kujua nini kinaendelea lakin hawakua na msaada wowote maana mlango ulilokiwa na mzee.Wakati huo mdogo wangu wa mwisho wa kike analia kweli.Wazo likaja kichwani mwangu kuwa kunafunguo za akiba hua zinakaa kwenye kabati sebuleni.Basi nikawai kuzichukua nikamletea huyo jamaa ( mtoto mwenye nyumba ) akakataa kufungua akidai hayo ni matatizo ya ndoa haweez kuingilia.

Niliamua kufungua me mwenyewe nilimkuta mama yupo chini mzee yupo juu yake.Mama akijaribu kujiokoa maana mzee alikua amemkabia chini mkono wake mmoja umenyanyua panga juu sema mama nae amelishika hilo panga kwenye makali akijaribu kulizuia.Nilichukua kiatu cha mzee kilikua pembeni nikampiga nacho mzee kichwani lakin hakumwachia Mama, nikaona iliamuachie ni mpige roba.Na kweli nilimpiga Roba moja matata yaani niliona anamuachia Mama na panga akaliangusha, akawa sasa anajiiokoa yeye ( najua kumpiga mzazi ni laana lakini sikuwa na jinsi siku hyo ) akili kichwani kwangu iliruka kidogo nilimpiga roba hadi nikawa naona mtu kama analegea, nikaona nitaua bure nikamuacha amelala sakafun nikakimbia nje wakati huo Mama alikua ameshachukuliwa na Bro wangu pmj na yule jamaa wakaenda kumficha nje.Nilkuta Mama kazimia nikajua amekufa wasiwasi ulikua mkubwa ikabidi nirud ndan kwa mzee nilikutana nae njian nikamwambia umeua huku, niliona amepata hofu akanambia yupo wap nikamuelekeza akamchukua mpk hospital ya Mkoa wa Mara.

Hospital walitaka pf 3 ko ikabid twende police ila cha ajabu mzee alisema Mama alivamiwa na vibaka wakat huo nikimuona mama alivyomjeruhi natamani tu tuzipige ngumi ila Wakat huo huo bado na mpenda Mzee pia.

Najua sio vizuri kusimulia mambo ya familia lakin hili nimeona niliandike humu kwenu ili muone ni jinsi gani nilikua naipenda familia yangu.Maana hata police sikusema kuwa Mzee ndo mwenye kosa nilimlinda hadi alishangaa.Mgogoro wao ulitulizwa na Bibi angu kizaa Baba maisha yakaendelea.

Tutaendelea tena kesho
family nyingine hizi !!!!

Hahaaha
 
Nimeamini mtoto wa nyoka ni nyoka.Hii familia baba,mama na wototo wote wazee wa matukio ila dogo lako hatari.Mkitengeza team mnaweza kuiba ata Benki Kuu hahaahaa
Hii combination balaa
 
Inaendelea


Before sijasimulia ni jinsi nilivyo kamatwa ngoja tena ni wape kisa kimoja hivi.

Na jamaa angu alikua ni classmate wangu, huyo jamaa alikua ni wale vipanga wa darasa yaani mkiwa kwenye chumba cha mtihani utaskia tu wenyewe wanasema "Another paper sir/madam" afu ukiangalia wewe unakuta hata hyo paper yako moja hujaandika chochote yan ilimrad tu watuumishe roho.


Huyu classmate wangu licha ya kuwa tu na akili pia alikua na heshima na ustarabu mpk walimu walimpenda sana, ilikua ikitokea ni mashindano ya debate na shule nyingine basi jna lake lilikua halikosi kwa maticha.

Sema licha ya ustarabu wake alikua ni fala yaani muoga anawai kupanic hatare....kingine nilikua c mpendi tu na ukielele wake.

Nilikua naendaga na cd za porn darasani bila uoga tena yale ma dvd yenye covers kabisa nikifika nawaonyesha masela atakae taka kuona namkodishia kwa jero tu....huyo jamaa na ustarabu wake nae kuna cku alinikodi na yeye cd.Tokea hapo alikua mdau sana wa porn yan mpk leo navyosimulia hiki kisa.

Kuna siku moja niilikua class nimesikilizia tu kiaina huku nasubir muda ufike wa break ili niondoke zangu shule.Na kweli kengele iligonga ya break basi me niliwai kutoka nje nikaenda form 4 C lengo langu niwafungie mlango ili wasitoke break ilikua nafanya kama utani tu.

Na kweli niliwai nikawakuta bado wako darsan alafu wapo kimya, me nikafunga mlango kwa nje bila wao kuniona.


kumbe humo class kulikua na ticha ubaya huyo ticha ni mfupi hata ckumuona vzr kama yumo humo class....niliondoka nikawa nasuburia kuona jinsi watakavyo sumbuka kufungua mlango, na kweli nilikua naona mlango unasukumwa kwa nguvu ili ufunguke lakin wapi mtalaamu nilikua nimesimama chin ya mti nacheka tu.


Nilishanga kumuona huyo kipanga wa darasa anaitwa na huyo ticha kupitia dirishani ( hapo ndo nilijua kumbe ukimya wote ule kumbe ticha alikuepo class nikasema ngoja nijikaushe kama sio mimi ).....mlango ulivyofunguliwa wa kwanza kutoka ni huyo ticha, alikua amevimba kwa hasira na kibao kikamuangukia huyo kipanga kuwa yeye ndo kafunga mlango.

Kipanga alivyomjinga c akanitaja kuwa aliniona nikifunga mlango, kwa vile nilikua pembeni na wao basi ticha aliniita akatupeleka staff me pmj na huyo kipanga.

Tulifika ofisini kipanga yeye ni kulia na kujitetea tu kuwa sio yeye alie funga mlango bali ni mimi ndo aliniona, me pia nilikataa kata kata kuwa sio mimi.


Ko ikabidi tule wote bakora mimi na kiranga.Kiranga alilia sana siku hadi nilimuona fala kwanzia hapo japokua ndo urafik ulikua mkubwa tu.

Mwingine nilie muona ni fala ni kiranja wa stoo, huyu alikua mjinga sana tena nilimpiga makofi sana.nakumbuka tukiwa kwenye paper ya history niliingia na nondo za kutosha na zote zilikua mule mule kwenye mtihani.

kipindi nazitumia hizo nondo kumbe huyo kiranja aliniona ( nilikua nimekaa karibu nae ) alinisemesha kwa sauti ya chini kuwa nimpe hizo nondo na yeye atumie.

Nilimpa paper yangu moja ya kujibia maswali ili akopi then anirudishe...alivyomjinga c akakopi mpaka jina langu kwenye karatasi yakee.

Kesho tukiwa kwenye paper ya civics akaingia teacher wa history akauliizia holy holm ni nani humu nikanyoosha mkono kuwa ni mimi.Basi akanambia "yaani wewe na ujinga wako majibu uliyoandika na huyo mwenzako kaandika hivyo hivyo mpaka jina lako kaandika kwake"....wanafunz walicheka ko ticha aliendelea kusema "nakupa zero wewe na huyo mjinga mwenzio" siku jibu kitu nilikua kimya maana ilikua c mara ya kwanza kuwekewa zero kwasababu ya ku cheat kwenye paper niliona kawaida tu.ila huyo kiranja muda wa kutoka shule nilimpiga vibao vya kutosha alafu alikua ananiogopa vbya mno.nilimwambia ahakikishe cpat zero lasivyo anipe hela kama fidia...jamaa alilia nimuhurumie nikampiga makofi nika mwambia sasa ukaseme kuwa nimekupiga...alikimbia kama kuku nilivyomuacha.

Binafsi darasani nilikua ni mpole lakin naogopeka ukinichokoza tena kipindi nipo form three ingawa ckuisoma sana ( ndo kipind nilkua nateka watu simu zao )...lakin mademu tu ndo nilikua nawaonea aibu cjui kwanini kumwangalia demu usoni dakika moja nilikua siwezi kabisa.

Nirud kwa huyo kiranga, baada ya lile tukio la kumfungia teacher mlango basi huyo kiranga alikua analazimisha urafiki na mimi sana.sema yeye hakufanya mtihani wa taifa alichanganyikiwa ( cjui akili zilimzidia )...alimaliza from four mwaka ulio fuata.

Nilipotezana nae huyo kiranga tokea hyo 2013 mpk 2017 ndo tulikutana alikua amekua baunsa kinoma alivyoniona siku hyo nakwambia alifurah kinoma kuniona.kipind hicho anasomea udokta lakin akili zake kama sio nzur hivi.Ndoto zake ni awe pornstar kumpita John Dhambi na Bryan ( kwa maelezo yake huyo jamaa alivyokua akinambia )

Me nilikua namkubalia tu hizo ndoto zake namwambia unaweza jamaa wewe pambania ndoto yako.Alikua ananichosha kitu kimoja jamaa anapenda picha kuliko kula, yani asubuhi bado watu tumelala yeye kashatoroka chuo kwao kuja home nikampige picha ( alikua anasoma chuo kile pale hospital ya mkoa )

Jamaa alisababisha cku moja hata kiboko angetuua.Kama kawaida yake alikuja asubui kuwa nikampige picha kule ziwani ( pump house ya zamani ) huko ziwani karibu na kwa mkuu wa mkoa siku wamekataa hakuna mtu kupita kwenda kule Tembo beach kwa sababu ya usalama wao maana viboko huwa wanakuja midaa ya usiku kula mlo wao alafu ile asubui wanarud ziwani.

Sasa siku hyo huyo kiranga alivyokuja ili nikampige picha huko ziwan hatukujua kama bado kuna viboko havijasepa....tulifika vizr tu nikaanza kumpiga picha ufukweni mwa ziwa, kwa pemben walikuepo wafungwa wana mwagilia bustani ya nyanya kwa mkuu wa mkoa.

Nilivyokua na mpiga picha tulisikia kitu kinatoka kichakani kuja huku tulipo, kumbe kilikua ni kiboko ndo kinarud ziwani kilikua kiko speed hatari, jamaa alivyo fala ( ndo maana namuita fala ) yeye ndo aliwai kukiona badala anambie kuwa ni kiboko yeye alikimbikia bila kunambia afu kibaya kipindi anakimbia alini push nikaanguka mimi na kisimu changu ( kisimu kililoa kikawa hakipigi picha vizur )...yani cku ni Mungu hakupenda tu nife..nilivyokiona kiboko kinakuja nilipokua kwa pembeni kulikua na fensi za seng'enge kiwanja cha Mchina mmoja ni dokta, nilikimbia nilizipanda zile fensi na zilikua zina vi ncha lakin cku jali niliona bora kuumwa na mbwa wa mchina kuliko kuuliwa na kiboko.Na kiboko ni kikubwa asiee ilikua sio mara yangu ya kwanza kukiona lakin ilikua ni mara yangu ya kwanza kunifukuza.

Nilivyoruka fence niliingia kwenye zizi la ng'ombe lilikua hapo kando maana mbwa wa mchina nao walikua wananibwekea cjui walijua me ni mwizi.

Kiboko kilivyonikosa kiliingia zake ziwani hku kinapumua maji ni kuruka juu.Nilikaa zizin mule mpk mchina na mlisha ng'ombe wakaja maana walisikia mbwa wanabweka sana.ndo nilitoka walivyowatoa wale mbwa.

Yule kipanga eti ndo akawa anarud sasa yupo na baadhi ya wafungwa na askari jela mmoja nilimwangalia vbya huyo kipanga nilimuana sio mwana ila cku mwonyesha kama nimechukia.Nilijichana kwenye paja na zile ncha za fensi kipind niliidandia kuruka.

Watu wanapitia shida lakin me nae hili tukio nitalisimulia vizaz na vizazi kama Mungu ataniruhusu kusimulia.

Zoez la kupiga picha liliishia pale mpaka leo ziwani kusipokua na watu wengi cwez kuogolea au kupita mwenyewe.Kwa mliokuwa Musoma 2017 kama mnakumbuka kuna tukio lilitokea la viboko kupindua mtumbwi wa wavuvi na wavuvi wanne walikufa maji eneo lile lile la pump house ya zamani sasa baada ya mimi kukoswa na kiboko ilipita muda kidogo ndo hilo tukio likatokea.mpaka Mkuu wa wilaya aliahid kuweka mitego ya viboko lakin hakuweka mpaka leo.


Tuliondoka na kipanga tukaelekea town huku ananipa sifa za kinafki kuwa me ni hatare sana.nilimuacha tu hata kama ningempiga isingesaidia kitu.


Nikirud nitasimulia sasa ni jinsi gani nilivyoshikwa kabla hatujaendelea mbele zaidi.
Hii sehemu naisoma nacheka Sana.
 
Yaan nacheka tu hapa, dogo anavizia dingi kasepa ye anaenda jifungia kabatin hahahaaaa...ukamchimba biti asiibe bila ruhusa yako....akakupa mchongo wa 3m, na akakupiga tukio kisha akakuhurumia...inabidi utuambie dogo saiz yuko wap na anafanya nin maana yule ni zaidi ya mwizi hadi anaweka chumvi maji ya ugali hahahaaa
 
Yaan nacheka tu hapa, dogo anavizia dingi kasepa ye anaenda jifungia kabatin hahahaaaa...ukamchimba biti asiibe bila ruhusa yako....akakupa mchongo wa 3m, na akakupiga tukio kisha akakuhurumia...inabidi utuambie dogo saiz yuko wap na anafanya nin maana yule ni zaidi ya mwizi hadi anaweka chumvi maji ya ugali hahahaaa
😂😂😂 Mkuu alie niweka roho juu ni mdogo wangu wa kike ndo alinichukulia hela za watu ila alikua anafanya tu kiutani na yeye ndo alikua anaweka chumvi kwenye maji ya ugali

Ingawa yupo saiz form two lakin bad news ni kuwa hawez kutembea kwa sababu alipata ajari ya gari 😭😭😭 tuzid kumwombea apone harud kama zamani nimemiss vituko vyake sana.

Huyo mwingine ambae ndo alikua ananipa raman na yeye yupo form four saiz ana plan awe mchungaji na yeye pia atembei vizur kwa sababu ya ajali ya gari 😥😥
 
😂😂😂 Mkuu alie niweka roho juu ni mdogo wangu wa kike ndo alinichukulia hela za watu ila alikua anafanya tu kiutani na yeye ndo alikua anaweka chumvi kwenye maji ya ugali

Ingawa yupo saiz form two lakin bad news ni kuwa hawez kutembea kwa sababu alipata ajari ya gari 😭😭😭 tuzid kumwombea apone harud kama zamani nimemiss vituko vyake sana.

Huyo mwingine ambae ndo alikua ananipa raman na yeye yupo form four saiz ana plan awe mchungaji na yeye pia atembei vizur kwa sababu ya ajali ya gari 😥😥
Aisee, pole nyingi sana kwao. Vipi maendeleo yao lakini?
 
Back
Top Bottom