Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Mkuu alie niweka roho juu ni mdogo wangu wa kike ndo alinichukulia hela za watu ila alikua anafanya tu kiutani na yeye ndo alikua anaweka chumvi kwenye maji ya ugali

Ingawa yupo saiz form two lakin bad news ni kuwa hawez kutembea kwa sababu alipata ajari ya gari tuzid kumwombea apone harud kama zamani nimemiss vituko vyake sana.

Huyo mwingine ambae ndo alikua ananipa raman na yeye yupo form four saiz ana plan awe mchungaji na yeye pia atembei vizur kwa sababu ya ajali ya gari
Ajali ilikua moja au ajali mbili tofauti? Ukiacha miguu walipata shida nyingine?

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu alie niweka roho juu ni mdogo wangu wa kike ndo alinichukulia hela za watu ila alikua anafanya tu kiutani na yeye ndo alikua anaweka chumvi kwenye maji ya ugali

Ingawa yupo saiz form two lakin bad news ni kuwa hawez kutembea kwa sababu alipata ajari ya gari tuzid kumwombea apone harud kama zamani nimemiss vituko vyake sana.

Huyo mwingine ambae ndo alikua ananipa raman na yeye yupo form four saiz ana plan awe mchungaji na yeye pia atembei vizur kwa sababu ya ajali ya gari
Poleni asee, ilkua ajal ya familia?
 
Leo tunaanza upya nimeisoma yote kwa siku tatu nalala saa nane usiku ww ulietolewa bikra na jimama leta mambo acha niende kwa kigogo nikaone ana jipya gan
 
😂😂😂 Mkuu alie niweka roho juu ni mdogo wangu wa kike ndo alinichukulia hela za watu ila alikua anafanya tu kiutani na yeye ndo alikua anaweka chumvi kwenye maji ya ugali

Ingawa yupo saiz form two lakin bad news ni kuwa hawez kutembea kwa sababu alipata ajari ya gari 😭😭😭 tuzid kumwombea apone harud kama zamani nimemiss vituko vyake sana.

Huyo mwingine ambae ndo alikua ananipa raman na yeye yupo form four saiz ana plan awe mchungaji na yeye pia atembei vizur kwa sababu ya ajali ya gari 😥😥
Duh wape pole sana wadogo zetu. Mungu ni mwema atawaponya
 
story ya dogo wako kunyuti shule umenikumbusha mbali sana bro 😂😂😂
 
Mkuu alie niweka roho juu ni mdogo wangu wa kike ndo alinichukulia hela za watu ila alikua anafanya tu kiutani na yeye ndo alikua anaweka chumvi kwenye maji ya ugali

Ingawa yupo saiz form two lakin bad news ni kuwa hawez kutembea kwa sababu alipata ajari ya gari tuzid kumwombea apone harud kama zamani nimemiss vituko vyake sana.

Huyo mwingine ambae ndo alikua ananipa raman na yeye yupo form four saiz ana plan awe mchungaji na yeye pia atembei vizur kwa sababu ya ajali ya gari
Aisee.
Mungu awarehemu madogo.
Poleni sana Kwa hii changamoto.
 
Inaendelea


Before sijasimulia ni jinsi nilivyo kamatwa ngoja tena ni wape kisa kimoja hivi.

Na jamaa angu alikua ni classmate wangu, huyo jamaa alikua ni wale vipanga wa darasa yaani mkiwa kwenye chumba cha mtihani utaskia tu wenyewe wanasema "Another paper sir/madam" afu ukiangalia wewe unakuta hata hyo paper yako moja hujaandika chochote yan ilimrad tu watuumishe roho.


Huyu classmate wangu licha ya kuwa tu na akili pia alikua na heshima na ustarabu mpk walimu walimpenda sana, ilikua ikitokea ni mashindano ya debate na shule nyingine basi jna lake lilikua halikosi kwa maticha.

Sema licha ya ustarabu wake alikua ni fala yaani muoga anawai kupanic hatare....kingine nilikua c mpendi tu na ukielele wake.

Nilikua naendaga na cd za porn darasani bila uoga tena yale ma dvd yenye covers kabisa nikifika nawaonyesha masela atakae taka kuona namkodishia kwa jero tu....huyo jamaa na ustarabu wake nae kuna cku alinikodi na yeye cd.Tokea hapo alikua mdau sana wa porn yan mpk leo navyosimulia hiki kisa.

Kuna siku moja niilikua class nimesikilizia tu kiaina huku nasubir muda ufike wa break ili niondoke zangu shule.Na kweli kengele iligonga ya break basi me niliwai kutoka nje nikaenda form 4 C lengo langu niwafungie mlango ili wasitoke break ilikua nafanya kama utani tu.

Na kweli niliwai nikawakuta bado wako darsan alafu wapo kimya, me nikafunga mlango kwa nje bila wao kuniona.


kumbe humo class kulikua na ticha ubaya huyo ticha ni mfupi hata ckumuona vzr kama yumo humo class....niliondoka nikawa nasuburia kuona jinsi watakavyo sumbuka kufungua mlango, na kweli nilikua naona mlango unasukumwa kwa nguvu ili ufunguke lakin wapi mtalaamu nilikua nimesimama chin ya mti nacheka tu.


Nilishanga kumuona huyo kipanga wa darasa anaitwa na huyo ticha kupitia dirishani ( hapo ndo nilijua kumbe ukimya wote ule kumbe ticha alikuepo class nikasema ngoja nijikaushe kama sio mimi ).....mlango ulivyofunguliwa wa kwanza kutoka ni huyo ticha, alikua amevimba kwa hasira na kibao kikamuangukia huyo kipanga kuwa yeye ndo kafunga mlango.

Kipanga alivyomjinga c akanitaja kuwa aliniona nikifunga mlango, kwa vile nilikua pembeni na wao basi ticha aliniita akatupeleka staff me pmj na huyo kipanga.

Tulifika ofisini kipanga yeye ni kulia na kujitetea tu kuwa sio yeye alie funga mlango bali ni mimi ndo aliniona, me pia nilikataa kata kata kuwa sio mimi.


Ko ikabidi tule wote bakora mimi na kiranga.Kiranga alilia sana siku hadi nilimuona fala kwanzia hapo japokua ndo urafik ulikua mkubwa tu.

Mwingine nilie muona ni fala ni kiranja wa stoo, huyu alikua mjinga sana tena nilimpiga makofi sana.nakumbuka tukiwa kwenye paper ya history niliingia na nondo za kutosha na zote zilikua mule mule kwenye mtihani.

kipindi nazitumia hizo nondo kumbe huyo kiranja aliniona ( nilikua nimekaa karibu nae ) alinisemesha kwa sauti ya chini kuwa nimpe hizo nondo na yeye atumie.

Nilimpa paper yangu moja ya kujibia maswali ili akopi then anirudishe...alivyomjinga c akakopi mpaka jina langu kwenye karatasi yakee.

Kesho tukiwa kwenye paper ya civics akaingia teacher wa history akauliizia holy holm ni nani humu nikanyoosha mkono kuwa ni mimi.Basi akanambia "yaani wewe na ujinga wako majibu uliyoandika na huyo mwenzako kaandika hivyo hivyo mpaka jina lako kaandika kwake"....wanafunz walicheka ko ticha aliendelea kusema "nakupa zero wewe na huyo mjinga mwenzio" siku jibu kitu nilikua kimya maana ilikua c mara ya kwanza kuwekewa zero kwasababu ya ku cheat kwenye paper niliona kawaida tu.ila huyo kiranja muda wa kutoka shule nilimpiga vibao vya kutosha alafu alikua ananiogopa vbya mno.nilimwambia ahakikishe cpat zero lasivyo anipe hela kama fidia...jamaa alilia nimuhurumie nikampiga makofi nika mwambia sasa ukaseme kuwa nimekupiga...alikimbia kama kuku nilivyomuacha.

Binafsi darasani nilikua ni mpole lakin naogopeka ukinichokoza tena kipindi nipo form three ingawa ckuisoma sana ( ndo kipind nilkua nateka watu simu zao )...lakin mademu tu ndo nilikua nawaonea aibu cjui kwanini kumwangalia demu usoni dakika moja nilikua siwezi kabisa.

Nirud kwa huyo kiranga, baada ya lile tukio la kumfungia teacher mlango basi huyo kiranga alikua analazimisha urafiki na mimi sana.sema yeye hakufanya mtihani wa taifa alichanganyikiwa ( cjui akili zilimzidia )...alimaliza from four mwaka ulio fuata.

Nilipotezana nae huyo kiranga tokea hyo 2013 mpk 2017 ndo tulikutana alikua amekua baunsa kinoma alivyoniona siku hyo nakwambia alifurah kinoma kuniona.kipind hicho anasomea udokta lakin akili zake kama sio nzur hivi.Ndoto zake ni awe pornstar kumpita John Dhambi na Bryan ( kwa maelezo yake huyo jamaa alivyokua akinambia )

Me nilikua namkubalia tu hizo ndoto zake namwambia unaweza jamaa wewe pambania ndoto yako.Alikua ananichosha kitu kimoja jamaa anapenda picha kuliko kula, yani asubuhi bado watu tumelala yeye kashatoroka chuo kwao kuja home nikampige picha ( alikua anasoma chuo kile pale hospital ya mkoa )

Jamaa alisababisha cku moja hata kiboko angetuua.Kama kawaida yake alikuja asubui kuwa nikampige picha kule ziwani ( pump house ya zamani ) huko ziwani karibu na kwa mkuu wa mkoa siku wamekataa hakuna mtu kupita kwenda kule Tembo beach kwa sababu ya usalama wao maana viboko huwa wanakuja midaa ya usiku kula mlo wao alafu ile asubui wanarud ziwani.

Sasa siku hyo huyo kiranga alivyokuja ili nikampige picha huko ziwan hatukujua kama bado kuna viboko havijasepa....tulifika vizr tu nikaanza kumpiga picha ufukweni mwa ziwa, kwa pemben walikuepo wafungwa wana mwagilia bustani ya nyanya kwa mkuu wa mkoa.

Nilivyokua na mpiga picha tulisikia kitu kinatoka kichakani kuja huku tulipo, kumbe kilikua ni kiboko ndo kinarud ziwani kilikua kiko speed hatari, jamaa alivyo fala ( ndo maana namuita fala ) yeye ndo aliwai kukiona badala anambie kuwa ni kiboko yeye alikimbikia bila kunambia afu kibaya kipindi anakimbia alini push nikaanguka mimi na kisimu changu ( kisimu kililoa kikawa hakipigi picha vizur )...yani cku ni Mungu hakupenda tu nife..nilivyokiona kiboko kinakuja nilipokua kwa pembeni kulikua na fensi za seng'enge kiwanja cha Mchina mmoja ni dokta, nilikimbia nilizipanda zile fensi na zilikua zina vi ncha lakin cku jali niliona bora kuumwa na mbwa wa mchina kuliko kuuliwa na kiboko.Na kiboko ni kikubwa asiee ilikua sio mara yangu ya kwanza kukiona lakin ilikua ni mara yangu ya kwanza kunifukuza.

Nilivyoruka fence niliingia kwenye zizi la ng'ombe lilikua hapo kando maana mbwa wa mchina nao walikua wananibwekea cjui walijua me ni mwizi.

Kiboko kilivyonikosa kiliingia zake ziwani hku kinapumua maji ni kuruka juu.Nilikaa zizin mule mpk mchina na mlisha ng'ombe wakaja maana walisikia mbwa wanabweka sana.ndo nilitoka walivyowatoa wale mbwa.

Yule kipanga eti ndo akawa anarud sasa yupo na baadhi ya wafungwa na askari jela mmoja nilimwangalia vbya huyo kipanga nilimuana sio mwana ila cku mwonyesha kama nimechukia.Nilijichana kwenye paja na zile ncha za fensi kipind niliidandia kuruka.

Watu wanapitia shida lakin me nae hili tukio nitalisimulia vizaz na vizazi kama Mungu ataniruhusu kusimulia.

Zoez la kupiga picha liliishia pale mpaka leo ziwani kusipokua na watu wengi cwez kuogolea au kupita mwenyewe.Kwa mliokuwa Musoma 2017 kama mnakumbuka kuna tukio lilitokea la viboko kupindua mtumbwi wa wavuvi na wavuvi wanne walikufa maji eneo lile lile la pump house ya zamani sasa baada ya mimi kukoswa na kiboko ilipita muda kidogo ndo hilo tukio likatokea.mpaka Mkuu wa wilaya aliahid kuweka mitego ya viboko lakin hakuweka mpaka leo.


Tuliondoka na kipanga tukaelekea town huku ananipa sifa za kinafki kuwa me ni hatare sana.nilimuacha tu hata kama ningempiga isingesaidia kitu.


Nikirud nitasimulia sasa ni jinsi gani nilivyoshikwa kabla hatujaendelea mbele zaidi.
Story sasa imekuwa chai

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Inaendelea


Ok ngoja nieleze sasa jinsi nilivyo shikwa kizembe.

Kabla muda wa kuhama hujafika kuna ajali fulani ilitokea ya pikipiki na mtembea miguu.

Boda alikua yuko race vbaya mno sasa alikosa balance akamgonga mtembea kwa miguu wote waliumia ila sio sana.

Huyo boda alikua amepakia ndoo zile za rangi zilikua ziko 16 sasa kipindi watu wamejaa barabarani kuangalia ajali, hizo ndoo zilikua zimeangukia mbali kidogo na majeruhi walipo, me niliziona zinazagaa tu nikaamua nimsaidia hyo boda kuzichukua na kumpa dogo aendee nazo home kuzificha ili tusimpe dereva presha sana ya kuzitafuta.


Na kweli nilizichukua wakat bado watu wakiwa bize kuona majeruhi wanavyotoa damu, nilimpa dogo nikamwambia "kimbia nazo home uzifiche sehemu nzuri"....baada ya tukio kuisha nilienda home nikazihesabu nikakuta zipo 16 nikasema angalau nimepata ka hela ka bundle ( Mb )...siku hyo niliuza kwanza ndoo tatu kwa kila moja sh 3000 nyingine nilipanga kuziua mdogomdogo, kumbe yule bro wangu nae alizipenda hizo zilizobaki akaniibia na yeye, ziliniuma utadhani kama zilikua zangu vile.

Nilijua kuwa yeye ndo aliiba kwa sababu kuna siku alikuja mchana pale home akakaa mpk jioni na ndo siku ndoo zilipotea, nilizikuta kwake nikajua tu ndo zile ndoo zangu.


Basi cku za kuhama ilibaki kama siku tatu muda wa kuhama ufike.Hao wenye nyumba safari hii walidhamilia kabisa kuwa ni must tuhame pale kwao.Mzee wangu sio kwamba alkua hana nyumba laaah....alikua ana nyukba tena kubwa tu sema ni uzembe wake kuimalizia hyo nyumba yake.

Mzee wangu ni member humu Jf najua kama ikitokea akausoma huu uzi ataelewa tu kuwa ni mimi na id yake naijua vizur sana.

Nasema tena Mzee wangu hakujali maisha ya wanawe hata ada kutulipia alitulipia tukiwa form one tu miaka mingine alikua hana habare na sisi yaani tushukuru Ndugu zetu.Kuna kipindi alikopa hela 5 million eti kwa kigezo cha ada za watoto lakn hakuna mtoto ata mmoja alie lipiwa ada ( nilisoma huo mktaba wa mkopo ) hela zilikua zinaishia kwa wapambe na mademu bila kusahau pombe, yaani alikua akitupatia 100k kila mtoto basi imeisha hyo.

Simsemi eti kisa na mchukia no..namkubali kinoma mzee wangu maana kaniokoa sana kwenye misala yangu mimi na familia yangu.Nitaendelea kuelezea vingine mbele ya safari.

Basi Mzee alikua anahangaika kutafuta nyumba ya kuhamia mpk nikawa namuonea huruma, yaan kila sehem amna nyumba.

Siki yenyewe ya kuhama ilivyofika kuna nyumba aliibahatisha ilikua ni nzur sana ina vyumba sita umeme kasoro Maji tu.

Mzee alitupatia maelekezo tu kuwa tukaisafishe ili jioni tuhame yeye alikua yupo misele yake.

Tena siku hyo Baba yake na huyo jamaa ( Mwenye nyumba og ) alikuaja kuhakikisha tuna hama kwake.

Siku hyo nilikua napenda isifike lakin tena nilikua napenda ifike maana nilikuwa nasubir tu tukihama ni mfanyie jamaa ( mtoto wa mwenye nyumba ) kitendo ambacho hata sahau kwenye maisha yake.

Niliindaa kisu vizur tu nikakificha chini ya godoro ilikua ni nife au afe ( lengo langu ni ilikua zile nguo ambazo alizichukua kuwa ni zake, nilikua nataka anipe au nimue )


Baada ya kutoka kusafisha ile nyumba mpya basi tulirud home kuanza kukusanya vitu ili jioni gari likja tupakie tusepe zetu.

Huyo jamaa alikua bado yeye yupo kazini kwake ko pale alikuepo huyo baba ake na wale wanae wengine walikuepo pale.Yule demu nilie kuwa na mgonga yeye alikua tu anasikitika sisi kuonda lakin lile li bonge lenyewe lina roho mbaya tu.

Jioni ilifika kwenye saa kumi na moja gari lilifika tukaanza kupakia vitu, wakati huo na msubir yule jamaaa atoke kazini aje nimzingue.Tulipakia vitu gari ilienda trip mbili ikawa imebakiza trp moja imalizie kusomba vitu.Huyo jamaa na kweli alitokea, nikawaambia madogo hili bifu ni langu pekee sitaki kuwaona mkiingilia.

Sijui hata nilikua na mdudu gani kichwani na bangi nilisha stafu kuvuta kitambo.Nilichukua kile kisu nikakiweka kiuononi, nikawa na msubir tu huyo jamaa aingie ndani nimtoke kwa nyuma nimzingue.

kama nilivyopanga utadhani movie vile jamaa alitupita pale akatupa hi alafu akaelekea ndani.Nilikua natetemeka sio kawaida, nilimvizia kwa nyuma mpaka alivyofika korido nikamuwai shingoni kwa roba kali mpk tukadondoka...lakini sikumuachia nilikua na mwambia tu nguo zangu unanipa au hunipi wakati huo kisu kiko shingoni mwake jamaa alipiga kelele ( jamaa licha ya ukubwa wake lkn ni muoga hatare )...lile bonge mdo lilikua la kwanza kufika hapo korido lili ni nyang'anya kisu kwanza lkn shingo ya yule jamaa nilikua bado nimeikaba kisawasawa.

Alikuja na huyo Mzee wake walinivuta huku huyo bonge akinipa mingumi ili ni muachie, nilimuacha baada ya ngumi ya pua kuuma ( ngumi ya puani inauma jamaani mpk chozi lilitoka jicho moja )..bonge ndo alinipandisha hasira nilimfuata nikampa ngumi na yeye za puani mpk ikaangua kwenye cement zilikua hapo korido.Jamaa nae alikuja na kile kisu nikamuwai teke la mguu alianguka na nikashika kisu sasa kumchoma yule bonge maana ndo alikua ana kiherehere sana.

Nashindwa kuelezea kiukweli maana jamaa niliwamudu sema yule bab ao alinipiga makofi mpk akili ilikaa sawa wakanishika wakapeleka chumbani mwao yule demu eti nae akawa ananitukana, na nilikua nime taitiwa kisawasawa jamaa alipiga simu police.

Kwanza alikuja jamaa mmoja akasema waniachie alitoa kitambulisho kunionesha eti kuwa ni police, nilimpa na yeye ngumi nika mgeukia tena bonge, huyo police alinipiga vibaya mpk nikakaa chini mwenyewe.akanambia nianze kutoa maelezo.nilisema jamaa ana nguo zangu me namuomba yeye anazingua kunipa.

Mzee wao akasema kabla nguo hazijaja ( maana zilikuepo mulemule ndani ) mwenyekiti wa mtaa aitwe ili maelezo yaende vizur.Mwenyekiti alikuja kwanza hakuamin kukuta eti ni mimi ndo niko pale ( anajua me ni mstarabu ). Basi huyo kamaa na yeye alitoa maelezo yake kuanzia hela zske kupotea mpk nguo, aliita mpk mtu ambae anamuuzia nguo na risiti juu.

Sema kama kitu sio chako inaonekana sio chako kesho narud kuendelea.
 
Ngumi za pua na usoni tu kiujumla sio poa.. Ukipigwa kisawa sawa ikaingia unaweza kuuliza watu "Hivi nimejifungua mtoto gani? Wakati huo wewe ni mwanaume"

Halafu kuna boya from no where tu linasema eti mapenzi yanauma.. Hivi ushawahi kula ngumi ya uso, unaweza kusahau hata jinsia yako kwa muda

 
Ngumi za pua na usoni tu kiujumla sio poa.. Ukipigwa kisawa sawa ikaingia unaweza kuuliza watu "Hivi nimejifungua mtoto gani? Wakati huo wewe ni mwanaume"

Halafu kuna boya from no where tu linasema eti mapenzi yanauma.. Hivi ushawahi kula ngumi ya uso, unaweza kusahau hata jinsia yako kwa muda

🤣🤣🤣 aisee acha tu yaani pua linauma aisee kuliko mapenzi ubongo nilihisi umekuja puani
 
kwanini mkuu lbda nilichanganya tu siwez kutoa story ya uongo c unajua kwenye uandish kuchanganya hua sio ajabu.

sorry kwa hilo mkuu
Nimekukumbusha mkuu toka mwanzo tuko na hili story ila kutoka hapo kwa mtu aliyekuwa anafuatilia maudhui yote yamepotea

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom