Inaendelea.....
Baada ya kupata mpenzi mpya nilikuwa na enjoy sana life ukizingatia muda nilio kaa bila kuwa kwenye mahusiano ulikua ni mrefu kidogo mpk mtaani vijana wenzangu walikua wananambia niwaonyeshe shemeji ( walikua wanajua me sing'ati ).Baby wangu huyo mpya kumbe alikua ni sio mgeni kanisan kama me nilivyodhani ( alikua mwanafunzi ndo maana nilikua simuoni nikienda church ).Mapenzi yaliendelea vizur sana moja ya couple zangu bora hii pia ilikua bora, mtoto alkua ananiheshimu,kunipenda na kunijali ( vizawad nilikua naletewa sana ).Lakin sex ndo nilikua nanyimwa romance napewa vizur tu ( demu alikua ananipima imani sana ).
Mwezi wa 4 nilipata balaa moja mpk nikawa naishi kama pimbi....
Kuna Msela wetu mmoja hivi alikua bishoo hatari, mzee wa location kwake kupiga picha ndo ilikua chakula.Kuna siku alikuja mtaani kwetu na begi ndani kuna nguo za location, akatuomba mimi na Msela wangu mmoja ( yule ambae nilipigana nae 2010 akajikata na wembe wake mwenyewe, jamaa alikuja kuwa msela wangu wa damu mpka leo hii )...huyo msela alituomba twende nae location kupiga picha, tukaenda Pensula beach ( compex ) maana ndo kulikua na pozi zur la picha...
Tulifika flesh Complex kule mlimani kuna vinyumba kule vilijengwa kwa ajili Watalii kama sijakosea, ila vilikua vipo tu hata havifanyi kazi.Basi Mzee wa location akatoa nguo zilizokua kwenye begi aanze kupiga picha, miongoni mwa nguo alizotoa ilikua ni Combat ya kijeshi full.Sisi hatukujua ni wapi kaitoa haikua kazi yetu hyo sisi tulijua ni kupiga picha basiii na kusepa.
Na kweli picha tulipiga za kutosha kila mtu alivaa ile kombati, tulivyotoshka na picha tuliondoka kwenda kurushiana picha tulizopiga.Nilivyo fala sasa picha nilizopost Fb siku hyo ni pamoja na hizo nilipiga nimevaa combat ya jeshi.Nilikua najua hakuna noma kufanya hivyo.
Kesho yake nikiwa mimi na msela wangu tunaangalia picha tulizo post fb mara Mzee wangu anakuja na boda akatuita.Alituuliza tuliiba nini tukawa tuna mshangaa tu.
Alitutaka tuwe makini maana Yule jamaa aliyekuja na zile Nguo za kijeda alikua kakamatwa yupo Central.Kesho yake tena taarifa zinatufikia na Mama ake na huyo msela wangu kuwa tukimbie police wanakuja kutukamata.
Kumbe zile nguo za jeshi kuna jamaa mmoja ni muhuni alafu mwizi aliziiba nyumbani kwa Mjeda ( zilikua kwenye kamba zimeanikwa baada ya kufuliwa ).Ko huyo muhuni alivyoziiba akamuuzia yule jamaa alie kuja nazo ili twende location ( kweli tuliingia mtego wa panya ).Baada hao jamaa kukamatwa walivyokuwa wanakula kipigo ndo wakawa wanatuyaja hasa yule Mzee wa location.
Nilifuta zile picha nilizo post fb ila nilikua nimechelewa maana kuna demu mmoja alikua ni police na alikua ni rafiki angu fb na tunaishi nae mtaa mmoja.Alidai kuwa ananijua na siku wanakuja kutushika taarifa ziliwakutufikia mapema kutoka kwa huyo Mama ake na msela wangu ( bro wa huyo msela angu nae alikamatwa ndo ikawa rahis kwa huyo mama kutupatia Taarifa ).Siku hyo tulijificha mlimani mpk usiku ndo tulitoka kuja kula na kulala uvunguni kisha asubui tulirud mlimani ikawa ndo mwendo huo kama siku tatu.
Sikumbuki hata kesi iliishaje ila nashukuru Mzee wangu na Familia ya huyo msela wangu walimalizana na maafande kibingwa ila yule Muhuni alie iba yupo jela mpka leo ( Butimba )
Huu mwaka 2016 una visa vingi nitachagua vichache niviandike humu.
Mwezi wa tano terh 15 2016 ilikua jumapili ndo siku ambayo nilipewa tunda na demu wangu.Niliahidiwa jumamos ya tareh 14 nikawa naona jumapili haifiki asee


.Siku hyo nilimsubir weeee..sehemu tuliyokubaliana kukutana mpk nikakata tamaa na kuanza kuondoka.Mara ndo namuona kwa mbali mtoto anakuja kapendeza kinoma.nilifurah nikamchukua mpk ghetto kumchakata.Nilifika nae gheto kwangu ( home ) ikaanza romance kama kawa na kisha nikachukua ndomu nikavaa kazi ikaanza.
Nilimpeelekea moto hatare alikua analia kimahaba na viuno kama vyote pamoja na style ( me nilikua na kauzoefu kidogo ).Lakini cha kushangaza mpk lisaa limoja nilikua sija fika kileleni.Hofu ikaanza kuniingia labda nyeto imeniharibu lakin mashine ilikua imekaza balaa.Nilijisemea kimoyomoyo kuwa natatizo la nguvu za kiume.kumbe hayo mawazo ndo yalinitoa mchezoni kabisa nikashindwa kufika kileleni kabisa mpk demu alinambia kuwa amechoka, nikamuacha hku nikijisemea kimoyomoyo kuwa mtoto wa watu hajarridhika na show.Kumbe mchawi wangu alikua ni ndomu ckuozea sana kutumia ndomu.
Nilivyokua namsindikiza demu kwao napo nikakutana na balaa tena njiani....
Nitarudi tena