Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Hadithi ya kweli ya maisha yangu

habarini tena humu poleni sana kwa kuwaweka sana ila ni kutokana me kupata msiba...tunazika kesho hope tukishazika nitakua free kuendeleza hii story

Asanteni sana 🙏🏻🙏🏻
Karibu sana mkuu.
 
Habarini tena humu ndani ni matumaini yangu mko vizuri, licha ya changamoto tunazozipata lakini bado Mungu anatupigania.

Rest in Peace Rais Magufuli umeondoka ghafla sana licha mimi kuwa mpinzani lakini nilipenda kuona unamaliza muhula wako wa pili, lakini ya Mungu mengi tuzidi kupendana.


Inaendelea

Wakati bado tunasubiria muda wa kuhama pale ufike tabia yangu ya wizi ilikua bado inaendelea japo ilikua sio mara kwa mara lakin nilikua nikipata chance lazima nipige tukio.

Mzee wangu kuna msala aliupata nadhani hatokuja kuhusahau,

Mzee nae alikua ni mtu wa madili sana kufoj nyaraka za serikal ilikua ni zake ( moderator's naomba mnilinde hapa na wakuda )....madili alikua anayapiga sana tena mengine kama hayupo me ndo nilikua nayamaliza kiaina ( kwa maelekezo yake ).

kuna siku moja miaka ya nyuma kidogo alienda semina Dodoma, siku hyo alinipigia na akaniagiza niende kwa mtu fulani hivi hata cmjui ( huyo mtu ni mtumishi wa Manispa )...cku alinipigia simu akanambia niende sehemu fulani kukutana na huyo mtu kuna mzigo atanipa alafu tena akanambia nikimaliza hapo niende tena sehemu fulani kwa mtu mwingine nimkabidhi huo mzigo kisha nitasaini then nichukue pesa alafu hizo hela nichukue 20k nyingine nimpe Mama atunze.

Siku hyo nilifanya hicho kitu nikiwa naogopa maana mzee alinambia niwe makini sana maana nikishikwa ni hatar kwake.Alinambia kuwa ananiamini sana ndo maana kanituma, kweli hiyo mishe yake nilimfanyia vizur sana alinisifu cku hyo ko ikawa akiwa hayupo mishe zake me ndo namaliza. kuna siku walikuja wanajeshi na gari ( teksi ) niliogopa nikajua wana mtaka mzee ( mzee cku hyo alikua amesafiri kikazi ).....waliniuliza mzee yupo wapi nikawadanganya.wakaondoka baadae tena wakarudi wakanipa simu niongee kumbe alikua ni mzee, alinipa maelekezo kumbe walikua wanataka mzee awafanyie mchongo.Basi nilipewa maelekezo na mzee nikamalizana nao wakaniachia hela wakasepa zao.


Basi bana c mnajua tena kipindi cha magufuli Wakuu wa mikoa na wilaya walikua wanafanya kazi kwa mihemko ili tu wamfurahishe boss wao ( r.i.p Magufuli )....Huo nao naona ulikua mwisho wa shughuli za mzee wangu.


Ilikua ni usiku kama saa mbili hivi niko home me na wadogo zangu tunaona movie..tulisikia boda inakuja, tulijua ni Mzee na kweli alkua ni yeye alipitilizia mpk chumbani kwake akaniita nikaenda chumban kwake alinambia tu kimenuka ( cku mwelewa kwa wakati huo ) alichukua baadh ya vifaa vyake vya kazi akanambia nikavichome alafu yeye akaondoka tena na ile boda iliyomleta.


Baadae kidogo akaja Mama mmoja na Baba mmoja hivi wakagonga mlango niliwafungulia wakaniita mimi nje waongee na mimi.Nilipatwa na hofu maana nilijua tu kuna kitu kibaya kimetokea. ( nilikuwa nafikiri ni ajali )

Walinambia kuwa Mzee wangu kakamatwa yupo Central kwa amri ya Mkuu wa wilaya.Hapo nilijua tu mishe zake zimejulikana, niliwapigia simu ndugu ikiwemo Mama nikawapa hyo taarifa kesho yake ndugu walikua wanapishana tu nyumbani maana kesi ya Mzee ilkua ni Kubwa mkuu wa wilaya kachachamaa vby mno.

Dhamana alinyimwa maana kesi yake ilikua ni nzito kidogo mkuu wa wilaya aligoma wasimpe dhamana kwanza.Bahat nzur walio mshtaki walikua hawana uhakika na wanacho mshtakia mzee.Kumbe Dc nae alipewa taarifa na waongo kuwa mzee anafanya mishe sio halali nae akakurupuka tu kumkamata bila ushahidi wa kutosha.

Alikaa Central kama cku tatu hivi wakaamua kuja kumkagua mzee nyumban kwake waone kama watapata ushahid wa kumpeleka mahakamani.Sikumbuki ilikua ni juma ngapi siku hyo ila ilikua ni kama zali me kwenda kituoni police kumpelekea msosi Mzee.

Yani ile nafika Central tu na msosi nakuta mzee mzee nae wanamtoa Central ili wakamkague kwake.Aliniongelesha kwa saut ya chini sana kuwa niwai home nitoe vitu vyake ambavyo vinaweza kuwani ushahidi.

Nilivyoambiwa tu hivyo nilifanya mchakato wa kurud nyumbani upesi ilinimuokoe Mzee kwenye balaa lake.Japo mzee na baadhi ya maaskari wa upepelezi walikua na gari nilitumia dakika chache sana kufika ingawa niliwakuta wameshafika walikua wapo tayar sebuleni wanamsubir mwenyekiti wa mtaa ili waanze kazi yao ya upelelezi.

Niliingia chumbani kwa mzee kwa siri nikatoa vitu vyote ambavyo nilikua najua vitamletea shida.Dakika 3 zilinitosha kutoa vitu vyote nilivyokua najua vina shida.ile namaliza tu kutoa mara mwenyekiti akawa kashakuja ko zoezi lilianza mara moja.

Hawakupata cha maana sana tu walivurugua sana nguo na vitu, alafu wakarudi na mzee Central kesi ilikua bado ngumu.walikbali kumpa dhamana baada kukaa wiki nzima.walitakaa tutoe 1 million ili kusud aweze kuachiwa huru.

Hela ilichangwa na wandugu hususan Mama angu me pia nilimuibia yule jamaa 100k nikaitoa ili mzee aweze kutoka ndani ma kweli alitoka ndani baada ya pesa kukamlika.

Mzee alivyotoka aliapa kabisa kuwa hiyo michezo ameacha kabisa ko watu walikua wakija anawarusha, alafu me pia nilifurahi kusikia hivyo.

Maisha yaliendelea na kuna siku alikuja pale mdogo wake yule jamaa ( mtoto wa mwenye nyumba ) ni wa kiume alafu bonge la mtu ( mnene kama Msechu ) ko huyo mgeni alie kuja niliona ni kama kikwazo kwangu mwenye shughuli zangu.

Nitarud tena kusimulia.
 
Habarini tena humu ndani ni matumaini yangu mko vizuri, licha ya changamoto tunazozipata lakini bado Mungu anatupigania.

Rest in Peace Rais Magufuli umeondoka ghafla sana licha mimi kuwa mpinzani lakini nilipenda kuona unamaliza muhula wako wa pili, lakini ya Mungu mengi tuzidi kupendana.


Inaendelea

Wakati bado tunasubiria muda wa kuhama pale ufike tabia yangu ya wizi ilikua bado inaendelea japo ilikua sio mara kwa mara lakin nilikua nikipata chance lazima nipige tukio.

Mzee wangu kuna msala aliupata nadhani hatokuja kuhusahau,

Mzee nae alikua ni mtu wa madili sana kufoj nyaraka za serikal ilikua ni zake ( moderator's naomba mnilinde hapa na wakuda )....madili alikua anayapiga sana tena mengine kama hayupo me ndo nilikua nayamaliza kiaina ( kwa maelekezo yake ).

kuna siku moja miaka ya nyuma kidogo alienda semina Dodoma, siku hyo alinipigia na akaniagiza niende kwa mtu fulani hivi hata cmjui ( huyo mtu ni mtumishi wa Manispa )...cku alinipigia simu akanambia niende sehemu fulani kukutana na huyo mtu kuna mzigo atanipa alafu tena akanambia nikimaliza hapo niende tena sehemu fulani kwa mtu mwingine nimkabidhi huo mzigo kisha nitasaini then nichukue pesa alafu hizo hela nichukue 20k nyingine nimpe Mama atunze.

Siku hyo nilifanya hicho kitu nikiwa naogopa maana mzee alinambia niwe makini sana maana nikishikwa ni hatar kwake.Alinambia kuwa ananiamini sana ndo maana kanituma, kweli hiyo mishe yake nilimfanyia vizur sana alinisifu cku hyo ko ikawa akiwa hayupo mishe zake me ndo namaliza. kuna siku walikuja wanajeshi na gari ( teksi ) niliogopa nikajua wana mtaka mzee ( mzee cku hyo alikua amesafiri kikazi ).....waliniuliza mzee yupo wapi nikawadanganya.wakaondoka baadae tena wakarudi wakanipa simu niongee kumbe alikua ni mzee, alinipa maelekezo kumbe walikua wanataka mzee awafanyie mchongo.Basi nilipewa maelekezo na mzee nikamalizana nao wakaniachia hela wakasepa zao.


Basi bana c mnajua tena kipindi cha magufuli Wakuu wa mikoa na wilaya walikua wanafanya kazi kwa mihemko ili tu wamfurahishe boss wao ( r.i.p Magufuli )....Huo nao naona ulikua mwisho wa shughuli za mzee wangu.


Ilikua ni usiku kama saa mbili hivi niko home me na wadogo zangu tunaona movie..tulisikia boda inakuja, tulijua ni Mzee na kweli alkua ni yeye alipitilizia mpk chumbani kwake akaniita nikaenda chumban kwake alinambia tu kimenuka ( cku mwelewa kwa wakati huo ) alichukua baadh ya vifaa vyake vya kazi akanambia nikavichome alafu yeye akaondoka tena na ile boda iliyomleta.


Baadae kidogo akaja Mama mmoja na Baba mmoja hivi wakagonga mlango niliwafungulia wakaniita mimi nje waongee na mimi.Nilipatwa na hofu maana nilijua tu kuna kitu kibaya kimetokea. ( nilikuwa nafikiri ni ajali )

Walinambia kuwa Mzee wangu kakamatwa yupo Central kwa amri ya Mkuu wa wilaya.Hapo nilijua tu mishe zake zimejulikana, niliwapigia simu ndugu ikiwemo Mama nikawapa hyo taarifa kesho yake ndugu walikua wanapishana tu nyumbani maana kesi ya Mzee ilkua ni Kubwa mkuu wa wilaya kachachamaa vby mno.

Dhamana alinyimwa maana kesi yake ilikua ni nzito kidogo mkuu wa wilaya aligoma wasimpe dhamana kwanza.Bahat nzur walio mshtaki walikua hawana uhakika na wanacho mshtakia mzee.Kumbe Dc nae alipewa taarifa na waongo kuwa mzee anafanya mishe sio halali nae akakurupuka tu kumkamata bila ushahidi wa kutosha.

Alikaa Central kama cku tatu hivi wakaamua kuja kumkagua mzee nyumban kwake waone kama watapata ushahid wa kumpeleka mahakamani.Sikumbuki ilikua ni juma ngapi siku hyo ila ilikua ni kama zali me kwenda kituoni police kumpelekea msosi Mzee.

Yani ile nafika Central tu na msosi nakuta mzee mzee nae wanamtoa Central ili wakamkague kwake.Aliniongelesha kwa saut ya chini sana kuwa niwai home nitoe vitu vyake ambavyo vinaweza kuwani ushahidi.

Nilivyoambiwa tu hivyo nilifanya mchakato wa kurud nyumbani upesi ilinimuokoe Mzee kwenye balaa lake.Japo mzee na baadhi ya maaskari wa upepelezi walikua na gari nilitumia dakika chache sana kufika ingawa niliwakuta wameshafika walikua wapo tayar sebuleni wanamsubir mwenyekiti wa mtaa ili waanze kazi yao ya upelelezi.

Niliingia chumbani kwa mzee kwa siri nikatoa vitu vyote ambavyo nilikua najua vitamletea shida.Dakika 3 zilinitosha kutoa vitu vyote nilivyokua najua vina shida.ile namaliza tu kutoa mara mwenyekiti akawa kashakuja ko zoezi lilianza mara moja.

Hawakupata cha maana sana tu walivurugua sana nguo na vitu, alafu wakarudi na mzee Central kesi ilikua bado ngumu.walikbali kumpa dhamana baada kukaa wiki nzima.walitakaa tutoe 1 million ili kusud aweze kuachiwa huru.

Hela ilichangwa na wandugu hususan Mama angu me pia nilimuibia yule jamaa 100k nikaitoa ili mzee aweze kutoka ndani ma kweli alitoka ndani baada ya pesa kukamlika.

Mzee alivyotoka aliapa kabisa kuwa hiyo michezo ameacha kabisa ko watu walikua wakija anawarusha, alafu me pia nilifurahi kusikia hivyo.

Maisha yaliendelea na kuna siku alikuja pale mdogo wake yule jamaa ( mtoto wa mwenye nyumba ) ni wa kiume alafu bonge la mtu ( mnene kama Msechu ) ko huyo mgeni alie kuja niliona ni kama kikwazo kwangu mwenye shughuli zangu.

Nitarud tena kusimulia.
Karibu mkuu

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Habarini tena humu ndani ni matumaini yangu mko vizuri, licha ya changamoto tunazozipata lakini bado Mungu anatupigania.

Rest in Peace Rais Magufuli umeondoka ghafla sana licha mimi kuwa mpinzani lakini nilipenda kuona unamaliza muhula wako wa pili, lakini ya Mungu mengi tuzidi kupendana.


Inaendelea

Wakati bado tunasubiria muda wa kuhama pale ufike tabia yangu ya wizi ilikua bado inaendelea japo ilikua sio mara kwa mara lakin nilikua nikipata chance lazima nipige tukio.

Mzee wangu kuna msala aliupata nadhani hatokuja kuhusahau,

Mzee nae alikua ni mtu wa madili sana kufoj nyaraka za serikal ilikua ni zake ( moderator's naomba mnilinde hapa na wakuda )....madili alikua anayapiga sana tena mengine kama hayupo me ndo nilikua nayamaliza kiaina ( kwa maelekezo yake ).

kuna siku moja miaka ya nyuma kidogo alienda semina Dodoma, siku hyo alinipigia na akaniagiza niende kwa mtu fulani hivi hata cmjui ( huyo mtu ni mtumishi wa Manispa )...cku alinipigia simu akanambia niende sehemu fulani kukutana na huyo mtu kuna mzigo atanipa alafu tena akanambia nikimaliza hapo niende tena sehemu fulani kwa mtu mwingine nimkabidhi huo mzigo kisha nitasaini then nichukue pesa alafu hizo hela nichukue 20k nyingine nimpe Mama atunze.

Siku hyo nilifanya hicho kitu nikiwa naogopa maana mzee alinambia niwe makini sana maana nikishikwa ni hatar kwake.Alinambia kuwa ananiamini sana ndo maana kanituma, kweli hiyo mishe yake nilimfanyia vizur sana alinisifu cku hyo ko ikawa akiwa hayupo mishe zake me ndo namaliza. kuna siku walikuja wanajeshi na gari ( teksi ) niliogopa nikajua wana mtaka mzee ( mzee cku hyo alikua amesafiri kikazi ).....waliniuliza mzee yupo wapi nikawadanganya.wakaondoka baadae tena wakarudi wakanipa simu niongee kumbe alikua ni mzee, alinipa maelekezo kumbe walikua wanataka mzee awafanyie mchongo.Basi nilipewa maelekezo na mzee nikamalizana nao wakaniachia hela wakasepa zao.


Basi bana c mnajua tena kipindi cha magufuli Wakuu wa mikoa na wilaya walikua wanafanya kazi kwa mihemko ili tu wamfurahishe boss wao ( r.i.p Magufuli )....Huo nao naona ulikua mwisho wa shughuli za mzee wangu.


Ilikua ni usiku kama saa mbili hivi niko home me na wadogo zangu tunaona movie..tulisikia boda inakuja, tulijua ni Mzee na kweli alkua ni yeye alipitilizia mpk chumbani kwake akaniita nikaenda chumban kwake alinambia tu kimenuka ( cku mwelewa kwa wakati huo ) alichukua baadh ya vifaa vyake vya kazi akanambia nikavichome alafu yeye akaondoka tena na ile boda iliyomleta.


Baadae kidogo akaja Mama mmoja na Baba mmoja hivi wakagonga mlango niliwafungulia wakaniita mimi nje waongee na mimi.Nilipatwa na hofu maana nilijua tu kuna kitu kibaya kimetokea. ( nilikuwa nafikiri ni ajali )

Walinambia kuwa Mzee wangu kakamatwa yupo Central kwa amri ya Mkuu wa wilaya.Hapo nilijua tu mishe zake zimejulikana, niliwapigia simu ndugu ikiwemo Mama nikawapa hyo taarifa kesho yake ndugu walikua wanapishana tu nyumbani maana kesi ya Mzee ilkua ni Kubwa mkuu wa wilaya kachachamaa vby mno.

Dhamana alinyimwa maana kesi yake ilikua ni nzito kidogo mkuu wa wilaya aligoma wasimpe dhamana kwanza.Bahat nzur walio mshtaki walikua hawana uhakika na wanacho mshtakia mzee.Kumbe Dc nae alipewa taarifa na waongo kuwa mzee anafanya mishe sio halali nae akakurupuka tu kumkamata bila ushahidi wa kutosha.

Alikaa Central kama cku tatu hivi wakaamua kuja kumkagua mzee nyumban kwake waone kama watapata ushahid wa kumpeleka mahakamani.Sikumbuki ilikua ni juma ngapi siku hyo ila ilikua ni kama zali me kwenda kituoni police kumpelekea msosi Mzee.

Yani ile nafika Central tu na msosi nakuta mzee mzee nae wanamtoa Central ili wakamkague kwake.Aliniongelesha kwa saut ya chini sana kuwa niwai home nitoe vitu vyake ambavyo vinaweza kuwani ushahidi.

Nilivyoambiwa tu hivyo nilifanya mchakato wa kurud nyumbani upesi ilinimuokoe Mzee kwenye balaa lake.Japo mzee na baadhi ya maaskari wa upepelezi walikua na gari nilitumia dakika chache sana kufika ingawa niliwakuta wameshafika walikua wapo tayar sebuleni wanamsubir mwenyekiti wa mtaa ili waanze kazi yao ya upelelezi.

Niliingia chumbani kwa mzee kwa siri nikatoa vitu vyote ambavyo nilikua najua vitamletea shida.Dakika 3 zilinitosha kutoa vitu vyote nilivyokua najua vina shida.ile namaliza tu kutoa mara mwenyekiti akawa kashakuja ko zoezi lilianza mara moja.

Hawakupata cha maana sana tu walivurugua sana nguo na vitu, alafu wakarudi na mzee Central kesi ilikua bado ngumu.walikbali kumpa dhamana baada kukaa wiki nzima.walitakaa tutoe 1 million ili kusud aweze kuachiwa huru.

Hela ilichangwa na wandugu hususan Mama angu me pia nilimuibia yule jamaa 100k nikaitoa ili mzee aweze kutoka ndani ma kweli alitoka ndani baada ya pesa kukamlika.

Mzee alivyotoka aliapa kabisa kuwa hiyo michezo ameacha kabisa ko watu walikua wakija anawarusha, alafu me pia nilifurahi kusikia hivyo.

Maisha yaliendelea na kuna siku alikuja pale mdogo wake yule jamaa ( mtoto wa mwenye nyumba ) ni wa kiume alafu bonge la mtu ( mnene kama Msechu ) ko huyo mgeni alie kuja niliona ni kama kikwazo kwangu mwenye shughuli zangu.

Nitarud tena kusimulia.
msechu
 
Habarini tena humu ndani ni matumaini yangu mko vizuri, licha ya changamoto tunazozipata lakini bado Mungu anatupigania.

Rest in Peace Rais Magufuli umeondoka ghafla sana licha mimi kuwa mpinzani lakini nilipenda kuona unamaliza muhula wako wa pili, lakini ya Mungu mengi tuzidi kupendana.


Inaendelea

Wakati bado tunasubiria muda wa kuhama pale ufike tabia yangu ya wizi ilikua bado inaendelea japo ilikua sio mara kwa mara lakin nilikua nikipata chance lazima nipige tukio.

Mzee wangu kuna msala aliupata nadhani hatokuja kuhusahau,

Mzee nae alikua ni mtu wa madili sana kufoj nyaraka za serikal ilikua ni zake ( moderator's naomba mnilinde hapa na wakuda )....madili alikua anayapiga sana tena mengine kama hayupo me ndo nilikua nayamaliza kiaina ( kwa maelekezo yake ).

kuna siku moja miaka ya nyuma kidogo alienda semina Dodoma, siku hyo alinipigia na akaniagiza niende kwa mtu fulani hivi hata cmjui ( huyo mtu ni mtumishi wa Manispa )...cku alinipigia simu akanambia niende sehemu fulani kukutana na huyo mtu kuna mzigo atanipa alafu tena akanambia nikimaliza hapo niende tena sehemu fulani kwa mtu mwingine nimkabidhi huo mzigo kisha nitasaini then nichukue pesa alafu hizo hela nichukue 20k nyingine nimpe Mama atunze.

Siku hyo nilifanya hicho kitu nikiwa naogopa maana mzee alinambia niwe makini sana maana nikishikwa ni hatar kwake.Alinambia kuwa ananiamini sana ndo maana kanituma, kweli hiyo mishe yake nilimfanyia vizur sana alinisifu cku hyo ko ikawa akiwa hayupo mishe zake me ndo namaliza. kuna siku walikuja wanajeshi na gari ( teksi ) niliogopa nikajua wana mtaka mzee ( mzee cku hyo alikua amesafiri kikazi ).....waliniuliza mzee yupo wapi nikawadanganya.wakaondoka baadae tena wakarudi wakanipa simu niongee kumbe alikua ni mzee, alinipa maelekezo kumbe walikua wanataka mzee awafanyie mchongo.Basi nilipewa maelekezo na mzee nikamalizana nao wakaniachia hela wakasepa zao.


Basi bana c mnajua tena kipindi cha magufuli Wakuu wa mikoa na wilaya walikua wanafanya kazi kwa mihemko ili tu wamfurahishe boss wao ( r.i.p Magufuli )....Huo nao naona ulikua mwisho wa shughuli za mzee wangu.


Ilikua ni usiku kama saa mbili hivi niko home me na wadogo zangu tunaona movie..tulisikia boda inakuja, tulijua ni Mzee na kweli alkua ni yeye alipitilizia mpk chumbani kwake akaniita nikaenda chumban kwake alinambia tu kimenuka ( cku mwelewa kwa wakati huo ) alichukua baadh ya vifaa vyake vya kazi akanambia nikavichome alafu yeye akaondoka tena na ile boda iliyomleta.


Baadae kidogo akaja Mama mmoja na Baba mmoja hivi wakagonga mlango niliwafungulia wakaniita mimi nje waongee na mimi.Nilipatwa na hofu maana nilijua tu kuna kitu kibaya kimetokea. ( nilikuwa nafikiri ni ajali )

Walinambia kuwa Mzee wangu kakamatwa yupo Central kwa amri ya Mkuu wa wilaya.Hapo nilijua tu mishe zake zimejulikana, niliwapigia simu ndugu ikiwemo Mama nikawapa hyo taarifa kesho yake ndugu walikua wanapishana tu nyumbani maana kesi ya Mzee ilkua ni Kubwa mkuu wa wilaya kachachamaa vby mno.

Dhamana alinyimwa maana kesi yake ilikua ni nzito kidogo mkuu wa wilaya aligoma wasimpe dhamana kwanza.Bahat nzur walio mshtaki walikua hawana uhakika na wanacho mshtakia mzee.Kumbe Dc nae alipewa taarifa na waongo kuwa mzee anafanya mishe sio halali nae akakurupuka tu kumkamata bila ushahidi wa kutosha.

Alikaa Central kama cku tatu hivi wakaamua kuja kumkagua mzee nyumban kwake waone kama watapata ushahid wa kumpeleka mahakamani.Sikumbuki ilikua ni juma ngapi siku hyo ila ilikua ni kama zali me kwenda kituoni police kumpelekea msosi Mzee.

Yani ile nafika Central tu na msosi nakuta mzee mzee nae wanamtoa Central ili wakamkague kwake.Aliniongelesha kwa saut ya chini sana kuwa niwai home nitoe vitu vyake ambavyo vinaweza kuwani ushahidi.

Nilivyoambiwa tu hivyo nilifanya mchakato wa kurud nyumbani upesi ilinimuokoe Mzee kwenye balaa lake.Japo mzee na baadhi ya maaskari wa upepelezi walikua na gari nilitumia dakika chache sana kufika ingawa niliwakuta wameshafika walikua wapo tayar sebuleni wanamsubir mwenyekiti wa mtaa ili waanze kazi yao ya upelelezi.

Niliingia chumbani kwa mzee kwa siri nikatoa vitu vyote ambavyo nilikua najua vitamletea shida.Dakika 3 zilinitosha kutoa vitu vyote nilivyokua najua vina shida.ile namaliza tu kutoa mara mwenyekiti akawa kashakuja ko zoezi lilianza mara moja.

Hawakupata cha maana sana tu walivurugua sana nguo na vitu, alafu wakarudi na mzee Central kesi ilikua bado ngumu.walikbali kumpa dhamana baada kukaa wiki nzima.walitakaa tutoe 1 million ili kusud aweze kuachiwa huru.

Hela ilichangwa na wandugu hususan Mama angu me pia nilimuibia yule jamaa 100k nikaitoa ili mzee aweze kutoka ndani ma kweli alitoka ndani baada ya pesa kukamlika.

Mzee alivyotoka aliapa kabisa kuwa hiyo michezo ameacha kabisa ko watu walikua wakija anawarusha, alafu me pia nilifurahi kusikia hivyo.

Maisha yaliendelea na kuna siku alikuja pale mdogo wake yule jamaa ( mtoto wa mwenye nyumba ) ni wa kiume alafu bonge la mtu ( mnene kama Msechu ) ko huyo mgeni alie kuja niliona ni kama kikwazo kwangu mwenye shughuli zangu.

Nitarud tena kusimulia.
Noma sana mkuuuuuuuuuuuu
 
Kumbe harakati zako ulirithi Kwa Mzee wako Bablai..
 
Inaendelea


Kipindi mzee ametoka Central na muda wa kukaa pale ulikua unazidi kuisha ili tuhame pale, yule jamaa alikua aniamini total yan licha ya kuwa na yule mdogo wake wa kike ( niliyekua namla kibingwa ) lakini bado alikua ana mashaka na mimi me nilikua na mchora tu jinsi anavyo nichora, huyo mdogo wake nae alikua kanizimia vby mno sema tu ndo vile hakutaka kunionyesha hilo.


Nilikuwa nawaza sana ni namna gani nitampiga tukio kubwa huyo jamaa ili hata tukihama abaki kunikumbuka milele, nilitaka nimshirikishe huyo mdogo wake hilo tukio lakin niliona sio poa mambo yanaweza ni haribikia kabla cja fanikisha, ko nilikua napiga plan zangu za kimya kimya bila ya mtu kujua kasoro wadogo zangu wote niliwaambia kuwa kuna siku huyu jamaa atalia na kusaga meno.


Kumbuka kuwa zile nguo ambazo yule jamaa alizianua kwenye kamba zilibaki hapo chumban kwake ( wale ndugu zake waliziacha hawakurud nazo ) ko nilipanga nizichukue kisiri alafu ni mpige na tukio lingine.Nilivyokua napanga mipango yangu kumbe dogo langu ( yule mwizi ) alimuibia tena huyo jamaa nguo. Hicho kitendo ckukipenda kiukweli nilimzingua sana huyo dogo ckutaka ye nae awe kama mimi ( me binafsi nilikua na chuki na huyo jamaa ndo maana nili plan kabla hatujahama ni mkomeshe ajute kunijua ).....basi bna dogo nilimuonya asirudie tena kuiba bila ridhaa yangu.


Huyo jamaa alijua kuwa nguo zake nyingine zimepotea, japokua hakutuambia lakini nilikua na msikia anaongea ko alichokifanya yeye alianza kunichafulia jina kwa majirani kuwa mimi ni mwizi namuibia nguo,hela mpaka Boksa ko aliwataka majiran wawe makin na mimi.

Hizo stor niliambiwa na yule rafiki angu ( yule tulie pigana nae 2010 ) ko mimi nilicheka tu nikapuuzia ila kuna siku nilimwambia kuwa ni kweli huwa namuibia...( kuka na siri me hua siwezi jamani )...uzur huyo rafiki angu hakuwa mnafki ko alikaa kimya.

Baada ya huyo jamaa kunichafulia jna aliamua amletee mdogo wake mwingine wa kiume ( yaani ni kama alikodi mercenary kuja kunikomoa maana siri zake zote nilikua naambiwa na mdogo wake wa kike )...huyo mdogo wake wa kiume ni mkubwa kwangu alafu ni bonge.

Alivyokuja huyo mgeni ckupenda niliona kanizibia ridhiki yangu kabisa maana hata kupata show za mdogo wake wa kike ilikua ni tabu kidogo.

Alivyokuja sasa eti akaweka urafiki na mimi ili anipeleleze kumbe me nilimsanukia kitambo nikawaambia madogo wawe makini na huyo bonge sio mtu mzuri.Tulikua washkaj wakinafki me na huyo bonge maana c nilikuwa najua lengo lake ko niliamua kwenda nae ivo ivo anavyotaka mziki wangu alikua haujui.siku moja alikua gheto langu mchana mchana kuleta uongo wake kumbe lengo lake alikua apeleleze kama kuna nguo zao mule gheto, taarifa nilipewa na huyo mdogo wao wa kike alini text, ko nilificha zile nguo ambazo yule dogo aliiba likajaa lika peleleza weeeeeeh....mpk likachoka likasepa zake.

Nilisema huyu jamaa kazid dharau sasa nitamfanya kitu kibaya sana, siku hyo tulipokea mgeni ( shangazi yetu wa ukoo ) alikuja nae nikamuona ni kikwazo maana ni muongo muongo na yeye.siku moja asubuhi sana niliamka kwenda kukojoa cjui nini kilinambia niingie chumban kwa mzee kabatini ( kabat la ukutani ) c nikakuta kitu kama furushi hivi kuligusa naona ni mwili wa binadamu, niliogopa asee maswali yakawa mengi ni nin hicho kumbe ni dogo langu ( yule mwizi ).

Kumbe bna dogo alikua aendi shule hapo ndo nilijua kuwa dogo shuleni ana karibia miez kibao hajakanyaga, hua ana mvizia mzee akishaondoka tu yeye anaingia kabatin anajifunika lishuka anakuwa kama furushi.nilimwambia mbona anataka kuleta balaa nilimwambia kwanini asisome au anataka kuwa kama mimi niliye chezea shule akaseema hamna hataki kuwa mimi nilimuonya akakubali kwenda shule lakin kwa siku ilikuwa inafuata sio hyo siku.

Wakat nimemaliza kumkanya dogo alinambia kuwa kuna mzigo upo chumba cha jamaa 3 million.Nilimwambia sema kweli, akanihakikishia kabisa kuwa aliwasikia wanaongea huyo jamaa na huyo Bonge ( mdogo wake ).....nilifurahi sana nikaona kuwa hii siku lazima kwa namna yoyote ile lazima ni wachukilie 300k...ko nilipiga mipango yangu jinsi gan nitafanikisha hilo tukio.

Huyo bonge alikua ni kikwazo kikubwa sana bora hata yule dogo lao la kike alikua hanitishi hata,

Siku hyo nilimuomba game huyo dogo lao akani bania kuwa anamuogopa bonge...nilimtukana kimaksudi tu hadi akakubali kuja nimgonge midaa ya jioni, nilipanga siku niwaingilie usiku wakiwa wamelala huyo bonge na kaka ake.

Bahat nzur huyo bro wao kumbe cku hyo alienda Rorya ( ujombani kwao ) kupeleka hela ya ujenzi me stor zote alikua ananipa mdogo wao ( wa kike ) ko niliona huo ni ushindi kwangu.

Usiku ilifika hapo sasa nimesha mgonga huyo manzi jioni yake najiskia mwepesi nasubir huyo bonge alale niingie ni chukue 300k zangu nisepe zangu.

Ilifika saa 7 usiku nikaamka zangu nikachukua kisu cha mboga nikakiweka kiunoni kwa ajili ya lolote litakalo tokea, nilibeba na zile funguo zangu nikatoka kwenda kwenye mlango wa chumba cha huyo bonge ( alikua analala na huyk bro wake alafu mdogo wao wa kike analala chumba cha wazazi ).

nilienda mpk kwenye mlango wake nikasimama kwanza nikaanza kuwaza ni namna gan nitaingia ndani.saut za kukoroma tu ndo zilikua zinasikika kutoka chumba cha huyo bonge na chumba cha Mzee wangu aisee hawa watu wanakoroma utadhani ni zile mashine za kusaga mawe nilitumia huo mkoromo wao kama faida.

Niliingia chooni nika flash maji sasa zile kelele za yale maji ndo nikatumia kufungua ule mlango wa chumba cha jamaa bonge alipolala.

Nilifanikiwa inshu ikawa ni kuingia nikamilishe jukumu langu.niliingia kwa kunyata sana mule chumbani.Bonge yeye alikua hana hata habare ka kuna mtu ndani.

Nilimsogelea pale kitandani mtu bado hana habar na mimi kukoroma tu ndo usiseme,

nilivyoona bonge hajiwezi kwa usingiz nilienda mpaka kwenye droo nikafungua nikachukua lile briefcase nikatoka nalo mpk chooni kuangalia kama kuna pesa, siku kuta hela nyingi sana na hata zile 3 million hazikuepo. nilichukia sana, nilichukukua zile hela na kondomu nilizozikut ta kwenye briefcase.


Kama nilivyoingia na ndo nilivyo toka humo chumban na hela kidogo pamoja na kondomu.

Kesho kama vile cjui nilichokifanya maana nilichukua 120k tu ndo niliikuta.

Bonge hakuwa anaelewa nini nmemfanya usiku ila walishtukia lakin sema tu ushahid ndo ilikua shida


Nitarejea tena jamaani mambo bado ni mabichi mno
 
Back
Top Bottom