Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Hadithi ya kweli ya maisha yangu

MKUU MIMI NAKUFATILIA SANA, YAAANI NATAKAMNI ATA UNITUMIE VOICE NOTE YA HII STORY NITUMIE ATA SIKU NZIMA KUISIKILIZA, ILA MZEE NINACHO KUBALI NI KITU KIMOJA Maiha ya kiuni unayajua, Maisha ya Kishemasi unayajua, Maisha ya kimasikini unayaua, Sijajua kama maisha ya kishua unayajua, naendelea kufatilia uko mbele........
tupo pamoja
 
We mshkaji hatari nakumbuka niliwai kuiba 200 nyumbani kwenye kigenge cha dingi R,I,P izi sarafu wakat nipo dogo vitu vinauzwa sh 20,15 ,5,10 aisee nilitumia ela aiishi nikaona Leo ntaumbuka kila nikinunua chench hii uamuzi nikaenda chimba kashimo na kuficha zile chanchi Sikh ya pili nikadamka nazo shuleni primary zikaishia uko.
mwanangu nimecheka sana hapa aiseeeee
 
Inaendelea

Basi baada ya huyo boy wa manz angu kuwa ananitumia text za vitisho kuwa nirudishe zile heka zake na kunambia niachane na Manzi ake...nilikua na mpuuza lkn ilifika wakati nikaona huyu mazoea yamezidi sasa...aliniwapa washkaj zake no yangu na wao wakaanza kunitukana kweli matusi mabaya eti kuwa wakinishika watani fira....niliona sasa wamevuka mipaka yao...

Nilimuita huyo demu siku hyo akaja nikamgonga na kumpiga picha za uchi, alafu nikamwelezea huyo demu kuwa unatoka na fulani akaruka vby mno nikamuonesha mpk zile text nilizokua na chat nae..akaamua kusema kuwa huyo jamaa ni kweli alimtongoza lkn alimrusha na huwa ana msumbua lkn siku mwambia kuhusu huyo jamaa kunitukana na washkaji zake...nilimuacha tu akasepa zake hakujua lililokua moyoni mwangu.


Nilipanga kuwa fanyia tukio hao jamaa mpk wakiwa wananiona wawe wanapita mbali...of course me vitu vyangu nilikua nafanya kwa uhakika..kuna msela wangu mmoja ( yule wa utotoni ambae tulikua tunaiba nae usiku )...yeye bado alikua anakaa Iringo ( mpaka saiz bado yupo Iringo )...niliamua kumtafuta kwa ajili ya huo mpango...na kweli jamaa alinambia ni mimi tu nikiwa tayar nimwambie.

Huyo boy wa msela kuna siku alini text tena nilimjibu majibu ya dharau akajaa..akasema atanikomesha...nilimwambia tu your welcome.Nilimpanga siku hyo demu nikamwambia kesho jumamosi baada ya ibada twende Iringo, alikubali bila kupinga ( maana alikua sana ananisikilizia ).


Kesho yake tupo kwenye ibada nikamuona huyo boy kakaa benchi za nyuma ( me nilikua nakaa bench za mbele kabisa za Waimbaji )...nilimuona nikajisemea tu moyoni kuwa leo unalo labda usiingiee kwenye kumi na nane zangu...nilmtext tukachat nae kidogo..nilikua namwambia kuwa leo jioni nitakua Iringo na demu wako...nilimuona ananiangalia vby ( na huku tupo kanisani )..akaniuliza iringo sehem gani nikamwambia kastamu akasema ok...

Kiukweli nilikua nimeplan siku hyo kumpiga huyo jamaa atakama ni kumuua ni muue tu.Alafu alivyokua mjinga alikua ananidharau kwa vile yeye yupo chuo me hata veta tu siijui.alijiamin kupitiliza.Nilimpanga yule muhuni wangu kuwa nitakuja leo huko mitaa yao na Manzi angu.


Midaa ilifika ya jioni ( saa 10 ) demu akajaa tukapanda boda mpk iringo.Tulivyofika tukaenda kwao na huyo muhuni wangu ( huyo Muhun wangu alikua kaachiwa Mji baada ya Wazaz wake kufariki ko mji ni wake mpk saivi ).

Nilivyofika nilimwambia Manzi ampigie huyo msela wake aje iringo.alimpigia tena akiwa kamuweka loudspeaker tunamsikia...jamaa alikua anasema huyo fala wako yuko wapi ( yaani mimi ).

Kufupisha habari ni kuwa huyo jamaa alijichanganya kuja yeye na wasela wake wawili na kapikiki kao..nilikua na hasira cku hyo ( sio za demu ila ni za kutukanwa na wale mafala )..Walifika nilivyoona waona hao wasela wake wawili mpk nilicheka, nilijisemea kuwa " huyu jamaa ananileteaje mabishoo wanipigie " alafu walivyowajinga sijui walikua wanajiamin vpi walikuja mpk maeneo ya ziwani ( kuna milima ).nilijitokeza tu huku zuna nimeiweka kiunoni ( Zuna ya muhuni wangu ), mpaka sehemu waliyokua wamesimama na Manz yao ( maana manzi alienda kuwapokea )


Nilivyofika walipo nikawapa hi wakajibu...alafu nikawaambia mlikua mnasemaje sasa.Me hua na roho mbaya nikichukia, nilimpiga ngumi ya pua huyo jamaa na alivyokuwa ni white damu zilimuahi kutoka, wale wengine walivyoona hivyo wakajamu wanataka kunipiga nikachomoa Zuna niliwapiga bapa mpk mmoja akakimbia.nilimrudia yule jamaa lengo langu nilikua ni mtoe roho ( sema yule muhuni ndo alinishika nisimuue )..tulimbeba mzima mzima kwenda nae mlimani yule muhuni amfire ( sory kwa lugha mbovu ) maana tulikubaliana hvyo amfire.Jamaa alilia siku hyo akiita watu wamsaidie lkn watu ndo kwanza hawana habar nae na wasela wake cjui hata walipotelea wapi.Kuna mvuvi mmoja nae alikua ana sapoti tumpige huyo jamaa ( chanzo chenyewe alikua hajui yeye anasapoti tu ).

Tulimpandisha mlimani jamaa analia tu simu,hela zake muhuni akachukua..Muhuni haku mfira ila tulimpa onyo na kumtaka atupatie 200k..alidai hana tukashuka nae mpk ghetto kwa muhuni tukaandikishiana kuwa tumemfumania inabidi atulipe hyo hela siku flani na mashahid walipatikana pale wa uongo na kweli.Jamaa tulimuachia kama saa moja usiku kwa makubaliano ya kupewa hizo hela baada ya wiki moja...ila nilimpiga siku hyo, tokea hapo alikua ananiogopa vby mno..nilimpiga mkwara mzito kuwa siogopi cha nani kama anataka kwenda police aende atanikuta tu niko kanisani.

Manzi nae aliniogopa alikua hajawi kuona hasira zangu ila me nilikua sina shida nae maana nilikua namtafutia mbadala wake kimya kimya.

Hizo 200k tuliambulia kupewa 60k tu ko nikampa muhuni wangu 20k nikabak na 40k nikafnyia yangu...hivyo ndo nilivyomfanyia huyo msela alijiona kuwa kayapatia maisha mbele yangu.


Nikirudi nitaendelea kuwaelezea tena harakat zangu za wizi mpaka Mzee wangu kuwekwa ndani na Mkuu wa Wilaya, Me kukamatwa kwa kosa la wizi, Mahusiano yangu na yule demu wa kisiwani, kutapeli na vingine vingi mpk kufika hapa nilipo

story bado ni ndefu ko kuna matukio mengi mengine niliyafanya ila cjaandika maana nilisahau kuyaweka.Binafsi nayaleta nikiwa nimeyapanga kwa Miaka.


nitarudi tena.
 
Inaendelea

Basi baada ya huyo boy wa manz angu kuwa ananitumia text za vitisho kuwa nirudishe zile heka zake na kunambia niachane na Manzi ake...nilikua na mpuuza lkn ilifika wakati nikaona huyu mazoea yamezidi sasa...aliniwapa washkaj zake no yangu na wao wakaanza kunitukana kweli matusi mabaya eti kuwa wakinishika watani fira....niliona sasa wamevuka mipaka yao...

Nilimuita huyo demu siku hyo akaja nikamgonga na kumpiga picha za uchi, alafu nikamwelezea huyo demu kuwa unatoka na fulani akaruka vby mno nikamuonesha mpk zile text nilizokua na chat nae..akaamua kusema kuwa huyo jamaa ni kweli alimtongoza lkn alimrusha na huwa ana msumbua lkn siku mwambia kuhusu huyo jamaa kunitukana na washkaji zake...nilimuacha tu akasepa zake hakujua lililokua moyoni mwangu.


Nilipanga kuwa fanyia tukio hao jamaa mpk wakiwa wananiona wawe wanapita mbali...of course me vitu vyangu nilikua nafanya kwa uhakika..kuna msela wangu mmoja ( yule wa utotoni ambae tulikua tunaiba nae usiku )...yeye bado alikua anakaa Iringo ( mpaka saiz bado yupo Iringo )...niliamua kumtafuta kwa ajili ya huo mpango...na kweli jamaa alinambia ni mimi tu nikiwa tayar nimwambie.

Huyo boy wa msela kuna siku alini text tena nilimjibu majibu ya dharau akajaa..akasema atanikomesha...nilimwambia tu your welcome.Nilimpanga siku hyo demu nikamwambia kesho jumamosi baada ya ibada twende Iringo, alikubali bila kupinga ( maana alikua sana ananisikilizia ).


Kesho yake tupo kwenye ibada nikamuona huyo boy kakaa benchi za nyuma ( me nilikua nakaa bench za mbele kabisa za Waimbaji )...nilimuona nikajisemea tu moyoni kuwa leo unalo labda usiingiee kwenye kumi na nane zangu...nilmtext tukachat nae kidogo..nilikua namwambia kuwa leo jioni nitakua Iringo na demu wako...nilimuona ananiangalia vby ( na huku tupo kanisani )..akaniuliza iringo sehem gani nikamwambia kastamu akasema ok...

Kiukweli nilikua nimeplan siku hyo kumpiga huyo jamaa atakama ni kumuua ni muue tu.Alafu alivyokua mjinga alikua ananidharau kwa vile yeye yupo chuo me hata veta tu siijui.alijiamin kupitiliza.Nilimpanga yule muhuni wangu kuwa nitakuja leo huko mitaa yao na Manzi angu.


Midaa ilifika ya jioni ( saa 10 ) demu akajaa tukapanda boda mpk iringo.Tulivyofika tukaenda kwao na huyo muhuni wangu ( huyo Muhun wangu alikua kaachiwa Mji baada ya Wazaz wake kufariki ko mji ni wake mpk saivi ).

Nilivyofika nilimwambia Manzi ampigie huyo msela wake aje iringo.alimpigia tena akiwa kamuweka loudspeaker tunamsikia...jamaa alikua anasema huyo fala wako yuko wapi ( yaani mimi ).

Kufupisha habari ni kuwa huyo jamaa alijichanganya kuja yeye na wasela wake wawili na kapikiki kao..nilikua na hasira cku hyo ( sio za demu ila ni za kutukanwa na wale mafala )..Walifika nilivyoona waona hao wasela wake wawili mpk nilicheka, nilijisemea kuwa " huyu jamaa ananileteaje mabishoo wanipigie " alafu walivyowajinga sijui walikua wanajiamin vpi walikuja mpk maeneo ya ziwani ( kuna milima ).nilijitokeza tu huku zuna nimeiweka kiunoni ( Zuna ya muhuni wangu ), mpaka sehemu waliyokua wamesimama na Manz yao ( maana manzi alienda kuwapokea )


Nilivyofika walipo nikawapa hi wakajibu...alafu nikawaambia mlikua mnasemaje sasa.Me hua na roho mbaya nikichukia, nilimpiga ngumi ya pua huyo jamaa na alivyokuwa ni white damu zilimuahi kutoka, wale wengine walivyoona hivyo wakajamu wanataka kunipiga nikachomoa Zuna niliwapiga bapa mpk mmoja akakimbia.nilimrudia yule jamaa lengo langu nilikua ni mtoe roho ( sema yule muhuni ndo alinishika nisimuue )..tulimbeba mzima mzima kwenda nae mlimani yule muhuni amfire ( sory kwa lugha mbovu ) maana tulikubaliana hvyo amfire.Jamaa alilia siku hyo akiita watu wamsaidie lkn watu ndo kwanza hawana habar nae na wasela wake cjui hata walipotelea wapi.Kuna mvuvi mmoja nae alikua ana sapoti tumpige huyo jamaa ( chanzo chenyewe alikua hajui yeye anasapoti tu ).

Tulimpandisha mlimani jamaa analia tu simu,hela zake muhuni akachukua..Muhuni haku mfira ila tulimpa onyo na kumtaka atupatie 200k..alidai hana tukashuka nae mpk ghetto kwa muhuni tukaandikishiana kuwa tumemfumania inabidi atulipe hyo hela siku flani na mashahid walipatikana pale wa uongo na kweli.Jamaa tulimuachia kama saa moja usiku kwa makubaliano ya kupewa hizo hela baada ya wiki moja...ila nilimpiga siku hyo, tokea hapo alikua ananiogopa vby mno..nilimpiga mkwara mzito kuwa siogopi cha nani kama anataka kwenda police aende atanikuta tu niko kanisani.

Manzi nae aliniogopa alikua hajawi kuona hasira zangu ila me nilikua sina shida nae maana nilikua namtafutia mbadala wake kimya kimya.

Hizo 200k tuliambulia kupewa 60k tu ko nikampa muhuni wangu 20k nikabak na 40k nikafnyia yangu...hivyo ndo nilivyomfanyia huyo msela alijiona kuwa kayapatia maisha mbele yangu.


Nikirudi nitaendelea kuwaelezea tena harakat zangu za wizi mpaka Mzee wangu kuwekwa ndani na Mkuu wa Wilaya, Me kukamatwa kwa kosa la wizi, Mahusiano yangu na yule demu wa kisiwani, kutapeli na vingine vingi mpk kufika hapa nilipo

story bado ni ndefu ko kuna matukio mengi mengine niliyafanya ila cjaandika maana nilisahau kuyaweka.Binafsi nayaleta nikiwa nimeyapanga kwa Miaka.


nitarudi tena.
MWANANGU UNA STORY NZURI MNOOOO MNOOOO NASEMA MNOOOO AFU UNAJITAHIDI KUANDIKA KWA MPANGILIO MZURI
 
Natamani kujua kama uyo demu wa kanisani alikuwa anaendelea kukupa papa baada ya tukio ilo la kumpiga uyo mwana chuo
 
We noma
Inaendelea

Maisha yalikua yanasonga tu hivyo hivyo kibishi...Nadhani jamaa aliona hela zake zinazid kupotea akaamua kutokutunza humo ndan mwake..ilo lilikuwa pigo kwetu na hela nilivyokua nazitumia vbya hata ningejua niwekeze tu kwenye biashara.

Ka hali kakanza kuwa kagumu demu nae akawa anataka hela basi ikawa ni mwendo wa kusema uongo ili nihurumie.kuna siku nilimwambia demu kuwa saiv mishe zangu haziko poa ko hela ni ngumu kidogo alinuna wiki nzima anitafuti na mimi simtafuti ( nilianza kumuona ni kero kwenye maisha yangu )...mpk siku moja ndo akanitext kunipa hi na blah blah nyingi tu kuwa eti me ndo mwanaume wake wa moyoni wengine ni wa kupita

Wivu ulinipata kusikia hvyo kuwa siko mwenyew ila me ndo napendwa..nilisema haiwezekani lazima nimkomoe huyo Manz ili tukiachana nisiwe na majuto..nilikuwa nawaza nitamkomoaje huyo demu..niliona njia bora ni kumrekod wakti namgonga ili akija kunizingua na expose video mtandaoni..kuna siku alikuja ni mgonge sikumrekod nilishindwa kabisa kufanya hivyo sijui kwa sababu nilikua Nampenda sana.

Kuna siku moja nilikua church ( siku hyo tulisali kimtaa ) basi bna me kwa vile ni muimba kwaya ilinibid nikae sehemu ya waimbaji kwa ajili ya kutoa huduma kwa washiriki ya nyimbo...siku hyo Lizzy alikua amependeza na kigauni chake ambacho nilimnunulia kidume mie...basi tulikua tuna chat akanitaka niende sehem alipo kuwa amekaa tukae wote ( alikua amekaa nyuma kabisa ) siku shindwa kukataa mbele yake..ko nilimdanganya teacher kuwa naenda chooni..teacher alinitaka niwai maana kwaya yetu ndo tulikua tunaimba huduma kuu..basi nilienda sehemu alipo manz angu tukakaa stor za hapa na pale...basi tuliita kuimba nikawai kuimba tulivyo maliza nikarud kukaa na manzi yangu.

Manzi ilikua iko fb ila sasa ilikua imesahau password yake..aliniomba nimsaidie..nilimshauri afungue account mpya tu aanze moja na kweli alikubali nikamfungulia mpya.

Usiku wake nikiwa home nimelala niliamua kuingia kwenye hyo account yake ya fb mpya..aisee Ila Wanawake wanapata wakati mgumu sana mitandaoni kutongozwa kama kote...niliingia nilikutana na text nyingi tu za wanaume just imagine mpk Mzee wangu alikua amemtumia text "hi mrembo " nilimchuna maana nilijua ndo zake hizo...ukiachana na text nyingine za kuomba namba,hello mrembo,cjui unaishi wapi mrembo na nyingine nyingi kuna text iliingia ilinistua sana.

Ilikua ni ya jamaa mmoja hivi tunasali ila yeye alikua ni mwanachuo ( udom ) alikua likizo..text ilikua inasema hivi " we lizy wewe mbn siku unanikwepa au vivulana vyako hvyo vinakudanganya "...niliamua kuwa lizy cku hyo niliamua kuchat nae nikijifanya mimi ndo lizy sasa.

Jamaa alitiririka mengi sana nilikua namuuliza maswali ya kumtega nae anatiririka tu bila kujua anae chat nae..nikimuuliza kama alisha sex nae kiujanja sana..alisema hivi " niwie radh bby siku ile ulivyokuja tukasex c unajua ckua nimejiandaa vizur ndo maana nilishindwa kukuridhisha kipenzi" ( hizi chatting mok leo bado zipo kwenye account ya lizzy )...nilijisikia vbya hasira na wivu vikaambatana yaani manzi yangu inaliwa na hilo lijamaa nilisema sikubali aisee.tuliendelea kuchatt nikaamua nimuombe hela huyo msela wa manz yangu....nilimuomba 50k akasema hana hapo alipo labda kesho yake, nikamwambia potezea tu.Aliniomba no ya simu ya M-PESA nikampa yangu, cjakaa sawa ikaingia text ya imethibitishwa umepokea 55k kutia kwa huyo fala...asubui ilifika nikawai kwa wakala na kweli nikatoa 50k huku nikisema ngoja nijipooze na hicho ki hela.

Ila nilisema nitakulaje hela ya mwanaume mwenzangu...wakat na waza hayo text iliingia ya bro wangu ( yule mtoto wa bamkubwa tulie kuwa tunaiba nae ) akitaka nimpelekee kadeti town anipe hela.

Hizo Kadeti zilikua za huyo hyo mtoto wa mwenye nyumba..tulivyoona hela kahamisha tukaamua tuchukue nguo tuwe tunauza nyingine nazimodoa navaa tena ananiona nimevaa.Nitaelelezea baadae ngoja niendele na huyu manzi kwanza.

Kweli nichukua Kadeti ( zilikua suruali mbili ) nikachukua na zile 50k za yule fala nikaingia town.Nilifika kazin kwa huyo bro akaona mzingo kisha akanipa 20k na kunitaka nimtafutie mzigo mwingine.

Niliamua niende dukani nikamnunuliee nguo Manzi yangu kwa ile ile hela ya huyo fala wake...nilinunua kigauni cha 35k chenj iliyobaki nilimpelekea huyo manz angu pamoja na hilo gauni.demu alifurah akijua kuwa nimempa zawadi kumbe alkua hajui ni pesa ya boy wake ndio imefanya hayo mambo.

Kesho ilifika siku nilikua natoka tizi la kukimbia kwa ajili ya kutafuta pumzi ya kuimba.nilifija kuchukua simu nakuta text ya huyo boy wa manzi angu ilikua inasema hivi "yaani wewe Holly holm ndo wakunifanyia hivi aisee rudisha hyo hela au umpe muhusika yaani Church minister mzima unakua tapeli" nilimjibu tu kawaida kuwa hela simpi ng'o na cha kunifanya hana.

Jamaa kumbe ile no niliyompa kutuma ile hela ilikua whatsapp na picha yangu juu kumbe alisave na kuniona mimi badalaya ya demu wake.Alinitishia kuwa atanifanyia kitu kibaya me nilimwambua nakisubiri hicho kitu.Wakat huo hata manz ajui hyo inshu sikuona ni vyema kumwambia.

Nitarud nielezee jinsi nilivyo mfanya huyo boy wa manzi angu....

kikoozi
 
Inaendelea

Maisha yalikua yanasonga tu hivyo hivyo kibishi...Nadhani jamaa aliona hela zake zinazid kupotea akaamua kutokutunza humo ndan mwake..ilo lilikuwa pigo kwetu na hela nilivyokua nazitumia vbya hata ningejua niwekeze tu kwenye biashara.

Ka hali kakanza kuwa kagumu demu nae akawa anataka hela basi ikawa ni mwendo wa kusema uongo ili nihurumie.kuna siku nilimwambia demu kuwa saiv mishe zangu haziko poa ko hela ni ngumu kidogo alinuna wiki nzima anitafuti na mimi simtafuti ( nilianza kumuona ni kero kwenye maisha yangu )...mpk siku moja ndo akanitext kunipa hi na blah blah nyingi tu kuwa eti me ndo mwanaume wake wa moyoni wengine ni wa kupita

Wivu ulinipata kusikia hvyo kuwa siko mwenyew ila me ndo napendwa..nilisema haiwezekani lazima nimkomoe huyo Manz ili tukiachana nisiwe na majuto..nilikuwa nawaza nitamkomoaje huyo demu..niliona njia bora ni kumrekod wakti namgonga ili akija kunizingua na expose video mtandaoni..kuna siku alikuja ni mgonge sikumrekod nilishindwa kabisa kufanya hivyo sijui kwa sababu nilikua Nampenda sana.

Kuna siku moja nilikua church ( siku hyo tulisali kimtaa ) basi bna me kwa vile ni muimba kwaya ilinibid nikae sehemu ya waimbaji kwa ajili ya kutoa huduma kwa washiriki ya nyimbo...siku hyo Lizzy alikua amependeza na kigauni chake ambacho nilimnunulia kidume mie...basi tulikua tuna chat akanitaka niende sehem alipo kuwa amekaa tukae wote ( alikua amekaa nyuma kabisa ) siku shindwa kukataa mbele yake..ko nilimdanganya teacher kuwa naenda chooni..teacher alinitaka niwai maana kwaya yetu ndo tulikua tunaimba huduma kuu..basi nilienda sehemu alipo manz angu tukakaa stor za hapa na pale...basi tuliita kuimba nikawai kuimba tulivyo maliza nikarud kukaa na manzi yangu.

Manzi ilikua iko fb ila sasa ilikua imesahau password yake..aliniomba nimsaidie..nilimshauri afungue account mpya tu aanze moja na kweli alikubali nikamfungulia mpya.

Usiku wake nikiwa home nimelala niliamua kuingia kwenye hyo account yake ya fb mpya..aisee Ila Wanawake wanapata wakati mgumu sana mitandaoni kutongozwa kama kote...niliingia nilikutana na text nyingi tu za wanaume just imagine mpk Mzee wangu alikua amemtumia text "hi mrembo " nilimchuna maana nilijua ndo zake hizo...ukiachana na text nyingine za kuomba namba,hello mrembo,cjui unaishi wapi mrembo na nyingine nyingi kuna text iliingia ilinistua sana.

Ilikua ni ya jamaa mmoja hivi tunasali ila yeye alikua ni mwanachuo ( udom ) alikua likizo..text ilikua inasema hivi " we lizy wewe mbn siku unanikwepa au vivulana vyako hvyo vinakudanganya "...niliamua kuwa lizy cku hyo niliamua kuchat nae nikijifanya mimi ndo lizy sasa.

Jamaa alitiririka mengi sana nilikua namuuliza maswali ya kumtega nae anatiririka tu bila kujua anae chat nae..nikimuuliza kama alisha sex nae kiujanja sana..alisema hivi " niwie radh bby siku ile ulivyokuja tukasex c unajua ckua nimejiandaa vizur ndo maana nilishindwa kukuridhisha kipenzi" ( hizi chatting mok leo bado zipo kwenye account ya lizzy )...nilijisikia vbya hasira na wivu vikaambatana yaani manzi yangu inaliwa na hilo lijamaa nilisema sikubali aisee.tuliendelea kuchatt nikaamua nimuombe hela huyo msela wa manz yangu....nilimuomba 50k akasema hana hapo alipo labda kesho yake, nikamwambia potezea tu.Aliniomba no ya simu ya M-PESA nikampa yangu, cjakaa sawa ikaingia text ya imethibitishwa umepokea 55k kutia kwa huyo fala...asubui ilifika nikawai kwa wakala na kweli nikatoa 50k huku nikisema ngoja nijipooze na hicho ki hela.

Ila nilisema nitakulaje hela ya mwanaume mwenzangu...wakat na waza hayo text iliingia ya bro wangu ( yule mtoto wa bamkubwa tulie kuwa tunaiba nae ) akitaka nimpelekee kadeti town anipe hela.

Hizo Kadeti zilikua za huyo hyo mtoto wa mwenye nyumba..tulivyoona hela kahamisha tukaamua tuchukue nguo tuwe tunauza nyingine nazimodoa navaa tena ananiona nimevaa.Nitaelelezea baadae ngoja niendele na huyu manzi kwanza.

Kweli nichukua Kadeti ( zilikua suruali mbili ) nikachukua na zile 50k za yule fala nikaingia town.Nilifika kazin kwa huyo bro akaona mzingo kisha akanipa 20k na kunitaka nimtafutie mzigo mwingine.

Niliamua niende dukani nikamnunuliee nguo Manzi yangu kwa ile ile hela ya huyo fala wake...nilinunua kigauni cha 35k chenj iliyobaki nilimpelekea huyo manz angu pamoja na hilo gauni.demu alifurah akijua kuwa nimempa zawadi kumbe alkua hajui ni pesa ya boy wake ndio imefanya hayo mambo.

Kesho ilifika siku nilikua natoka tizi la kukimbia kwa ajili ya kutafuta pumzi ya kuimba.nilifija kuchukua simu nakuta text ya huyo boy wa manzi angu ilikua inasema hivi "yaani wewe Holly holm ndo wakunifanyia hivi aisee rudisha hyo hela au umpe muhusika yaani Church minister mzima unakua tapeli" nilimjibu tu kawaida kuwa hela simpi ng'o na cha kunifanya hana.

Jamaa kumbe ile no niliyompa kutuma ile hela ilikua whatsapp na picha yangu juu kumbe alisave na kuniona mimi badalaya ya demu wake.Alinitishia kuwa atanifanyia kitu kibaya me nilimwambua nakisubiri hicho kitu.Wakat huo hata manz ajui hyo inshu sikuona ni vyema kumwambia.

Nitarud nielezee jinsi nilivyo mfanya huyo boy wa manzi angu....

kikoozi
Hahahaaa mshua wako alikua na kasi sana aisee usikute nae alipita na hiyo manzi
 
Back
Top Bottom