nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,685
Ha ha ha we jifarague tu. Karibu ugal dagaa na maziwa mgando hapa, nagonga baada ya kutoka jobHaya karibu home mtani. Ila uje na sufuria zako na godoro lako
mie nakulaga mlenda na ugali wa mtama tu. Dagaa situmii.Ha ha ha we jifarague tu. Karibu ugal dagaa na maziwa mgando hapa, nagonga baada ya kutoka job
Pole kwa ulcers bibiemie nakulaga mlenda na ugali wa mtama tu. Dagaa situmii.
hahahahaaa sina ulcers....Pole kwa ulcers bibie
naweza kukutumia kwa kutumia busNipo jijini Tanga, na ni msomaji. Mzuri wa hadithi za Ben R. Mtobwa. Hiyo Roho ya Paka nitaipata wapi hapa Tanga?
Nimeanza kusoma hivo hivo japo najua utajitesa bure wewe...mwone kwanzawe ununue kitabu

Mi ntaishia nusu ili uje home kununua kitabuNimeanza kusoma hivo hivo japo najua utajitesa bure wewe...mwone kwanza![]()
![]()
![]()
naam?Namelessgiri!! Wapi!?
Leta vitu basi best japo sijafika mbalinaam?
unanikata stimu nameless...........!mi mwenyewe hata sikumbuki nini kiliendelea da...
Na stimu zenyewe zimelipiwaunanikata stimu nameless...........!
na huo mwili, ngoja nikuombe tu msamaha usije nivunja miguu yanguunanikata stimu nameless...........!
usihofu best,ila hadithi nimeipenda sanana huo mwili, ngoja nikuombe tu msamaha usije nivunja miguu yangu