Prince Naahjum_
Senior Member
- Jun 13, 2016
- 139
- 125
- Thread starter
- #61
SEHEMU YA 24
(''Kwisha Jeuri yako Asuntaa'')
aliwaza moyoni Fredy na kuanza kumchezea taratibu asunta na kumsaula viwalo vyote alivyovaa na kumuacha (......................)
hakuamini kabisa Fredy kwa jinsi umbo la Asunta lilivyovutia tena akiwa (..................) alipiga kelele za (.............) kileleni Fredy kabla hata ya kuanza (...............) danguso lake kwenye (.......) ya Asunta mara tu alipolitoa na kujikuta anaishiwa nguvu ya kuanza (.....) tena lile tendo ambalo aliishia kumchezea(.....) Asu kwa vidole pekee na hakujua kwanini njomba nchumali wake kashindwa kuvunja biskuti ile iliyolowanishwa na kujikuta anafika kilele kabla hata hajapanda mlima wenyewe.
("Ooooooh! shit!! Nimerogwa nini!?")
alijilalamikia mwenyewe Fredy mara baada ya kutumia dakika nyingi akijiche(..) mwenyewe ili aweze kumsimamisha tena askali wake aweze kumuadhibu Asunta bila mafanikio yoyote na alipoangalia muda tayari lilishapita lisaa la pili katika masaa sita.
Wasiwasi na mawazo ndio wakawa maadui wakubwa waliokuwa wanamtafuna Fredy kumfanya ashindwe kumsimamisha tena askali wake aliyekuwa na kiherehere cha kutema risasi kabla hata ya kufika vitani na kusababisha kushindwa vita vyenyewe mapema kiasi kile mbali ya kuwa adui alisharahisishwa.
alifikiria cha kufanya harakaharaka ili aweze kutimiza azma yake kuu ndipo alipokumbuka story za chuo miaka mitatu iliyopita kuwa pombe inaleta ashki na kuamsha(.......) hususani Konyagi inafanya mtu achelewe sana ku(.....) ndani ya uwanja wa seremala.
Lilipomjia wazo hilo ndipo alisimama haraka na kuvaa nguo zake kisha alitoka kwenda upande ule wa bar nia na madhumuni akapate hiko kinywaji ambacho aliamini huenda kingekuwa na msaada wa kufanikisha zoezi lake mbali ya kuwa ukweli Fredy hakuwahi kunywa pombe hapo awali wala kuitamani kutokana na mazingira ya kiroho aliyolelewa na wazazi wake.
(''Khaa, mbona mi nina mikosi namna hii na huyu binti daah! kila ninapomuweka kwenye anga zangu nimwambie najikuta nashindwa mwenyewe. Leo tena ndio nimejitengenezea njia nyeupeeee lakini duh! nashindwa kumaliza mchezo katika dakika za mwisho kabisaa!? aaaah sikubali leo mimi na Asu lazima kieleweke tuu.'')
alizidi kujiapiza moyoni Fredy huku akiendelea kunywa ile konyagi aliyoagizia japo haikuwa na ladha nzuri mdomoni mwake lakini alijitahidi hivyo hivyo kuimeza kibishi akiamini endpo atamaliza robo lita aliyonunua sambamba na kitimoto nusu aliagiza aletewe vitasaidia kumrudishia nguvu na morali wa kutimiza lengo siku hiyo.
Nyama zilliletwa mezani kwa Fredy na kuzidi kuhondomola huku akishushia kwa kukandamiza mikono ya bingwa ili akawe bingwa kwenye chumba alichomuacha Asu.
Hakuwa mzoefu wa pombe lakini kwa nguvu na uchu wa kitimoto alijikuta anamaliza vyote japo alitumia muda mrefu ambao yeye alijiona amefanya harakaharaka tu kutokana na nguvu ya konyagi iliyoanza kuharibu milango ya fahamu zake japo haikumpelekea kufuta lengo lake kwani ndio kwanza alinyanyuka huku anayumba yumba na kuelekea mule chumbani ambapo pindi alipofungua mlango tu Hamadi!! alikumbana uso kwa uso na Asunta ambae alikuwa amevaa nguo zake huku akionesha hali ya wasiwasi na kuchanganyikiwa mno.
Walibaki wanatazamana kama majogoo huku Fredy akichukulia masihara kutokana na akili yake kuanza kupelekwa na pombe na kubaki akikenua meno na kuurudishia mlango kwa style ya kuyumba yumba wakati Asunta akiwa kasimama anamuangalia kwa hasira tena akihema kwa nguvu
"FREDY..!! Hivi ni wewe Kweli..!?"
alibwatuka Asunta kwa sauti ya juu na kumvamia Fredy ambae alikuwa anapepesuka pale mlangoni pindi alipogeuka na kumkunja kwa nguvu kola ya shati alilovaa sambamba na tai kwa hasira.
"Kwanini Fredy umekuwa mnyama kiasi hiki..? Nilikuheshimu siku zote kama kakaangu na kukupenda kwa ukalimu uliokuwa unanionesha kumbe wewe ni sawa na Chui aliyevaa ngozi ya kondoo na kujichanganya kwa wana kondoo ili aweze kuwatafuna kirahisi..? AAH! Siamini hata kidogooo Fredy kwaniniiiiii.... Kwaniniiii Fredy umenifanyia unyama huu??? KWANINI.?"
aliendelea kulalamika Asunta huku akimtikisa tikisa Fredy ambae alishindwa kabisa kumzuia Asu kutokana na konyagi aliyokunywa mikono yake ilikosa nguvu ya kuiondoa mikono ya Asu shingoni mwake wala miguu yake pia haikuwa na stamina ya kujizuia asiyumbe kwa vile alivyokuwa anatikiswa na Asunta ambae alionesha dhahili alikuwa na hasira mno baada ya kuwa anaongea huku analia.
"Aaa Asuuuntaaa...ni...Upeee...ndo tuuh uuphhh .. I lov...youuu"
kwa lugha ya kilevi alibwabwaja Fredy na kumzidisha hasira Asu ambae alizidi kumtingisha kwa nguvu na kumsukumizia pembeni ambapo kwa bahati mbaya Fredy alidondoka na kichwa chake kugonga kwenye besela la kitanda kabla hajafika chini ambapo alianza kurusha rusha miguu huku damu zikimvuja maeneo ya kichwa.
"Katiri mkubwa wewe I hate you"
aliongea Asunta bila kujali hali ya Fredy pale chini na kutoka nje ya ule mlango huku akiwa hajui wapi pa kuingilia wapi pa kutokea.
Alitazama huku na huko na kugundua lazima ile sehemu itakuwa ni guest hivyo aliamua kuelekea upande ule alipousikia mziki ukipigwa akidhani kuna njia ya nje lakini alijikuta anaingia kwenye bar na hapo akiwa bado moyo wake unamuenda mbio kwa hasira ju ya kitendo alichofanyiwa na Fredy, Asu alimfata dada mmoja aliekaa kwenye meza ya pekeake na baada ya kumsalimia alimuuliza njia ya kutokea nje ya pale sehemu zilikopaki gari.
"Atii.? Inaonekana wazi wewe ni mtizedi yani wazani bar zinakaa barabarani kama huko kwenu? fata wahusika wakupe maelekezo mi sio muonesha watu njia"
alijibu yule dada ambae alikuwa na sauti nzito kidogo na kumfanya Asu atoke na kuelekea kule kule ndani na alikutana na muhudumu mmoja kwenye ukumbi ambae yeye ndie aliyemuelekeza njia sahihi na kutoka hadi nje akiwa hajui sasa aelekee wapi na kujikuta anasimama akitazama magari yaliyokuwa yanapita ndipo taratibu hasira zilianza kupungua na moyo wa huruma ulianza kumjia pindi alipokumbuka vile alivyomsukuma Fredy na kujigonga pale kitandani na kujipasua sehemu za kichwani na hapo alianza kupata wasiwasi huenda akawa ameumia zaidi.
Mawazo yale yalimfanya aondoke pale barabarani alipokuwa anasubiri taxi na kurudi tena mule guest moja kwa moja hadi kwenye kile chumba ambapo alipoingia kumuangalia Fredy alishangaa kuona kalala vilevile akiwa katulia huku mapovu shati aliyovaa ikiwa imetapakaa matapishi sambamba na damu nyingi ikionekana pale alipoanguka.
"Fredy.. kaka Fredy..?"
aliita Asunta kwa hofu akiwa haelewi kama Fredy ni mzima ama amekufa na alipojaribu kumsogelea na kumwita kwa ukaribu aligundua kuwa anapumua kwa mbali na hapo ndipo alipojua endapo atachelewa kufanya msaada wa aina yoyote basi maisha ya Fredy yanaweza yakamalizikia mule guest.
"Baba baba babaa naomba msaada wako tafadhali.."
aliongea kwa msisitizo Asunta huku akimshika mkono baba mmoja aliyekuwa anatoka chumba kilichofatana na kile alichokuwamo Fredy pindi tu alipofungua mlango kwa ajili ya kutoka kwenda kutafuta msaada.
"Nini tena..?"
"Ndugu yangu ameanguka ghafra ameumia naomba tusaidiane kumbeba nimuwahishe hospital tafadhali baba... kakaangu atakufa tafadhali njoo unisaidie"
"sasa kaka lakooo au libwana lako? aaah mbona twapeana shida"
alijibu yule baba na kuingia chumbani pindi Asunta alipotangulia na kweli kwa shida waliweza kumnyanyua na walipotoka nje kufika mapokezi ya guest yule muhudumu alishangaa mno baada ya kusikia mteja wake aliyeingia pale masaa kadhaa yaliyopita amedondoka ghafra ndani bahati mbaya amejigonga na kujiumiza kichwani kwa hiyo hawana budi kumkimbiza hospital kwanza.
(''Khaa! lakini huyu si amepita na yule mwanamke akiwa kabebwa akinambia kuwa mkewe kazidiwa pombe! sasa mbona sasa hivi mwanamke ndie mwenye nguvu ya kum beba mwanaume ambae nae pia kazidiwa hadi kajitapikia pombe... Mh!!wateja wengine mbona mauzauza sasa'')
aliwaza yule muhudumu pindi nae alipokuwa anasaidia kumfikisha Fredy kwenye gari yao aina ya Hummer ambayo pale kwenye parking ya ile guest na bar ilikuwa pekeake.
Asunta alizifungua funguo za gari zilizokuwa zinaning'inia kwenye luksi za suruali ya Fredy na kuitekenya ambapo muhudumu yule wa guest alichukua na kitabu cha kumbukumbu za wageni hususani wa siku hiyo na kujiunga nao kwa safari ya hospital ili pia kama watahitaji na ushahidi wa kipolisi basi vielelezo vyote muhimu iwe rahisi kuwapa.
* * * * * *
- (TANZANIA) -
..................................
Tairi za gari ziliendelea kutalii barabara kwa mwendo wa usijaribu pindi Coaster ile old model ilipokuwa njiani kuwarudisha Dar Tandale fc.
Kila mtu alionekana na uso wa furaha ya kipekee ambapo dereva alikuwa makini sana na barabara na kutokana na kupungua kwa magari na uwepo wa trafki majira yale ya usiku mkubwa, deleva wa ile Coaster alizidi kuwaonesha tandale na yeye kipaji chake cha udereva kwa kutamba barabarani akiwa speed kali.
Wakiwa wamekaa siti zilizofatana baina ya Dullah na Roja au mapacha kama walivyotungwa na watu mbalimbali pindi wanapowaona pamoja.
Na kweli walikuwa mapacha haswaaa tena wazee wa kazi na waliiteka timu na mitaa kwa muda mfupi tu na ukitaka kujua shughuli yao basi ngoja uzione harakati wanazofanya uwanjani ni za kipekee sana huku siri ya mafanikio yao zaidi ikiwa mioyoni mwao na hakukuwa na mchawi wala mganga yeyote zaidi ya mazoezi ya moyo mmoja waliyokuwa wanafanya wenyewe kila siku iendayo kwa Mungu.
"vipi D anasemaje mama?"
alikuwa ni Roja ndie aliyemuanza mwenzie katika mazungumzo pindi wakiwa njiani ndani ya ile Coaster.
"aaagh hana usemi zaidi ya kuniagiza niwasalimie wote hususan wewe mamaangu ametokea kukupenda sana na kunisisitiza nilinde urafiki baina yetu"
"Ahaa ila unajua nini mzee.. mi niliona kama vile mama kuna vitu anakulaumu harafu nikaona mwana umeanza kuvimba kimtindo...!"
"hamna Roja, hakuwa ananilaumu ila kuna habari alikuwa ananambia ndio ilinistua kwani sipendi kusikia habari za namna ile"
"habari ipi tena man, naweza kuijua na mimi au kifamily zaidi."
"aagh nitakwambia tu usijali"
alikatisha mazungumzo Dullah kwa kutopenda swala lile waliongelee mule ndani ya gari kwani wengi wangesikia wakati hapendi mambo yake ajue kila mtu kasoro Roja ambae ndie mtu alietokea kumuamini siku hadi siku.
ITAENDELEA
Watsap
0652691819
(''Kwisha Jeuri yako Asuntaa'')
aliwaza moyoni Fredy na kuanza kumchezea taratibu asunta na kumsaula viwalo vyote alivyovaa na kumuacha (......................)
hakuamini kabisa Fredy kwa jinsi umbo la Asunta lilivyovutia tena akiwa (..................) alipiga kelele za (.............) kileleni Fredy kabla hata ya kuanza (...............) danguso lake kwenye (.......) ya Asunta mara tu alipolitoa na kujikuta anaishiwa nguvu ya kuanza (.....) tena lile tendo ambalo aliishia kumchezea(.....) Asu kwa vidole pekee na hakujua kwanini njomba nchumali wake kashindwa kuvunja biskuti ile iliyolowanishwa na kujikuta anafika kilele kabla hata hajapanda mlima wenyewe.
("Ooooooh! shit!! Nimerogwa nini!?")
alijilalamikia mwenyewe Fredy mara baada ya kutumia dakika nyingi akijiche(..) mwenyewe ili aweze kumsimamisha tena askali wake aweze kumuadhibu Asunta bila mafanikio yoyote na alipoangalia muda tayari lilishapita lisaa la pili katika masaa sita.
Wasiwasi na mawazo ndio wakawa maadui wakubwa waliokuwa wanamtafuna Fredy kumfanya ashindwe kumsimamisha tena askali wake aliyekuwa na kiherehere cha kutema risasi kabla hata ya kufika vitani na kusababisha kushindwa vita vyenyewe mapema kiasi kile mbali ya kuwa adui alisharahisishwa.
alifikiria cha kufanya harakaharaka ili aweze kutimiza azma yake kuu ndipo alipokumbuka story za chuo miaka mitatu iliyopita kuwa pombe inaleta ashki na kuamsha(.......) hususani Konyagi inafanya mtu achelewe sana ku(.....) ndani ya uwanja wa seremala.
Lilipomjia wazo hilo ndipo alisimama haraka na kuvaa nguo zake kisha alitoka kwenda upande ule wa bar nia na madhumuni akapate hiko kinywaji ambacho aliamini huenda kingekuwa na msaada wa kufanikisha zoezi lake mbali ya kuwa ukweli Fredy hakuwahi kunywa pombe hapo awali wala kuitamani kutokana na mazingira ya kiroho aliyolelewa na wazazi wake.
(''Khaa, mbona mi nina mikosi namna hii na huyu binti daah! kila ninapomuweka kwenye anga zangu nimwambie najikuta nashindwa mwenyewe. Leo tena ndio nimejitengenezea njia nyeupeeee lakini duh! nashindwa kumaliza mchezo katika dakika za mwisho kabisaa!? aaaah sikubali leo mimi na Asu lazima kieleweke tuu.'')
alizidi kujiapiza moyoni Fredy huku akiendelea kunywa ile konyagi aliyoagizia japo haikuwa na ladha nzuri mdomoni mwake lakini alijitahidi hivyo hivyo kuimeza kibishi akiamini endpo atamaliza robo lita aliyonunua sambamba na kitimoto nusu aliagiza aletewe vitasaidia kumrudishia nguvu na morali wa kutimiza lengo siku hiyo.
Nyama zilliletwa mezani kwa Fredy na kuzidi kuhondomola huku akishushia kwa kukandamiza mikono ya bingwa ili akawe bingwa kwenye chumba alichomuacha Asu.
Hakuwa mzoefu wa pombe lakini kwa nguvu na uchu wa kitimoto alijikuta anamaliza vyote japo alitumia muda mrefu ambao yeye alijiona amefanya harakaharaka tu kutokana na nguvu ya konyagi iliyoanza kuharibu milango ya fahamu zake japo haikumpelekea kufuta lengo lake kwani ndio kwanza alinyanyuka huku anayumba yumba na kuelekea mule chumbani ambapo pindi alipofungua mlango tu Hamadi!! alikumbana uso kwa uso na Asunta ambae alikuwa amevaa nguo zake huku akionesha hali ya wasiwasi na kuchanganyikiwa mno.
Walibaki wanatazamana kama majogoo huku Fredy akichukulia masihara kutokana na akili yake kuanza kupelekwa na pombe na kubaki akikenua meno na kuurudishia mlango kwa style ya kuyumba yumba wakati Asunta akiwa kasimama anamuangalia kwa hasira tena akihema kwa nguvu
"FREDY..!! Hivi ni wewe Kweli..!?"
alibwatuka Asunta kwa sauti ya juu na kumvamia Fredy ambae alikuwa anapepesuka pale mlangoni pindi alipogeuka na kumkunja kwa nguvu kola ya shati alilovaa sambamba na tai kwa hasira.
"Kwanini Fredy umekuwa mnyama kiasi hiki..? Nilikuheshimu siku zote kama kakaangu na kukupenda kwa ukalimu uliokuwa unanionesha kumbe wewe ni sawa na Chui aliyevaa ngozi ya kondoo na kujichanganya kwa wana kondoo ili aweze kuwatafuna kirahisi..? AAH! Siamini hata kidogooo Fredy kwaniniiiiii.... Kwaniniiii Fredy umenifanyia unyama huu??? KWANINI.?"
aliendelea kulalamika Asunta huku akimtikisa tikisa Fredy ambae alishindwa kabisa kumzuia Asu kutokana na konyagi aliyokunywa mikono yake ilikosa nguvu ya kuiondoa mikono ya Asu shingoni mwake wala miguu yake pia haikuwa na stamina ya kujizuia asiyumbe kwa vile alivyokuwa anatikiswa na Asunta ambae alionesha dhahili alikuwa na hasira mno baada ya kuwa anaongea huku analia.
"Aaa Asuuuntaaa...ni...Upeee...ndo tuuh uuphhh .. I lov...youuu"
kwa lugha ya kilevi alibwabwaja Fredy na kumzidisha hasira Asu ambae alizidi kumtingisha kwa nguvu na kumsukumizia pembeni ambapo kwa bahati mbaya Fredy alidondoka na kichwa chake kugonga kwenye besela la kitanda kabla hajafika chini ambapo alianza kurusha rusha miguu huku damu zikimvuja maeneo ya kichwa.
"Katiri mkubwa wewe I hate you"
aliongea Asunta bila kujali hali ya Fredy pale chini na kutoka nje ya ule mlango huku akiwa hajui wapi pa kuingilia wapi pa kutokea.
Alitazama huku na huko na kugundua lazima ile sehemu itakuwa ni guest hivyo aliamua kuelekea upande ule alipousikia mziki ukipigwa akidhani kuna njia ya nje lakini alijikuta anaingia kwenye bar na hapo akiwa bado moyo wake unamuenda mbio kwa hasira ju ya kitendo alichofanyiwa na Fredy, Asu alimfata dada mmoja aliekaa kwenye meza ya pekeake na baada ya kumsalimia alimuuliza njia ya kutokea nje ya pale sehemu zilikopaki gari.
"Atii.? Inaonekana wazi wewe ni mtizedi yani wazani bar zinakaa barabarani kama huko kwenu? fata wahusika wakupe maelekezo mi sio muonesha watu njia"
alijibu yule dada ambae alikuwa na sauti nzito kidogo na kumfanya Asu atoke na kuelekea kule kule ndani na alikutana na muhudumu mmoja kwenye ukumbi ambae yeye ndie aliyemuelekeza njia sahihi na kutoka hadi nje akiwa hajui sasa aelekee wapi na kujikuta anasimama akitazama magari yaliyokuwa yanapita ndipo taratibu hasira zilianza kupungua na moyo wa huruma ulianza kumjia pindi alipokumbuka vile alivyomsukuma Fredy na kujigonga pale kitandani na kujipasua sehemu za kichwani na hapo alianza kupata wasiwasi huenda akawa ameumia zaidi.
Mawazo yale yalimfanya aondoke pale barabarani alipokuwa anasubiri taxi na kurudi tena mule guest moja kwa moja hadi kwenye kile chumba ambapo alipoingia kumuangalia Fredy alishangaa kuona kalala vilevile akiwa katulia huku mapovu shati aliyovaa ikiwa imetapakaa matapishi sambamba na damu nyingi ikionekana pale alipoanguka.
"Fredy.. kaka Fredy..?"
aliita Asunta kwa hofu akiwa haelewi kama Fredy ni mzima ama amekufa na alipojaribu kumsogelea na kumwita kwa ukaribu aligundua kuwa anapumua kwa mbali na hapo ndipo alipojua endapo atachelewa kufanya msaada wa aina yoyote basi maisha ya Fredy yanaweza yakamalizikia mule guest.
"Baba baba babaa naomba msaada wako tafadhali.."
aliongea kwa msisitizo Asunta huku akimshika mkono baba mmoja aliyekuwa anatoka chumba kilichofatana na kile alichokuwamo Fredy pindi tu alipofungua mlango kwa ajili ya kutoka kwenda kutafuta msaada.
"Nini tena..?"
"Ndugu yangu ameanguka ghafra ameumia naomba tusaidiane kumbeba nimuwahishe hospital tafadhali baba... kakaangu atakufa tafadhali njoo unisaidie"
"sasa kaka lakooo au libwana lako? aaah mbona twapeana shida"
alijibu yule baba na kuingia chumbani pindi Asunta alipotangulia na kweli kwa shida waliweza kumnyanyua na walipotoka nje kufika mapokezi ya guest yule muhudumu alishangaa mno baada ya kusikia mteja wake aliyeingia pale masaa kadhaa yaliyopita amedondoka ghafra ndani bahati mbaya amejigonga na kujiumiza kichwani kwa hiyo hawana budi kumkimbiza hospital kwanza.
(''Khaa! lakini huyu si amepita na yule mwanamke akiwa kabebwa akinambia kuwa mkewe kazidiwa pombe! sasa mbona sasa hivi mwanamke ndie mwenye nguvu ya kum beba mwanaume ambae nae pia kazidiwa hadi kajitapikia pombe... Mh!!wateja wengine mbona mauzauza sasa'')
aliwaza yule muhudumu pindi nae alipokuwa anasaidia kumfikisha Fredy kwenye gari yao aina ya Hummer ambayo pale kwenye parking ya ile guest na bar ilikuwa pekeake.
Asunta alizifungua funguo za gari zilizokuwa zinaning'inia kwenye luksi za suruali ya Fredy na kuitekenya ambapo muhudumu yule wa guest alichukua na kitabu cha kumbukumbu za wageni hususani wa siku hiyo na kujiunga nao kwa safari ya hospital ili pia kama watahitaji na ushahidi wa kipolisi basi vielelezo vyote muhimu iwe rahisi kuwapa.
* * * * * *
- (TANZANIA) -
..................................
Tairi za gari ziliendelea kutalii barabara kwa mwendo wa usijaribu pindi Coaster ile old model ilipokuwa njiani kuwarudisha Dar Tandale fc.
Kila mtu alionekana na uso wa furaha ya kipekee ambapo dereva alikuwa makini sana na barabara na kutokana na kupungua kwa magari na uwepo wa trafki majira yale ya usiku mkubwa, deleva wa ile Coaster alizidi kuwaonesha tandale na yeye kipaji chake cha udereva kwa kutamba barabarani akiwa speed kali.
Wakiwa wamekaa siti zilizofatana baina ya Dullah na Roja au mapacha kama walivyotungwa na watu mbalimbali pindi wanapowaona pamoja.
Na kweli walikuwa mapacha haswaaa tena wazee wa kazi na waliiteka timu na mitaa kwa muda mfupi tu na ukitaka kujua shughuli yao basi ngoja uzione harakati wanazofanya uwanjani ni za kipekee sana huku siri ya mafanikio yao zaidi ikiwa mioyoni mwao na hakukuwa na mchawi wala mganga yeyote zaidi ya mazoezi ya moyo mmoja waliyokuwa wanafanya wenyewe kila siku iendayo kwa Mungu.
"vipi D anasemaje mama?"
alikuwa ni Roja ndie aliyemuanza mwenzie katika mazungumzo pindi wakiwa njiani ndani ya ile Coaster.
"aaagh hana usemi zaidi ya kuniagiza niwasalimie wote hususan wewe mamaangu ametokea kukupenda sana na kunisisitiza nilinde urafiki baina yetu"
"Ahaa ila unajua nini mzee.. mi niliona kama vile mama kuna vitu anakulaumu harafu nikaona mwana umeanza kuvimba kimtindo...!"
"hamna Roja, hakuwa ananilaumu ila kuna habari alikuwa ananambia ndio ilinistua kwani sipendi kusikia habari za namna ile"
"habari ipi tena man, naweza kuijua na mimi au kifamily zaidi."
"aagh nitakwambia tu usijali"
alikatisha mazungumzo Dullah kwa kutopenda swala lile waliongelee mule ndani ya gari kwani wengi wangesikia wakati hapendi mambo yake ajue kila mtu kasoro Roja ambae ndie mtu alietokea kumuamini siku hadi siku.
ITAENDELEA
Watsap
0652691819