Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
- Thread starter
- #41
Nikishajuta ntapata nini?
I have NONE.
hutakiwi kujuta ila kukumbuka majuto yako, Lizzy.......na utakachopata ni pamoja na kuutua mzigo wa majuto kwa kuongelea bila zengwe...............pili ni nafasi ya kujifunza ili usirudie makosa yaleyale..........na tatu ni unyenyekevu kuwa mwanadamu siy mkamilifu sote huwa tunateleza...............ila unaposema huna majuto basi siyo mkweli kwa sababu hakuna mwanadamu ambaye ni mkamilifu................