Mwaka jana July
nilitembelea na nilimkuta Fredwaa akiwa ktk kipindi asubuhi, na
akanirusha hewani kimtindo.
Am sure tatizo pia linaanzia kwa HR wao Raphael Shiratu, yasemekana
hafai kwenye post hiyo.
RFA imezalisha watangazaji wengi sana kwa mfano Mkamiti Juma Kibayesi
(VOA-Swahili), Godwin Gondwe, Isaac Gamba, Paul James Sweya (Clouds),
Baruan Muhuza, Hamisi Dambaya (Mlimani radio n TV), Gabriel Zacaharia,
Roy Maganga,Alex Ngusa (Metro fm), Joan Itanisa, Kid bwoy, Anselim
Ngaiza, etc.
Na sasa inawapika vijana wengi wakiongozwa na akina Yahya Mohamed,
Gabriel Yotum a.k.a computer, Tom Chilala, mzee Samadu Hassan, Mukhsin
Mambo, Paul Mabuga etc.
My take: Chairman Diallo amka na UBADILIKE